7 LESSONS People Learn Too Late In Life

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 01. 2019
  • Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
    • FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
    Kama ukizungumza na wazee wengi utagundua kuwa wanatamani wangefanya vitu fulani kwenye maisha yao laity kama muda ungerudi nyuma.
    Sisi kama vijana ni muda muafaka kujifunza mengi toka kwao ili badae tusiwe katika kundi la kulalamika au kuwa na majuto kwa kufanyia kazi mambo haya saba ambayo ni majuto kwa watu wengi kwa vile hawakutumia muda wao vizuri. Somo la leo ni seven (7) LESSONS People Learn Too Late In Life
    1. Everything Is temporary - (Kila kitu si chenye kudumu)
    2. Life isn't fair - (Maisha hayako sawa)
    3. Family matters more than friends - (Familia ni bora kuliko marafiki)
    4. Others treat you the way you treat yourself - (Wengi watakuona vile unavyojiona wewe)
    5. Happiness is a choice and requires hard work - (Furaha ni chaguo lako na inahitaji uifanyie kazi)
    6. A lifetime isn't very long - (Maisha ni mafupi)
    7. You played it too safe - (Ulikua woga au umakini uliopitiliza)
    #7Lessons #TooLate #EzdenJumanne
  • Jak na to + styl

Komentáře • 187

  • @eliasmaika5464
    @eliasmaika5464 Před 5 lety +1

    Safi xn Bro kwa somo nzuri ubarikiwe xn

  • @kingmswati4802
    @kingmswati4802 Před 5 lety +4

    kunawatu kama edzen ,joel nawengine wanatakiwawawepo duniani ili wengine tufungue ufaham nakufanya mambo mazuri. Asante sana bro

  • @imanueljohn9253
    @imanueljohn9253 Před 5 lety +1

    Thanx bro for gud lesson

  • @yusuphmwaigomole3104
    @yusuphmwaigomole3104 Před 5 měsíci +1

    Family matters than friends, hilarious!!!

  • @ukhtynajratgirlismail6009

    Asante Sana brother Leo umetoa somo Kali Sana yaani nimelipenda mno ambae hatofanyia kazi hili somo kamwe hatoelewa lolote walahi nimechukua daftari na pen nimeandika I dear zote so nazifanyia kazi kuanzia muda huuu siachi hata sekunde ipite shukuraan brother ubarikiwe🙏🙏🙏💪💪

  • @stanokinya8214
    @stanokinya8214 Před 4 lety +2

    Family matters more than friends that's true big up man👏

  • @francismsangi3244
    @francismsangi3244 Před 5 lety

    Others treat you the way you treat yourself. Unavyojichukilia ww ndivyo jamii yako inakuchukulia hivyo hivyo. Nimepaelewa sana hapa. Mungu akubariki sana bro

  • @mariamnahodha2390
    @mariamnahodha2390 Před 5 lety +3

    Thanks, sauti inanihimiza niwe mtu Fulani hivii nalala na hili neno, (everything is temporaly) and happiness is choice ,promise ..i will do as you do ...kuongea kiinglish nako ni kujifunza kupitia wewe mimi napenda kiinglish Sana brother

  • @user-ji6fe4nb3y
    @user-ji6fe4nb3y Před 2 měsíci +1

    asante bro

  • @tadhimanmsouth288
    @tadhimanmsouth288 Před 5 lety +1

    Kaka nimejifuza kitu 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️ asante

  • @abdullaabubakar5528
    @abdullaabubakar5528 Před 5 lety

    Kaka ezden nakukubali snaaaa ww ni kitabu tosha na najiona kama ni ww ninavyofunguka akili na kujifunza vingi kujuwa wengi zaidi niliyokuwa nayaelewa hapa nilipo mungu akubariki moreee blesaa

  • @calvinjoseph
    @calvinjoseph Před 4 lety +2

    This is my favorite lesson brother, For really you always deliver the great contents

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 5 lety +1

    Leo Nimepata madini ya thamani mapema asubuhi, 🙏

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 4 lety +1

    Shukria brother Edzen.

  • @jumakubobela7474
    @jumakubobela7474 Před 5 lety +1

    Duh! You are the biggest inspirer in the country.
    Keep held up Bro.

  • @sleyoumkhamic9237
    @sleyoumkhamic9237 Před 5 lety +2

    mashallah allhamdu lillah kufikia😂😂😂😂😂 kukutana na hii video siyo bure for sure mimi legend king.

