HOUSE GIRL EP 29 | S2 | love story💞💕

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • #bongomovie #housegirl

Komentáře • 622

  • @BettyShabbyWey-to6cf
    @BettyShabbyWey-to6cf Před 22 dny +146

    To be honest among the best episodes hii ni the best wallah 👏👏 director u made alla of ur best tuna hope kupata wise na good ones .... Big up sana Busatitv 🫡🫡🫡🫡❣️love from......

    • @busatitv
      @busatitv  Před 22 dny +5

      🙏🙏🙏🙌🙌

    • @BettyShabbyWey-to6cf
      @BettyShabbyWey-to6cf Před 22 dny +2

      @@busatitv worry not Jasmine still there👏👏👏

    • @LUCIENLWAMBA
      @LUCIENLWAMBA Před 22 dny +3

      Jameni sis wangu kongomani kusikiya kingereza ni tatizo kubwa

    • @fgfvgggf6993
      @fgfvgggf6993 Před 22 dny +2

      Team candy msije kuwa mmueba hio mbuzi mkatuletea kwa kwa sherehe😂😂😂

    • @tsumamatano1901
      @tsumamatano1901 Před 22 dny +1

      ...
      😂😂😮😮😮😅​@@busatitv

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Před 22 dny +148

    Ambao tulio kuwa tuna,,,,,,,,,tunasubilia
    Harusi ya khaii na zuuh..please gonga like tujuane 😂😂

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Před 22 dny +117

    wap like zuu jmn twasbria arusi ya zatiti na mr tasha wanp wanakubali zatit na mr tash watafunga ndoa🎉🎉🎉

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Před 22 dny

      Tupo hapa tunaisubiri kwa hamu🎉🎉🎉

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Před 22 dny +48

    😂😂😂😂😂😂😂 harusi tunayo na tunatamba nayo wapi vigelegele aililiiii 💃💃💃💃💃💃❤❤🎉🎉

  • @Rose-hy3kc
    @Rose-hy3kc Před 22 dny +41

    Zuu kapendeza jameni team Zuu arusi tunayo hatuna 😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @DamarisNyaboke254
    @DamarisNyaboke254 Před 22 dny +65

    Atulali team strong mko wapi gaidi inangoja hii movie iwezi lala❤❤❤❤

  • @shadyazitueni5338
    @shadyazitueni5338 Před 22 dny +16

    Daaah hii yaleo mmeua wallah sijutii kufwatilia movie za busat tangu niifaham ni mwaka wa pil sas,,, aisee hamjawah kufeli mko juu mnajua mpaka mnajua tena kunakoelekea tutapata tuzo in-shaa-allah 🙏🙏🙏 BUSAT JUU JUU JUU ZAID 💪

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr Před 22 dny +198

    Tokea nianze kufatilia hause girl sijawah pata like ata 1 mnaninyima wadau xio pow

    • @user-bf6hq6gi2r
      @user-bf6hq6gi2r Před 22 dny

      Achana na mambo ya like toa maon juu ya hii movie ww unadhn wenye movie ndo wanachotaka huo upuuz wenu wa kusema Kila mtu wa kwnz anaomba like kwn like zinashibisha acha hzo mambo toa maoni pongeza juu ya ulicho kiona wabongo tupoje ss

    • @husnasimba5357
      @husnasimba5357 Před 22 dny +3

      Huw zinawasaidia nn like

    • @HudhaimaYussuf
      @HudhaimaYussuf Před 22 dny

      Ila mna ujinga eti xio poa kwan mnapata faida gani 😂😂

    • @MariamMariam-kq7bb
      @MariamMariam-kq7bb Před 22 dny

      Waambie waache upuuzi maan wamezidi​@@user-bf6hq6gi2r

    • @AdilianapetroKoburungo-co7qe
      @AdilianapetroKoburungo-co7qe Před 22 dny +1

      Zikusaidie nini kipenzi

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o Před 22 dny +6

    Waooo Tasha kampata ampendaye Kai umetisha mwarabu kdg mpemba kwa wing mashallah ❤❤❤❤ wapi team kend na zaid ya mbuz weeeeee piga keleleeeee zak kwa zuuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @FaithJoshua-n8n
    @FaithJoshua-n8n Před 21 dnem +4

    Kila ninapo muona zatiti na Tasha wakiwa pamoja, roho yangu inafurahi tu❤❤, nawapenda timu kubwa🎉🎉

