- 19
- 38 556
Tabasamu Media Ink
Registrace 11. 09. 2017
Journalist/ C.E.O Tabasam
Contents: News, Documentary, Sport and internment,
Abdillah Shauri ni Mwandishi wa habari na mtangazaji na hutumia Tabasamu Media Ink kuripoti matukio ya ndani ya nchi na nje ya nchi
Contents: News, Documentary, Sport and internment,
Abdillah Shauri ni Mwandishi wa habari na mtangazaji na hutumia Tabasamu Media Ink kuripoti matukio ya ndani ya nchi na nje ya nchi
Historia ya Albert Mangwea
Historia ya Albert Mangwea, gwiji wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania
historia yake yakusisimua iliyojaa mafundisho mengi ya muziki na utunzi wa sanaa
historia yake yakusisimua iliyojaa mafundisho mengi ya muziki na utunzi wa sanaa
zhlédnutí: 52
Video
From Zero to Hero
zhlédnutí 61Před 21 dnem
nilianza uchoraji kama kijana mdogo mwenye ndoto za kuwa mchoraji kimataifa kazi ya uchoraji inataka kujituma na kuwa mbunifu ili kufikia malengo ya kuwa mchoraji mkubwa
Mbinu za Kuwa Dereva Wa Mbio Za Magari Kimataifa
zhlédnutí 44Před 21 dnem
Nilianza mbio za magari kwa changamoto mbali mbali lakini nilitaka kutimiza ndoto zangu kama kijana muona fursa nimeshiriki mbio mbali mbali na kufika kiwango cha juu katika mbio za magari hasa kimataifa sasa nimejikita kutoa elimu ya mbio hizi ili kufanikisha mchezo huu kuwa fursa nchini
No Body Believes on Me
zhlédnutí 44Před 21 dnem
wakati naanza kuchora ilikuwa ni ngumu jamii inayonizunguka kuamini kwamba uchoraji ni kazi kama kazi zingine baada ya muda kwenda na watu wanaonizunguka kuona matunda ya uchoraji sasa jamii imebadilisha mtazamo huo juu yangu zipo picha zinauzwa hela kubwa sana hivyo hii ni fursa kubwa kwa wachoraji
Everything Happen For a Reason, Take Risk
zhlédnutí 148Před 28 dny
karika ulimwengu wa leo wa mapinduzi ya kidijitali biashara ni rahisi kufanyika hasa katika soko huria mfumo huu umewezesha watu wengi kufanikiwa kirahisi na kupata mafanikio mbalimbali kwenye biashara zao ukifanya biashara katika mfumo huu ni rahisi kufanikiwa sana
Skills To be Best Graphics Designer
zhlédnutí 48Před měsícem
Biashara ya utengenezaji wa matangazo ni biashara inayolipa vizuri na iliyoshika kasi katika ulimwengu wa sasa, hakuna biashara bila tangazo hivyo hii ni fursa kwa graphics designer Biashara hii ya matangazo inahitaji kufanya kazi kwa bidii na ubora ili uweze kuaminika katika makampuni na wafanyabishara wanaokuzunguka
Ulemavu Haukukatisha Ndoto Zangu za Biashara
zhlédnutí 237Před měsícem
kuzaliwa mlemavu hakukufanya kukatisha ndoto zangu za kuwa mfanyabiashara mkubwa na mashuhuri Zanzibar haikuwa kazi rahisi kwa familia na watu wanaonizunguka kuamini kama naweza kufanya biashara tena kwa weledi watu wengi wamekuwa na imani potofu juu ya watu wenye ulemavu jambo ambalo linaumiza na kurejesha maendeleo nyuma sasa nimekuwa balozi kwa watu mbalimbali kuaminisha kwamba mlemavu anao ...
