MAMA TAFUTA HELA MUME WAKO AKUPE HESHIMA NA ASIKUPIGE / HAKUNA MTU ANAWEZA KUPIGA BANK"PASTOR MGOGO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
    Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
    CZcams : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
    #PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo

Komentáře • 61

  • @marielouis2767
    @marielouis2767 Před rokem

    Nime kupa sheriya kwa ma mahubiri. Juu na me kwisha hishi take maisha. Hata si kupigwa. Ila nilijibiwa mabaya mingi sana.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem +3

    Mchungaji uko sawa.Mimi ni mwanamke wa shoka.Ninakuelewa❤

  • @RobaiMusiiko-co2cb
    @RobaiMusiiko-co2cb Před rokem +3

    Nashukuru kwa ujumbe mzuri. Barikiwa sana poster❤❤🎉

  • @JenifferRichard-tc5oj

    Mchungaji Mungu akusaidie jua single mother ni wengi na watoto wasio na maadili ni wengi

  • @premillahmwanigha1735
    @premillahmwanigha1735 Před rokem +8

    Nimependa huu ujumbe sana...ahsante Mungu kwa kunipa nguvu na akili ya kujitaftia kipato changu mimi mwenyewe

    • @EnocBahaya-bs4rs
      @EnocBahaya-bs4rs Před rokem +1

      Jambo bingi mzuri

    • @traineesmbwilo3559
      @traineesmbwilo3559 Před rokem

      Mchungaji nimelielewa sana somo lako nipo vizuli kupambana vikoba navikizi vikundi kama vyote navikundi chakununuliana maitaji yandani kwaiyo mtumishi ubalikiwe kwasomo nzuli

    • @traineesmbwilo3559
      @traineesmbwilo3559 Před rokem

      Kwamwanamke wasasa ambae yupo tuu amekaa nyumbani ametulia mungu awainue

  • @KyarusFrimon-io3nf
    @KyarusFrimon-io3nf Před rokem +1

    Ni ukwel mtupu mtumish mungu akuzidishie nguvu

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana9844 Před rokem

    Mungu akubariki mtumishu kwa elimu unae tuelimisha

  • @user-wo5bj8wm4y
    @user-wo5bj8wm4y Před 8 měsíci

    Amen

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 Před rokem +1

    Sikatai kusemwa ila kuwe na staa utakuta Mchungaji anabwabwaja kama mwalimu wa zamu bila ya kukuvuta pembeni ,,,anakuaibisha Mbele ya kanisa ,,,ila kuna kundi apo apo kanisani au familia fulani inaeshimiwa na Mchungaji ata wafanye nini utakuta anawachekelea tu yaani,, na akacha kuhubiri akaanza kusifia hiyo familia,, nyinyi ni binadamu baana sio Yesu munakwazaaa kweli kweli yaani. Munajikuta muko raiti wakati woote kana kwamba Mungu mjomba yenu...ninachojua ni kutenda mema tu baasiiii ,, maana ni sehemu ya ibada....kanisani tunawaachia ..kwasababu kwa Mungu akuna Mchungaji wala askofu,,,someni Biblia inaeleweka kirahisi tu Acheni kusikiliza wachungaji....wanaongea saana kuliko kufundisha .

  • @annemremy8107
    @annemremy8107 Před rokem

    Upendo hautafuti hayo. Upendo WA kweli haupo kwenye vitu pastor

  • @CarineNyota-ly3xl
    @CarineNyota-ly3xl Před rokem +1

    asate pasta

  • @selphermurunga7338
    @selphermurunga7338 Před rokem +3

    True pastor tell them to style up

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Před rokem

    Mungu anawaheshimu wale wanayoieshimu kazi yake, pia uwainue.❤❤🔥🔥👏🏽👏🏽

  • @irineotieno8682
    @irineotieno8682 Před rokem +2

    Ni kwel mchungaji🙏🙏🙏

  • @ggfghh6220
    @ggfghh6220 Před rokem

    Amina Amina ubarikiwe sana pastor kwa mafunzo mazuri inanipa nguvu ya upambanaji wa kutafuta maisha Amina

