Rose Muhando Funguka kuhusu Tour Yake hapa USA Part 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 12. 2022

Komentáře • 71

  • @Firemusic7
    @Firemusic7 Před rokem +34

    Tumekuona mtu wa Mungu tuko pamoja Congolese people siku nyingi kweli ulikua umepotea mtandaoni, kama unamkubali rose muhando gonga like👍

  • @AdonisSifa
    @AdonisSifa Před rokem +22

    She is trending at Number 1 in Kenya. We Are proud you Rose❤️

    • @jameskinyanjui_
      @jameskinyanjui_ Před rokem +2

      Aki for sure I do know the last time a gospel trended number 1! GLORY TO JESUS

  • @eunicenjeru215
    @eunicenjeru215 Před rokem +3

    I am just grateful to see dada Rose shining more and more.Our Gid knows how to silence our enemies.I hope dada atatembea Dallas ,Texas jameni.

  • @amimurajabu1327
    @amimurajabu1327 Před rokem +4

    Ubarikiwe sana mtu wa Mungu dada Rose muhando, wakristo wengi hawatambui neema ya Yesu kristo ndo maana wanaingia kanisani na kutoka bila kutubu kujutia makosa yao! Ila Mungu ni mwema kutuita kutoka kwenye dini nakuingia kwenye neema; na ndio maana kila tunachokifanya sisi kinawa shangaza wao na hilo ndo kusudi la Kuitwa. Naomba sana dada Rose muhando usinisahau tafadhali napitia mambo mengi kwa wokovu, ila Yesu simwachi. Kumbuka ni mimi Mwinjilisti Amimu Rajabu Emmanuel niliye imba na wewe kwa furaha kubwa mno hapa USA Misuri nikiwa pamoja na mke wangu.

  • @peter_boym_drc
    @peter_boym_drc Před rokem +4

    Tuko hapa kweli ulifanya kazi kubwa nchini drc ndo maana mpaka sasa tunakupenda❤️❤️

  • @teresiawanjiku5437
    @teresiawanjiku5437 Před rokem +4

    Kongole Rose Muhando I love you so much, for all your songs make me happy and cry tears of Joy, for your music is really touching, entertaining, uplifting and encouraging at the same time and it is my prayer that may God bless you with overflowing blessings that never ends in Jesus Christ's Name Amen.

  • @magdalenemunguti
    @magdalenemunguti Před rokem

    Have been learning many things through listening rose.she is a true minister of God,very humble and God fearing women... more grace sister.

  • @christinewomanoffaith5479

    Rose kichwa aisee!
    Tz bwana Kila muimbaji ni star🤔
    Safi sana Kuna colabo kweli ulioimba nao walikuwa hawajulikani!
    Usimuache Yesu km unavyosema
    Mungu akubariki,akuinue!

  • @bramwelisituma
    @bramwelisituma Před rokem

    Amina,inawesekana kwa mungu mama rose

  • @annayambayamba6612
    @annayambayamba6612 Před rokem

    From Sweden nakupenda sana roza mungu alibinua ajenda kbs.

  • @elizabethwanjiru8784
    @elizabethwanjiru8784 Před rokem +1

    Waoh,,atukuzwe huyu Mungu.. Kwa kukumbuka..inuliwa zaidi..anaweza!!

  • @madoratv
    @madoratv Před rokem +2

    SAFI SANA

  • @nyabutoalice5328
    @nyabutoalice5328 Před rokem +1

    Nakupenda sana dada rose muhando mungu akurinde 🥰🥰

  • @andreaotaigo40
    @andreaotaigo40 Před rokem +1

    Nmekupenda bule mama rose ❤️❤️❤️💯

  • @annnduku7784
    @annnduku7784 Před rokem

    Ni tamanio langu niimbe nawe rose na ninaamini Mungu atafanikisha haya Kwa jina la yesu kristo

  • @robertokalend
    @robertokalend Před rokem

    Mungu awabariki

  • @gladyswambuielias6711
    @gladyswambuielias6711 Před rokem +2

    Love u mum ,,

  • @christinewomanoffaith5479

    Ila Rose ana sauti
    Glory be to God

  • @marthamahule3346
    @marthamahule3346 Před rokem +2

    Hakika wewe ni Simba wa kike kwenye kipaji chako nimekukubali, Hongera Always when God says Yes no body can say No. Bravo Sister!! May our God send you far and far🙏 hakika life ni Safari na bila Mungu kuweka mkono wake hatuzi. Barikiwa saana.

