MAJIBU YA ULIZA UJIBIWE(10)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 23

  • @azizaabdalla1264
    @azizaabdalla1264 Před 8 měsíci

    Aa nataka mawaidha ya mambo ya kujifusahi

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 Před rokem

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin

  • @a.856
    @a.856 Před rokem

    Jazakallah khayran

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Před rokem

    Barak Allah kheri

  • @jamaalmallo136
    @jamaalmallo136 Před rokem +1

    Sheikh Allah akuhifadhi akupe umri mrefu katika twaa yake....ameen. kila nkija mombasa lazma nje darsa yako

  • @MaryamJuma-dx9ei
    @MaryamJuma-dx9ei Před rokem

    Yawezekana kuleta istikfari wakati imamu anaswalisha wakati wakufunga swala

  • @mulhatomar6953
    @mulhatomar6953 Před rokem

    Vp kuhu janaba pia unatakiwa ufumue nywele maana hili ni jambo la kila siku au kila wkt

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Před rokem

      madamu umetokwa na manii aw umefanya tendo landoa lazma uoge amakufumua nyele yategemea nyele zako kama ni nyingi na maji hayafiki kwa kichwa lazma uzifumue

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Před rokem

    Je waeza mfanyia mzazi wko umrah na yeye bado yuko hai

  • @mulhatomar6953
    @mulhatomar6953 Před rokem

    Sheh mm sijawahi kupta hedhi hata siju 1 na sasa nna miaka 26 nn nifanye na sijazaa au mm ndo tasa moja kwa moja

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Před rokem

      unaeza muona tabibu wa kienyeji atakusaidia kupata ada yako kwa uwezo wa Allah

  • @tawaqalmuniss2902
    @tawaqalmuniss2902 Před rokem

    assalam alaikum sheikh nlkuw naulza mtu ameenda kusali msktn kakuta rakaa ya mwsho ya swala ya maghrb akaiwahi rakaa hyo ya mwsho wakaketi mpk tahyatu wakatoa salamu je ataendeleaje?😢😢

  • @fatihaal-amoody6308
    @fatihaal-amoody6308 Před rokem

    Asalam Aleikum sheikh jee ana dhambi mwenye kuambiwa utaachwa akakubali hilo baada ya talaka akarudi nyuma kuomba msamaha ili mume warudiane yule mume akakataa kabisa kosa nila nani hapo

  • @mariamnur1036
    @mariamnur1036 Před rokem +1

    Mm Nina shida kila time na tokwa n manni je ntaoga kila mara😢😢😢

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Před rokem +1

      je umehakikisha kua yanao kutoka ni manii mwanzo hakikisha kish@ ndio uombe jibuu

    • @mariamnur1036
      @mariamnur1036 Před rokem +1

      ​@@IzudinAlwyDin nimehakikisha sheikh

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Před rokem

      Nikuombe kama haitakua tatizo kanuone shekh alioko kareb na ww ataweza kukusaidia maana mm mpaka sasa kila nikigkiria haiwezekani jambo hilo.

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 Před rokem +1

      Mariam vp

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 Před rokem

      @@mariamnur1036 mariam nambie