MAJIBU YA ULIZA UJIBIWE (PART 08)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2023

Komentáře • 9

  • @mariamutowi7084
    @mariamutowi7084 Před rokem +4

    Nakupenda kwaajri ya ALLAH shekh wangu huniondoa stress wallah😂aty naoa watatu aty ingia wewe😂😂😂

  • @user-wc4ub3go9e
    @user-wc4ub3go9e Před 7 dny

    Mashallah tabaraka Allah kwa elimu hiyo hatuchoki kukufatilia kila siku twakupeda kwa ajili ya Allah

  • @robinsonmungisha1233
    @robinsonmungisha1233 Před 3 měsíci

    A w w shekh nataka unisaidiye mimi nilikuwa nampenda sana mume wangu ila hakuwa mkweli nilisikiya visa vyake nikamchukiya sana alikuwa mzinifu muongo sana mwizi Tena mushirikina nikaomba Tanaka alinipa nimesha mtukana akawa iko na mke alikuwa warafikiyake walizini pamoja waongo mke na mume wrote washirikina nikaogopa wote ju wasinizuru nikaomba Tanaka kunipa nilifurahi sana kuona tumeacha ku asiniziniyi watoto wangu wawili wa kike ju hakuwa mkweli niombeye duwa ju niliachana nae nibaki salama na wanangu

  • @ashurafatuma2040
    @ashurafatuma2040 Před rokem +1

    MASHA ALLAH

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Před rokem

    SubhanaAllah wa bihamdhi

  • @AIFOSMUGOTV
    @AIFOSMUGOTV Před rokem

    Masha Allah twazidi kuelimika...Allah azidi kukupa ilmu

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 Před rokem

    Asalaam Aleikum.... hapana sheikh Wangu best Bismillah ni lazima...sasa juu sisi twajua sisi waislamu kwa hivyo basi hata quraan tusianze kusema Bismillah juu tayari sisi ni waislamu lazima Bismillah Kwa Kila jambo.

  • @jamalhassan8308
    @jamalhassan8308 Před rokem +1

    Na je sheikh nikilipa mahari alfu tena bibi anipee nitumie itakuaje ??

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Před rokem

    Waume kama hao ni nadra kuwapta