7 LESSONS People Learn Too Late In Life
Vložit
- čas přidán 22. 01. 2019
- Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Kama ukizungumza na wazee wengi utagundua kuwa wanatamani wangefanya vitu fulani kwenye maisha yao laity kama muda ungerudi nyuma.
Sisi kama vijana ni muda muafaka kujifunza mengi toka kwao ili badae tusiwe katika kundi la kulalamika au kuwa na majuto kwa kufanyia kazi mambo haya saba ambayo ni majuto kwa watu wengi kwa vile hawakutumia muda wao vizuri. Somo la leo ni seven (7) LESSONS People Learn Too Late In Life
1. Everything Is temporary - (Kila kitu si chenye kudumu)
2. Life isn't fair - (Maisha hayako sawa)
3. Family matters more than friends - (Familia ni bora kuliko marafiki)
4. Others treat you the way you treat yourself - (Wengi watakuona vile unavyojiona wewe)
5. Happiness is a choice and requires hard work - (Furaha ni chaguo lako na inahitaji uifanyie kazi)
6. A lifetime isn't very long - (Maisha ni mafupi)
7. You played it too safe - (Ulikua woga au umakini uliopitiliza)
#7Lessons #TooLate #EzdenJumanne - Jak na to + styl
Safi xn Bro kwa somo nzuri ubarikiwe xn
kunawatu kama edzen ,joel nawengine wanatakiwawawepo duniani ili wengine tufungue ufaham nakufanya mambo mazuri. Asante sana bro
Thanx bro for gud lesson
Family matters than friends, hilarious!!!
Asante Sana brother Leo umetoa somo Kali Sana yaani nimelipenda mno ambae hatofanyia kazi hili somo kamwe hatoelewa lolote walahi nimechukua daftari na pen nimeandika I dear zote so nazifanyia kazi kuanzia muda huuu siachi hata sekunde ipite shukuraan brother ubarikiwe🙏🙏🙏💪💪
Family matters more than friends that's true big up man👏
Others treat you the way you treat yourself. Unavyojichukilia ww ndivyo jamii yako inakuchukulia hivyo hivyo. Nimepaelewa sana hapa. Mungu akubariki sana bro
Thanks, sauti inanihimiza niwe mtu Fulani hivii nalala na hili neno, (everything is temporaly) and happiness is choice ,promise ..i will do as you do ...kuongea kiinglish nako ni kujifunza kupitia wewe mimi napenda kiinglish Sana brother
asante bro
Kaka nimejifuza kitu 🤦🏽♂️🤦🏽♂️ asante
Kaka ezden nakukubali snaaaa ww ni kitabu tosha na najiona kama ni ww ninavyofunguka akili na kujifunza vingi kujuwa wengi zaidi niliyokuwa nayaelewa hapa nilipo mungu akubariki moreee blesaa
This is my favorite lesson brother, For really you always deliver the great contents
Leo Nimepata madini ya thamani mapema asubuhi, 🙏
Shukria brother Edzen.
Duh! You are the biggest inspirer in the country.
Keep held up Bro.
mashallah allhamdu lillah kufikia😂😂😂😂😂 kukutana na hii video siyo bure for sure mimi legend king.
Thank brother this topic teach me and must Change me
kweli kaka nimeona hao wazee wengi wao wanajilaum pind wakiona kijana amefikia hatua flan kimaendeleo na wakati wanatoa honger kwa kijana ambaye ajitambua ingali bado kijana na wanatoa hamasa kuwa tuzid kupambana #Ezden broo nakufutilia xn epsode zako zote I learn something from u God bless u
Wonderful
jazaka Lwahu khairy ,
Hahahahahahahahabahahahaha kaka umenifurahisha kwenye point number 7.
Hakika kila ninaposikiliza napata nafasi ya kujifunza na kunipa nguvu ya kufanya zaidi maishani. keep it up brother.
Best lesson ever, I love the entire content,stay blessed My Brother 🙏🤝
Ndugu swala la Idea nimelipenda sana manake namimi kidogo ni hairishe lakwangu. Lakini lazima nilifanye. Ubarikiwe sana ndugu
Asante sana RASHID Sango kwa kufuatilia. Pamoja!
That's Ezden Jumanne💪💪💪...
Sema broo unamadin sana kaka, kuna vitu vingi sana najifunza kupitia wewe Mungu akubariki sana👏 endelea kutukumbusha, coz tunajisahau sana cc vijana haswa kwenye swala zima la starehe za kupenda wanawake mana mtu anaona ufahari kuwa na wanawake weeeeengi, anapoteza nguvu huko, muda na pesa nyingi kwa hivyo vitu vya temporary
Waaleykum salamu ! Shukran Kaka Ezden
Kwel kabsaa family ni bora kuliko marafiki, na wapo wenye kujali marafiki kuliko wazazi. Ya a,rabb nifanyie wepes ya kuwathami family yang.
Thanks,,God bless u
Shukran sana kaka 😍
Shukran
sana kaka mimi na ww nikama samaki na maji kwa kombi ziko god
thanks a lot May brother
realy! thanks for good idea.👏👏
Yes you're gifted brother!!
brilliant work thumb up!
