MWANZA RS TV
MWANZA RS TV
  • 524
  • 183 508
RC MTANDA AMSHUKURU DKT. SAMIA KWA KUANZISHA OFISI YA KANDA YA ZIWA YA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha Ofisi ya kanda ya ziwa ya mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya na kuimarisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini.
Shukrani hizo amezitoa leo wakati alipokua akitoa salamu katika kilele cha maadhimisho ya Kitaifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulevya duniani, maadhimisho yaliyofanyika leo Juni 30 2024, kwenye uwanja wa Nyamagana
Akitoa taarifa ya hali ya dawa za kulevya katika Mkoa wa Mwanza kuanzia mwaka 2018 hadi 2023, Mhe. Mtanda amesema jumla ya wananchi waliopatikana na dawa za kulevya aina ya bangi ni 1797, mirungi 294, dawa za kulevya (cocaine, heroine na nyingine) 51 na kufanya jumla ya dawa zote kuwa 2142.
"Takwimu hizi zinabainisha kwamba bishara na matumizi ya dawa za kulevya hapa Mkoani Mwanza ni kubwa na inahitaji msukumo mkubwa kutoka kwa Serikali pamoja na wadau mbalimbali ili kuendelea kupambana na wazalishaji, wasambaji na watumiaji wa dawa za kulevya".
Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Mwanza kutokukubali matumizi ya dawa za kulevya kwani zinaharibu jamii, na kama tutashirikiana pamoja tunaweza kulikabili janga hili.
Kadhalika Mhe. Mtanda amesema Mkoa huo unaendelea kusimamia na kufuatilia kwa karibu miradi ya kimkakati na miradi yote inayoendelea kujengwa ili kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa ubora na kwa kuzingatia thamani ya fedha (Value for Money).
Maadhimisho ya Kitaifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulevya duniani yamehitimishwa leo Mkoani Mwanza na kuhudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama cha Mapinduzi, Viongozi wa kimila, mashirika mbalimbali, wadau na wananchi huku mgeni rasmi akiwa ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb.).
zhlédnutí: 2

