Me nimtanzania napenda kilicho changu nafatilia san hii move mnajitahid san ila msipend kukalil manen nawaombea kwa Alah awape ubunifu mwingi bongo move izid kufika mbal nawapend
Hongera sana Babajoan hujawahi kukosea mimi naona ndio shabiki ako no 1 Hii ni fire 🔥🔥 naona umeamua kututoa machozi daahh unaweza sana BABAJOAN Mungu akuongoze vyema
Hongera sana babake karoo umecheza vizuri sana naifuatilia hii move nikiwa Uganda hapa naomba like zenu wote tuonyeshe ushirikiano hapa
Baba karobo unaweza kweli naifatilia nikiwa dar nipe like zenu ❤❤👍👍
Hongera kiongonzi sema kunanitu hapo imezingua kidogo. Macho HAYO kiongonzi yanatosha na Kamela Man anagandisha SANA usoni kalibuni kuedti kidogo
Kabisa amezingua
Upo serious kweli na kazi
Nafikiri ni mimi pekeake niko addicted na movie za baba Joan kama unakubali nifinyie tukisonga pamoja
Vizuri sana Baba karobo.naifuatiliya nikiwa Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hujawahi kukosea baba joahn una ubunifu wa peke yako mungu akutangulie
pole bab joani unapitia magumu uyu mwanamke hatohiona pepo
Hongereni sana baba karobo kazi nzuri sana watching from Kenya 🎉🎉🎉❤
Hongera sana baba karobo..kazi nzuri..macho daa yanazingua...kama kamela❤❤.. watching from Nairobi Kenya...I like you guys..npeen likes
Nimeianza atakama nimechelewa lakini lazima nipitie❤❤❤ macho yanatisha😂😂
Kwel Daaah had naogopa
Umeona eeh hata mi yamenitishia
Uhakika
Baba Joan. Nakukubal broo maana ukimaliza movie hii unakuja na hii Wala huchelewesh. Mungu azid kukucmamia kiongoz
Kazi zuri baba joan i personal i like it
Huyo mtoto wa maajabu mashallah 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashaalah Baba karobo hongera Sana kuigiza kipofu sio kazi ndogo
Hongeraa sana baba karobo umefanya vzr
Nafuatilia kutoka Kenya nipeeni Likes❤❤
Imenigusa sana kiukwel
Hayo macho yanatisha sana kwani vipofu wanakuanga na macho hayo
😂😂😂
😂😂😂
Mwenzang mpk movie yenyw naiyogp jmn
😂😂😂😂😂@@user-yb6sz6fb8u
Ila kibamia ako vizuri jamanii mashallah anajua sana ku act❤❤❤mama karobo nae mashallah ❤❤❤
Nzuri.. watching from Kenya
Baba Joan upo vzr sana
I LIKE THE WAY U FIGHT
Hongera sana baba Joan unaelimixha jamii kw kweli
Hongereni sana wote muliyo shiriki kwenye hihi movie
Congratulations 🎊🍾🎉 ❤❤❤❤
Good job 👍 mntafufunza mengi Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏
Umeweza na umeniliza sana bab karobo..🎉🎉🎉🎉🎉🎉mauwa yako
Tumeanza pamoja na tunamaliza pamoja mungu akipenda
Ishallah 🤲🤲
😂😂miwani za wachomelea mageti asee kwahyo vipofu ndo wanavaaga za hvo😂
😢😂😂😂😢whhh
Dah kweli macho amezingua yanatish😂
Jamanii movie nzuri sana😢😢😢 inasikitisha daah🎉🎉🎉
kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤
Me nimtanzania napenda kilicho changu nafatilia san hii move mnajitahid san ila msipend kukalil manen nawaombea kwa Alah awape ubunifu mwingi bongo move izid kufika mbal nawapend
Ee umekuwa kivingne mwaya ingawa hayo macho yanatisha
Pongez kwa wahuska wote jmn❤❤❤
Nimewahi kwa bb yangu kipofu 🎉🎉🎉🎉🎉
Baba joan God bless you kwa hii watu watalia sana usiache njiani tutaumia sana MUNGU akuongoze vyema
Sweet video hongera baba joan❤❤
Jaribuni kuedit macho kidogo
Vaa bhana miwani wenzio tunaogopa mimacho yako japo kazi yako nzur sanaaaa
Tutarekebisha suala la macho
Kwer kabisa
@BabaJoani apo umecheza
Baba Joani umetisha utafika mbali❤
Kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤
Hongera sana Babajoan hujawahi kukosea mimi naona ndio shabiki ako no 1 Hii ni fire 🔥🔥 naona umeamua kututoa machozi daahh unaweza sana BABAJOAN Mungu akuongoze vyema