Khamisi Ally - Utajiri Ni Kuwa na Nidhamu Ya Fedha
zhlédnutí 63Před měsícem
kwenye biashara nidhamu ya matumizi ya fedha inatakiwa iwe kubwa ili kuepusha biashara kushindwa kukua au kuingia katika wimbi la kufilisika, wafanyabiashara wengi wadogo hawajui namna bora ya kufanya biashara mpya na ikaweza kukuwa kwa haraka na kuleta faida, zipo mbinu mbali mbali za biashara ambazo zikitumika sahihi zinaweza kuleta mafanikio kwenye biashara husika
Kaburi Moja La Posta Lagoma Kuhamishika
zhlédnutí 19KPřed 9 měsíci
katikati mwa jiji la Dar es salaam kuna kaburi moja la ajabu ambalo mpaka sasa watu hawajua kwa uhalisia ni kaburi la nani zaidi ya kuwepo kwa nadharia ni la Sharifu Attas Kaburi hilo liligoma kuhamishika mara baada ya watu kujaribu kulihamisha maeneo ya posta clock tower na kuzua taharuki kwa mashuhuda wa tukio hilo kaburi hilo ni miongoni mwa makaburi yenye historia za kipekee nchi tanzania,s...
Historia ya Kanisa la Anglican Mkunazini
zhlédnutí 1,4KPřed rokem
Historia ya Kanisa la Anglican Mkunazini
Mqambo viherehere sana wacha wanqatwe
Mwana Habari Jifunze Kazi Sasa Unataka Akwambie Hata Ujamuuliza Anaitwa Nani Na Anajua Vipi Kuusu Ilo Jambo Wewe Unaanza2 Twambie
Ahsante kwa maoni
Yetu macho
✨ I will always follow onto your foot
Thanks 💪💪💪
Bila Shaka uyo mtu alikua mganga was kienyeji izo story za kutungwa tu Kama za yule mama anaedanganya watu analala na nyoka katika mitandao serikali iwachukulie watu hao waongo hatua kali
🤣🤣🤣
Wewe bado hujatokewa. Hivyo vitu vipo maeneo mengi hapa Tz ila bado mdogo hujakua.
10:31
Mimi mwenyewe nilikua napita sana nilikua sijui mpaka nikaambia na iyo store pia nilipewa na pia nilikua nawaona watoto wa madrasa wakija kudoma Dua
Mwenyezi Mungu akiamua mtu anae mpenda abaki alipo atabaki alipo hakuna wakumuondoa ila Mola akubali asipo kubali Mtakiona cha mtemakuni Allahu AKBAR Muacheni Alie lala hapo alale hapo ndio mola alipo mtaka alale hadi hatima❤❤❤
Wewe umejuaje kama Mungu ndiye alifanya hivyo
Nyie wagalatia amna mnachojua dini ni moja tu lslaam
Yote haifai kuweka utalii wa pesa
Haifai kuja kuomba unachotaka.ila ni kumuombea aliefariki tu..yasiabudiwe
Katika Uislam maombi hufanyika kwa njia nne:- 1. Omba kwa Mungu directly. 2. Nenda kwa Mtu unaemdhania ni mwema akuombee. Mitume waliombea watu. 3. Kuomba kwa kutawasuli yaani kuhusisha mazuri uliyofanya au utayoacha 4. Kumuomba Mungu kwa Uchawi, njia hii Mungu yupo karibu zaidi kupokea maombi LAKINI ni HARAM haitakiwi utumie na ataetumia atakuwa mbali na rehema za Mungu. Mungu atuepushie na UCHAWI kufanya na kufanyiwa.