Video

RC MTANDA ASEMA TUTAFANIKIWA KUKABILIANA NA DAWA ZA KULEVYA ENDAPO USHIRIKIANO UTAIMARISHWA
zhlédnutí 96Před 4 hodinami
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema tutafanikiwa kukabiliana na kuondokana na tatizo la biashara na matumizi ya dawa za kulevya ikiwa tutashirikiana wote kwa pamoja yaani Serikali, mashirika ya kiraia, sekta binafsi na jamii kiujumla kuijenga jamii isiyotumia dawa za kulevya. Mhe. Mtanda ametoa rai hiyo wakati akiwahutubia wanachi waliohudhuria katika uzinduzi wa maadhimisho ya siku...
MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPINGA DAWA ZA KULEVYA KITAIFA KUFANYIKA MKOANI MWANZA
zhlédnutí 67Před 4 hodinami
Mkuu wa mkoa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Juni 28,2024 ametangaza maadhimisho ya siku ya kupinga dawa za kulevya Kitaifa kufanyika Mkoani Mwanza katika uwanja wa Nyamagana. Maadhimisho haya yanalenga kupinga matumizi ya dawa za kulevya ili kuondokana na athari zake kuathirika kisaikolojia,kimwili ambapo mtu huyo atashindwa kushiriki katika kujenga uchumi wa Taifa na wakwake mwenyewe “Wananchi ni...
TUTUMIE MATAMASHA KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - DKT BITEKO
zhlédnutí 60Před 7 hodinami
TUTUMIE MATAMASHA KUUTANGAZA UTAMADUNI WETU - DKT BITEKO
RC MTANDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAFANYABIASHARA MWANZA
zhlédnutí 148Před 9 hodinami
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Juni 26, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Wafanyabiashara wa Mkoani humo lengo likiwa ni kuwasikiliza michango na maoni yao juu ya mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea Jijini humo Katika mazungumzo yake Mkuu huyo wa Mkoa amewataka wafanyabiashara wote waliofunga maduka yao kuhakikisha wanayafungua kwa hiari yao wenyewe kwani Serikali ...
WAVUVI MKOANI MWANZA WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MKOPO WA BOTI ZA KISASA ZA UVUVI.
zhlédnutí 101Před 19 hodinami
WAVUVI MKOANI MWANZA WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MKOPO WA BOTI ZA KISASA ZA UVUVI.
RC MTANDA ASEMA MAADHIMISHO YA SIKU YA ZIWA VICTORIA KUFANYIKA NOVEMBA MWAKA HUU MKOANI MWANZA
zhlédnutí 155Před 14 dny
Tanzania itakuwa mwenyeji wa kuandaa maadhimisho ya siku ya Ziwa Victoria ambayo yatafanyika rasmi Novemba 25 -29 mwaka huu mkoani Mwanza. Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa mkoa wa Mwanza mhe. Said Mtanda wakati wa mkutano na wakuu wa mikoa ya Kanda ya Ziwa uliofanyika kwenye ukumbi mkubwa wa Ofisi ya mkuu wa mkoa,amebainisha kuelekea Maadhimisho hayo shughuli mbalimbali zitafanyika yakiwemo makong...
RC MTANDA AWAPONGEZA CCM MAGU KWA KUIMARISHA UHAI WA CHAMA
zhlédnutí 83Před 14 dny
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameupongeza Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Magu kwa kuimarisha uhai wa chama hicho kisiasa na kuongeza idadi ya wanachama na akawataka kushikamana zaidi. Mhe. Mkuu wa Mkoa akiwa kama Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa ametoa pongezi hizo mapema leo Jumatano Juni 13, 2024 alipotembelea kwenye ofisi za wilaya za Chama hich...
SHUHUDIA NAMNA RC MTANDA ANAVYOJIBU NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI WA KABILA WILAYANI MAGU
zhlédnutí 63Před 14 dny
SHUHUDIA NAMNA RC MTANDA ANAVYOJIBU NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI WA KABILA WILAYANI MAGU
RC MTANDA ATOA SIKU 7 KWA WAKUSANYA USHURU MAGU KUWASILISHA FEDHA BENKI
zhlédnutí 43Před 14 dny
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa muda wa Siku 7 kwa watumishi wanaokusanya mapato kwenye halmashauri ya Wilaya ya Magu kuhakikisha wanawasilisha fedha zaidi ya Tshs. Milioni 15 benki na wasipotekeleza hayo watawachukulia hatua za sheria. Mhe. Mtanda ametoa agizo hilo leo Juni 13, 2024 wakati akizungumza na baadhi ya wazee, wadau wa maendeleo pamoja na watumishi wa Halmashauri na k...
MAELEKEZO YA RC MTANDA YATEKELEZWA, HUDUMA YA MAJI YAREJEA MISASI
zhlédnutí 85Před 14 dny
MAELEKEZO YA RC MTANDA YATEKELEZWA, HUDUMA YA MAJI YAREJEA MISASI
RC MTANDA ATAKA TATHMINI KUBAINI THAMANI ENEO LINALOLALAMIKIWA NA THEREZA MABULA ILI KUPATA SULUHU
zhlédnutí 101Před 14 dny
