SAFARI YA UZIMA (Official video) kwaya ya Mt. Secilia Makuburi DSM na Mt. Mbaga Tuzinde Njombe

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2022
  • Maisha yetu hapa duniani ni ya muda tu. Sote tupo kwenye safari ya uzima kuelekea mbinguni ambapo ndipo nyumbani kwetu.
    Sote twajua pia kuwa Safari zote Zina Nauli... #Safari ya Uzima Ina Nauli Pia. Unaifahamu Nauli yake?? Unayo??. Karibu kutazama Wimbo ulioimbwa na Kwaya Mbili Kuijua Nauli ya Safari ya Uzima.
    WIMBO: SAFARI YA UZIMA
    WAIMBAJI: MT.SECILIA - MAKUBURI FT. MT. MBAGA TUZINDE - NJOMBE
    MTUNZI: A. J. MYONGA
    AUDIO & VIDEO: GLS
  • Hudba

Komentáře • 249

  • @elipidiusjeremiah9649
    @elipidiusjeremiah9649 Před 2 lety +3

    Mmeimba vizuri Sana,
    Mwenyezi Mungu azidi kuwaongezea maarifa mzidi kumtumikia yeye, Siku zote naipenda Sana hii Kwaya ya Mt. Cecilia na nitazidi kuipenda

  • @lucasmaro4172
    @lucasmaro4172 Před 2 lety +3

    MUNGU awabariki kwa kazi yenu njema ya uinjilishaji.

  • @elvanusndyamukama4122
    @elvanusndyamukama4122 Před 2 lety +3

    Huu wimbo ni mzuri hongereni Kwa Hilo, pia si jambo jepesi kwaya mbili kuungana na kutengeneza kitu kizuri kama hiki mnastahili pongezi za dhati kabisa, mwisho nimshukuru mwl myonga, uongozi WA kwaya na wanakwaya Kwa ujumla Kwa kazi kubwa mliyoifanya

  • @enarakilumile7873
    @enarakilumile7873 Před 2 lety +2

    jamani nimesubiri wimbo huu kwa hamu Sana hatimaye umetoka kazi nzuri mungu awabariki kwa uinjirishaji na mwona na neida Safi sanaaaaaaa

  • @elizabethmkenda2910
    @elizabethmkenda2910 Před 2 lety +2

    Very good message inatukumbusha kumkumbuka Mungu hongereni sana

  • @devotamiango6265
    @devotamiango6265 Před 2 lety +3

    Wooow wooow Tena kwaya yangu pendwa mmetisha matendo mema ndo nauli yetu ujumbe💪💪Mungu awabariki

  • @raphaelmgando5745
    @raphaelmgando5745 Před 2 lety +2

    Good job my friends kazi iendelee

  • @georgemburu2647
    @georgemburu2647 Před 2 lety +2

    Napenda kwaya hi....Mimi ni muimbaji pia....naimba sauti ya Kwanza na ya Tatu

  • @dallydominick1673
    @dallydominick1673 Před 2 lety +3

    Mungu ni mwema sana wimbo mzuriiiiiiii mnooooooo Colabo imenikumbusha wanangu wa njombe nimemuona tassy nimemuona sr lucy na luzo uhhh dah hongereni sana

  • @cosmasshayo4363
    @cosmasshayo4363 Před 2 lety +4

    Mpo good wapendwaaa!!!

  • @deboramwadangalasoundoflov5953

    Hii ni 🔥🔥🔥sichoki kuiangalia hii video

  • @lawrencekameja9730
    @lawrencekameja9730 Před 2 lety +4

    Kama waimbaji wote tungekuwa na muunganiko huu WA kushirikiana katika Kristo hakika katoliki tungekuwa mbali Sana ...nimeipenda Sana hii hakika umefanya Jambo la kumpendeza Mungu na wanadamu wenye uelewa katika tathnia hii ya uimbaji...hongeren Sana Kwa sauti nzur na production nzuri na uchangamfu kwel mmenibariki ,one day nitakuja kuwasalimu mbarikiwe Sana

  • @paulyohanemaduhu9772
    @paulyohanemaduhu9772 Před 2 lety +4

    Myonga and Secilia 🙌🙌🙌

  • @pendopeter558
    @pendopeter558 Před 2 lety +3

    Karibu karibu safari ya uzima ipo live

  • @godfreyoptatus3126
    @godfreyoptatus3126 Před 2 lety +3

    Mambo yamepikika effectively na yakaiva heko kwenu👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @levinapeter2780
    @levinapeter2780 Před 2 lety +3

