Mimi ni Nani Bwana Mungu - Kwaya ya Abasia ya Roho Mtakatifu Mvimwa Jimbo la Sumbawanga
Vložit
- čas přidán 20. 05. 2022
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Wimbo huu huninjaza furaha kabisa ya uwito wa utawa. Namuomba , Bwana niwe, kweli mwaminifu , kwa Agano langu kwake . Asante Sana kwa wimbo huu.❤❤❤🎉🎉🎉
Uko wapi
Asante Mungu kwakuniumba n'a niwe mkristu catholika
Loh mmeimba wimbo huu kwa umahiri haswaa.
Napenda sana wimbo huu.
Wimbo huu naupenda maana kila nikiusikiliza unanipa faraja sana moyoni mwangu.....
Hongeren sana
Ooooh! moyo wangu unajaa amani, Mungu awabariki sana kwaya ya Mvimwa.
Mpiga knanda huna papara
Utume Makini Sana
Mme nikumbusha Kristi mfalume Moshi
Hongereni sana waimbaji, muongozaji, mpiga kinanda na waumini wote 👍
Mbarikiwe sana mwenye huu wimbo naomba anitumie
Umeshaupata?
Hongera sana
Very nice song with strong message, much appreciation to the composer Mr. Ansbert Mwigamba Ngurumo.
Kumbe Ansbert Ngurumo ni mtunzi? Kazi nzuri sana.
Avery interesting song
Huu wimbo hunipa furaha sana masikioni mwangu rohoni..
Hongereni sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
nzuri
Wimbo nzuri sana
Mpiga knanda kama unatoa piano zako kichwan mana hata uangalii piano zako
Tazama wanavyoimba kama tu Wakristo wa Musoli huko Magharibi mwa Kenya. Kweli Wakatoliki tunaongozwa na Roho Mtakatifu.
Raphael na justo
❤
Raha xana