So if ruto is removed gachagua takes over ama wanaenda pamoja. Kuna kamchezo inaendelea mahali wakumbuke wakitoa ruto na fujo hawajaguza gachagua who will still remain in office na constitution inasema president akianguka depaa anachukua automatically. GenZ wanafaa kumnyorosha ruto lakini kuangusha serikali bila kura ni ufala it will bring in a series of coups and instability. Dawa ni kutumia akili kwa kura hii shida imeletwa na watu walivotia ruto not the president himself hakujichagua. Kuna wakenya wengine hukua na ufala wakishamess ni kushinda kulia siku yote
Nyinyi musha gawanywa tayari kulingana na maneno yenu sahii hamko tena na umoja waisha tishiwa wengine waisha nunuliwa tayari that why kila moja na maoni yake sasa wataka GenZ wanyamaze wasubiri 2027 ruto afanye kila kitu auwe watu ,waibe ,wamalize vitu vyo te sisi tukae tuu hata tusiandamane awachwe tuu bc atakuja kuchange na katiba ajiongezee na miaka na tutakaa tuuu 😢
It's not a must we wait for 3 years
So if ruto is removed gachagua takes over ama wanaenda pamoja. Kuna kamchezo inaendelea mahali wakumbuke wakitoa ruto na fujo hawajaguza gachagua who will still remain in office na constitution inasema president akianguka depaa anachukua automatically. GenZ wanafaa kumnyorosha ruto lakini kuangusha serikali bila kura ni ufala it will bring in a series of coups and instability. Dawa ni kutumia akili kwa kura hii shida imeletwa na watu walivotia ruto not the president himself hakujichagua. Kuna wakenya wengine hukua na ufala wakishamess ni kushinda kulia siku yote
Nyinyi musha gawanywa tayari kulingana na maneno yenu sahii hamko tena na umoja waisha tishiwa wengine waisha nunuliwa tayari that why kila moja na maoni yake sasa wataka GenZ wanyamaze wasubiri 2027 ruto afanye kila kitu auwe watu ,waibe ,wamalize vitu vyo te sisi tukae tuu hata tusiandamane awachwe tuu bc atakuja kuchange na katiba ajiongezee na miaka na tutakaa tuuu 😢
How