  • @mashaurinelson7106
    @mashaurinelson7106 Před 4 lety +1

    Thank brother this topic teach me and must Change me

  • @simeoandrew942
    @simeoandrew942 Před 5 lety +2

    kweli kaka nimeona hao wazee wengi wao wanajilaum pind wakiona kijana amefikia hatua flan kimaendeleo na wakati wanatoa honger kwa kijana ambaye ajitambua ingali bado kijana na wanatoa hamasa kuwa tuzid kupambana #Ezden broo nakufutilia xn epsode zako zote I learn something from u God bless u

  • @feristamwakatwila7498
    @feristamwakatwila7498 Před 4 lety +1

    Wonderful

  • @abdallahkinabo5148
    @abdallahkinabo5148 Před 5 lety +1

    jazaka Lwahu khairy ,

  • @eliapendakileo4787
    @eliapendakileo4787 Před 5 lety +2

    Hahahahahahahahabahahahaha kaka umenifurahisha kwenye point number 7.

  • @edwardalfred1172
    @edwardalfred1172 Před 5 lety +2

    Hakika kila ninaposikiliza napata nafasi ya kujifunza na kunipa nguvu ya kufanya zaidi maishani. keep it up brother.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 3 lety +2

    Best lesson ever, I love the entire content,stay blessed My Brother 🙏🤝

  • @rashidsango4046
    @rashidsango4046 Před 4 lety +1

    Ndugu swala la Idea nimelipenda sana manake namimi kidogo ni hairishe lakwangu. Lakini lazima nilifanye. Ubarikiwe sana ndugu

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 Před 5 lety +2

    That's Ezden Jumanne💪💪💪...

  • @adamally8791
    @adamally8791 Před 4 lety

    Sema broo unamadin sana kaka, kuna vitu vingi sana najifunza kupitia wewe Mungu akubariki sana👏 endelea kutukumbusha, coz tunajisahau sana cc vijana haswa kwenye swala zima la starehe za kupenda wanawake mana mtu anaona ufahari kuwa na wanawake weeeeengi, anapoteza nguvu huko, muda na pesa nyingi kwa hivyo vitu vya temporary

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 Před 5 lety +1

    Waaleykum salamu ! Shukran Kaka Ezden

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 5 lety

    Kwel kabsaa family ni bora kuliko marafiki, na wapo wenye kujali marafiki kuliko wazazi. Ya a,rabb nifanyie wepes ya kuwathami family yang.

  • @annajames6196
    @annajames6196 Před 5 lety +3

    Thanks,,God bless u

  • @AaBb-jz9qb
    @AaBb-jz9qb Před 4 lety

    Shukran sana kaka 😍

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 Před 5 lety +2

    Shukran

  • @eliazalyemmanuel9478
    @eliazalyemmanuel9478 Před 5 lety +1

    sana kaka mimi na ww nikama samaki na maji kwa kombi ziko god

  • @assamwakasanga3570
    @assamwakasanga3570 Před 5 lety +3

    thanks a lot May brother

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv Před 5 lety

    realy! thanks for good idea.👏👏

  • @emmanuelletinga7159
    @emmanuelletinga7159 Před 5 lety +2

    Yes you're gifted brother!!
    brilliant work thumb up!

  • @stephahObimo
    @stephahObimo Před 5 lety +4

    Ezden nalia Kwanini sikukufaham toka nikiwa na nywaka mitano Hakika unanigusa,unanifundisha,unanipanua kiakili sijutii kukufaham Samahani Kama Ntakuwa nakosea one Love my brother

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 5 lety +2

      hujachelewa bado...fuatilia na kikubwa zaidi fanyia kazi haya mafundisho unayopata

  • @jovinhojr774
    @jovinhojr774 Před 5 lety +1

    Nimekpata fresh

  • @leilamohamed7445
    @leilamohamed7445 Před 5 lety

    Asante mungu akuete uzindi kutufunza najifunza megi kutoka kwako mungu akubariki

  • @YudaMatesie80
    @YudaMatesie80 Před 5 lety +3

    Well done @Ezden

  • @nizigabosco3359
    @nizigabosco3359 Před 2 lety +1

    I love you because you like to say true in our life

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 5 lety

    Ujumbe makini sanaa nimejifunza kitu kipya pia

  • @mussasuleiman7169
    @mussasuleiman7169 Před 5 lety +2

    Pamoja sana

  • @husseinrambo6182
    @husseinrambo6182 Před 5 lety +3

    Thanks broo, am learning to you everyday am get new things from your Oooooh god long life 2u kaka.

