😂😂😂 Omba omba awa wanatupa mtihani sana kuna siku nipo Kkoo Kipofu kanikwaa Eti ananiambia samahani Mama nimewaza sana alijuaje kama mm mwanamke na haoni
Inasikitisha mno natamani serikali ingeangali hili kwa jicho la 3 ni kiasi gani ajira za watoto zinavyozidi kupanda kasi nchini na ukosefu wa elimu kwa watoto unapewa kipaumbele hebu serikali itazame hili kama sakata la ujambazi nchini najua hawawezi kukosa suluhu ya mambo kama haya, asante kaka joti kwa elimu
Hii kazi ulaya ipo sana wanafanya waromania. Wanatawanyika kuomba adi na watoto sikuizi then jioni pesa inakusanywa na boss. Hawalipi kodi wala nyumba wanalala zao nje chini ya madaraja. Maisha haya daah
😂😂😂 Omba omba awa wanatupa mtihani sana kuna siku nipo Kkoo Kipofu kanikwaa Eti ananiambia samahani Mama nimewaza sana alijuaje kama mm mwanamke na haoni
🤣🤣🤣🤣
Kuna mmoja wa ni jangwani ni shekh kila siku anavaa miwani yaan sijui hayamuumizi,, jion unamuona bila fimbo😅
😂😂😂😂😂😂
Ni kweli ombaomba wamekuwa wengi sana kama hawa.Na kuna watu maalum wanawasimamia kwa maslahi yao.Ujumbe umefika joti.
Lakin hii itafanya hata wenye shida kweli wasisaidiwe
Kumbe si kila ombaomba ana shida ee
Brother joti upo vizuri sana yani unatisha kinoma 🔥. Hii ni maana halisi ya sanaa God bless you.
Nimejifunza sio kila ombaomba anashida wangine wapo kazini🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa wapo kazini
Ndio maana mimi siku hizi siwasaidii hata wanao tembezwa na vibaiskel
Wale wa kusoma kwanza comment kabla ya video kuangalia tujuane hapaa 😁😁😁
😂😂😂😂😂 nimefurahi kukuona my favorite joti character nimecheka Sana aise mpaka mbavu zinauma
Inasikitisha mno natamani serikali ingeangali hili kwa jicho la 3 ni kiasi gani ajira za watoto zinavyozidi kupanda kasi nchini na ukosefu wa elimu kwa watoto unapewa kipaumbele hebu serikali itazame hili kama sakata la ujambazi nchini najua hawawezi kukosa suluhu ya mambo kama haya, asante kaka joti kwa elimu
TUNAWAPENDA SANA MASHABIKI ZETU WA JOTI TV. MUNGU AWABARIKI.
HAWABARIKI duuh
amina
Pamoja sana brother 🔥🔥
Bro ni Awabariki sio hawabariki
@@rosemahenge9071 Asantee sana
Babu amesema, "SUBIRI NI LOG OUT"
😂😂😂
Nimewahi jamani nipeni ata like 10 tuu babu joty jamani🤣🤣🥰🥰🥰
😍
Hivi nyie wa nipeni like zangu huwa naenda kuzila au maana Kila siku like like zanini?
@@dictridamdage6165 wananikela Sana naomba like naomba like
Joti anajuwaaaa
Za nini yaani?
Nipeni like zangu wa kwanza mm
Mhh
Zinakusaidia nn
Za nini Sasa kuma wewe
like unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba 😏
Wewe ndo uliyeigiza kwan?
Sub-hana llah....... Allah atupe mwisho mwema
Creativity is high.. igizo linatupa sababu za kufanya analysis kwa jumbe nyingi sana ndani. ✊
Hii ni taasisi inayojitegemea😅😅😅, Joti asee never disappoint!
This is not COMEDY this is REALITY
Ni mafunzo in form of comedy,,, yuko vzr sn🔥.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ama kweli mjini ni Akili tuu😂😂
Babu Yuko na iPhone, kweli mjini akili mtu wangu 🙂🙂🙌🙌
Watoe huko dodoma waje huku......😄😄😄 Joti mshenzi sanaaa
kumamaeeeee sitoi tena sada mamaeeeee haaaaa ndomana sasaiv nafsi yangu kua zito sana kuwapa ela
Halafu na leo muje museme mumewahi wekeni apo from Zanzibar asubuhi maapeeeema
Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂
Joti Exposing the Begers industry 🔥🔥🔥🔥
Never disappoint jotiiii 🤣😂
Side Fela wa matonya 😅😂🔥
We nae fungua macho kubadilishe kijiwe 😁😁😁
Said fella wa matonya😂😂😂
Hzo hesabu. Za joti dah 😂😀😀 unaweza sema biashara ktu simple jarbu sasa
Akhiiiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅🌹
First like and then watch the Legend at work 🔥🔥🔥🤣
Jaja el abuelo 😂 es el mejor 🌄😚🙌🇦🇷buenos días 🇹🇿
Sempre e melhor
Entiende kiswahili
De donde eres
De donde eres
❤️❤️
Na kubali sana kazi yako mr joti 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Saidi fella wa matonya😅😅
My comedian ♥️♥️ 🙏
Kumbe zinakuwaga ni biashara za watu, aisee joti umewaharibia sana wenzio ahahahaha
wakwanza leo nimewahi 😂😂😂😂
Wakwanza leo😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿👋👋
kila mtu wa kwanza kucoment 🤣🤣basi mm wa mwisho 🙌🙌
Tanzania kufa maskini ni uzembe wako kwa kweli 🤣🤣
Duh Joti hii issue ni for real safi sana MUNGU akuongoze
Wakwanza Leo nipeni like za joti 🦾
like zinakusaidia nini kenge wewe ?
