kwa makala, habari/taarifa mbalimbali za kiislamu tembelea blogu ya ahbaabur.blogspot.com follow us on facebook: Ahbaabur-Rasuul/ twitter @ahbaaburrasuul
Alhamdulillah. Allah awalipe kheri. Niulize tu, kuna hekma yoyote ya kumwita mtoto wako Dhulqarnayn? Hasa ikizingatiwa maana ya neno hilo ni pembe mbili? Pengine lisilete maana nzuri katika jamii?
Gogu na Magogu au Yajuja na Majuja kwa utafiti wangu ni Warassia, Nimesoma Surat-Alkalf kuhusu Yajuj na Majuja juu ya wapi wapo na Ukuta aliojenga Dhulqarnain kuwazuia Magog wa Magog,japo Quran haisemi ni wapi Yajuj na Majuja lakini uwepo wa China Great wall ni ushahidi Yajuj na Majuja walikuwepo wanaishi Urusi na Nchi za Kisoviet.Tanzania wamefanya Yao.
subhanallah,shukran sheikh
Subehana ALLAH
subhanallah
Yaallah tusamehe na uturehemu Aminn
shukran
Alhamdulillah. Allah awalipe kheri. Niulize tu, kuna hekma yoyote ya kumwita mtoto wako Dhulqarnayn? Hasa ikizingatiwa maana ya neno hilo ni pembe mbili? Pengine lisilete maana nzuri katika jamii?
Othman Haji دس حص فني
ASALAM ALEYKUM SHUKRAN BARAKALLAHU FIYKUM NA OMBI ILIMU HII MUNGEITOA KWA KUCHAPISHA KITABU LUGHA YA KISWAHILI ILI TUFAIDIKE ZAID
Kipo kitabu.
ahbaabur rasuul tnaweza kukipata vipi.
Wasiliana na 0715 939260
Yajuja na Majuja ndugu zao wachina na warusi na wamongolia
yAAJUJA NA MAAJUJA inasadikiwa ni Wamongolian,China ya Kaskazin na warusi
Gogu na Magogu au Yajuja na Majuja kwa utafiti wangu ni Warassia, Nimesoma Surat-Alkalf kuhusu Yajuj na Majuja juu ya wapi wapo na Ukuta aliojenga Dhulqarnain kuwazuia Magog wa Magog,japo Quran haisemi ni wapi Yajuj na Majuja lakini uwepo wa China Great wall ni ushahidi Yajuj na Majuja walikuwepo wanaishi Urusi na Nchi za Kisoviet.Tanzania wamefanya Yao.
Sasa hao juj na maajuj hawana dini ?