  • @kassimjeuri6031
    @kassimjeuri6031 Před 3 lety

    Napenda sana video sana sina mafunzo

  • @zeynabmohammed445
    @zeynabmohammed445 Před 5 lety

    Thanks so much bro for your motivation may God bless you

  • @markamwakibete7149
    @markamwakibete7149 Před 5 lety +2

    Ahsante kwamafundisho Ezd kinachotutesa zaidi nikucmama katika wazo moja mpaka unapogundua haupo sahihi umechelewa sana

  • @mumdecutymariammariammunga7501

    Kweli kabisa

  • @ulimwenguwamitimifupi5113

    Asante sana Brother.

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 Před 5 lety

    shukran

  • @caeolinekimaro2571
    @caeolinekimaro2571 Před 5 lety +1

    wow...am lerng de things lol...

  • @wemamussa480
    @wemamussa480 Před 5 lety

    Shukran kaka kwa somo zuri

  • @medsonstarlon6057
    @medsonstarlon6057 Před 4 lety

    Nakuelewa sana bro Ezden, ubarikiwe sana

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 5 lety

    Wow....Shukran Allah akujalie🙏

  • @rashidamiri4900
    @rashidamiri4900 Před 5 lety +2

    y done bro

  • @bryanbyamungu9891
    @bryanbyamungu9891 Před 4 lety

    Thanks man

  • @damasprotas4126
    @damasprotas4126 Před 5 lety +1

    Daaaaaaah I'm the best!!!
    .....I like my self....you like is extra

  • @sabrinasaid839
    @sabrinasaid839 Před 4 lety

    Ahsante sijutii kukujua...yaani kila nikikusikiliza naongeza kitu

  • @2nukasim804
    @2nukasim804 Před 3 lety

    Allah akuongoze kaka wanifunza vingi san shukran

  • @bonelkana2455
    @bonelkana2455 Před 5 lety

    Thanks Brother Ezden

  • @vickchicksvickchiken7406

    nabalikiwa sana na masomo yako Ezedn ntajitahidi kwa neema ya Yesu kuixhi kulingana na maxhauli yako then nije kuprove kwa watu wengne kwamb inawezekana thanks so much bro

  • @jumandutu2275
    @jumandutu2275 Před 5 lety

    Maneno yananiingia sana asanteee kaka angu

  • @sandraumulisa239
    @sandraumulisa239 Před 2 lety

    Thanks 🙏

  • @fatumaluze7724
    @fatumaluze7724 Před 4 lety

    Napenda Sanaa mafunzo yako kaka hakika yana elimishaa Sanaa

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 Před 4 lety

    Dah,, shukrani sana,, darasa huru hili jamani,,, ahsante sana,,,

  • @phinisonvenas3700
    @phinisonvenas3700 Před 5 lety

    Asante kwa kunikubusha na mungu akubaliki

  • @hajihemedi5189
    @hajihemedi5189 Před 4 lety

    that is bright ideas

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 Před 5 lety

    Kaka umenipa somo kubwa sana ubarikiwe sana

  • @nzokiramadjaliwa6060
    @nzokiramadjaliwa6060 Před 5 lety

    brother your the best in your Chanel,, vyoye ulivyo zungumza vime nifunza sana, thank you so much.

  • @mohamedkhateeb5098
    @mohamedkhateeb5098 Před 5 lety

    Shukran sana kwa kweli zote zimenigusa.

  • @greatestdaniel7865
    @greatestdaniel7865 Před 4 lety +1

    brother EZDEN unafundisha had una kela brother umenigusa had natoa machozi

  • @clemenceonesmo5429
    @clemenceonesmo5429 Před 5 lety

    dat is fantastic

  • @user-jt3yw1gz2j
    @user-jt3yw1gz2j Před 3 měsíci

    Nimependezwa na mafundisho yako shukrani Sana endelea kufanya content Kuna madini tunayapata big up sana

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii50 Před 5 lety

    Bro kila cku unazidi kuwa mahiri somo hili limegusa nyanja nyingi ktk maisha hususani ya vijana na ukweli ni kwamba muda utafika tutajutia mambo ambayo hatukuyafanya kuliko tuliyoyafanya.. Isyaallah Mungu akuzidishie

  • @williamkidalo7049
    @williamkidalo7049 Před 4 lety

    Keep it up brother. You are opining the way for many of us,God bless you my home boy,

