HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA KWENYE MIAKA 20 YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA - JNICC

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 05. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama tarehe 25 Mei, 2024 katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Mhe. Rais Samia ni Mwenyekiti wa Baraza hilo na Mwenyeji wa Maadhimisho hayo.

Komentáře •