OFISI YA RAIS IKULU PEMBA
OFISI YA RAIS IKULU PEMBA
  • 27
  • 41 805

Video

#DK.MWINYI ANAENDELEA KUIPAISHA SEKTA YA ELIMU ZANZIBAR
zhlédnutí 233Před 14 dny
#wasafitv #global #juu #ayo #jifunze #automobile #alhaji #ikuluzanzibar
MAENDELEO YA DK.MWINYI YA WAVUTIA VYAMA VYA UPINZANI
zhlédnutí 570Před 14 dny
#ikuluzanzibar #global #juu #jifunze #ayo #zuchu #wasafitv
DK.MWINYI ANGURUMAA KISIWA PANZA
zhlédnutí 1,3KPřed 14 dny
#wasafitv #global #ikuluzanzibar #ayo #jifunze #automobile #juu
KANGANI WAMUUNGA MKONO DK. MWINYI
zhlédnutí 1KPřed 21 dnem
#wasafitv #global #ikuluzanzibar #ayo #jifunze #alhaji #miladrazaqadri #miladrazaqadri #juu #zuchu #ktv #jiti tv#mkaim #azam tv
AFISA MDHAMINI IKULU PEMBA AHIMIZA WATENDAJI KUFANYA KAZI
zhlédnutí 251Před 28 dny
#wasafitv #global #ikuluzanzibar #juu #zuchu #alhaji #ayo
AFISA MDHAMINI IKULU PEMBA AMEWATAKA WASTAAFU KUWA MABALOZI WA KUTANGAZA MAENDELEO YA ZANZIBAR
zhlédnutí 1,7KPřed 28 dny
#global #gaming #ikuluzanzibar #jifunze #juu #wasafitv #wasafitv #alfatah #alhaji #automobile #automobile #elimubilamipaka
MAKABIDHIANO YA OFISI MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (eGAZ) PEMBA
zhlédnutí 737Před 28 dny
#ayo #global #ikuluzanzibar #jifunze #wasafitv #juu #alfatah #alhaji #automobile #army
DK MWINYI AMALIZA TATIZO LA MAKAAZI KWA WAFANYAKAZI WA HOSPITAL YA ABDULLA MZEE PEMBA
zhlédnutí 5KPřed 2 měsíci
#ikuluzanzibar #global #jifunze #wasafitv #juu #automobile #ayo #ktnnews
#ALHAJI DK. MWINYI NA MAMA MARYAM MWINYI WAFURAHIA IDDI MICHEWENI PEMBA
zhlédnutí 569Před 2 měsíci
#global #ikuluzanzibar #jifunze #juu #wasafitv #alfatah #miladrazaqadri #ayezakhan #ayo
#MAMA MARYAM MWINYI ATOA TAULO ZA KIKE KASKAZINI PEMBA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA 16/06
zhlédnutí 236Před 2 měsíci
#global #ikuluzanzibar #jifunze #juu #wasafitv #alfatah #miladrazaqadri #micheweni_digital_tv #ayo
DK. MWINYI MUARUBAINI WA ELIMU YA JUU KISIWANI PEMBA
zhlédnutí 1,5KPřed 3 měsíci
#ikuluzanzibar #jifunze #global #miladrazaqadri #global #juu #wasafitv #global
MAMA MARYAM MWINYI MKOMBOZI WAJASIRIAMALI WA MWANI MICHEWENI
zhlédnutí 1,2KPřed 3 měsíci
#ikuluzanzibar #alfatah #juu #wasafitv #jifunze #global #ayezakhan #miladrazaqadri
DR.MWINYI AING'ARISHA MICHEWENI
zhlédnutí 3KPřed 3 měsíci