  • @SarahWanyonyi-dz6hq
    @SarahWanyonyi-dz6hq Před 22 dny +20

    Nimeisubiri sana mamake ilikuwa imefika pazuri sana nawapenda Bure km unawakubaki zuu na Kai gonga tukisonga team strong😂😂😂

  • @StewartYembi
    @StewartYembi Před 22 dny +38

    Mnabiboa mnaoomba like mbaka basi toeni maoni na nini tunajifunza kuhusu hii episode chakushangaza watu mnaomba like tu hatutoe like hapa tupo kujifunza kitu watu tutor maoni

    • @EvethaSimba-i1c
      @EvethaSimba-i1c Před 22 dny

      hakuna hata siku moja wameleta faida ya hizo like jamani na sijui wanamuuziaga nani

    • @ILMS02Infrastructure
      @ILMS02Infrastructure Před 21 dnem +1

      Kitu tunachojifunza wanawake tuwape mahitaj stahiki wanaumee zetu tuwe na lugha ya kumtia mwanaume moyo man mwanaume anahtj mambo 3 au zaid 1kumuheshimu,kumsikiliza na kujishusha ata kama kakosea kiufupi mwanaume kama mtot anahtj kuangaliwa

  • @JaneChanga-pi6lq
    @JaneChanga-pi6lq Před 22 dny +4

    Mimi nilichojifunza kwenye hiki move vitu vingi sana chakwanza :::: kwa wanaume usiwe na haraka kwenye upande wakuoa endapo hujaanglia tabia ya mtu na pia usiangalie sura ya ila kikubwa mtu anaheshm na upendo:::: na pia tusisoklze maneno ya wat ::::na kuachana pia na marafiki wasofaaa kwenye maisha yetu ya ndoa ::;;; nawashukuru sana tena sana vitu vingi mejifunza na Mungu awabariki kazi yenuuuu

  • @user-ss1rf9hv7t
    @user-ss1rf9hv7t Před 22 dny +7

    Yaani naangalia movie natabasamu mwenyewe😄😄 naenjoy

  • @GilberthRajab-c3y
    @GilberthRajab-c3y Před 22 dny +34

    Mpka huku Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunaifatiria hii series 🎉🎉

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 Před 22 dny +7

    Woyooooo harusi tunayo🎉🎉🎉🎉❤❤❤ila timu kendy kumbe sania hawajui kutigiza na kendy 😂😂😂😂alafu bibi ebu wakomeshe hawa mahasidi wasije aribu ndoa yetu

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o Před 22 dny +8

    Kilamba ukwaju leo umenifanya nikuone mpya masha Allah ni muvi lakini mme pendeza sana ❤❤

  • @ShamsouAley
    @ShamsouAley Před 22 dny +27

    Kuna watu wanalala CZcams 😢😢😢haya na mie wa 102 npo hapa😊😊😊maua kwa zuri❤❤❤❤🎉

  • @BucumiGabriel-ni5qx
    @BucumiGabriel-ni5qx Před 22 dny +7

    Tulio subiri na wanaosubiri Mr Tasha na zaatiti kuitana wapenzi waukweli ukweli na si uongo uongo tena,gongeni like zenu apa tujuane

  • @lailatlaila-fr4su
    @lailatlaila-fr4su Před 22 dny +15

    Ugonjwa wang napenda kusom koment uku naangalia yaan naipenda tabia yang❤

  • @rehemakihanga
    @rehemakihanga Před 22 dny +34

    Jaman kiukweli wapo vizuri saana ambao tunangojea baada ya ndoa ya kai na zuu ifuate ndoa ya mr tasha na zatiti gonga like tuwaone

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز Před 22 dny +62

    Walio frahi kumuona zatiti waka like ❤❤🎉🎉

  • @Lucy-v3y
    @Lucy-v3y Před 22 dny +8

    Weeeh asei hii nkali zuu na kai nawapenda ak❤❤❤❤

  • @Myboy_1032
    @Myboy_1032 Před 22 dny +6

    Mwenyewezi Mungu ailinde ndoa ya Kai na Zuuh maana wamezungukwa na maadui wengi Sana

  • @esterester3628
    @esterester3628 Před 22 dny +7

    Kai na Zuu wetu wameng'ra kweli😂❤harusi njema kwenye jameni na wenye wivu wajinyonge😂😂😂😂😂😂🎉

