REV. DR. ELIONA KIMARO: TUMRUDIE MUNGU KWA MIOYO YETU YOTE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 02. 2024
  • KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU 14. 02. 2024.
    UJUMBE WA LEO: "TUMRUDIE MUNGU KWA MIOYO YETU YOTE

    Yoeli 2 : 12 - 14
    12 Lakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea;
    13 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya.
    14 N'nani ajuaye kwamba hatarudi na kugeuka, na kutuachia baraka nyuma yake, naam, sadaka ya unga, na sadaka ya kinywaji, kwa Bwana, Mungu wenu?
    Mhubiri: Rev. Dr, Eliona Kimaro
    Kwa maombi na ushauri :
    Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
    Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Komentáře • 19

  • @user-bq6uu4bf2r
    @user-bq6uu4bf2r Před 3 měsíci

    Nanunganisha na ibada hii kweli nimepokea uponyaji moyo wangu nimekabidi kwa Bwana.. na maumivu yangu nimeyajialia moyo wangu uko huru kumtumainia Mungu pekee na kufanya mapezi yake.. be blessed Man of God nakuzikiza nikiwa saudia

  • @NkurunzizaDon
    @NkurunzizaDon Před 2 měsíci

    Merci bcq mon pasteur

  • @sura-jz8me
    @sura-jz8me Před 3 měsíci

    ❤❤

  • @nehemajepngetich2152
    @nehemajepngetich2152 Před 5 měsíci +1

    Powerful message here. Happy Lent Season.

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 Před 4 měsíci

    Najiungamanisha na ibada hii mbele ya madhabahu ya bwana,nikiomba msamaha na kufanya Toba ya kweli kwangu mimi na familia yangu yote🙏 yesu wa msalaba aliesema yote yamekwisha amalize na udhaifu wetu wote,tuanze maisha mapya

  • @MsMasola
    @MsMasola Před 4 měsíci

    Amen Mchungaji kwa mafundisho mazuri kabisa. Mungu wa mbinguni atusaidie tuliishi neno la Mungu na kwa unyenyekevu.

  • @upendosahala8663
    @upendosahala8663 Před 5 měsíci

    Naomba maombi kwa ajili ya watoto wangu mume wangu uchumi wangu pia naomba uongozi wa mungu kwa maisha yangu yote tumrudie mungu wetu na damu ya yesu itufunike

  • @ndenimwasha
    @ndenimwasha Před 5 měsíci

    Ameni Mch Mungu akubariki ,azidi kukupa hekima na maarifa.

  • @user-op5hn2se7u
    @user-op5hn2se7u Před 5 měsíci

    Aminaaaaa mchg KimaroMungu akubariki sana babaangu, unanibariki Sana,Mungu akutunze na familia Yako yote

  • @iyanaabihudi5217
    @iyanaabihudi5217 Před 5 měsíci

    Amina Mtumishi nabarikiwa na maubiri yako❤

  • @rehemalimonga9058
    @rehemalimonga9058 Před 5 měsíci

    Amina Baba najikuta nalia kwa uchungu tu nimetapeliwa Haki yangu 😭😭😭😭

  • @user-gc9wb2pv9mallya
    @user-gc9wb2pv9mallya Před 5 měsíci

    améen dr eliona kimaro 🙏🙏🙏

  • @graceannalyimo6310
    @graceannalyimo6310 Před 5 měsíci

    Najiunga nawe na ninakuja kwa Imani hapo mbele ya altere kwenye madhabahu hii ya Kijitonyama kufanya Toba kwa ajili yangu. Watoto wangu, Kaka zangu na familia ya na ukoo wa Mume wangu Ernest Lyimo. Mungu atuhurumie na kutusamehe.

  • @godfreymgaya1862
    @godfreymgaya1862 Před 5 měsíci

    Amen

  • @akilidaniellusingu2018
    @akilidaniellusingu2018 Před 5 měsíci

    Nikumbuke kwenye maombi ya kufunguliwa. Ubarikiwe mchungaji

  • @maryshao1279
    @maryshao1279 Před 5 měsíci

    Tunabarikiwa sana
    Umenipa nguvu ya kuachilia yote ninaimani sasa

  • @user-op5hn2se7u
    @user-op5hn2se7u Před 5 měsíci

    Niombee na Mimi pamoja na uzao wangu wote

  • @upendosahala8663
    @upendosahala8663 Před 5 měsíci

    Naomba kujiungamanisha kwenye ibada hii Mimi na watoto wangu na mume wangu na family yangu yote tumrudie mungu wetu ktk jina la yesu Amina

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 Před 5 měsíci

    Wee Kimaro wewe !!