RC MTANDA ATAKA TATHMINI KUBAINI THAMANI ENEO LINALOLALAMIKIWA NA THEREZA MABULA ILI KUPATA SULUHU
RC MTANDA AZITAKA HALMASHAURI KUTENGA ARDHI KWA AJILI YA KUJENGA MAKAZI YA WAZEE
zhlédnutí 45Před 14 dny
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amezitaka Halmashauri Mkoani humo kutenga maeneo maalum katika mpango wa matumizi bora ya ardhi na kuhakikisha wanajenga makazi ya kulea wazee ili kuwahakikishia huduma bora. Mhe. Mtanda ametoa rai hiyo wakati akizungumza na jumuiya ya wazee wa wilaya ya Sengerema katika mkutano wake alioufanya leo Juni 10, 2024 alipofanya ziara ya kukagua miradi ya maend...
RC MTANDA AZINDUA OFISI ZA PPRA KANDA YA ZIWA, AMPONGEZA RAIS SAMIA KUSOGEZA HUDUMA KWA WADAU
zhlédnutí 65Před 14 dny
RC MTANDA AZINDUA OFISI ZA PPRA KANDA YA ZIWA, AMPONGEZA RAIS SAMIA KUSOGEZA HUDUMA KWA WADAU
UJENZI WA DARAJA LA KIGONGO BUSISI WAFIKIA 88 2%, RC MTANDA ASEMA HAKUNA KILICHOSIMAMA
zhlédnutí 738Před 14 dny
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kutekeleza mradi wa Ujenzi wa daraja la JPM (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa KM 3.2 linalojengwa na mkandarasi China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) kwa gharama ya zaidi ya Tshs. Bilioni 716. Hayo ameyasema leo juni 10, 2024 alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya mradi w...
RC MTANDA AMTAKIA KHERI YA KUZALIWA MZEE PIUS MSEKWA KWA KUTIMIZA MIAKA 90
zhlédnutí 61Před 21 dnem
RC MTANDA AMTAKIA KHERI YA KUZALIWA MZEE PIUS MSEKWA KWA KUTIMIZA MIAKA 90
RC MTANDA AWAAGIZA RUWASA KUSAMBAZA MAJI KWA WANANCHI WANAOZUNGUKA CHANZO CHA IHELELE
zhlédnutí 49Před 21 dnem
RC MTANDA AWAAGIZA RUWASA KUSAMBAZA MAJI KWA WANANCHI WANAOZUNGUKA CHANZO CHA IHELELE
RC MTANDA ATOA SIKU 7 KWA KAMANDA WA POLISI KUKAMATA WAHUNI WOTE MISASI WILAYANI MISUNGWI
zhlédnutí 209Před 21 dnem
RC MTANDA ATOA SIKU 7 KWA KAMANDA WA POLISI KUKAMATA WAHUNI WOTE MISASI WILAYANI MISUNGWI
RC MTANDA ATOA SIKU 14 MAREKEBISHO YA GARI KWIMBA
zhlédnutí 105Před 21 dnem
RC MTANDA ATOA SIKU 14 MAREKEBISHO YA GARI KWIMBA
MAAMBUKIZI YA UKIMWI MWANZA YAPUNGUA RC MTANDA
zhlédnutí 77Před 21 dnem
MAAMBUKIZI YA UKIMWI MWANZA YAPUNGUA RC MTANDA
NMB YAKABIDHI VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 62 KWIMBA
zhlédnutí 18Před 21 dnem
NMB YAKABIDHI VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 62 KWIMBA
RC MTANDA AZUNGUMZA NA WAZEE WA KWIMBA AWAAHIDI KUMALIZA KERO ZA MAJI NA BARABARA
zhlédnutí 58Před 21 dnem
RC MTANDA AZUNGUMZA NA WAZEE WA KWIMBA AWAAHIDI KUMALIZA KERO ZA MAJI NA BARABARA
RC MTANDA ATETA NA WATUMISHI KWIMBA, ATAKA NIDHAMU KAZINI NA KUKUZA MAPATO ILI KUWALETEA MAENDELEO
zhlédnutí 53Před 21 dnem
RC MTANDA ATETA NA WATUMISHI KWIMBA, ATAKA NIDHAMU KAZINI NA KUKUZA MAPATO ILI KUWALETEA MAENDELEO
RC MTANDA AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KILOLEI
zhlédnutí 53Před 21 dnem
RC MTANDA AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KILOLEI
RC MTANDA AWATAKA AFD KUTOA BARUA YA KUTOKUWEPO NA KIPINGAMIZI KATIKA MIRADI
zhlédnutí 43Před 21 dnem
RC MTANDA AWATAKA AFD KUTOA BARUA YA KUTOKUWEPO NA KIPINGAMIZI KATIKA MIRADI
ZIARA YA RC MTANDA HOSPITALI YA JESHI YAWAIBUA WANANCHI, WAFIKA KUPATA HUDUMA BORA NA ZAKIBINGWA
zhlédnutí 243Před 21 dnem
ZIARA YA RC MTANDA HOSPITALI YA JESHI YAWAIBUA WANANCHI, WAFIKA KUPATA HUDUMA BORA NA ZAKIBINGWA
RC MTANDA ATINGA SOKO LA MBUGANI AWAELEZA WAFANYABIASHARA A - Z MAENDELEO YA UJENZI WA SOKO LA MJINI
zhlédnutí 106Před 21 dnem
RC MTANDA ATINGA SOKO LA MBUGANI AWAELEZA WAFANYABIASHARA A - Z MAENDELEO YA UJENZI WA SOKO LA MJINI
RC MTANDA ATINGA SOKO LA MCHAFUKUOGA AZUNGUMZA NA WAMACHINGA
zhlédnutí 33Před 21 dnem
RC MTANDA ATINGA SOKO LA MCHAFUKUOGA AZUNGUMZA NA WAMACHINGA
RC MTANDA AWASILISHA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KWA HALMASHAURI KUU ILIYOSHEHENI MAZURI MENGI
zhlédnutí 60Před měsícem
RC MTANDA AWASILISHA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KWA HALMASHAURI KUU ILIYOSHEHENI MAZURI MENGI
RC MTANDA AWATAKA MAAFISA MIPANGO MIJI KUPANGA, KUPIMA NA KUMILIKISHA ARDHI KISHERIA
zhlédnutí 88Před měsícem
RC MTANDA AWATAKA MAAFISA MIPANGO MIJI KUPANGA, KUPIMA NA KUMILIKISHA ARDHI KISHERIA

