Video není dostupné.
Omlouváme se.
Kisa Cha Sheikh Walid Kupokea Hijaza Kwa Masheikh Zake/Sheikh Wa Kitwariqa Habishiwi /Sheikh Walid
Vložit
- čas přidán 24. 04. 2022
- Kisa Cha Sheikh Walid Kupokea Hijaza Kwa Masheikh Zake/Sheikh Wa Kitwariqa Habishiwi Hata Kidogo /Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Kisa Cha Sheikh Walid Kupokea Hijaza Kwa Masheikh Zake/Sheikh Wa Kitwariqa Habishiwi Hata Kidogo /Sheikh Walid Alhad Omar
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
CZcams @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Sheikh Walid anatufundisha elimu kubwa sana
Asha iddi hii ni elimu ya ndani Sana ,kwa ufahamu wako huwezi kumuelewa sheikh alichokikusudia,lkn kwetu sie wenyewe wenye fani hii tumemuelewa vya kutosha nikweli kabisa aliyoyasema sheikh walidi
Mashaallah waldi nimecheka kidogo km mie ningerudi zangu magomeni 😃
Allahubaarik 🙏
Hehehe subra Sina nigerudi baada ya masaa mwili tu Allahamdulillah nijalie subra
Lau kama ningepewa nafasi nami ya kuwaelezea makarama ya masheikh wa twariqa basi ningeliwaelezea masheikh sita,ambao ni sayyid Muhammad bin said al beedh,sheikh salim bin mubaraq bin salim al maaruf darweish mtimkavu,sheikh Muhammad bin nassor bin abdallah,sheikh muhidin bin Ali mkoyogole,sheikh darweish rocket,sheikh Muhammad bin yahya ramia,sayyid abdul qadir juneyd,hapa nimeyaona mambo makubwa na mazito sanaaaa,alhamdulillah mwenyezimungu awajaalie kila la kheir kwa masheikh zetu waliokwisha tangulia mbele ya haki na waliopo nasi hivi sasa Allah swt awahifadhi kwa baya awape afya njema na umri mrefu amiin amiin
Amiiin...Nawe Allah akufanyie wepesi Mkakutane fildaus
Allah akurinde
Upuuzi mtupu huna cha maana ulicho ongea mshirikina we msoma albadiri... Mashekh wa ki twariqa huwa washirikina tu hakuna cha ziada hapo mwanga wee
aya mtoto wa mungu endelea kututukana sisi washirikana
Ona unacho niita ndo uamini kua nyinyi ni washirikina kwenu mnaona wepesi kutamka mambo hayo
Binafs unaniudh kwa kurudia rudia kupost vitu vulivyopita...tupe masomo ya shekhe kwa updates tafadhal
Siyo wote wanaotizama video ndefu na ndiyo maana tunapost full zen tunapost kwa topic alizozungumza sheikh tusamee kwa hilo
huna subra wewe
Mnafanya vzr tu kupost hata kwa kurudia rudia almuradi faida ipatikane tuu huyo anaeudhika atatusameh tuu lkn wengi tunapata faida