  • @justinepascalineamissi1888

    Mungu wetu aliye juu zidi kukulinda na kukuinuwa zaidi na zaidi mama Rose,binafsi nakupendaga sana sana

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Před rokem +2

    Umeongea ukweli mtupu unaoumiza,
    Naikumbuka siku moja nilimchek mwimbaji wa injili nkaomba kolabo mwezi mzma namsumbua aligoma katakata akitaka 4milioni nilibembeleza maana hata milioni moja sikuanayo alinikatalia katakata dah Hawa waimbaji Hawa NI huzuni kwakweli

  • @didilondo7673
    @didilondo7673 Před 9 měsíci

    Kweli kabisa ❤

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Před rokem +1

    🙏🙏🙏🙏rose muhando

  • @annnduku7784
    @annnduku7784 Před rokem

    Barikiwa Sana mama rose

  • @millicentochieng5740
    @millicentochieng5740 Před rokem

    Rose nimefurahia sana kukuona glory be 2 God .

  • @tumainison
    @tumainison Před rokem +1

    Awesome thanks you

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 Před rokem

    Rose Mhando Mungu akubariki wewe ni shujaa

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 Před rokem

    Best interview 👍

  • @andrewkivuyo5454
    @andrewkivuyo5454 Před rokem

    Amina

  • @vincentwambua9136
    @vincentwambua9136 Před rokem

    Barikiwa mtumishi wa mungu Rose

  • @mayaklaembt9938
    @mayaklaembt9938 Před rokem

    We are proud of you our mama ❤❤❤❤

  • @josphatorina5131
    @josphatorina5131 Před rokem

    Very true mama naona unafanya collapo na Wakenya wenzangu. Looking forward to do one with you.

  • @phellowmmbunitv6077
    @phellowmmbunitv6077 Před rokem +1

    Part 2 please

  • @margaretsarampashi1762

    wow this amazing Rose we been watching u and we are in Spokane Washington we will love to have u bf u go back

  • @rachelmwaniki2639
    @rachelmwaniki2639 Před rokem +1

    Much love mummy

  • @olivabutoyi434
    @olivabutoyi434 Před rokem

    Mungu azidi kukuinua ktk mataifa dada Rose. Europe (Brussels)tunakusubiri

  • @janeb995
    @janeb995 Před rokem

    🙏🙏🙏💙💙💙

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před rokem

    one love mama

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Před rokem

    Bwana Yesu Kristo anachanganywa kweli kweli. Wapo watumishi wa Mungu wanadai wanatokewa na kuoneshwa na Bwana Yesu Kristo kuwa wanawake wanajipamba kama anavyoonekana mtumishi wa Mungu Rose Muhando.
    Haya bwana, yetu macho.

  • @ev.pastndikumanaaloys9073

    Asanteni mpedwa

  • @bedakamoses6147
    @bedakamoses6147 Před rokem

    Hi

  • @mraquachil4799
    @mraquachil4799 Před rokem

    Bro

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Před rokem

    Powa saana bwanayesu asifiwe.

  • @christinewomanoffaith5479

    Kwenye Hilo la kampuni ya Son,Rose be careful

  • @annonciataumingabire1460

    Amen

  • @nabiibikemwayowele
    @nabiibikemwayowele Před rokem +1

    Jambo watangazazi WOTE wa Bin k tv Naitwa NABII BIKEMWA YOWELE Mwimbaji kutoka inchini CONGO 🇨🇩 UVIRA !
    NI Mwimbaji MUKUBWA Lakini sapoty KUBWA sina
    Naitaji management ambaye Atanisapoti kazi ZANGU ! Nina Album Nyingi sana Lakini vidéo Ndiyo sina Nyingi
    BABA Robati nakuomba sapoti YAKO

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Před rokem

    ... kwamba, wanawake wanaojipamba kama hivi wataadhibiwa kwenda kuzimu na hatimaye jehanamu.

  • @richiesegera9075
    @richiesegera9075 Před rokem

    Part 2 please