acha ushamba 😏
🤣🤣🤣 Subiri ni sign out kwanza
JAMAN NJOONI NA KWETU SISI NI WAIGIZAJI WA COMEDY TUNAOMBA SUPPORT YENU 🙏🙏🙏
Mtawanyike upande wa kule na huku hayaa babuu kawafunga mbaka GBS sasa siri umeitoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
fumbua macho badilisha kijiwe😅😅😂
Hawa vijana mlewa na kanyinyi nawapenda balaa handsome boy alafu hight ndo kabisa
Asanteee
@@mlewazitotv Karibu sana Kenya Mombasa mlewa
Watu tunabuni mbwinu, This is My Business 🤣🤣🤣👀
We nae fumbua macho kabadilishe kijiwe😂😂😂😂
We pumbav fumbua macho kabadilishe kijiwe 😂😂
Daa kwaiyo omba omba wako dodoma tuu!! Kwakweli joti😃😃😅😅
Ujumbe umefika Joti, hii ndio maana ya sanaa
🤣🤣🤣🤣usinjambie 🤣🤣🤣🤣🙌
😂😂😂😂😂Said Fela wa Matonya
Wy nae fumbua macho 😂😂😂
WENGI SANA WATU WA AINA HII, UKIWA KTK ROHO YA MUNGU UNASIKIA MOYONI IKIWA UTOE MSAADA AU LA!
Yaani hapa mnataka kutuambia tusiendelee ku wasaidiya omba omba Ama vipi
Babu humeshindikana 🤣🤣🤣🤣
Ni comedy lakini Kusema ana Leseni inayotambulika na serikali, Its Not OK
We nawe fumbua macho🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaaan nmemuona Kisnai nmemkumbuka sopa,mlewa,kipande,mama dame,Bleina,
Nikukatishe tu ili usizunguke uendelee na mambo yako😃😃😃😃
Joti shikamooo🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 fungua macho
hahahahaha kwani hawajui kama mi ndo saidi fela wamatonyaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila jot mshez sana www mamina ww et fumbua macho.tubadlishe kijiwe
Message delivered.
🤣🤣🤣 said fella wa matonya
Hii kazi ulaya ipo sana wanafanya waromania. Wanatawanyika kuomba adi na watoto sikuizi then jioni pesa inakusanywa na boss. Hawalipi kodi wala nyumba wanalala zao nje chini ya madaraja. Maisha haya daah
Joti never disappoint us
Yani hii biashara kiukwel ni mbaya sana😢 vilema wanatumika pia watu wa hivi wanasababisha ata wenye uhitaji kwel wakose kusaidiwa innalillah
Saidi Fella wa Matonya🤣🤣
Hahahha aisee huyo mwamba noma
Ndio hivo..kila mtu ale urefu wa kamba yake.
Forever jot creative kinomaaa
Eti said fella wa matonya
we nae fumbua macho, tuhame kijiwe
Fumbua macho tukabadilishe kijiwe🤣
Heshima yako joti..
Babu mwwnyew joti 😂😂😂😂
✍️✍️✍️✍️ very funny
Daah nmeamini kumbe si kila ombaomba ana shida mjini
Majiraniiiiiiiii amkeni it's furahii day🤣
Eti nipo temeke nipo ilala 🤣🤣🤣🤣🙌
😂😂😂 i ajira utaikosaaa’ Joti bhana
Joti Noma Sanaaa Big Up Broo
Hii haichekeshi hta kdg sema tu kaekti JOTI basi 👏
Akili kubwa…🔥🔥🔥🔥🔥
fanya mala tatu 😂😂
Joti you very smart brother
😂😂😂😂😂😂😂at Saed fela wa matonya
"WHAT" ya bongo movie mmmeiskia iyo
Hahahahahahah joti wewe ni nyokoo
Daahh😅😅😅watoto wana GPS.....ahh hiii mwisho...umenivunja mbavo....jotiiiii
Sasa kila mtu anasema amekuwa wa kwanza kukoment. 😂😂😂😂😂
Tufanye Fafuliiiii 😂😂😂😂
Joti on 🔥🔥🔥💯
Hii ni kwer nimeishuhudia mwenywe uu mchezo
Eti ni kampuni 😄 🤣 😂 😆 😄
Ujumbe umefika asee kunawatu wanawatumia hawa watoto 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 so sad
joti kama joti😅
Another great episode 🔥❤️🔥
Huu ujumbe sibure MUNGU ANAKUONA, unatuma watoto