  • @olivianyamboke208
    @olivianyamboke208 Před rokem +2

    Amen kweli kabisa

  • @purityrose6714
    @purityrose6714 Před rokem

    Aki this message is mine,,I get panicked easily and I rarely take corrections without feeling offended

  • @phillipoloo895
    @phillipoloo895 Před rokem

    Ahsante mchungaji kwa ujumbe ,,,,unafunza ukweli kabisa na maisha tunayoishi.

  • @magdalenakusaga7270
    @magdalenakusaga7270 Před rokem

    Barikiwa sana mtumishi

  • @MourineIkhoni
    @MourineIkhoni Před rokem

    Very true pastor

  • @damarismakau6017
    @damarismakau6017 Před rokem

    Amen ,mafunzo mazuri

  • @sylviaatego3992
    @sylviaatego3992 Před rokem

    Amen i love your preaching i help alot

  • @SaudaIngairo
    @SaudaIngairo Před rokem

    Asante kwa mahuburi❤

  • @agatamsitu1121
    @agatamsitu1121 Před rokem

    Hakika❤ nashukulu

  • @LoizerThobias-yx2wm
    @LoizerThobias-yx2wm Před rokem

    Umenisaidia sana pakubwa mchungaji

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 Před rokem

    Ubarikiwe sana, Baba Mchungaji.

  • @furahaangelique775
    @furahaangelique775 Před rokem

    Nikweli Baba

  • @henryambaya7907
    @henryambaya7907 Před rokem

    Be blessed my hero

  • @leahrutto7123
    @leahrutto7123 Před rokem

    Asante mchungaji

  • @RafikiYona-ub2qk
    @RafikiYona-ub2qk Před rokem

    Huo ndio ukweli umasikini ni dhambi

  • @wambuievelynwaithira
    @wambuievelynwaithira Před rokem +2

    Be blessed pastor for powerful sermons. I really learn alot from this channel

  • @liddydeSalt4773
    @liddydeSalt4773 Před rokem +1

    😂😂😂 Wow nice acha nitafute hela🎉

  • @igira8758
    @igira8758 Před rokem +5

    Sikuungi mkono 100 0/0 pastor .Hii inaweza kuwa sehemu Moja ya kupiga wanawake siyo Kila mara wanandoa wanaweza kuwa maskini lakini wakavumiliana nyumbani.Kilichomuhimu sana ktk ndoa ni Mapenzi kati ya wanandoa vingine hukuja badaaye

    • @BMboss108
      @BMboss108 Před rokem +2

      Ni wanaume wa siku hizi wanataka kusaidiwa majukumu ndio wanadharau wake zao...malezi ya watoto na nyumba yanachosha na ni kazi ngumu sana

    • @vanjestastaphord
      @vanjestastaphord Před rokem +1

      Asant kwa neno nzur

    • @Manishimweelvis
      @Manishimweelvis Před rokem +1

      Napende sana sikutakuja ukukwetu ntafurayi sana 🇧🇮🇧🇮

    • @victorreveta
      @victorreveta Před rokem +1

      Tafuta pesa upendo unakujaga automatically na hisia zinakuja automatically....wote tafuten hela kwa njia halali wanawake kwa wanaume

    • @jacqueeydelia
      @jacqueeydelia Před rokem +1

      Na bila pesa mtaweka mapenzi kwa sufuria mkule😂😂kutafuta ni laxima the best weapon of a lady is her wallet

  • @winniekaari1951
    @winniekaari1951 Před rokem +4

    Lakini pastor mumewangu ananinyima freedom ya kutoka kutafuta nifanyeje?

    • @annakishai
      @annakishai Před rokem

      Huyo anataka ukose pakushika umnyenyekee yeye tu. Fungua akaunti yamalenge jiwekee akiba. Anajua ukitoka utabebwa atakupoteza.