    🔥🔥🔥🔥tunashukuru kutukumbusha...kazi nzr sana

  • @ericktemba192
    @ericktemba192 Před 2 lety +2

    Atimaye ime tufikia tusambaze upendo kwa watu wote

  • @benyrwezaula9169
    @benyrwezaula9169 Před 2 lety +4

    Comment yangu fupi
    Huu uimbaji ni standard za kimataifa kwakweli.
    Hongera sana wa Secilia.
    Nimemuona Bwana Msomi

  • @simonsandy1035
    @simonsandy1035 Před 2 lety +2

    🔥🔥🔥🔥🔥bonge la kazi

  • @martintuyoye1955
    @martintuyoye1955 Před 2 lety +2

    Nzuri sanaaaaa

  • @yohanemponzi1370
    @yohanemponzi1370 Před 2 lety +4

    Hakika matendo mema Ndiyo Hazina yetu

  • @celinejoseph2993
    @celinejoseph2993 Před 2 lety +2

    Kazi nzuri🔥
    Hongereni sana 👏👏

  • @paulyohanemaduhu9772
    @paulyohanemaduhu9772 Před 2 lety +4

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @faidaemmanuel60
    @faidaemmanuel60 Před 2 lety +3

    Nyimbo bora sana hongereni sana sesilia kwa kudumusha ubora wenu katika kumwimbia Bwana, Mungu azibariki san juhudi zenu

  • @gasparpaul2594
    @gasparpaul2594 Před 2 lety +3

    Tusambaze upendo🔥🔥🔥 kazi nzuri mno

  • @breezonlinetv
    @breezonlinetv Před 2 lety +4

    Kind of a big 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @emilshayo4403
    @emilshayo4403 Před 2 lety +4

    I'm speechless...... Upeeeendo kwa watu wote

  • @josephatmsomi4917
    @josephatmsomi4917 Před 2 lety +4

    Inue macho yenu mkatazame Mbinguni yalipo makao yetu

  • @josephlugome3838
    @josephlugome3838 Před 2 lety +3

    One love one love my Mt Cecilia kwaya 🥰🥰🥰

  • @kwekalucasferan
    @kwekalucasferan Před 2 lety +3

    Wimbo mzuri... Hongereni sana

  • @sabunipaul
    @sabunipaul Před 2 lety +2

    Hongereni kwa Wimbo mzuri. Mungu azidi kuwaimarisha mzidi kuitangaza Injili ya Mungu kwa njia ya Nyimbo.

  • @paulyohanemaduhu9772
    @paulyohanemaduhu9772 Před 2 lety +2

    Duniani tunapita si nyumbani yapo maisha mengine baada ya maisha haya 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @josephkasanyu645
    @josephkasanyu645 Před 2 lety +2

    Matendo Mema ni nauli 🙏

  • @denismaunda3102
    @denismaunda3102 Před 2 lety +5

    Hongereni sana
    Kazi nzuri ,,ujumbe Mzuri hakika Matendo yetu ndo nauli ya safari yetu💥💥💥

  • @anethmassawe2635
    @anethmassawe2635 Před 2 lety +6

    Waooo,😇Mungu azidi kuwakweza zaidi wateule,
    Mt.Sesilia nawakubali mnoo

  • @dismasrugemalira1422
    @dismasrugemalira1422 Před 2 lety +4

    WIMBO WANGU BORA TANGU MWAKA UUU UANZE🎶🎶🎶🎶🎶🎶

  • @dcconnection1834
    @dcconnection1834 Před 2 lety +3

    Maudhui ya wimbo tu🙌🙌🙌

  • @juliusjack1560
    @juliusjack1560 Před 2 lety +5

    🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu atutie nguvu

  • @ditramndokole6893
    @ditramndokole6893 Před 2 lety +3

    Waiting.....

  • @josephkasanyu645
    @josephkasanyu645 Před 2 lety +6

    Hakika hata mbinguni hizi sauti zitaeendelea kumsifu Mungu.
    Nakosa neno,. Ila kazi nzuri Sana 🙏🙏

  • @gracejasson8690
    @gracejasson8690 Před 2 lety +4

    Hii inaitwa mziki mnene,👏🏼👏👏👏👏😘❣️

  • @barakadaniel8774
    @barakadaniel8774 Před 2 lety +3

    Mmejua kunifurahisha ni fireeeeeeee respect

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri Před 2 lety +3

    Tunabarikiwa Sana na nyimbo zenu Mwenyezi Mungu awabariki Sana...