  • @philomenasimon9942
    @philomenasimon9942 Před 5 lety

    nataman kila kipnd chako no sikikose maan saiv najiona nimt wapekee sana nakumbuak kweny kipnd flan chak uliwah kusema ukipend kusoma vitabu Nata ukiwa katikat yawat weng utaongea vitu vya msing nanikwel kwa kiasi flan umenibadilisha japokua me bado ni mdog lakn nashukuru San kwa vipind vyako vinanibadilisha

  • @angelmkenda4122
    @angelmkenda4122 Před 5 lety +1

    Najifunza mengi sana kupitia kwako bro much love u

  • @annalukindo3199
    @annalukindo3199 Před 5 lety +1

    Nimefulai sana na najifuza mambo mengi kwako mungu azidi kukupa kibali kukubwa kuliko icho

  • @mocomoco1836
    @mocomoco1836 Před 4 lety

    Safi sna nimejifunza maisha yangu yajayo

  • @eliapendakileo4787
    @eliapendakileo4787 Před 5 lety +1

    Kweli kaka upo right kabisa

  • @suleymanomary6694
    @suleymanomary6694 Před 5 lety +2

    its true that family matter more than friends,we have to like our family truely from our heart its not because we are in bloodrelationship but we have the same family history and actually they have empathy on us

  • @innocentrukaka9775
    @innocentrukaka9775 Před 5 lety

    Much lov u brother

  • @irenembilinyi4628
    @irenembilinyi4628 Před 5 lety +1

    Asante Ezden umenivusha mahali

  • @osinyoruth2769
    @osinyoruth2769 Před 2 lety

    Dear l have enjoyed your lesson.keep it up its time l need my l dear to work

  • @muhammehusna3384
    @muhammehusna3384 Před 2 lety +1

    Nikweli broo unachokiseema mara nyng tunakumbuka shuka kumekuucha kweuupe

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Před 5 lety

    Good boy

  • @husseinitaba8550
    @husseinitaba8550 Před 5 lety

    Safi bro

  • @bishop_jilangila
    @bishop_jilangila Před 5 lety

    somo zuri sana

  • @tatuatut7542
    @tatuatut7542 Před 5 lety

    Kweli sana

  • @hudybalai3562
    @hudybalai3562 Před 5 lety +1

    Nice

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 Před 5 lety +4

    Thanks so much my Brother....... 😘😘 hujawahi kuniangusha.

    • @esternzumbi1888
      @esternzumbi1888 Před 5 lety +3

      Nimeanza kulike comment yangu maana najikubali sanaa........

    • @esternzumbi1888
      @esternzumbi1888 Před 5 lety +3

      Kweli huwezi kuzuia taarifa kuja kwako ila unaweza kuchagua taarifa gani ije kwako ..........💪💪

    • @habibabora3404
      @habibabora3404 Před 5 lety

      Hapo ninakuelewa sana Kaka.nikweli ukiwa nakitu marafiki wengi lakini ukiwa hauna wanaondoka

  • @user-gq4wm9gj4l
    @user-gq4wm9gj4l Před 8 měsíci

    Ni kweli kaisa

  • @shemahabdallah5594
    @shemahabdallah5594 Před 5 lety

    Familiya ni bora kulik marafik,nimeielew hi kaka

  • @sharifahandhara8592
    @sharifahandhara8592 Před 4 lety

    Every thing is temporary
    Uko good may Allah blessing u

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 5 lety

    Safi napata Elimu kubwa ya kujitambua na upeo wa kujua vingi

  • @shylagwadebalima7572
    @shylagwadebalima7572 Před 5 lety

    Very very true

  • @worshipertv9968
    @worshipertv9968 Před 5 lety

    Asante bro kwa kuniamsha mapema

  • @hamisadodo453
    @hamisadodo453 Před 5 lety

    Santeee sana kaka hiyo point ya 5na 6 kiukweli hii taifanyia kazi nimejifunza kitu hapa santee sana Allah akulipe

  • @massoudyahyaamour1902
    @massoudyahyaamour1902 Před 5 lety

    safi sana kaka unaokoa vijan wingi

  • @AbdulHalim-su7kl
    @AbdulHalim-su7kl Před 5 lety +1

    Nakukubali Broo..... allah akzdshie..... kutoa elimu zaid y hii....

  • @kashambanange6843
    @kashambanange6843 Před 5 lety

    Ezden hujawai kuniangusha.....happy to follow u brother ...