LIANDIKWE KWA ANAE JUA.NI NANI HUYO NA UTUKUFU WAKE
Masha Allah sio kila sehemu au pahala la KUCHEZEA
Kaburi hilo ni la sayyid Abdul Shakur bin said Al attas huyu ni sharifu nani mwanazuoni mkubwa asili yake ni kutoka hadhramout nchini Yemen Allah swt amrahamu walii huyu pamoja na wanazuoni wote waliotangulia barazakh,
Ulijuaje
Innalillah wainna illah raji'uun, Allah atjaalie mwisho mwema , tuwe watu wema , waumini na wachamungu wema inshaallah
mwenye kaburi hili jina lake anaitwa abdulshakir said latas hapo palikuwa na makaburi mengi yalihamishwa hili lilishindikana tuseme tunayoyajua tusiyoyajua tuulize
Nenda pale ukarikodiwe ujulikane ukweli
HILO NI KABURI LA SHARIF KHATWAS. Hapo kazikwa mjukuu wa Mtume Muhammad (S.A.W) aliyekuwa akiitwa Sharif Khatwas ambaye ndiye aliyekuwa mmiliki wa eneo hilo zama hizo lilipokuwa shamba lake ambalo lilikuwa eneo lote hilo la Stesheni mpaka Posta, maeneo ya Posta alipakana mzee Jumbe Tambaza aliyemiliki kuanzia maeneo ya Ikulu ya Magogoni, Upanga mpaka Muhimbili, na ndiyo maana hata eneo hilo lililopo jirani na hospitali ya Muhimbili linaitwa Tambaza kwa sababu ya huyo mmiliki wake, kizazi cha mzee Tambaza kipo mpaka leo na ni miongoni mwa familia zilizojitoa sana ktk kupigania uhuru wa nchi hii wakishirikiana na Mwalimu Nyerere na wazee wengine wa Dar es Salaam, makaburi ya Tambaza na ule msikiti wa Tambaza pale Upanga ni ya kwao hata shule ya Tambaza imeitwa hivyo kwa heshima ya mzee wao. Baadhi ya maeneo ya Sharifu Khatwasi aliyezikwa kwenye hilo kaburi na maeneo ya Magogoni yalinunuliwa na Sultan Sayyid Majid mtawala wa Zanzibar na eneo kubwa la Afrika Mashariki, alinunua eneo hilo akaasisi jiji hili la Dar es Salaam, akajenga Ikulu ya Magogoni ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa ni chuo kikuu kabla ya kubadilishwa matumizi na wavamizi wa koloni la wajerumani, majengo mengine aliyojenga ni pamoja na ikulu yake ndogo iliyokuwa Posta, pia alijenga jengo la hopitali ya Ocean Road ambalo kwa kipindi hicho lilitumika kama hosteli ya wanafunzi wa chuo hicho kilichogeuzwa ikulu na wajerumani. Na hilo sio kaburi pekee eneo hilo la mjini bali yapo makaburi mengine ya wakazi wa eneo hilo ambao ndiyo wenye Dar es Salaam yao, makabari hayo yanapatikana ktk baadhi ya fensi za majengo pale Posta, pia baadhi ya walimu waliokuwa wakifundisha ktk chuo cha magogoni ambacho leo kimekuwa ikulu yetu makaburi yao yapo ndani ya maeneo ya ikulu ya Magogoni na hili la kuwepo kwa makabuli ya walimu hao ndani ya eneo la ikulu hata Ridhiwan Kikwete alishawahi kulizungumzia ktk moja ya hadhara, na pia ili kujua Sharif Khatwasi mwenye kaburi hilo na Mzee Jumbe Tambaza ndiyo waliokuwa wamiliki wa maeneo hayo fatilia mahojiano ya Zuhura Yunus na mmoja wa wajukuu wa mzee Tambaza. Ushauri kwa Baraza kuu la waislam wa Tanzania kupitia Mufti wa Tanzania mliangalie kaburi hilo la Sheikh Sharif Khatwasi kwa kuliboresha na kuliwekea jina lake na historia yake kwa ajili ya vizazi vijavyo, kwani wakati wa uhai wake alifanya mengi makubwa hususan ktk kuzinyoosha nyoyo za wazee wetu na jamii kwa ujumla.