  • @AmenKimaro
    @AmenKimaro Před rokem

    Ukwel navuka mahali

  • @user-yl8ni9wn4t
    @user-yl8ni9wn4t Před rokem +1

    Asante, lkn hubiri injili ya mbinguni yaan njia za kuokoa wanadamu kuona ufalme wa mbinguni maana parapanda imekaribia, sio pesa every time.... Taften ufalme wa mbinguni vingine mtazidishiwa Biblia inasema.... 🙏

  • @aishaz1
    @aishaz1 Před rokem +1

    Ndo maana ndoa nyigi zimevunjika kwasababu bibilia inasema mwanaume atafanya kz kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu..sikuiz wanawake wengi ndo wamegeuka kuwa baba sasa wacha kutoka nje y mada mchugaji f

    • @zachariahekal2452
      @zachariahekal2452 Před rokem +1

      Wee ndio uko nje y mada...jifunze kutafuta hela hueshimiwe na mumeo

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Před rokem +1

      Endelea kulala utashangaa

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem +3

      Naomba nikusaidie sifa za mwanamke mwema mithali 31:10 -31
      1. Kinywa chake chapita kinywa cha marijani
      2.Moyo wa mumewe humuamini
      3. Hatakosa kupata mapato
      4. Hutenda mema wala si mabaya
      5. Hutafuta Sufi na kitani
      6. Hufanya kazi Kwa mikono yake Kwa moyo
      7.Afanana na merikebu ya biashara
      8.Huleta chakula chake toka mbali
      9. Huamka kabla haujaisha usiku
      10. Huwapa watu wake chakula na wajakazi sehemu zao
      11. Huangalia shamba akalinunua Kwa mapato ya mikono yake hupanda mzabibu
      12. Hujifunga nguvu kiunoni kama mshipi hutia mikono yake nguvu huona kama bidhaa ina faida
      13. Taa yake haizimiki usiku
      14. Hutia mikono yake katika kusokota
      15. Huwakunjulia masikini na wahitaji mikono yake
      16. Watu wa nyumbani hawana hofu mana huwavika kitani
      17. Hujifanyia mazulia ya urembo
      18. Mavazi yake ni kitani safi
      19 mume wake hujulikana malangoni pa wazee
      20. Hufanya nguo za kitani na kuziuza
      21. Anaucheka wakati ujao.
      So mwanamke si kuzaa tu ukasubiri uletewe kila kitu. Ikitokea mume amefariki itakuwaje? Ama we ndio Una uwezo ama mafikira ama bidii zaidi ya mwenzio?

    • @SARAHHALIFA-wm2kg
      @SARAHHALIFA-wm2kg Před rokem +1

      Wewe uko karine Gani mjomba?

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 Před rokem

      Dada jiandae kwa lolote kuna leo na kesho leo mume yupo kesho mume hayupo kabisaa utaishi vp na watoto jiandae kwa vita usijibweteke ila tu heshima iwepo kwa mumeo tafuta ela

  • @Allyamanzi-jt8us
    @Allyamanzi-jt8us Před rokem +1

    ?

  • @kasaranimrudi7310
    @kasaranimrudi7310 Před rokem

    😂😂

  • @khadijamwenda1851
    @khadijamwenda1851 Před rokem

    Unapotosha watu mchungaji gan wewe unataka watu wawe busy na pesa kuliko kutafuta wokovu??? Jukumu la mume ni nini??? Vitabu vitukufu vimeeandika mume ni kichwa cha family lazima ahudumie family ni jukumu lake

    • @user-yb6ut9in5c
      @user-yb6ut9in5c Před rokem

      Wewe ndy hujasoma mandiko kasome mithar pastor yukosahihi

    • @musakaphu4581
      @musakaphu4581 Před rokem

      ​@@user-yb6ut9in5cachana nae huyo mvivu tu wa maisha ndomana yuwaona kama pastor anakosea😂😂