RC CHALAMILA AFIKA KWENYE SHULE ZA KEMEBOS, AFUNGUKA HAYA JUU YA MUWEKEZAJI, ATOA MAAGIZO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 05. 2023

Komentáře • 37

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Před rokem +1

    Chalamila ww ni kiongozi mkubwa, mwenyezi MUNGU akutangulie ktk kazi zako. Uko sawa sana. Big up mkuu wa mkoa.

  • @leonidaskwigize1853
    @leonidaskwigize1853 Před rokem

    Congts KEMEBOS for your striving

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Před rokem

    👏

  • @rosemuhandoofficial5676

    Kabisa

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Před rokem +2

    Mimi hiyo blauzi aliotupia Kwa juu weeeh kimeniavja hoii

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 Před rokem +1

    Jamaa uyu ni saba tu akili ni nywele ongera kyomaaaa

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Před rokem

    Good

  • @rosemuhandoofficial5676

    Kanisa

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před rokem

    Wewe huwa unamhemko hufai uobgozi hata wa darasa ..

  • @FrolenceRogath-fv6ku
    @FrolenceRogath-fv6ku Před rokem

    Nzur hio

  • @paulnghabi5480
    @paulnghabi5480 Před rokem

    Huyu mkuu wa mkoa ni bora sana

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před rokem +1

    Mama Yestu Raisi wetu..huyu Mtu Mlete Dar mleteni Dar...Dar imepoaaaa

    • @JacksonNovatM
      @JacksonNovatM Před rokem

      Kagera ndio pa kupoa? Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi. Ni zamu ya mkoa wetu.

    • @djurio
      @djurio Před rokem +1

      Wewe una nguvu ya kinabii

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 Před rokem

      @@djurio Mungu mwema

  • @alenialex6941
    @alenialex6941 Před rokem

    Kuhusu mitahala wa hilo alijadiliwi ni mibovu

  • @CrisSinkala-ug1nd
    @CrisSinkala-ug1nd Před rokem

    Kuhusu mitaala ni kweli kizungumkuti

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Před rokem

    Hongera sana Uongozi na jamii nzima ya Kembos na Kaizirenge kwa hatua kubwa ya mafanikio muliyoifikia.

  • @Babuu200
    @Babuu200 Před rokem +2

    Huyu Jamaa Anapaswa kuwa Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam Period!!!!

    • @bajagihaji8923
      @bajagihaji8923 Před rokem

      Tuliye naye dar tosha

    • @JacksonNovatM
      @JacksonNovatM Před rokem

      Kwa sasa yupo Kagera. Kaa kwa kutulia.

    • @thomassenga2526
      @thomassenga2526 Před rokem

      Weee jamaaa uliota kabisa jamaa tayari kahamishiwa dar

    • @bajagihaji8923
      @bajagihaji8923 Před rokem

      Hongera brother nimekubali

    • @Babuu200
      @Babuu200 Před rokem

      @@thomassenga2526 Huyu Jamaa Anajua kuongea Sio na watu wazima tuu Hadi Watoto wadogo na Sio matajari tuu mpaka wanyonge

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před rokem

    Kwamba watt kukataa viuno ni ishara kuwa hawafanyiwi vitendo vibaya!!!!!? Ujingaaa mtupuuu. Na watu wanapiga makofi kabsaaa

  • @thinktwice7176
    @thinktwice7176 Před rokem

    LAKINI WANAIDHARAULISHA ELIMU YA JUU KWA KUVAA KOFIA KAMA HIVO, NAOMBA SANA LEVEL ZOTE ZA SECONDARY NA SHULE ZA MSINGI ZISTUMIKE WAKATI WA MAHAFALI, KUVAA KOFIA KWENYE, WAZIRI WA ELIMU INGILIA JAMBO HILI HALIKO SAWA HQTA KIDOGO

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Před rokem

      Hayo ni mavazi tu,kwani wa kivaa hivyo ndoo kupewa digirii?hapo hayo mavazi yanawapa moyo wa kusonga mbele zaidi kwa maana kwamba mtoto hilo vazi atavaa la ngazi fulani na baadae atatamani kuvaa ngazi fulani na mwisho atavaa la juu zaidi,punguza kuwa na mawazo ya zamani ndiyo maana sasa hivi utawakuta vijana wadogo miaka hii wamesoma sana ni Madokita na wengine ni Maprofessa na vijana wengine ni wafanya biashara wakubwa na wanafanya mambo makubwa katika ulimwengu huu,kwahiyo punguza mawazo ya kizamani.Ifike hatua watu wanaofanya mambo makubwa ya ubunifu nao wapewe heshima zao maalumu.

    • @thinktwice7176
      @thinktwice7176 Před rokem

      @@ramadhanilukambuzi9760 DHANA YA UELEWA MDOGO WA ELIMU NDIYO INAKUSUMBUA, NDIYO MAANA UNAFANANISHA ELIMU YA JUU NA YA CHINI ZOTE SAWA, NA TAFSIRI YA KOFIA HIYO UNGEKUWA UNAJUA HUNGEZUNGUMZA MANENO HAYO

    • @gustavompemba1781
      @gustavompemba1781 Před rokem

      @@thinktwice7176 mm kwa uelewa wng wangevaa na joo apo ndio kungekuwa na kosa ila sio kofia tupu kiongozi au uwelewa wngu mdg samahan lakin

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Před rokem

      @@thinktwice7176 Mbona wasimamizi wa Shule hizo wanayo elimu za juu,kwahiyo unawatukana na wao sio?hata serikali nayo pia sio?Unawatukana sio?

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Před rokem

      @@thinktwice7176 Inawezekana wewe ukawa unayo Elimu ya makaratasi kichwani lakini,elimu yako haina maarifa na hao walioanzia vitu hivyo wana akili sana kwa sababu elimu ya Msingi ndiyo ya watu wengi walionayo hii elimu ya juu ni utashi wa mtu kwamba anataka kufika wapi?ndiyo mtu anaomba kujiunga na ndiyo maana watu wanasoma kwa garama kubwa sana na elimu ya juu msingi wake mkuu ni elimu ya msingi na Elimu ya msingi ndiyo muhimu zaidi ila kwa kuwa wewe elimu yako haina maana ndiyo maana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo namna hiyo.