Komentáře

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před 17 dny

    Mkuu wa Mkoa huko vizuri angalia na barabarara ya shibura speed ailizishi

  • @pascopeter7449
    @pascopeter7449 Před 24 dny

    WE nd mkuu sas

  • @noekenny3771
    @noekenny3771 Před měsícem

    Huyu Rc namkubali sana.. Huyu ni mtumishi wa umma hana makuu.

  • @MungoMasele-ci3lu
    @MungoMasele-ci3lu Před měsícem

    Heko

  • @user-xc2yj1vl1r
    @user-xc2yj1vl1r Před měsícem

    Hao Wabrazili watufungulie Sport Academy watupe na Walimu wa mpira watakua wameupiga Mwingi

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 Před měsícem

    Heshima :Two way traffic RC Mwanza big up .

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 Před měsícem

    Yes

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před měsícem

    Nimependa namna ya uongozi wako RC

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n Před měsícem

    Hawa viongozi ndoo watanzania wanahihiji wanaotenda haki Kwa mtu

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před měsícem

    4 Rs:- Tafsiri ya r 4 haiwezi kumilikishwa! Ni tafsiri tu toka lugha ya kiingereza..rahisi kutafsiriwa kwa namna inayoeleweka! Ni mambo mazuri sana lkn:- >Reconciliation..usuluhishi, mapatano nk ni ajenda iliyokwama kufikia hapa! >Resilience ni ustahimilivu..ajenda hii haieleweki ni ustahimilivu wa nini haswa! >Reforms kwa maana ya mageuzi..mabadiliko nk kuboresha! Mpaka hapa ajenda ya hiyo kulenga kuleta mabadiliko ktk siasa na mfumo wa utawala imekwama, hata kusababisha maandamano! >Rebuild kwa maana ya kujenga upya nayo ni ajenda iliyokwama! >Kuhitimisha..bila utawala wa haki na amani maendeleo ni kizungumkuti!

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 Před měsícem

    Wenje huyo mkuu wa mkoa anataffuta sympathy.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před měsícem

    Mafatani wakubwa tu hawana hoja bac maneno ya uongo nafitina tu

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 Před měsícem

    tungekua na wakuu wa mikoa kama mtanda tunge songa mbele

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 Před měsícem

    Nimekuelewa mkuu wa mkoa pamoja sana wengine wanapaswa kukuiga

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem

    Ila mkuu wa mkoa nimemuelewa sana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem

    Chadema hapa mmefeli kias flani

  • @JOSEPHATMwesigwa-vi7he
    @JOSEPHATMwesigwa-vi7he Před měsícem

    Hongera sana,,, lakini kikubwa ni kufuata Katiba sio Nia njema

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Před měsícem

    Awali ya yote watazitumia Picha kujimwamba fai.

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Před 2 měsíci

    Mashabiki wa simba nawashauri mshabikie kwanza pamba kwa muda

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Před 2 měsíci

    Nitaendelea kuipenda pamba nakuwa mshabik japo mimi mwanachama wawananchi tangia pamba ilipo shuka dalaja nitaisapot Lik tujuane 💪

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před 2 měsíci

    Mwanaume anayejali kazi bila MATAMBO na MAJISIFA kama wengine wanaojiaminsha ni wazuri na wana uwezo zaidi ya wengine .GOOD RC

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 Před 2 měsíci

    Watu wanalewa tu madawa ya kilevya hamfanyi kazi mishahara ya bure tu hakuna kitu