  • @mikelmbacho6832
    @mikelmbacho6832 Před 2 lety +2

    ⚡⚡⚡ Good music

  • @ericktemba192
    @ericktemba192 Před 2 lety +2

    Naisubiri kwa hamu sana

  • @ernestmagunus3788
    @ernestmagunus3788 Před 2 lety +2

    Nimeisubiria sana hii kitu 🔥🥰

  • @georgemburu2647
    @georgemburu2647 Před 2 lety +4

    Hongereni Sana Waimbaji wa Mtakatifu Sesilia Makuburi....... Nawapenda Sana.....karibuni Kenya Katika Parokia ya Kristu Mfalme Jimbo la Kitale

  • @josephatmsomi4917
    @josephatmsomi4917 Před 2 lety +4

    Wimbo Ni Moto sanaa

  • @gabrielkisuda538
    @gabrielkisuda538 Před 2 lety +4

    Nauli ya kufika mbinguni ni matendo mema.wooow! Mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @paulyohanemaduhu9772
    @paulyohanemaduhu9772 Před 2 lety +4

    Ujumbe safi sana. Sauti tamu. Quality ya video yummy kifupi mmetisha 🔥🔥🔥🔥

  • @rogersmtayoba334
    @rogersmtayoba334 Před 2 lety +3

    Hongeren sana Cecilia's family

  • @stephensanga
    @stephensanga Před 2 lety +6

    Hakika matendo mema ni hazina yetu, wapendwa tujibidishe kuwa na matendo mema tungali bado hai, kwa maana hiyo ndiyo nauli yetu. Keep it up brethren

  • @marynessmelchiory3433
    @marynessmelchiory3433 Před 2 lety +7

    Wooow😍😍😍 hakika safari ya kufika huko ni ndefu na ya kuchosha, nauli yetu ni matendo yetu mema tu👏👏👏👏👏

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Před rokem +1

    Asanteni Sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi mlio tuletea yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina

  • @mapundamama978
    @mapundamama978 Před 2 lety +6

    Nyie watu mnanibariki mno 💕💕💕 kazi nzuri sana Mungu awatunze hongereni sana hakika duniani tunapota ujumbe mzuri pia 😘😘😘
    Huyo dada mwenye Miwani nampenda mno nabarikiwa naye 👏👏👏

  • @joycecalv8729
    @joycecalv8729 Před 2 lety +2

    Ni Kali Sana hii nyimbo hakika inatuinnirisha vyema

  • @annakapugi618
    @annakapugi618 Před 2 lety +4

    Geogeours as always
    May Almighty God bless and keep you safe
    Nawapenda mno ❤️🤍

  • @costaziamathew1518
    @costaziamathew1518 Před 2 lety +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aderickchristian4985
    @aderickchristian4985 Před 2 lety +2

    Waiting humbly

  • @sylviamgongolwa276
    @sylviamgongolwa276 Před 2 lety +7

    Hongeren sana nawapenda afu nawapenda tena ,safari ya uzima.

  • @pyelinachula397
    @pyelinachula397 Před 2 lety +5

    Wimbo mzuri Sana, hongereni kwenu Wana Secilia

  • @jotronixtech
    @jotronixtech Před 2 lety +3

    Congratz to all cecilia's family

  • @kevinochieng6494
    @kevinochieng6494 Před 2 lety +2

    Nice song

  • @josephatmsomi4917
    @josephatmsomi4917 Před 2 lety +7

    Kazi Nzuri Sana.
    Hongereni kwa Wimbo wenye Ujumbe mzuri.
    Dunia Hakika Tunapita

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 Před 2 lety +2

    Good music keep it burning 🔥

  • @mussaananiasmyonga727
    @mussaananiasmyonga727 Před 2 lety +2

    Good job!!God be with you forever!!MY BR.A.J.MYONGA hongera kwa utunzi uliotukuka.

  • @gracejasson8690
    @gracejasson8690 Před 2 lety +2

    Wow 🥰🥰🥰🥰

  • @cosmassalufu3854
    @cosmassalufu3854 Před 2 lety +2

    Mungu azidi kuwatia nguvu kwani mnainjilisha kwa njia ya uimbaji

  • @simanjiroanold6382
    @simanjiroanold6382 Před 2 lety +2

    Daaaaaah nazidi kupamisi Makuburi,mmetisha haki vile

  • @elizabethmsonge3588
    @elizabethmsonge3588 Před 2 lety +4

    🔥🔥🔥🔥🔥🥰

  • @renathakimario8132
    @renathakimario8132 Před 2 lety +1

    Hii ngoma kali hongeren kwaya mt Sesilia makuburi kwa kazi nzuri Mungu azidi kuwainua

  • @joycecalv8729
    @joycecalv8729 Před 2 lety +2

    Fantastic song

  • @milesccyber6681
    @milesccyber6681 Před 8 měsíci +1

    Ninyi ni kielelezo cha ustadi na umoja, na ufanisi wenu katika kutoa burudani ni wa kuhamasisha. Asanteni kwa kutuwezesha kugusa mioyo yetu na kuleta furaha na utukufu kupitia sauti zenu. Nawapongeza kwa bidii yenu na nawatakia mafanikio zaidi katika safari yenu ya muziki. Hongereni tena kwa uimbaji mwema!

