A w w shekh nataka unisaidiye mimi nilikuwa nampenda sana mume wangu ila hakuwa mkweli nilisikiya visa vyake nikamchukiya sana alikuwa mzinifu muongo sana mwizi Tena mushirikina nikaomba Tanaka alinipa nimesha mtukana akawa iko na mke alikuwa warafikiyake walizini pamoja waongo mke na mume wrote washirikina nikaogopa wote ju wasinizuru nikaomba Tanaka kunipa nilifurahi sana kuona tumeacha ku asiniziniyi watoto wangu wawili wa kike ju hakuwa mkweli niombeye duwa ju niliachana nae nibaki salama na wanangu
Asalaam Aleikum.... hapana sheikh Wangu best Bismillah ni lazima...sasa juu sisi twajua sisi waislamu kwa hivyo basi hata quraan tusianze kusema Bismillah juu tayari sisi ni waislamu lazima Bismillah Kwa Kila jambo.
Nakupenda kwaajri ya ALLAH shekh wangu huniondoa stress wallah😂aty naoa watatu aty ingia wewe😂😂😂
Mashallah tabaraka Allah kwa elimu hiyo hatuchoki kukufatilia kila siku twakupeda kwa ajili ya Allah
A w w shekh nataka unisaidiye mimi nilikuwa nampenda sana mume wangu ila hakuwa mkweli nilisikiya visa vyake nikamchukiya sana alikuwa mzinifu muongo sana mwizi Tena mushirikina nikaomba Tanaka alinipa nimesha mtukana akawa iko na mke alikuwa warafikiyake walizini pamoja waongo mke na mume wrote washirikina nikaogopa wote ju wasinizuru nikaomba Tanaka kunipa nilifurahi sana kuona tumeacha ku asiniziniyi watoto wangu wawili wa kike ju hakuwa mkweli niombeye duwa ju niliachana nae nibaki salama na wanangu
MASHA ALLAH
SubhanaAllah wa bihamdhi
Masha Allah twazidi kuelimika...Allah azidi kukupa ilmu
Asalaam Aleikum.... hapana sheikh Wangu best Bismillah ni lazima...sasa juu sisi twajua sisi waislamu kwa hivyo basi hata quraan tusianze kusema Bismillah juu tayari sisi ni waislamu lazima Bismillah Kwa Kila jambo.
Na je sheikh nikilipa mahari alfu tena bibi anipee nitumie itakuaje ??
Waume kama hao ni nadra kuwapta