#ikuluzanzibar #jifunze in advance#juug #wasafitv #juu media#jufe#alfatah
DR. MWINYI ANAENDELEA KUIMARISHA MASLAHI YA WAFANYA KAZI
zhlédnutí 294Před 4 měsíci
#ikuluzanzibar
Ziara ya Dr. Mwinyi yaibua aina mpya ya Mwani - Oliver, wakulima wapata manufaa mengi.
zhlédnutí 280Před rokem
Ziara ya Dr. Mwinyi yaibua aina mpya ya Mwani - Oliver, wakulima wapata manufaa mengi.
Rais wa Zanzibar akutana na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Nyaraka ya Oman nakuongea mengi kwa Zanzibar
zhlédnutí 79Před 2 lety
Rais wa Zanzibar akutana na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Nyaraka ya Oman nakuongea mengi kwa Zanzibar
Mdhamin Shuwekha aendelea kuwaasa watu wajitokeze kuhesabiwa.
zhlédnutí 97Před 2 lety
Mdhamin Shuwekha aendelea kuwaasa watu wajitokeze kuhesabiwa.
Mdhamini Ikulu Bi Shuwekha akemea vikali suala la udhalilishaji Pemba
zhlédnutí 290Před 2 lety
Mdhamini Ikulu Bi Shuwekha akemea vikali suala la udhalilishaji Pemba
Haya ndo mahadhi ya mashairi ya Pemba yaliyomvutia sana Dr. Hussein Mwinyi.
zhlédnutí 3,7KPřed 2 lety
Haya ndo mahadhi ya mashairi ya Pemba yaliyomvutia sana Dr. Hussein Mwinyi.
RAIS MWINYI ATOA MATUMAINI KWA VIJANA WALIOFAULU KIDATO CHA 6.
zhlédnutí 768Před 2 lety
RAIS MWINYI ATOA MATUMAINI KWA VIJANA WALIOFAULU KIDATO CHA 6.
Maneno ya Rais Magufuli yatimia kwa Rais Mwinyi.
zhlédnutí 357Před 2 lety
Maneno ya Rais Magufuli yatimia kwa Rais Mwinyi.
Rais Mwinyi azungumza na wafanyabiashara wa Tanzania waliopo Burundi
zhlédnutí 148Před 2 lety
Rais Mwinyi azungumza na wafanyabiashara wa Tanzania waliopo Burundi
IKULU YATOA FILAMU YA UTEKELEZAJI WA AHADI ZA RAIS MWINYI KISIWANI PEMBA
zhlédnutí 12KPřed 2 lety
IKULU YATOA FILAMU YA UTEKELEZAJI WA AHADI ZA RAIS MWINYI KISIWANI PEMBA
IKULU YAGONGA MISUMARI KWA WAANDISHI WA HABARI PEMBA
zhlédnutí 768Před 2 lety
IKULU YAGONGA MISUMARI KWA WAANDISHI WA HABARI PEMBA
Rais Dr. Hussein Mwinyi ampokea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kutokea Nchini Oman.
zhlédnutí 5KPřed 2 lety
Rais Dr. Hussein Mwinyi ampokea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kutokea Nchini Oman.
Mh. Rais wa Zanzibar akutana na Ujumbe kutoka timu ya mpira ya Southampton kutoka Uingereza
zhlédnutí 82Před 2 lety
Mh. Rais wa Zanzibar akutana na Ujumbe kutoka timu ya mpira ya Southampton kutoka Uingereza