Ndani ya ofic ya waziri mkuu magogoni yapo
Kuna thehebu la wa Hindi hapo wali uziwa hicho kiwanja na mjanja mmoja aliye kuwa Meya wa Jiji walipo gundua wame pigwa katika kulazimisha kiwe halali waka mzika Imamu wao siku ya Jumapili na huyo Meya ambae sasa hivi ni Marehemu ali huzuria mazishi
Mbona wengine wanasema hapo kazikwa Sharifu Myemen?Sasa cjui tushike lipi?Ila nimeipenda hii wakome kufukua makaburi ya wenzao
Rafaeli acha uongo hapo kazikwa mjukuu wa Mtume Muhammad (S.A.W) aliyekuwa akiitwa Sharif Khatwas ambaye ndiye aliyekuwa mmiliki wa eneo hilo zama hizo lilipokuwa shamba lake ambalo lilikuwa eneo lote hilo la Stesheni mpaka Posta, maeneo ya Posta alipakana mzee Jumbe Tambaza aliyemiliki kuanzia maeneo ya Ikulu ya Magogoni, Upanga mpaka Muhimbili, na ndiyo maana hata eneo hilo lililopo jirani na hospitali ya Muhimbili linaitwa Tambaza kwa sababu ya huyo mmiliki wake, kizazi cha mzee Tambaza kipo mpaka leo na ni miongoni mwa familia zilizojitoa sana ktk kupigania uhuru wa nchi hii wakishirikiana na Mwalimu Nyerere na wazee wengine wa Dar es Salaam, makaburi ya Tambaza na ule msikiti wa Tambaza pale Upanga ni ya kwao hata shule ya Tambaza imeitwa hivyo kwa heshima ya mzee wao. Baadhi ya maeneo ya Sharifu Khatwasi aliyezikwa kwenye hilo kaburi na maeneo ya Magogoni yalinunuliwa na Sultan Sayyid Majid mtawala wa Zanzibar na eneo kubwa la Afrika Mashariki, alinunua eneo hilo akaasisi jiji hili la Dar es Salaam, akajenga Ikulu ya Magogoni ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa ni chuo kikuu kabla ya kubadilishwa matumizi na wavamizi wa koloni la wajerumani, majengo mengine aliyojenga ni pamoja na ikulu yake ndogo iliyokuwa Posta, pia alijenga jengo la hopitali ya Ocean Road ambalo kwa kipindi hicho lilitumika kama hosteli ya wanafunzi wa chuo hicho kilichogeuzwa ikulu na wajerumani. Na hilo sio kaburi pekee eneo hilo la mjini bali yapo makaburi mengine ya wakazi wa eneo hilo ambao ndiyo wenye Dar es Salaam yao, makabari hayo yanapatikana ktk baadhi ya fensi za majengo pale Posta, pia baadhi ya walimu waliokuwa wakifundisha ktk chuo cha magogoni ambacho leo kimekuwa ikulu yetu makaburi yao yapo ndani ya maeneo ya ikulu ya Magogoni na hili la kuwepo kwa makabuli ya walimu hao ndani ya eneo la ikulu hata Ridhiwan Kikwete alishawahi kulizungumzia ktk moja ya hadhara, na pia ili kujua Sharif Khatwasi mwenye kaburi hilo na Mzee Jumbe Tambaza ndiyo waliokuwa wamiliki wa maeneo hayo fatilia mahojiano ya Zuhura Yunus na mmoja wa wajukuu wa mzee Tambaza.
Hiyo kaburi ikae hapo hapo vizazi na vizazi Karne na Karne atakae jaribu kuivunja Ataona moto na unafiki wao
@@ismailmshana2828 Kabisa
Allahu-akbar.
