- 155
- 105 306
HABARI MCHANGANYIKO
Registrace 5. 07. 2020
Habari Mchanganyiko ni channel inayo kupa kwa haraka matukio muhimu yanayo tokea kwa lengo la kukusogezea matukio hayo uweze kuyafahamu kliundani
TARI MLINGANO KUWAKOMBOA WAKULIMA WA MKONGE NA MATUNDA
TARI MLINGANO KUWAKOMBOA WAKULIMA WA MKONGE NA MATUNDA
zhlédnutí: 4
Video
UTARATIBU WA TARI MWAKA HUU KWENYE SABASABA HUU HAPA
zhlédnutí 14Před 6 hodinami
Watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) wametoa wito kwa wadau mbalimbali wa kilimo na biashara kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (SabaSaba) kutembelea Banda lao ili kujifunza teknolojia mbalimbali za kilimo kuanzia afya ya udongo hadi uongezaji thamani wa mazao. Wito huo umetolewa na watafiti kutoka TARI, ambao wapo katika Maonesho ya Sabasaba yanayo...
TARI YAWAALIKA WADAU SABASABA KUSHUHUDIA TEKNOLOJIA ZA KISASA KWENYE KILIMO
zhlédnutí 5Před 7 hodinami
TARI YAWAALIKA WADAU SABASABA KUSHUHUDIA TEKNOLOJIA ZA KISASA KWENYE KILIMO
STAMIKO NA MKAKATI WA KUSAIDIA WATU KIUCHUMI
zhlédnutí 13Před 16 hodinami
STAMIKO NA MKAKATI WA KUSAIDIA WATU KIUCHUMI
STAMICO YAWASHIKA MKONO MAKUNDI MAALUM KWENYE NISHATI MBADALA
zhlédnutí 2Před 16 hodinami
STAMICO YAWASHIKA MKONO MAKUNDI MAALUM KWENYE NISHATI MBADALA
FEMATA YAWAHALIKA WADAU KUWEKEZA KWENYE MNYORORO. WA DHAMANI WA MADINI
zhlédnutí 95Před 16 hodinami
FEMATA YAWAHALIKA WADAU KUWEKEZA KWENYE MNYORORO. WA DHAMANI WA MADINI
STAMICO YAWASHIKA MKONO MAKUNDI MAALUM KWENYE NISHATI MBADALA
zhlédnutí 5Před 16 hodinami
STAMICO YAWASHIKA MKONO MAKUNDI MAALUM KWENYE NISHATI MBADALA
WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ASIMULIA ALIVYO KUTANA NA KIJANA. MPAMBANAJI KIEMI
zhlédnutí 14Před dnem
WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ASIMULIA ALIVYO KUTANA NA KIJANA. MPAMBANAJI KIEMI
KIJANA WA MFANO KWENYE UFUGAJI NYUKI ALIVYO MFURAHISHA WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA
zhlédnutí 8Před dnem
KIJANA WA MFANO KWENYE UFUGAJI NYUKI ALIVYO MFURAHISHA WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA
MCHONGO WA KUPIGA PESA KUPITIA UFUGAJI WA NYUKI
zhlédnutí 11Před 14 dny
MCHONGO WA KUPIGA PESA KUPITIA UFUGAJI WA NYUKI
SIKU YA MATUMIZI YA GESI YA KUPIKIA DUNIANI - KITAIFA DODOMA
zhlédnutí 16Před 21 dnem
SIKU YA MATUMIZI YA GESI YA KUPIKIA DUNIANI - KITAIFA DODOMA
TANESCO WAELEZA UWAJIBIKAJI WAO KATIKA KUTUNZA MAZINGIRA
zhlédnutí 10Před 21 dnem
TANESCO WAELEZA UWAJIBIKAJI WAO KATIKA KUTUNZA MAZINGIRA
CAMARTEC NA NISHATI MBADALA
zhlédnutí 19Před 28 dny
Wakati Wiki ya mazingira ikizinduliwa rasmi Juni 3 na Naibu Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko, Tanzania ina fursa lukuki vya #NishatiSafiYaKupikia. Je, umewahi kufikiria thamani ya kinyesi kama chanzo cha Nishati? CAMARTEC ni Taasisi ya serikali ambayo imepewa dhamana ya mafunzo na kuunda mifumo ya nishati hiyo. Msikilize hapa Mhandisi Nicholous Mwakisambwe
Umuhimu wa mafunzo ya Jinsia, kisa mkasa jamii ya wakulima wa chai Bungu Korogwe
zhlédnutí 7Před 3 měsíci
Wawezeshaji wa masuala ya Jinsia na maendeleo wameeleza namna Dhana za kijinsia zinavyoathiri uzalishaji kwenye mnyororon wa thamni kwenye kilimo. Kwa kushirikiana na Wadau wa maendeleo wa Care International, Transform Trade pamoja na Kampuni ya Kazi Yetu wamezibaini changanoto kwenye jamii ya wakulima wa zao la Chai na kuamua kuchukua hatua za kuwakusanya wakulima na kuwapatia mafunzo ili wawe...
