LAKINI WANAIDHARAULISHA ELIMU YA JUU KWA KUVAA KOFIA KAMA HIVO, NAOMBA SANA LEVEL ZOTE ZA SECONDARY NA SHULE ZA MSINGI ZISTUMIKE WAKATI WA MAHAFALI, KUVAA KOFIA KWENYE, WAZIRI WA ELIMU INGILIA JAMBO HILI HALIKO SAWA HQTA KIDOGO
Hayo ni mavazi tu,kwani wa kivaa hivyo ndoo kupewa digirii?hapo hayo mavazi yanawapa moyo wa kusonga mbele zaidi kwa maana kwamba mtoto hilo vazi atavaa la ngazi fulani na baadae atatamani kuvaa ngazi fulani na mwisho atavaa la juu zaidi,punguza kuwa na mawazo ya zamani ndiyo maana sasa hivi utawakuta vijana wadogo miaka hii wamesoma sana ni Madokita na wengine ni Maprofessa na vijana wengine ni wafanya biashara wakubwa na wanafanya mambo makubwa katika ulimwengu huu,kwahiyo punguza mawazo ya kizamani.Ifike hatua watu wanaofanya mambo makubwa ya ubunifu nao wapewe heshima zao maalumu.
@@ramadhanilukambuzi9760 DHANA YA UELEWA MDOGO WA ELIMU NDIYO INAKUSUMBUA, NDIYO MAANA UNAFANANISHA ELIMU YA JUU NA YA CHINI ZOTE SAWA, NA TAFSIRI YA KOFIA HIYO UNGEKUWA UNAJUA HUNGEZUNGUMZA MANENO HAYO
@@thinktwice7176 Inawezekana wewe ukawa unayo Elimu ya makaratasi kichwani lakini,elimu yako haina maarifa na hao walioanzia vitu hivyo wana akili sana kwa sababu elimu ya Msingi ndiyo ya watu wengi walionayo hii elimu ya juu ni utashi wa mtu kwamba anataka kufika wapi?ndiyo mtu anaomba kujiunga na ndiyo maana watu wanasoma kwa garama kubwa sana na elimu ya juu msingi wake mkuu ni elimu ya msingi na Elimu ya msingi ndiyo muhimu zaidi ila kwa kuwa wewe elimu yako haina maana ndiyo maana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo namna hiyo.
Chalamila ww ni kiongozi mkubwa, mwenyezi MUNGU akutangulie ktk kazi zako. Uko sawa sana. Big up mkuu wa mkoa.
Congts KEMEBOS for your striving
👏
Kabisa
Mimi hiyo blauzi aliotupia Kwa juu weeeh kimeniavja hoii
Hiyo tunaivaa wachache tena tunaotokea Iringa tu.
Jamani ni blauzi,?
Watu mna vituki
Jamaa uyu ni saba tu akili ni nywele ongera kyomaaaa
Good
Kanisa
Wewe huwa unamhemko hufai uobgozi hata wa darasa ..
Nzur hio
Huyu mkuu wa mkoa ni bora sana
Mama Yestu Raisi wetu..huyu Mtu Mlete Dar mleteni Dar...Dar imepoaaaa
Kagera ndio pa kupoa? Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi. Ni zamu ya mkoa wetu.
Wewe una nguvu ya kinabii
@@djurio Mungu mwema
Kuhusu mitahala wa hilo alijadiliwi ni mibovu
Kuhusu mitaala ni kweli kizungumkuti
Hongera sana Uongozi na jamii nzima ya Kembos na Kaizirenge kwa hatua kubwa ya mafanikio muliyoifikia.
Huyu Jamaa Anapaswa kuwa Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam Period!!!!
Tuliye naye dar tosha
Kwa sasa yupo Kagera. Kaa kwa kutulia.
Weee jamaaa uliota kabisa jamaa tayari kahamishiwa dar
Hongera brother nimekubali
@@thomassenga2526 Huyu Jamaa Anajua kuongea Sio na watu wazima tuu Hadi Watoto wadogo na Sio matajari tuu mpaka wanyonge
Kwamba watt kukataa viuno ni ishara kuwa hawafanyiwi vitendo vibaya!!!!!? Ujingaaa mtupuuu. Na watu wanapiga makofi kabsaaa
LAKINI WANAIDHARAULISHA ELIMU YA JUU KWA KUVAA KOFIA KAMA HIVO, NAOMBA SANA LEVEL ZOTE ZA SECONDARY NA SHULE ZA MSINGI ZISTUMIKE WAKATI WA MAHAFALI, KUVAA KOFIA KWENYE, WAZIRI WA ELIMU INGILIA JAMBO HILI HALIKO SAWA HQTA KIDOGO
Hayo ni mavazi tu,kwani wa kivaa hivyo ndoo kupewa digirii?hapo hayo mavazi yanawapa moyo wa kusonga mbele zaidi kwa maana kwamba mtoto hilo vazi atavaa la ngazi fulani na baadae atatamani kuvaa ngazi fulani na mwisho atavaa la juu zaidi,punguza kuwa na mawazo ya zamani ndiyo maana sasa hivi utawakuta vijana wadogo miaka hii wamesoma sana ni Madokita na wengine ni Maprofessa na vijana wengine ni wafanya biashara wakubwa na wanafanya mambo makubwa katika ulimwengu huu,kwahiyo punguza mawazo ya kizamani.Ifike hatua watu wanaofanya mambo makubwa ya ubunifu nao wapewe heshima zao maalumu.
@@ramadhanilukambuzi9760 DHANA YA UELEWA MDOGO WA ELIMU NDIYO INAKUSUMBUA, NDIYO MAANA UNAFANANISHA ELIMU YA JUU NA YA CHINI ZOTE SAWA, NA TAFSIRI YA KOFIA HIYO UNGEKUWA UNAJUA HUNGEZUNGUMZA MANENO HAYO
@@thinktwice7176 mm kwa uelewa wng wangevaa na joo apo ndio kungekuwa na kosa ila sio kofia tupu kiongozi au uwelewa wngu mdg samahan lakin
@@thinktwice7176 Mbona wasimamizi wa Shule hizo wanayo elimu za juu,kwahiyo unawatukana na wao sio?hata serikali nayo pia sio?Unawatukana sio?
@@thinktwice7176 Inawezekana wewe ukawa unayo Elimu ya makaratasi kichwani lakini,elimu yako haina maarifa na hao walioanzia vitu hivyo wana akili sana kwa sababu elimu ya Msingi ndiyo ya watu wengi walionayo hii elimu ya juu ni utashi wa mtu kwamba anataka kufika wapi?ndiyo mtu anaomba kujiunga na ndiyo maana watu wanasoma kwa garama kubwa sana na elimu ya juu msingi wake mkuu ni elimu ya msingi na Elimu ya msingi ndiyo muhimu zaidi ila kwa kuwa wewe elimu yako haina maana ndiyo maana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo namna hiyo.