Komentáře

  • @murattywamuratty9778

    Sw wametoka wangapi mufanye muajiri wengine maana ao walikuwa wananafasi wapandishen wa kuwapandisha wajirin watakao bahatika

  • @KhadijaHussein-qn2ge

    Hawaitwi ila hiyo kweli njaa tu na ndowalivyo cc zanziba wajingano wamekubali kupoteza kiti umoja wa kitaifa uraiya pasipoti kama si njaa kitu gani kupotezautu wako kwa tonge

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 Před 7 dny

    Amiin

  • @hassanmitawi9256
    @hassanmitawi9256 Před 8 dny

    Hongereni Sana. Karibuni katika jumuiya ya wastaafu. Nyinyi ni jeshi la akiba linaloweza kuwasajihisha vijana kwenye maendeleo na mapambano. Hii ni firsa kubwa ambayo wengi hawakubahatika. Ni vizuri wizara na viongozi wengine wangeiga mfano huu. Mitawi

  • @MarzuokOG-l1l
    @MarzuokOG-l1l Před 8 dny

    Ila chini liko vizur, ndo wananchi wanaomba kuwekewa daraja hasa, lililopa Sasa ni tuta chini yake ndo yanapita Maji ya chumvi

  • @MarzuokOG-l1l
    @MarzuokOG-l1l Před 9 dny

    Sio baraja limejengwa kama tuta ivi

  • @user-yo8np7ce8n
    @user-yo8np7ce8n Před 9 dny

    Ilo daraja VP na watt Bora lingeekewa mikingo pembe au chini hakuna shida

  • @KhadijaHussein-qn2ge

    Hiyoelimu unojisifu watoto wmepasi wengi sababu samia subiri andoke uwone watapasi wengi na sio kama wazanzibari vilaza yote haya tumetawaliwa natanganyika jina la sasa tanzania wanajita wazanzibari tulikua tunanchi yenye uraiya tumepindua tukapiduliwa kifikira na mawazo ona sasa mpaka mitihani ya wanafunzi yanasainiwa tanganyika vipi tutapasi nchi Wameichukua sasa wanatwita wakaazi si raiya tena ss ichokitambulisho cha wakaazi hata cm husajiliwi sababu ss tumepokonywa uraiya tumekua wakaazi wazanzibari tuamke I

  • @KhadijaHussein-qn2ge

    Watoto wanataka kula ww unasema Watoto wangu nimejenga ss tunanjaa

  • @BimkubwaOthman
    @BimkubwaOthman Před 10 dny

    Half nyie waoinzani mna ttz gani kwani mtu akitoka ktk chama chenu mnaumuambia ni njaaa kwani wanaitwa au wanaamua wenyewe

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi Před 13 dny

    Njaaaa. Ikitoka. Tumboni. Inahamia. Kichwani

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z Před 16 dny

    Njaaaa iyo

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 16 dny

    Kisiwa panza maendeleo safi mitano tena baba mwinyi

  • @MarzuokOG-l1l
    @MarzuokOG-l1l Před 19 dny

    Maendeleo hadi ktk visiwa vidogo wataisoma no 2025 allah atufikishe bk mwinyi oyeeee.

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304 Před 20 dny

    Hongereni sana chapeni kz vijana

  • @husseinsalimbora3534
    @husseinsalimbora3534 Před 21 dnem

    Pemba ni nimezaliwa.

  • @BabaSumayya1993
    @BabaSumayya1993 Před 21 dnem

    Hapendwi wwe hiluijui kangan

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 Před 20 dny

      Huna akili wewe subiri udanganywe mana hayo yaliyofanyika huna macho wala masikio au unaishi porini

    • @fahmysaid-zw4np
      @fahmysaid-zw4np Před 20 dny

      @@hajiabdalla5772kwenda weee hatumpendi hatutaki kuongozwa na watanganyikaa znz bas usitushoshe

    • @user-yx3ex4vy7o
      @user-yx3ex4vy7o Před 20 dny

      Ngojeeni bakora 2025 ndio mtajua

    • @fahmysaid-zw4np
      @fahmysaid-zw4np Před 20 dny

      @@user-yx3ex4vy7o hapigwi mtu hapa mguu supuu km kawaaa

  • @MarzuokOG-l1l
    @MarzuokOG-l1l Před 22 dny

    Dk mwinyi pemba oyeeee

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 22 dny

    De Hussein 5 tenaa

  • @Suleimanomar-po8sg
    @Suleimanomar-po8sg Před 29 dny

    nice

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 29 dny

    ❤❤❤

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před měsícem

    Jamaa zako zote wanapinga hizo.wamekaa kama wanga mana mwanga hapendi maendeleo japo kidogo.nafsi imejaa choyo na hao hao ndio wa mwanzo kutumia na kuharibu

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před měsícem

    Bandari au kibandari

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před měsícem

    Hapo lazima wajuwe namna ya kutumia hizo machines kuwe na ma professional wa kazi hizo siyo kila nurse anaweza kutumia.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před měsícem

    Bora mmevaa rangi nyengine. 😂😂😂😂 nafkiri Mazroui havai hata siku moja shati la CCM.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem

    Mwinyi oyeee

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před měsícem

    Hongera Dr Mwinyi yajayo yametima

  • @suleimanmsalum
    @suleimanmsalum Před 2 měsíci

    Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 Před 2 měsíci

    Tumekufaham Mhe...unajenga ingawa pia unabomoa vizima jambo ambalo ni hasara kubwa kwa Nchi maskini. Wewe unafanya hayo. Wenzio wanasema Ufisadi umekithiri. Huo si ubishi. Wanasema wanataka Mamlaka kamili ya Zanzibar huo ni Uhuru kamili. Wanasema watapunguza Kodi hiyo ndio nafuu ya maisha. Wanataka Haki itendeke huo ndio msingi wa Amani. Wanataka mazingira ya Uchaguzi yawe ya Amani na Haki bila kufanya ulalamishi vitisho na ghilba hiyo ndio Haki. Kujenga yoyote yule atakaekaa madarakani atajenga. Hatutaki Ufisadi. Tunataka uchumi imara na sio madeni ya kutisha.Tunataka Zanzibar yenye hadhi ya Mamlaka kamili kiuchumi na Kisiasa. Uchaguzi uwe Huru na wa Haki. Nadhani wao wanasema hayo na mengineyo. Nawewe ujibu hoja Mhe Rais

  • @atifsaid2608
    @atifsaid2608 Před 2 měsíci

    Hongera Sana Dr Mwinyi

  • @user-rk9qj9ob1p
    @user-rk9qj9ob1p Před 2 měsíci

    Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa

    • @saidmuhd611
      @saidmuhd611 Před 2 měsíci

      Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Před 2 měsíci

    Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 Před 2 měsíci

    Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu

  • @user-dd3ek5fh5g
    @user-dd3ek5fh5g Před 2 měsíci

    Nilikuwa sijui hatua ambayo Zanzibar imepiga ila kwa hakika kazi imefanyika kongole Dkt Mwinyi👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @waheeda5138
    @waheeda5138 Před 2 měsíci

    Alhamdulillah Allah azidishe neema ndani ya kijiji chetu🤲

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 2 měsíci

    Alipora ushindi wa Maalim Seif Sharif Hamad. Mwinyi hakushinda uchaguzi kihalali na ndio sababu anatuondosha njiani tuuu ktk miradi ya maendeleo tazama Bandari za Pemba. Bara bara za Pemba. Airport ya chake Pemba, hadi leo ni hadisi za Albunuwasi na comedian za kachara. Tukutane oktoba 2025 ndio mtajuwa kilicho mfanya mgema tembo kulitia maji.

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk Před 2 měsíci

    Sisi hatuli majengo punguza bei ubwabwa

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 2 měsíci

    Mashallah michewen Eid Mubarak Dr Mwinyi mitano Tena

  • @Pemba680
    @Pemba680 Před 2 měsíci

    Ni bandari aw tuta😄?

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před 2 měsíci

    Eneo la micheweni ndio eneo la mpango mkakati kwa pemba katika kila nyanja

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 2 měsíci

    Dr Mwinyi oyeeee

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304 Před 3 měsíci

    Kazi nzur Sanaa mmeuchapa mwingi

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 3 měsíci

    Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 3 měsíci

    Dr Mwinyi mitano Tena hakuna km Dr Mwinyi Mungu amlipe kher Rais wangu

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304 Před 3 měsíci

    Kazi mzur

  • @abdullmbarouk304
    @abdullmbarouk304 Před 3 měsíci

    Hongera maruzuku pambaneni na kijana wako

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 3 měsíci

    Dr Mwinyi oyeeee 5 tenaaaa

  • @suweidsuweid9521
    @suweidsuweid9521 Před 3 měsíci

    Gud work. Dr.mwiny..we cee & appreciate ur effort

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 Před 4 měsíci

    Mashallah Dr Mwinyi oyeeee

  • @RashidRashid-hp7uw
    @RashidRashid-hp7uw Před rokem

    Asante mdhamini kwa nasaha zako...be blessed 🙌