LATRA WAELEZA MAENEO YA USHIRIKIANO KWENYE MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ZANZIBAR
zhlédnutí 40Před 5 měsíci
LATRA WAELEZA MAENEO YA USHIRIKIANO KWENYE MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ZANZIBAR
TAZARA WAELEZEA WALIVYO JENGA BWAWA LA MWALIMU NYERERE
zhlédnutí 92Před 5 měsíci
TAZARA WAELEZEA WALIVYO JENGA BWAWA LA MWALIMU NYERERE
KUELEKEA MNADA WA KWANZA WA CHAI KUFANYIKA NCHINI TANZANIA
zhlédnutí 120Před 7 měsíci
KUELEKEA MNADA WA KWANZA WA CHAI KUFANYIKA NCHINI TANZANIA
TAWI LA SELF MF MBEYA NA MAENEO YANAYO HUDUMIWA
zhlédnutí 64Před 10 měsíci
TAWI LA SELF MF MBEYA NA MAENEO YANAYO HUDUMIWA
BODI YA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE 2023
zhlédnutí 9Před 10 měsíci
BODI YA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE 2023
HUU HAPA MFUMO WAKIDIJITALI WA KUJIANDIKISHA VITAMBULISHO VY TAIFA NIDA.
zhlédnutí 20Před 10 měsíci
HUU HAPA MFUMO WAKIDIJITALI WA KUJIANDIKISHA VITAMBULISHO VY TAIFA NIDA.
MHANDISI WA KIKE ABUNI MASHINE YA KUMUINGIZIA KIPATO MJASILIAMALI.
zhlédnutí 42Před 10 měsíci
MHANDISI WA KIKE ABUNI MASHINE YA KUMUINGIZIA KIPATO MJASILIAMALI.
MNATAKA NINI TUWASAIDIE: NAIBU WAZIRI UCHUKUZI
zhlédnutí 11Před 11 měsíci
MNATAKA NINI TUWASAIDIE: NAIBU WAZIRI UCHUKUZI
CMSA: TUPO KUTOA ELIMU KUHUSU MITAJI, HISA NA DHAMANA
zhlédnutí 7Před 11 měsíci
CMSA: TUPO KUTOA ELIMU KUHUSU MITAJI, HISA NA DHAMANA
WANAO TAKA KUJIUNGA NA MAJESHI WAPEWA WITO NA NIDA
zhlédnutí 55Před rokem
WANAO TAKA KUJIUNGA NA MAJESHI WAPEWA WITO NA NIDA
SIRI YA MATAJIRI WA MKOA WA TABORA KWENYE KILIMO NI HII HAPA
zhlédnutí 79Před rokem
SIRI YA MATAJIRI WA MKOA WA TABORA KWENYE KILIMO NI HII HAPA
Cage sh.ngapi za kuku wanyama?
Hello..were are you in Nairobi?? How do l find you?? please share..
Tunaweza pata namba ya uyo mwalimu
namba ya simu ndo muhimu san weken namb ya simu
Me nahitaji na niko zanzibar
Haya maghala yana patikana wap
Nakukubari sana Mwl Kharifa kira rakheri Na Somo lako la Ujazo wa Vipimo Mungu akubariki sana
Naitaji mbegu
Nahitaji
naomba namba ninauhitaj
Namba yenu
Naomba namba zenu mwanza mko wap
Bei gani izo mbegu
Dxxxdxdzdddddd🎉
Heka 1 kupanda nikilongap?
Bie ya punda milia na tumbili
Tumbili 16 kwa kilo2
Où on peut trouver ces SEMENCES pour acheter? Votre numéro
Immmmma hongera sana
Respect kwako mama🎉
Naomba kuuliza bei ya sidiko chapa ya tembo
Mwalimu mzuli sana huyo ostazi
Go go girl, sky is the starting point. So proud of you Eng. Hytham
Mbeya mtakuwa banda no ngapi
Am from mbale Uganda am interested
Mashin ya kukoboa na kusaga sh kiongoz iyo yakisasa
Asante mweshiwa samia rais wa wanyonge kwa kusikia kilio cha ileje mumgu awe nawe
Huduma zenu nimezielewa .
Asante kwaelimu nzuli
Je mashine zakusanga unga nishigap
HONGERA
Natakakujua utaratibu jinasi yakuapata trecta
Nawezaje na Mimi kujiunga na chuo icho tafadhari
Wizi wa mafuta na vilainishi vya mitambo ndio ugonjwa unaoiua TAZARA, Wafanyakazi wengi wanaishi kwa fedha za wizi na udokozi wa vifaa vya karakana hata Kama hawajàpata mishahara. TAZARA must change mindsets of the management staff and operatives so as to operate in a business-like culture. This will increase corporate efficiency, financial profitability and operational sustainability.
Tazara wamekuwa wabovu sana kuhudumu treni za abiria, treni hazifanyi kazi Kwa wepesi, mabehewa yamechoka reli inakuwa mbovu hawarekebishi, Sasa hivi tunashdwa hadi na reli ya kati wanajari abiria wao, reli imekarabatiwa na saaiz mabehewa mapya lakini tazara mnaua shirika , reli ya tazara ni kubwa kuliko reli ya kati lakini hampo tayari kuijali reli mnaniboa sana sababu huu ni usafiri wangu lakini m akera
Chalinze mpo wapi ofisi
piga namba za simu ynazo ziona mwisho
Morogoro mpo mtaa gan
Morogoro mpo mtaa gan?
Mnapatikana wapi! Nina uhitaji Sana wa hiyo huduma naomba namba zenu
Iko
Nitakupataje
Je mnakopesha
Huo ni utapeli tu tumejiandikisha lakini hatupati mbolea ya ruzuku wala mbolea ya kawaida. Mnaongea msilolijua. Hapo mmeshindwa kbs.
Nakikubali san hiking chuo one day yes ndakuja
Wanauza Kwa shilingi ngapi ?
p̶r̶o̶m̶o̶s̶m̶ 😍
Weka namba sasa
Mm nataka
Kiasi ni sh ngap
Amazing 👏
Safi na hongera sana Dr. Kapinga. Ishi miaka mingi duniani 🇹🇿🦆🏃