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi Před 22 dny +4

    Waoooh Kaz nzr sana congratulations 👏

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd Před 22 dny +3

    Harusi itembee pole pole mpaka episode ya 32 maana ndo kitu kikubwa tulio kisuburi kwa hamu

  • @OmanNizwa-uc4ub
    @OmanNizwa-uc4ub Před 22 dny +4

    Pajapo pana furahisha watu wame pendeza balaa dah❤❤❤❤

  • @tamtamtz
    @tamtamtz Před 22 dny +14

    WALE TULIOKUWA TUNACHUNGULIA KILA MUDA TUJUANE 😂

  • @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj

    Mashallah iwe ya kher mwenyezi mungu awatungulie inshaallah ❤❤❤

  • @zafriiy
    @zafriiy Před 21 dnem +3

    Nitakuwa mchoyo wa shkurani km xijwasifu busati tv kiukweli kz nzuri mlioifanya tena sana chukuweni mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MariamKessy-v9l
    @MariamKessy-v9l Před 21 dnem +3

    Mashaaallaha kai wangu kapendeza jmn ❤guyz na me nipen like ❤❤❤

  • @ZenaAfreka
    @ZenaAfreka Před 22 dny +2

    umetokelezea km wanavyovaa waowaji wa oman ila kitambaa cha kichwa kdg kimefungwa nyuma kisogee mbele ya uso kdg but pendeza sana❤❤❤❤

  • @WardaMuhibu
    @WardaMuhibu Před 22 dny +30

    Jaman tunaosubili ndoa ya zatiti na tasha ikiisha ya zuu na tunao subili cendy kilambe😂😂 tujuane kwa like 🎉🎉

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před 22 dny +2

    Hiii harusi watu wamependeza km kweli jamani😊😊😊

  • @IreneAdhiambo-h7l
    @IreneAdhiambo-h7l Před 22 dny +4

    Nini mbaya na babu jameni 😂😂😂😂wacha tucheze Ngoma,harusi tunayo hatuna🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saidomar3291
    @saidomar3291 Před 22 dny +13

    Jamani hii ni movie ama ni storia ya ukweli wa kai na zuu mbona imenibamba. Nakama nimove basi hongera zenu nyote mulioshiriki. Hasa baba kikosi cha harusi cha baba kai mwaaaah from saudia

  • @azizamussa4138
    @azizamussa4138 Před 22 dny +5

    Mko vizur Sanaa ila kwann mnachelewwsha kutuma na siku nyingine hamtumi kabisaaa?

  • @edinnaelizayo6837
    @edinnaelizayo6837 Před 22 dny +11

    Bas hio harusi tutaangalia kam episodi kumi iv haaishi ngo'ooooo

  • @ZahidahAli-ys1fg
    @ZahidahAli-ys1fg Před 22 dny +3

    Mashaalaah hongeran pambe san hatimaye team zuli tunafrahi sana ❤❤

  • @oswardignas3277
    @oswardignas3277 Před 22 dny +12

    Kiukweli house girl imenibamba sana

  • @IreneJustine-d9s
    @IreneJustine-d9s Před 22 dny +16

    Wa kwanza leoooo wadauuu umesinziaaa nimewahii naombeni likeee

  • @bintialijuma
    @bintialijuma Před 22 dny +17

    Wapi team kulala leo kuamka leo Asante Dj

  • @RichardMuteke
    @RichardMuteke Před 22 dny +4

    Wake wa 2 wa bozen kaboga wamekutana Ila hawajuwane Siku watajuwana Dama sozi utakipata shako😂😂😂

  • @user-kb1rq8dx1h
    @user-kb1rq8dx1h Před 22 dny +11

    Jameni yaaawa yaani 7 min nikifikiri n Mimi kunao 59 comments wah 🙆🙆🙆🙆🙆nipeni likes not sikie vile mnaskia basi Niko 60 😅🤣🤣nikazikaange

  • @georgekuuna1481
    @georgekuuna1481 Před 22 dny +15

    Kenyans mpo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-gv7to8is6y
    @user-gv7to8is6y Před 22 dny +3

    Congratulations for good work 👏 🙌

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Před 22 dny +3

    Wanaompenda mama tasha tujuane kwa Iikee wadau wangu wa humu ndani🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Djikondj-on4le
    @Djikondj-on4le Před 22 dny +15

    Wakwanza leo mimi apa shabiki wa clam vevo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-sh2os4yh5l
    @user-sh2os4yh5l Před 22 dny +9

