Wakorea wameshafika Mwanza, ujenzi wa Meli unaanza

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella ametembela Karakana ya matengenezo ya meli ya Mwanza South na kukuta meli zaidi ya tano zipo kwenye matengenezo.

Komentáře • 31

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +1

    Asante san mwenyez MUNGU kwa muongizo mwema kwa raisi wetu

  • @t1910j
    @t1910j Před 6 lety +3

    Mazuri yanafanywa na serikali wapinzani watalalamika sana.

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 6 lety +6

    Duh! Mashallah

  • @fanueliwiliam894
    @fanueliwiliam894 Před 6 lety +7

    Selikali ya kazi tu

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 5 lety

    Tanzania kwanza oyeee tanzania safiii wapigaji na wanaotumika na mabebelu ziiiiiii sefuri juu ya sefuri ziro gizanene nyeusi apana ata kuonekana sheitwaaaani ibrisi kabisaa pumbavuuuuuu zao potelea mbali magufuri baki saanaaaa John Joseph pombe magufuri anatosha basi atumtaki mwingine mungu mbariki rais wetu jjpm na wabaliki watanzania wanaoitakia mema tanzania yetu tuuuu

  • @ramakambaulaya785
    @ramakambaulaya785 Před 6 lety +2

    safi sana.

  • @iddykujoka935
    @iddykujoka935 Před 6 lety

    Mh mkuu wa mkoa john mongella hongera saaana kwa usimamizi wa mkoa wetu.umeuweza sana tu hizi meli zilikuwa zinaozea majini tu

  • @dj5_tz971
    @dj5_tz971 Před 6 lety +3

    uncle magu🙌🙌🙌🙌

  • @japhetmwamlenga7078
    @japhetmwamlenga7078 Před 6 lety +5

    jpm nampenda anachoongea ndo kinafanyika

  • @HASASON
    @HASASON Před 6 lety +13

    Alafu watu wanasema uchumi umeshuka? Hizo pesa za wizi zilizokua zimejaa mtaani ndio hizi Magufuli amezihamishia kwenye maendeleo, haya mambo hayakuwepo awali ila Magufuli amewezesha

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 Před 6 lety +2

    Hamna kulala aise, haiwezekani mz ipooze kibiashara, jpm na kadaraja ketu ka bucc

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 5 lety

    Tukiacha ukibaraka kutumika na mabebelu na upigaji tutafika mbali tanzania kwanza

  • @Digitalhhhhhgfgg
    @Digitalhhhhhgfgg Před 6 lety +1

    OngeraaJPM raisi wetuuu

  • @michaelmathew8309
    @michaelmathew8309 Před 5 lety

    Magufuli mwisho wa matatizo

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 Před 6 lety +1

    vizuri ila nadhani utafiti mdogo tu au kwa kufuatilia habari za bandari basi bandari za ukanda wa ziwa tanganyika ndo zilipaswa kupewa hii miradi ila simlaumu maana ni kwke nyumbani nafasi ya upendeleo.
    Ila nasikitika tu maana faida kubwa ingetoka kama ingefnya hivyo, bandari ukanda wa magharibi. Siyo tu biashara bali ingerahisisha kufunguka na bila shaka kuongezeka maradufu bila kusahau kufunguka kwa mikoa hiyo ya kigoma rukwa na wilaya zake maana ni mikoa ambayo kwangu ningependelea kuona ikipewa miradi kama hii inapobidi.
    #LANGUWAZOTU!

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 Před 5 lety

      Uko kote mipango itapangwa iyo mwanza pia inaudumia kupitia ziwa victoria nchi kama Kenya uganda burundi Rwanda ni vizuri pia ila tu uondoe malalamiko ya ukanda fedha zitakazopatikana uko mwanza zitaudumia tanzania nzima kama fedha za bandarini dar tanga mtwara zote zinaudumia tanzania yote madawa hospital barabara reli ndege mashamba viwanda afya bora mazingira mazuri na uko tanganyika pia fedha zake zinaudumia nchi nzima tutafika tu ukitanguliza tanzania kwanza

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 Před 6 lety +3

    Magu ni kichwa angeongonza tokea Mwanzo sasa hivi tungekuwa mbali Kimaisha Magu oyeeeeee

  • @dualgee5473
    @dualgee5473 Před 6 lety

    Hapa kazi tu .wanajifanya hawaoni kinachofanywa na serikali ya jpm

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 Před 6 lety +4

    Very poor mtu anapaka rangi hanaa goggles,hana helment hana gloves halafu huyu ofcer anakaa kimya bila kujal saffety of his crew

  • @japhetmwamlenga7078
    @japhetmwamlenga7078 Před 6 lety +4

    jpm nampenda anachoongea ndo kinafanyika

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 Před 6 lety

    Hamna kulala aise, haiwezekani mz ipooze kibiashara, jpm na kadaraja ketu ka bucc