SAFARI YA UZIMA (Official video) kwaya ya Mt. Secilia Makuburi DSM na Mt. Mbaga Tuzinde Njombe
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2022
- Maisha yetu hapa duniani ni ya muda tu. Sote tupo kwenye safari ya uzima kuelekea mbinguni ambapo ndipo nyumbani kwetu.
Sote twajua pia kuwa Safari zote Zina Nauli... #Safari ya Uzima Ina Nauli Pia. Unaifahamu Nauli yake?? Unayo??. Karibu kutazama Wimbo ulioimbwa na Kwaya Mbili Kuijua Nauli ya Safari ya Uzima.
WIMBO: SAFARI YA UZIMA
WAIMBAJI: MT.SECILIA - MAKUBURI FT. MT. MBAGA TUZINDE - NJOMBE
MTUNZI: A. J. MYONGA
AUDIO & VIDEO: GLS - Hudba
Mmeimba vizuri Sana,
Mwenyezi Mungu azidi kuwaongezea maarifa mzidi kumtumikia yeye, Siku zote naipenda Sana hii Kwaya ya Mt. Cecilia na nitazidi kuipenda
Amina sana.. ubarikiwe mno na tunakupenda zaidi 🥰🙏
MUNGU awabariki kwa kazi yenu njema ya uinjilishaji.
Huu wimbo ni mzuri hongereni Kwa Hilo, pia si jambo jepesi kwaya mbili kuungana na kutengeneza kitu kizuri kama hiki mnastahili pongezi za dhati kabisa, mwisho nimshukuru mwl myonga, uongozi WA kwaya na wanakwaya Kwa ujumla Kwa kazi kubwa mliyoifanya
jamani nimesubiri wimbo huu kwa hamu Sana hatimaye umetoka kazi nzuri mungu awabariki kwa uinjirishaji na mwona na neida Safi sanaaaaaaa
Very good message inatukumbusha kumkumbuka Mungu hongereni sana
Wooow wooow Tena kwaya yangu pendwa mmetisha matendo mema ndo nauli yetu ujumbe💪💪Mungu awabariki
Good job my friends kazi iendelee
Napenda kwaya hi....Mimi ni muimbaji pia....naimba sauti ya Kwanza na ya Tatu
Mungu ni mwema sana wimbo mzuriiiiiiii mnooooooo Colabo imenikumbusha wanangu wa njombe nimemuona tassy nimemuona sr lucy na luzo uhhh dah hongereni sana
Mpo good wapendwaaa!!!
Hii ni 🔥🔥🔥sichoki kuiangalia hii video
Kama waimbaji wote tungekuwa na muunganiko huu WA kushirikiana katika Kristo hakika katoliki tungekuwa mbali Sana ...nimeipenda Sana hii hakika umefanya Jambo la kumpendeza Mungu na wanadamu wenye uelewa katika tathnia hii ya uimbaji...hongeren Sana Kwa sauti nzur na production nzuri na uchangamfu kwel mmenibariki ,one day nitakuja kuwasalimu mbarikiwe Sana
Karibu sana
Karibu sana
Myonga and Secilia 🙌🙌🙌
Karibu karibu safari ya uzima ipo live
Mambo yamepikika effectively na yakaiva heko kwenu👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
🔥🔥🔥🔥tunashukuru kutukumbusha...kazi nzr sana
Atimaye ime tufikia tusambaze upendo kwa watu wote
Comment yangu fupi
Huu uimbaji ni standard za kimataifa kwakweli.
Hongera sana wa Secilia.
Nimemuona Bwana Msomi
Tunashukuru sana.. ubarikiwe mno 🙏
🔥🔥🔥🔥🔥bonge la kazi
Nzuri sanaaaaa
Hakika matendo mema Ndiyo Hazina yetu
Kazi nzuri🔥
Hongereni sana 👏👏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo bora sana hongereni sana sesilia kwa kudumusha ubora wenu katika kumwimbia Bwana, Mungu azibariki san juhudi zenu
Tusambaze upendo🔥🔥🔥 kazi nzuri mno
Shukrani sana 🙏 ubarikiwe mno
Kind of a big 🔥🔥🔥🔥🔥
I'm speechless...... Upeeeendo kwa watu wote
Inue macho yenu mkatazame Mbinguni yalipo makao yetu
One love one love my Mt Cecilia kwaya 🥰🥰🥰
Wimbo mzuri... Hongereni sana
Hongereni kwa Wimbo mzuri. Mungu azidi kuwaimarisha mzidi kuitangaza Injili ya Mungu kwa njia ya Nyimbo.
🔥🔥🔥🔥
Amina sana🙏🙏
Duniani tunapita si nyumbani yapo maisha mengine baada ya maisha haya 🔥🔥🔥🔥🔥
Matendo Mema ni nauli 🙏
Hongereni sana
Kazi nzuri ,,ujumbe Mzuri hakika Matendo yetu ndo nauli ya safari yetu💥💥💥
🔥🔥🔥🔥🔥
Waooo,😇Mungu azidi kuwakweza zaidi wateule,
Mt.Sesilia nawakubali mnoo
🔥🔥🔥🔥
WIMBO WANGU BORA TANGU MWAKA UUU UANZE🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Hongera kwa Hilo😂😂😂😂
Maudhui ya wimbo tu🙌🙌🙌
🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu atutie nguvu
Waiting.....
Hakika hata mbinguni hizi sauti zitaeendelea kumsifu Mungu.