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk Před 2 měsíci

    Vizuri Kwa kuanzia Kanisani

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk Před 2 měsíci

    Kama ndo mkoa wa pili mbona ndo mkoa Barabara zake ni mbovu inasikitisha sana ni kama tupo nje ya nchii hii😢😢😢😢

  • @yusuphhamisi8199
    @yusuphhamisi8199 Před 3 měsíci

    Mnachelewa sana kuweka taarifa

  • @laheonlinetv2161
    @laheonlinetv2161 Před 3 měsíci

    Miezi 6 ujenzi! jengo liende na hadhi ya kimataifa kwa ubora,ujazo na miumdo mbinu yake.Asante Makalla utaacha legacy

  • @TungarazaMgasa
    @TungarazaMgasa Před 3 měsíci

    Sio deni na mkuu wa mkoa tuu,deni na wanaMwanza woteee aisee we Tegete.

  • @TungarazaMgasa
    @TungarazaMgasa Před 3 měsíci

    Mkuu wetu wa mkoa anajitahidi Sana,ila nanyie timu na benchi la ufundi mjitahidi jamani aaah😢

  • @TungarazaMgasa
    @TungarazaMgasa Před 3 měsíci

    Wa kwanza mie😅

  • @laheonlinetv2161
    @laheonlinetv2161 Před 3 měsíci

    Tumechelewa kwa hili kiwanja. kweli ni Hub

  • @DeoHabi-bi8ch
    @DeoHabi-bi8ch Před 3 měsíci

    Good Mr ngusa

  • @user-pv2jh5wb1o
    @user-pv2jh5wb1o Před 4 měsíci

    Kat ya watu waongo chalamila

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 4 měsíci

    Ujinga mtupu

  • @ernestbiseko1608
    @ernestbiseko1608 Před 4 měsíci

    Habari sio sahihi. Maandamano yalifanyika

  • @user-qn8pb9er6c
    @user-qn8pb9er6c Před 4 měsíci

    Genge halijawahi kuwa nyumba

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 Před 4 měsíci

    Baathi ya watanzania ni mabumunda tu unadanganya na dola nne unatoa mapovu hivyo nyinyi ni wabinafsi sana haya bana endesheni bidaboda zenu but kunasiku nyinyi wenyewe mtaamka pakikucha

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 Před 4 měsíci

    Wewe unahoji genge la ccm

  • @jochachallengetv7061
    @jochachallengetv7061 Před 4 měsíci

    Zero brain

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před 4 měsíci

    Pumba

  • @mlangotv8465
    @mlangotv8465 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂😂😂 nawaonea huruma wazazi wenu waliohangaika kuwazaa

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před 4 měsíci

    Pumba tu wewe mmehongwa 10,000 Mnaona mna maisha,mijitu mingine kweli haina akili

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před 4 měsíci

    Pumba tu wewe mmehongwa 10,000 Mnaona mna maisha,mijitu mingine kweli haina akili

  • @This-f1k
    @This-f1k Před 4 měsíci

    Mabumunda. ...hela gani mnayo mmechoka hivyo😂😂😂

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 Před 4 měsíci

    Mmepewa bei gn ila kesho t inaisha 😂😂😂 kule kule kula uhakika hakuna na hata mt akila anakula kushiba na sio mlokamili.

  • @ivanrobert3071
    @ivanrobert3071 Před 4 měsíci

    Nimetizama kwa sekunde kadhaa na kugundua haka ka chanel ni kakipuuuzi tu na hao watu mlowawapanga kuharisha huo uozo kwa 2000 kila mtu hawajielew sasa mbona watu wameandamana kwa maelfu pamoja ns huu ujinga wenu?

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 Před 4 měsíci

    Wamepewa elfu kumi kumi wanaona wamemaliza

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y Před 4 měsíci

    Nchi hii inawapumbavu wengi sana

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 4 měsíci

    Hawa Bodaboda wa mwanza pikipiki za mikopo waliopewa na ccm zinaumiza mpka wanashindwa kujua haki zao

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 4 měsíci

    Kwaiyo nyie bodaboda wa mwanza mnaona maandamano ya kudai haki ni laana? kweli ujinga mloliolishwa na ccm ni mkubwa sana

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 4 měsíci

    izo hela mtasota na hamtapata kwasababu hamjitambui na inaonekana ni makada wa ccm nyie