Kazi nzur sana
Hongera sana....mko vizur
Macho gan hayo jaman uwii baba joan uje nawe uangalie hii movie uone hayo macho kwanza vipof mbon hawapo hivo
😳😳🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Baba joan hayo macho utanifanya niote😂
Usiote
@@BabaJoanindo myabadurishe sasa maana yanatisha sana mwonekano sio kabisa
Muendelezo vp baba Joan au baba karobo
@@BabaJoaniMuendelezo vipi baba Joan au baba karobo
Sio kuota tu kuweweseka
Much love From Kenya ,tunapenda kazi zako kaka
Nimewahi naomba like zenu lakini baba Joana unacheza vizuli😢😢
Wakumi namoja wapi like za babajoan
Hongera kazi nzuri sana❤❤❤❤🎉🎉
Ila macho baba John yatanifanya niot3😂😂😂😂
Ayo macho yameniogopesha jamni yapunguze kidogo eti mana duuuh
Kutoka Kenya ❤❤❤
I like it 👌 kazi zako zipo vizuri Baba Joan na zina mafunzo hongera
Asante
Hongera san hakika umeicheza vizr hii ipo vzr
Kazi nzuri sana team baba joan
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
😂😂😂huyu mke wa kibofu jamani
Whoo ndo nimekija Wa kongo mupooooo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 naombeni tujuwane kwa lik Wa kongoooooo nawapenda sana bb joan umejeza vizuri
hayo macho bro umezengua sana
saf sana mungu akuongoze baba joan
Jambo
Kwenye macho mmezingua sana
IPO vzr naipenda sana
Hongerani sana jamani
Huyu Zujat naweza mpata aje angaa tuongee anivutia sana huyu mdada unayemjuwa naomba uniconnect naye
ni mwanafunz wa ajabu au
Wueeeh
I always like your videos you have a nice talent
Huyu mtoto sio jamila akiwa mdogo sio kwakufanana hukoo
Kazi ni nzuri hii jamani
Respect ❤❤❤🎉🎉 kazi nzuri
Nzuri sana naifatiliya nikiwa Burundi🇧🇮🇧🇮
Filam nzurisana kabisa pz tunaomba pt 4 na pat 5 tunawapendatukiwa warabuni 🇰🇼🇰🇼🇰🇼🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤👌👑
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ pole kwa unayo ptia
Ipo powa sana, inafudisha
Mama kanusu😂
Kazi nzuri ssna❤❤❤❤
Hongela sana ninzuli kbxx Naifatilia nikiwa Burundi
baba Joan, hongela sana kwa ukakamavu wako, endelea na moyo huu huo kutuelimisha.
Asante
Unyama
Kutangulia sio kuvika, nimefika salama baba joan na team yako hongereni sana kwa kazi zuri🎉🎉🎉🎉🎉
Nice
I love movie ya Bb Joan gd job
Hii movie kali sana ongera nakufatilia nikiwa kenya
Félicitations 🎉
pia mm napenda sana hii movie💞💞
Kazi nzuri
Baba joani mm nishabiki yako sana ila macho umeweka nini hadi naogopa
Nimeipenda hii kazi ninzuri❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ babajoan I love your movies
Hapo sawa baba
Sema Sasa hv mnachelewa kutoa epsodi jamn totaut na mwanzo mama karobo feki Sasa hv anakipata Cha mtema kuni
Naomba like hapa hata mbili
Hayo majina tu ndio yamenichekesha,etyi KAROBO,KIBANIO🤣
Ila hayo macho yanatisha asee
Yan toka nifatilie move zako ujawai kuko sea sema nn macho to daaa! Kipngele
Good job katoto kamecheza vizuri Aya tunyesheni seemya pili
Tarented babajoan uko vizuri hujawahi niangusha
Ongera sana hume cheza vizuri sana ❤❤❤❤❤
Hongereni baba Joan kwa kz nzuri 😊
Mimi NAKUPENDA sana baba joan my favorite actor from Malaysia ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Malaysia tena🤣
Malaysia tena🤣
Baba Joan nimemmiss Batromeo Jamani❤❤❤❤❤ BURUNDI 🇧🇮 twawapenda sana
Kazi nzuri sna baba joahn am watching from kenya
Jaman hapo kwenye kubaini rangi ya ndala nikipengele #sio kwa ubaya lakin
😂😂
Duuuuuuu kama kambo vile mbona rohoo korosho huyuu mama😢😢😢😢huyu mama ndo mchawi sio kwaukali huu