Nakosa neno,. Ila kazi nzuri Sana 🙏🙏
Asante sana 🙏🙏❤❤
Hii inaitwa mziki mnene,👏🏼👏👏👏👏😘❣️
🔥🔥🔥🔥
Kabisa kabisa 😍😍😍sifa na utukufu ni kwa Mungu 🙏
Mmejua kunifurahisha ni fireeeeeeee respect
Tunabarikiwa Sana na nyimbo zenu Mwenyezi Mungu awabariki Sana...
⚡⚡⚡ Good music
Naisubiri kwa hamu sana
Nimeisubiria sana hii kitu 🔥🥰
Hatimayeeee
Hongereni Sana Waimbaji wa Mtakatifu Sesilia Makuburi....... Nawapenda Sana.....karibuni Kenya Katika Parokia ya Kristu Mfalme Jimbo la Kitale
+254 sambaza upendo
Tuko pamoja kiongozi
@@livinusgrenus2759 Safi Sana Livinus.... Nawapenda Sana
Wimbo Ni Moto sanaa
Nauli ya kufika mbinguni ni matendo mema.wooow! Mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ujumbe safi sana. Sauti tamu. Quality ya video yummy kifupi mmetisha 🔥🔥🔥🔥
Hongeren sana Cecilia's family
Wametisha sanaa
Hakika matendo mema ni hazina yetu, wapendwa tujibidishe kuwa na matendo mema tungali bado hai, kwa maana hiyo ndiyo nauli yetu. Keep it up brethren
Wooow😍😍😍 hakika safari ya kufika huko ni ndefu na ya kuchosha, nauli yetu ni matendo yetu mema tu👏👏👏👏👏
Asanteni Sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi mlio tuletea yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina
Nyie watu mnanibariki mno 💕💕💕 kazi nzuri sana Mungu awatunze hongereni sana hakika duniani tunapota ujumbe mzuri pia 😘😘😘
Huyo dada mwenye Miwani nampenda mno nabarikiwa naye 👏👏👏
Ni Kali Sana hii nyimbo hakika inatuinnirisha vyema
Geogeours as always
May Almighty God bless and keep you safe
Nawapenda mno ❤️🤍
Nas tnakupenda pia♥️♥️
🔥🔥🔥🔥🔥
Waiting humbly
Hongeren sana nawapenda afu nawapenda tena ,safari ya uzima.
Wimbo mzuri Sana, hongereni kwenu Wana Secilia
Congratz to all cecilia's family
Nice song
Kazi Nzuri Sana.
Hongereni kwa Wimbo wenye Ujumbe mzuri.
Dunia Hakika Tunapita
Good music keep it burning 🔥
Good job!!God be with you forever!!MY BR.A.J.MYONGA hongera kwa utunzi uliotukuka.
Wow 🥰🥰🥰🥰
Mungu azidi kuwatia nguvu kwani mnainjilisha kwa njia ya uimbaji
Daaaaaah nazidi kupamisi Makuburi,mmetisha haki vile
🔥🔥🔥🔥🔥🥰
Hii ngoma kali hongeren kwaya mt Sesilia makuburi kwa kazi nzuri Mungu azidi kuwainua
Fantastic song
Ninyi ni kielelezo cha ustadi na umoja, na ufanisi wenu katika kutoa burudani ni wa kuhamasisha. Asanteni kwa kutuwezesha kugusa mioyo yetu na kuleta furaha na utukufu kupitia sauti zenu. Nawapongeza kwa bidii yenu na nawatakia mafanikio zaidi katika safari yenu ya muziki. Hongereni tena kwa uimbaji mwema!
Wow hongereni sana niliisubiria hii sana yanikumbusha safari yetu ya njombe
🔥🔥🔥🔥
"Matendo mema azina yetu" nimependa mziki ni mzuri sana kwa kweli 🤩🤩🤩
Hauchoshi kuangalia
Woow hongeni mnoo😘, hakika ujumbe ni mzuri sanaa
ujumbe mzuri sana........ Hongereni sana
Ruxo, Tarsisius &Mass sanga kwa niaba ya wenzenu hongereni kwa kazi bora kabisa mbarikiwe Sana.
Najivunia kuwa mkatoliki barikiweni sanasana
Hongera Sana mwl myonga na kwaya ya mt sesilia kwa ujumla
Inapendeza sana Huduma yenu. Mungu awabariki mkazidi kulitangaza neno lake
Kazi nzuri
Hongereni wapendwa
Kazi nzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kazi nzuri sana wapendwa inabariki.... Mbarikiwe sana
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu
Aisee hongera, kazi nzuri sana
Hakika sisi tu wapitaji tujibidishe katika upendo ili tukidaiwa nauli tusihangaike. Bravo Mt Secilia Makuburi
Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume
Asante sanaaaaa Mbarikiwe hongera binam A. J. Myonga
Hii kway naipenda ntakufa naipenda😎♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mungu azidi kukubariki kpaji chenu
Amina kuu
Nmebarikiwa na hii collabo🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana. Hongereni sana Kwa uinjilishaji
Asante
Nimebarikiwa na wimbo huu
Mt sesilia tunawakaribisha Sana jimboni bukoba
Hongereni Sana kwa ujumbe mzuri mungu awabariki sana👏👏👏
Collabo makini sana ya mziki mtakatifu
a bigup aj tunasapoti San kazi yAkoo
Kazi nzuri sana
Mbarikiwe sana Wana wa Mungu