  • @mfawidhideals
    @mfawidhideals Před 2 lety +3

    Wow hongereni sana niliisubiria hii sana yanikumbusha safari yetu ya njombe

  • @emanuelkenedy8094
    @emanuelkenedy8094 Před 2 lety +5

    "Matendo mema azina yetu" nimependa mziki ni mzuri sana kwa kweli 🤩🤩🤩

  • @emilianavalentine1939
    @emilianavalentine1939 Před 2 lety +2

    Woow hongeni mnoo😘, hakika ujumbe ni mzuri sanaa

  • @georgekagashe5690
    @georgekagashe5690 Před 2 lety +2

    ujumbe mzuri sana........ Hongereni sana

  • @ephesongailo8564
    @ephesongailo8564 Před 2 lety +1

    Ruxo, Tarsisius &Mass sanga kwa niaba ya wenzenu hongereni kwa kazi bora kabisa mbarikiwe Sana.

  • @givenmshana3528
    @givenmshana3528 Před 2 lety +2

    Najivunia kuwa mkatoliki barikiweni sanasana

  • @theodoraprosper3262
    @theodoraprosper3262 Před 2 lety +1

    Hongera Sana mwl myonga na kwaya ya mt sesilia kwa ujumla

  • @rinahmadatta267
    @rinahmadatta267 Před 2 lety +1

    Inapendeza sana Huduma yenu. Mungu awabariki mkazidi kulitangaza neno lake

  • @hossanacatholicsingers6424

    Kazi nzuri
    Hongereni wapendwa

  • @livinusgrenus2759
    @livinusgrenus2759 Před 2 lety +2

    Kazi nzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @joycekayanda1203
    @joycekayanda1203 Před 2 lety +1

    Kazi nzuri sana wapendwa inabariki.... Mbarikiwe sana

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Před rokem +1

    Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu

  • @utukufukwamungu153
    @utukufukwamungu153 Před 2 lety +2

    Aisee hongera, kazi nzuri sana

  • @irenemtove2353
    @irenemtove2353 Před 2 lety +1

    Hakika sisi tu wapitaji tujibidishe katika upendo ili tukidaiwa nauli tusihangaike. Bravo Mt Secilia Makuburi

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Před rokem +1

    Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume

  • @felicianmgaya4878
    @felicianmgaya4878 Před 2 lety +2

    Asante sanaaaaa Mbarikiwe hongera binam A. J. Myonga

  • @theodoraprosper3262
    @theodoraprosper3262 Před 2 lety +1

    Hii kway naipenda ntakufa naipenda😎♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @christinamgeni9228
    @christinamgeni9228 Před 2 lety +2

    Mungu azidi kukubariki kpaji chenu

  • @agyankhan7503
    @agyankhan7503 Před 2 lety +2

    Amina kuu
    Nmebarikiwa na hii collabo🙏🙏🙏

  • @gloriakimbi1581
    @gloriakimbi1581 Před 2 lety +2

    Wimbo mzuri sana. Hongereni sana Kwa uinjilishaji

  • @niccoseme8187
    @niccoseme8187 Před 2 lety +2

    Nimebarikiwa na wimbo huu

  • @elvanusndyamukama4122
    @elvanusndyamukama4122 Před 2 lety +3

    Mt sesilia tunawakaribisha Sana jimboni bukoba

  • @teddygabriel8650
    @teddygabriel8650 Před 2 lety +1

    Hongereni Sana kwa ujumbe mzuri mungu awabariki sana👏👏👏

  • @livinusgrenus2759
    @livinusgrenus2759 Před 2 lety +2

    Collabo makini sana ya mziki mtakatifu

  • @mozesmsigwa6082
    @mozesmsigwa6082 Před 2 lety +1

    a bigup aj tunasapoti San kazi yAkoo

  • @ngwebesamabula8391
    @ngwebesamabula8391 Před 2 lety +2

    Kazi nzuri sana

  • @lucykazohera8621
    @lucykazohera8621 Před 2 lety +2

    Mbarikiwe sana Wana wa Mungu