LOUI afunguka kuwa msanii wa kwanza TZ kuweka rekodi hii SA, amtaja DIAMOND kuwa chanzo cha kutoka
Vložit
- čas přidán 13. 02. 2022
- Loui anafunguka rekodi aliyoiweka Afrika Kusini kwa wimbo wake Selema akiwa na Musa Keys, video ya ngoma yake Hennessy kupata views zaidi ya milioni 5 ndani miezi 6, jinsi ambavyo Diamond alisababisha uongozi wake wa Legacy Entertainment uje Tanzania na kumsaidia pamoja na mengine kibao
#ChillnaSky
Huyu ndio atafika greater heights bila lawama kwa Wasafi ..... soon Grammy na BET inakuja Tanzania
Boy you're so smart in music please join WCB WASAFI for more success
Nazipenda nyimbo zako sababu ya jinsi unatamka kizungu💪💪💪real and perfect
Loui💥💥💥. Na SKY mwenyewe💎💎💎
Yupo vizuri kazi zuri
Mzee wa henessy nakukubali bro
Nakutakia kila lakheri kwenye safari yako yamziki. I'm sure siku moja utashangaza dunia #loui#
Sio tu Wa-south wanapenda-sheria inawalazimisha kuplay 90% content ya SA.
noma
💥💥💥💥
Anajua
Plz interview zen wasanii waongee Kiswahili
Dogo pambana umeshatoka mtangulize mungu2 usije shawishiwa uingie Wcb watakuburuza wakutupe watembele nyota yako
Kumbe ni mtanzania waoh mbn kama naija
sio tu mtanzania huyu ni mwaisa 😅😅 wa MBEYA