LOUI afunguka kuwa msanii wa kwanza TZ kuweka rekodi hii SA, amtaja DIAMOND kuwa chanzo cha kutoka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 02. 2022
  • Loui anafunguka rekodi aliyoiweka Afrika Kusini kwa wimbo wake Selema akiwa na Musa Keys, video ya ngoma yake Hennessy kupata views zaidi ya milioni 5 ndani miezi 6, jinsi ambavyo Diamond alisababisha uongozi wake wa Legacy Entertainment uje Tanzania na kumsaidia pamoja na mengine kibao
    #ChillnaSky

Komentáře • 15

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 2 lety +7

    Huyu ndio atafika greater heights bila lawama kwa Wasafi ..... soon Grammy na BET inakuja Tanzania

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Před 2 lety +4

    Boy you're so smart in music please join WCB WASAFI for more success

  • @thesaoketv7139
    @thesaoketv7139 Před 2 lety +3

    Nazipenda nyimbo zako sababu ya jinsi unatamka kizungu💪💪💪real and perfect

  • @johnkilahumba6959
    @johnkilahumba6959 Před 2 lety +3

    Loui💥💥💥. Na SKY mwenyewe💎💎💎

  • @jesitinakiwale8676
    @jesitinakiwale8676 Před 2 lety +4

    Yupo vizuri kazi zuri

  • @hamadikandota2124
    @hamadikandota2124 Před 2 lety +3

    Mzee wa henessy nakukubali bro

  • @pascalanthony1875
    @pascalanthony1875 Před 2 lety +6

    Nakutakia kila lakheri kwenye safari yako yamziki. I'm sure siku moja utashangaza dunia #loui#

  • @kiatu
    @kiatu Před 2 lety +1

    Sio tu Wa-south wanapenda-sheria inawalazimisha kuplay 90% content ya SA.

  • @Tanae3209
    @Tanae3209 Před 2 lety +1

    noma

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight4837 Před 2 lety +1

    💥💥💥💥

  • @kasucharles7828
    @kasucharles7828 Před 2 lety

    Anajua

  • @mgucci896
    @mgucci896 Před 2 lety

    Plz interview zen wasanii waongee Kiswahili

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před rokem

    Dogo pambana umeshatoka mtangulize mungu2 usije shawishiwa uingie Wcb watakuburuza wakutupe watembele nyota yako

  • @ezraandala3111
    @ezraandala3111 Před 2 lety +1

    Kumbe ni mtanzania waoh mbn kama naija