VITU VITAMU VINAVYONOGESHA MAHABA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Komentáře • 36

  • @amnerashid9026
    @amnerashid9026 Před 10 měsíci +2

    Mashallah shukran kwako bi somo kwa vinogesho
    Allah awalipe kher wana hubbul halaal

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r Před 10 měsíci +10

    Salam , studio Kwanza naomba radhi Kwa ushauri nitakaoutoa huenda ukapokelewa kivyenginevyo ila nia yangu ni njema ,kipindi ni kizuri ,mafunzo ni mazuri lakin kauomba somo punguza mapambo ya mahina ukija ktk kipindi na ata mtandio wako ungeshuka kidogo ingependeza zaid ,kumradhi

  • @bikombosalum665
    @bikombosalum665 Před 4 měsíci

    Umenitibu mdogowangu kwenyemaradhi yangu Asante mungu aidumishe alfah

  • @halimahassan8582
    @halimahassan8582 Před 10 měsíci

    Ma sha Allah uqti attiya!!!!! Tunakupata sawa sawa!shukran for sharing uqter. JazakiLLAH ❤❤❤❤

  • @AzzaRashid
    @AzzaRashid Před 5 měsíci

    Asalmalaikum hii alfatah inapatikanaje kwenye tv

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 Před 10 měsíci

    Maa shaa Allah, tuite CHAI YA WAPENDANAO

  • @AminaChande-cx5du
    @AminaChande-cx5du Před měsícem

    Naomb no yak anty unifundishe meng

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx Před 10 měsíci

    Shukraan kwa elimu allah akupe afya allahumma amiiin.

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Před 9 měsíci

    Jina ni hubul chai ❤

  • @KuluthumMwemtelo
    @KuluthumMwemtelo Před 10 dny

    Jaman me nataka kufahamu kuhusu hizo chai recipe hata kwa kulipia napataje

  • @user-nr3lm9mm2c
    @user-nr3lm9mm2c Před 8 měsíci

    Shukran kwasomo ila binzari nene ndio ipi jaman

  • @kulthum8335
    @kulthum8335 Před 10 měsíci

    Mashallah

  • @halimahassan8582
    @halimahassan8582 Před 10 měsíci +1

    Bizari nene. How do u cal it in English?????

  • @GhaniyeHaji-hv3je
    @GhaniyeHaji-hv3je Před 6 měsíci

    Bizari ya maandazi nd ipi

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 Před 10 měsíci +1

    tafadhali tuandikie hizo spice in english.

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b Před 10 měsíci +1

    Tuite Chai mahabaaa Jamani niolewe na mimi napitwaa nyieee😂😂😂

  • @user-we3uf2ye3c
    @user-we3uf2ye3c Před 10 měsíci

    assalam alaykum. Ukhy mm n daktr I mean a doctor of medicine. Lkn hamu yangu kujifunza mitishamba .. Je nakupataje .. Ahsant

  • @user-uh1md9vy6t
    @user-uh1md9vy6t Před 9 měsíci

    😂😅 MashaAllah

  • @MawaddaKhamis-zh3kc
    @MawaddaKhamis-zh3kc Před 10 měsíci

    Mm naona tuite hubul halali tea

  • @bikombosalum665
    @bikombosalum665 Před 4 měsíci

    Jina chai ya wanandoa

  • @runam906
    @runam906 Před 7 měsíci

    Giligilani ndio bizari nene jamani

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 Před 10 měsíci

    Bizari nene bado sijaijuwa
    Tupeni japo kwa kizungu.

  • @salwahnassor3406
    @salwahnassor3406 Před 10 měsíci

    Je kwa mjamzito inafaa kunywa

  • @husnamasoud4989
    @husnamasoud4989 Před 10 měsíci

    shukran ila bizani nene ndoipi ina jina lengine?

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 Před 10 měsíci

    Chai isionakero

  • @mamamamam4723
    @mamamamam4723 Před 10 měsíci

    Biharus wamoto😂😂

  • @salmaali521
    @salmaali521 Před 10 měsíci

    Chai ya fikra

  • @user-fw6wt4mf3b
    @user-fw6wt4mf3b Před 10 měsíci

    Hubu lhalali tea😅😅

  • @user-we3uf2ye3c
    @user-we3uf2ye3c Před 10 měsíci

    Nahitaji msaada wako madam

  • @RashidiAlly-cl7fo
    @RashidiAlly-cl7fo Před 10 měsíci

    Tutaiita mundende