    Mpemba kakaa km mchawi kote kote yupo mziki yupo kupamba pia yupo 😂😂😂😂😂😂

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 22 dny +3

    Jamanii watu mnawahii utadhani mnalalaa hapaaaaa daaa ilaa zuu kadaimshiii ikimaliza ya zuu inayofata tasha na zatiti😂😂❤❤❤❤🎉🎉

  • @Asia-vc9em
    @Asia-vc9em Před 22 dny

    Mambo ni moto kz nzuri tunaburudika ma house girl jmn😂

  • @franktodory
    @franktodory Před 22 dny +10

    jaman naombeni namimi japo sijui tunazipeleka wapi😂😂😂😂

  • @mumfaraji5034
    @mumfaraji5034 Před 22 dny +20

    Watu wanakimbilia kuomba like kabla kumaliza kuangalia thamthilia jamani😂ila babu katisha

  • @user-xf3uj9xg2o
    @user-xf3uj9xg2o Před 22 dny +3

    Jmn nimefrah kuwaona wazee wavisara maua yao jmn🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @GeorgeAdam-os2vt
    @GeorgeAdam-os2vt Před 22 dny +9

    Dah yaani nlivyowah kumbe nmewahiwa 😅😅😅😅😅😅

  • @user-oi2qc7gr2d
    @user-oi2qc7gr2d Před 22 dny +4

    Wapi wale wakuchungulia😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉😢

  • @aishahamis1609
    @aishahamis1609 Před 22 dny +1

    Mr kai kiukweli ukisilim itapendeza sana umependeza mashallah

  • @zaharahamadi3784
    @zaharahamadi3784 Před 22 dny +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana umependeza mashalahu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NyamweruAlex
    @NyamweruAlex Před 22 dny +10

    🎉🎉🎉🎉shida ilipo muu wachoyo ata kukalibisha mashabiki amna jamani ata kama wengine 2po Kigoma huku siku zoote munaanda shuhuri si tungekuja ata kwa miguu🇹🇿🇧🇮Karibu burundi dk 15 nchi jilani tunaingia.😂

  • @user-oy4ew3tp6r
    @user-oy4ew3tp6r Před 22 dny

    Ewaaaaaah yaani hii nimenjoy ingawa nikidogo lkn noma Sana...sasa next ni Tasha 😂😂😂😂😂

  • @Aminah-r4s
    @Aminah-r4s Před 22 dny

    Maashallah, zuu na Kai wamependeza wallah ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @zeynab7617
    @zeynab7617 Před 22 dny +16

    Hata like Tano Kwa ajili ya Zuu na Kai

  • @aishabakari4686
    @aishabakari4686 Před 22 dny +3

    kai kapendeza MashaAllah Tabarakah 👏👏🔥🔥

  • @user-cb4om9vr1g
    @user-cb4om9vr1g Před 22 dny +40

    Wakwanza Leo like ata tano

    • @SaadaHaroun
      @SaadaHaroun Před 22 dny

      Like za nn naww at hujaangalia emu kakojoe ulale uko mxieeew

    • @user-kb1rq8dx1h
      @user-kb1rq8dx1h Před 22 dny

      😂😂😂😂😂😂 nilifikiri Niko first eti 60😅😮​@@SaadaHaroun

    • @user-hv3xu9sw6g
      @user-hv3xu9sw6g Před 21 dnem

      Umechekewa😅

  • @AkimanaHusseinmassud
    @AkimanaHusseinmassud Před 22 dny +15

    Allah awangamize wa kina kendi ndowa ipite

  • @nasraAl-b1w
    @nasraAl-b1w Před 22 dny +12

    Ndoa tunayo na tunatamba nayo😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Johnnijooo
    @Johnnijooo Před 22 dny +3

    Wanao amini doa ya kai iko na majanga tujuwane ❤❤❤

  • @user-ii3rb6uj7g
    @user-ii3rb6uj7g Před 22 dny +8

    Wapi kelele ya first top 100🎉🎉🎉

  • @EDINAKEDMONI
    @EDINAKEDMONI Před 22 dny

    Hahahaaaa duh nimecheka Sana babu asante

  • @user-ql7to3rm3p
    @user-ql7to3rm3p Před 22 dny +3

    Haki leo mumefanya kitu kizuri sana wapendwa Mubarikiwe nyote

  • @user-bf6hq6gi2r
    @user-bf6hq6gi2r Před 22 dny +3

    Hakika wapo vzr sana wanapita mle mle napotabir ila tu kwa ulewa wangu ndoa ya zuuh haiwez toboa