Ezden nalia Kwanini sikukufaham toka nikiwa na nywaka mitano Hakika unanigusa,unanifundisha,unanipanua kiakili sijutii kukufaham Samahani Kama Ntakuwa nakosea one Love my brother
hujachelewa bado...fuatilia na kikubwa zaidi fanyia kazi haya mafundisho unayopata
Nimekpata fresh
Asante mungu akuete uzindi kutufunza najifunza megi kutoka kwako mungu akubariki
Well done @Ezden
I love you because you like to say true in our life
Thank you. Truth helps and saves a lot of time. Be blessed
Ujumbe makini sanaa nimejifunza kitu kipya pia
Pamoja sana
Thanks broo, am learning to you everyday am get new things from your Oooooh god long life 2u kaka.
Napenda sana video sana sina mafunzo
Thanks so much bro for your motivation may God bless you
Ahsante kwamafundisho Ezd kinachotutesa zaidi nikucmama katika wazo moja mpaka unapogundua haupo sahihi umechelewa sana
Kweli kabisa
Asante sana Brother.
shukran
wow...am lerng de things lol...
Shukran kaka kwa somo zuri
Nakuelewa sana bro Ezden, ubarikiwe sana
Wow....Shukran Allah akujalie🙏
y done bro
Thanks man
Daaaaaaah I'm the best!!!
.....I like my self....you like is extra
Ahsante sijutii kukujua...yaani kila nikikusikiliza naongeza kitu
Allah akuongoze kaka wanifunza vingi san shukran
Thanks Brother Ezden
nabalikiwa sana na masomo yako Ezedn ntajitahidi kwa neema ya Yesu kuixhi kulingana na maxhauli yako then nije kuprove kwa watu wengne kwamb inawezekana thanks so much bro
Maneno yananiingia sana asanteee kaka angu
Thanks 🙏
Napenda Sanaa mafunzo yako kaka hakika yana elimishaa Sanaa
Dah,, shukrani sana,, darasa huru hili jamani,,, ahsante sana,,,
Asante kwa kunikubusha na mungu akubaliki
that is bright ideas
Kaka umenipa somo kubwa sana ubarikiwe sana
brother your the best in your Chanel,, vyoye ulivyo zungumza vime nifunza sana, thank you so much.
Shukran sana kwa kweli zote zimenigusa.
brother EZDEN unafundisha had una kela brother umenigusa had natoa machozi
dat is fantastic
Nimependezwa na mafundisho yako shukrani Sana endelea kufanya content Kuna madini tunayapata big up sana
Pamoja sana
Bro kila cku unazidi kuwa mahiri somo hili limegusa nyanja nyingi ktk maisha hususani ya vijana na ukweli ni kwamba muda utafika tutajutia mambo ambayo hatukuyafanya kuliko tuliyoyafanya.. Isyaallah Mungu akuzidishie
Keep it up brother. You are opining the way for many of us,God bless you my home boy,
nataman kila kipnd chako no sikikose maan saiv najiona nimt wapekee sana nakumbuak kweny kipnd flan chak uliwah kusema ukipend kusoma vitabu Nata ukiwa katikat yawat weng utaongea vitu vya msing nanikwel kwa kiasi flan umenibadilisha japokua me bado ni mdog lakn nashukuru San kwa vipind vyako vinanibadilisha
Najifunza mengi sana kupitia kwako bro much love u
Nimefulai sana na najifuza mambo mengi kwako mungu azidi kukupa kibali kukubwa kuliko icho
Safi sna nimejifunza maisha yangu yajayo
Kweli kaka upo right kabisa
its true that family matter more than friends,we have to like our family truely from our heart its not because we are in bloodrelationship but we have the same family history and actually they have empathy on us
Suleyman omary well said
Much lov u brother
Asante Ezden umenivusha mahali
Dear l have enjoyed your lesson.keep it up its time l need my l dear to work
Nikweli broo unachokiseema mara nyng tunakumbuka shuka kumekuucha kweuupe
dah...
Good boy
Safi bro
somo zuri sana
Kweli sana
Nice
Thanks so much my Brother....... 😘😘 hujawahi kuniangusha.
Nimeanza kulike comment yangu maana najikubali sanaa........
Kweli huwezi kuzuia taarifa kuja kwako ila unaweza kuchagua taarifa gani ije kwako ..........💪💪
Hapo ninakuelewa sana Kaka.nikweli ukiwa nakitu marafiki wengi lakini ukiwa hauna wanaondoka
Ni kweli kaisa
Familiya ni bora kulik marafik,nimeielew hi kaka
Every thing is temporary
Uko good may Allah blessing u
Safi napata Elimu kubwa ya kujitambua na upeo wa kujua vingi
Very very true
Asante bro kwa kuniamsha mapema
Santeee sana kaka hiyo point ya 5na 6 kiukweli hii taifanyia kazi nimejifunza kitu hapa santee sana Allah akulipe
safi sana kaka unaokoa vijan wingi
Nakukubali Broo..... allah akzdshie..... kutoa elimu zaid y hii....
Ezden hujawai kuniangusha.....happy to follow u brother ...