MOTO WATEKETEZA NYUMBA MAENEO YA KIFURU KINYEREZI MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM.Wakazi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • MOTO WATEKETEZA NYUMBA MAENEO YA KIFURU KINYEREZI MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM.
    Wakazi wa Kifuru kinyerezi wakiendelea kuokoa maisha na Mali ya mkaazi mmoja wa Kifuru Kinyerezi Manispaa ya Ilala baada ya nyumba yake kuteketea Kwa moto majira ya saa Moja usiku wa kuamkia leo tarehe Juni 4, 2024, chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mara Moja.
    Jeshi la Zima moto na uokoaji lilifika eneo la tukio na kukuta tayari moto huo umeshaleta madhara Kwa Mali, hata hivyo hakuna mtu yeyote aliyepoteza maisha au kujeruhiwa kwa ajali hiyo ya moto.

Komentáře •