  • @StellaDaniel-me6jq
    @StellaDaniel-me6jq Před 22 dny +11

    Jmn ba!hatk kigoma

    • @EsterDododo
      @EsterDododo Před 21 dnem

      Jamn harus imebamba sana mmependeza👍👍👍👍🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mamasalhat
    @mamasalhat Před 22 dny +2

    Zatiti mzuri mashaAllah nampenda❤

  • @user-fu6ue6du6v
    @user-fu6ue6du6v Před 22 dny +3

    Kazi nzul ndug zangu nawap pongez ❤❤🎉🎉

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 Před 22 dny +2

    Nice kazi inawaka hatar 😂❤❤❤❤

  • @user-xj5jl6eh4u
    @user-xj5jl6eh4u Před 22 dny

    Manshallah kayi nafurahi kuona umemuowa zu

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd Před 22 dny +4

    Zatiti mmemsema sana kwa style yake ya nywele nayeye ameamua kubadilisha awaridhishe

  • @user-fo6zw6ru9e
    @user-fo6zw6ru9e Před 22 dny +4

    Kwani notification yangu inaleta habari kuchelewa yani notification pap nagusa hivi comments 180

  • @vagrant_tz
    @vagrant_tz Před 22 dny +1

    Toka tumeanza kuitazama hii epsode tamu sana hongera sana team nzima ya Busatii😮

  • @HAJIKILINGA-ip8il
    @HAJIKILINGA-ip8il Před 22 dny +1

    Ooh WOW 😮😮😮

  • @user-tv2vp9oq2n
    @user-tv2vp9oq2n Před 21 dnem +1

    Waauh masha Allah mmependazana Kai na Zuu

  • @SalumuChonde
    @SalumuChonde Před 21 dnem +2

    nakubal sana hii move anaependa kama mm naomba like apo

  • @hashimgotta
    @hashimgotta Před 22 dny +4

    mnanipa raha team house girl

  • @fatfat9093
    @fatfat9093 Před 22 dny +2

    Harusi tunayo tunaisubiri kwa hamu hila mumependeza cn❤

  • @buru1235
    @buru1235 Před 22 dny +3

    Team Kulala Leo kuamka Leo mpoooo

  • @Tynamnyilis9824
    @Tynamnyilis9824 Před 22 dny +9

    Humu ndani like wanapeana wnyw mm tu ngoja 😬😬

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s Před 21 dnem +2

    Kazi nzuri wana Busati tv🇹🇿

  • @kjhhh5322
    @kjhhh5322 Před 22 dny +2

    Vizuri Sana Kai na zuu kufunga ndoa 🤲🇧🇮🇧🇮

  • @alish2182
    @alish2182 Před 22 dny +1

    Mumependeza jamani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Thebossmama254
    @Thebossmama254 Před 22 dny +2

    Eeeleleleleleleeeeee we huogopi harusi hujalikwa kijira kashasona

  • @husnasimba5357
    @husnasimba5357 Před 22 dny +2

    Bibi zuu waangaliw wakina cend kweny saiti mila wapoteze njia😂😂😂

  • @zawadikimaro4087
    @zawadikimaro4087 Před 22 dny

    Yaani mmependeza sana mwenyezi MUNGU awabariki sana

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd Před 22 dny +2

    Maskini babu walitaka kumkata pumzi ila malaika 😂

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 Před 22 dny +1

    Watu wamependeza hadi Raha🥰🥰🥰🥰🥰

  • @MRSSUMAILI123
    @MRSSUMAILI123 Před 22 dny +15

    Wakwanza mimi nipeni like zangu please 🙏

  • @user-yp7qy2qf7k
    @user-yp7qy2qf7k Před 22 dny +1

    Tunaondoa harusi ya Kai na zuuu ibaki ya mr Tasha na zatiti 🎉🎉🎉🎉

  • @JaneChanga-pi6lq
    @JaneChanga-pi6lq Před 22 dny +2

    Kila siku nakuwa wa mwisho jamani leo nimewahi kidogo like hat moja tuuu

  • @francismasebo6387
    @francismasebo6387 Před 22 dny +1

    Huyo boss kai analake jambo🎉

  • @MagrethAdam
    @MagrethAdam Před 22 dny +1

    Jamani mbonanhyo harusii haifikiiii aaaaiiiiiiiii