Au hapo chini kuna madini yamefichwa
Hapo kuna mapepo
Acha ujinga wa kanisani, mapepo mavumbi, upuuzi tu lini mtaji tambua
@@mohamedsheikh6618 Na ninyi nilini mtaacha kufuga majini wanafiki wakubwa ninyi
Al Atas ni Shariff kutoka Yemen
Subhanallah Kuomba makaburi ni shirki
Hawaombi kaburi kwa taarifa yako
@@froma3732 Nilichokusudia wanamuomba huyo aliopo kaburini, hata akiwa nani itabaki kuwa ni shirki
Hao wanaenda kumuombea dua na si vinginevyo
@@rayisadesigns2646 Lkn wanakiwa watumie njia sahihi, Unatoa salaam n kuwaombea dua waliokaburini kisha unatoka. Hakuna mambo ya vyetezo. Cha kujiuliza mbona makaburi mengjne gawafanyi?
Umelishwa na kuaminishwa maneno na wala ujaulizwa na mada sio shirki au la sasa unaingiza maneno ya shirki yanahusu vip, ulewa ni kinazungumzwa. Wacha pumba na likija suali la hukmu ndio utowe sheria.
Broh💪
Big up broh🤜🤛
Thanks brother
Kama ni kaburi mbona halioneshi kichwa kimeelekea wapi
Hayo ni miongoni mwa maajabu yake
Kama wewe ni Mwiilasalamu utajuwa kichwa kipo wapi
Ukijua kibra Iko wapi,basi utajua kichwa kilipo
Makaburi ya Kiislam kuchwa huelekezwa kibla..na sio kuwa liwe sawa na majumba ya pale ila ni kibla tu
Hilo Sio Kaburi Nigari
Okay
Karibu sana
Big up . Keep it ongoning Brother
Thanks brother welcome back
K wa kufikia malengo
Ahsante sana karibu sana kwenye familia
Hongera san broh
Karibu sana sana
Oyaaa shaurii mwenyewe hongera sna hii no yetu sote kubwa sna hii
Ahsante kaka karibu kwenye familia
Dr kimwaga himself ww ni mtu wa mana sana 🫡🫡🫡🫡
😍
Hongeren sana . Nmependa hii podcast . Kuanzia idea , host , mgeni , na pia mada ya hapo mezani . Hongeren sana naamini hizi changamoto ndogo z sauti zitatatuka soon
Shukrani sana, tunaomba uendelee kufatilia hii podcasts kuna mengi mazuri yanakuja 🎙🎧
Uyo freemason tayari washamchukuwa kitambo sana😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣
Proud of him😇 keep it up broh🫡
😍
So welome 💪
🔥🔥🔥🔥
☄️
Yea sadaqta...muhimu tujitaid kulea watoto wetu vyema maana ndo generations ya baadae
Ahsante sana kwa maoni yako, tungependa uendelee kutembelea kurasa hii kwa mengi zaidi
Makarama ya Allah
😂😂😂😂😂❤
nakubali chapiizzzx
Pamoja sana chapiiizzzzx
Nakubali kaka
Kaka 29 tuko pamoja naamin mkenya atakaa
Sijambo. Hamjambo? HILI ni kaburi la Sharifu (Mtu mwenye karama) mwenye asili ya nchi ya Uajemi (Iran). Marehemu huyu amezikwa hapa katika mwaka 1850+ (Karne ya 19). Jina lake ni ABDUL SATAA SALIM AL ATAS.
Ahsante sana kwa mchango wako na tunakutakia utazamaji mwema wa chanel hii
Ulijuaje km hutudanganyi hapo
kutoka yemen nasio iran sagaf ni kutoka yemen
al atas kutoka yemen hadharamut
Hii nimeipenda ndio wakome viherehere vya kuvunja makaburi ya wenzao.
Simusema mnaaza mtwala vipi tena mwanza mnamuongopa temboooo😂😂😂😂😂😂😂
Ahsante kwa maoni Tabasamu Media Ink haifungamani na upande wowote kazi yetu ni kufikisha taarifa tu
Waliuzwa bei gani?
Usijali nitafanya utafiti na kukupa majibu. Ahsante
Good job, May Allah bless you abundantly
Inshallah sana
Naomba pia y house of wonder pia
Thanks brother mzigo unakuja karibuni
Historia nzuri sana