EXCLUSIVE KWA MARA YA KWANZA CARRYMASTORY AFUNGUKA KUJIFUNGUA/MTOTO WAKIKE/WEMA SEPETU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • CARRY MASTORY ATOA SIRI WEMA KURUDIANA NA X WAKE INDRIS SULTANI/KUACHANA NA WHOZU/HARMONIZE/POSHI QUEEN #diamond #WEMA #carrymastory ##comasava #carrymastorytv #wemasepetu #INDRISSULTANI #MASHA #auntezekiel
  • Zábava

Komentáře • 143

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Před 25 dny +5

    Carry, na umbea wako wote ila ww itoshe kusema ww nmcute saana Wallah, Maa Shaa Allah ❤❤❤❤

  • @SaudaKhamisi-wm6xy
    @SaudaKhamisi-wm6xy Před 24 dny +4

    Hyu ana mtoto kweli angalia kifua hio

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn Před 26 dny +2

    Mashaallah. Nimelupenda. Umependexa. Maziwa hivi sasa yannaonekana. Umekuwa. Mama. Umebadilika. Hongera. Kari mastori

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 26 dny +3

    Nakupendaga sana cary mastory❤❤❤

  • @shikoshania953
    @shikoshania953 Před 26 dny +1

    Asante kwa kumpenda wema carry❤❤❤❤❤mmetoka mbali sana

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před 27 dny +12

    Zari kakutukana umekonda sasa umenenepaaaaa😂😂😂🥳🥳🥳

    • @navokisembo
      @navokisembo Před 23 dny

      Haswaaa maana alizi na chuki kwa Zari wa watu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 25 dny +1

    Mashaallah hongera sana umekuwa mrembo aswaaaaaa

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Před 26 dny +3

    Mwanake kaa bana miguu bwana 😊😊😊

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official Před 27 dny +24

    Eti mastaa wanakaa ndani kwani wewe ni star 😂😂😂😂duh tz hata wakifungua duka inaitwa mall 😅😅

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 Před 26 dny +2

      Muulize hasa maana anaijiita star huyu nae,kwenye mastar wakiambiwa watoke hichi kituko nacho kitatoka kwelii looo😂😂😂

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Před 26 dny +4

      Carry sio staa kwa vipi ndugu yangu? Huyu ni star kwa sababu ana mtandao huu wenye subscribers karibu 500,000 na anajulikana mjini tofauti na wewe 😊

    • @simbawateranga7020
      @simbawateranga7020 Před 26 dny +1

      ANAJIKUTAGA SANA HUYU SHOMVI

    • @user-vq6iy4rf9m
      @user-vq6iy4rf9m Před 25 dny +3

      Mbona mall kwani unaugomvi na niffer 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @Chrisscherry
      @Chrisscherry Před 25 dny +1

      Sindio mwenye carry mastory media

  • @SalmaMasoud-ry4pg
    @SalmaMasoud-ry4pg Před 27 dny +1

    🇰🇪🇰🇪 Mashaalha Menenepa wow ❤

  • @KhadijaMbwana-kb8ib
    @KhadijaMbwana-kb8ib Před 11 dny

    Anatoto wa like huyo😂😂

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 Před 25 dny

    Kweli kawa mama mashaallah amependezaaa

  • @user-tp7bz9ep2l
    @user-tp7bz9ep2l Před 25 dny

    Umenenepa mashallah mpak umependeza kumbe mzur mashallah

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 25 dny

    ❤❤ Hongera mama 🎉🎉🎉🎉

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje Před 23 dny +2

    Roja umekuwa kibonge aisee

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 26 dny +3

    HAYO MANYONYO UNASEMA HAUNA MTOTO 😢

  • @sofiajumaa4538
    @sofiajumaa4538 Před 24 dny +1

    Umezaa bwanaa Muongo weweeee toka zako hapaaa

  • @Zeanbo1234-pn8tg
    @Zeanbo1234-pn8tg Před 26 dny +2

    ww kunamtoto jaman. Mbona. Unakataa. Mtoto Tena wakike. Angalia. Hta ziwa. Lako jaman. Duh. Furaha umeitwa. Mama

  • @zeyounhabibty8587
    @zeyounhabibty8587 Před 24 dny +1

    Wallahi sijategemea hata wewe ungedanganya Jamii dah kweli ulimwengu wa mtandao usimuamini mtu 😢

  • @michilita2959
    @michilita2959 Před 26 dny +2

    Kuzaaa kuzuri amependeza kweli

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i Před 26 dny +3

    Kwani ukisema tu umejifungua utakufa🤔

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 27 dny +4

    Najua kukupenda tu

  • @user-uf8lk9tv3r
    @user-uf8lk9tv3r Před 27 dny +3

    Hata mtu anaenyonyesha anaonekana

  • @mayungakisinza6090
    @mayungakisinza6090 Před 26 dny +2

    Nilikutana na we tegeta uko na mimba hata maziwa yanaonyesha acha kutuona watoto

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 27 dny +1

    Tulikumiss sana carry mastor 😂😂 mambo yakapo 😂😂😂

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 27 dny +2

    Yaani kuna baadhi ya wabongo ni hvyo kabisa hawawezi kufanya kazi nyengine yenye maana na faida zaidi ya UMBEYA, UCHAWA NA KIKI na yote hiyo inatokana na kwasababu hawana maarifa na Uvivu umewatawala.

  • @zamzanimakundi2546
    @zamzanimakundi2546 Před 27 dny +2

    Hujawahi kusema una mahusiano.pili una mtt nadhani mtt ana miezi 5

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu Před 18 dny

    SEMA carrymastory hajawahi kuwa serious, ndio maana wanaume wanampotezea

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 Před 24 dny +1

    Maziwa yamekuwq makubwa hivyo kweli duh

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 Před 26 dny +3

    Nyonyo tuu linatosha kuelezea kama umezaa😂😂😂 hongera sana

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 27 dny +2

    acha kuduchanganya lokole hajawahi danganya umezaaa ebu tukia

  • @WendoJuma
    @WendoJuma Před 27 dny +1

    Tutamuuliza Dada Wa Mangekimambi..subiri tu

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 Před 27 dny +3

    Mzuri jamani

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před 27 dny +7

    Kiukweli Mariooo atakuja kujutaaa😂😂😂

    • @user-hm3qm2nf1v
      @user-hm3qm2nf1v Před 27 dny +4

      Paula anajielewa amekua sio yule wa raivanny yuko na marioo wanakaribia na miaka 2 na mtt wameshapata mwacheni jmn

    • @user-oq8vp6ie7n
      @user-oq8vp6ie7n Před 25 dny

      We nae

  • @RamadhaniSaidi-wq8ym
    @RamadhaniSaidi-wq8ym Před 25 dny +1

    Hapo kwa Wema umesema ukweli kwa hadhi yake pale mwanaume hamna mm naumiaga Diamond na Wema ndiyo walikuwa wanaendana sana Sasa wamejikuta wako na mausiano Bora liende kipindi hicho mji ulikuwa wa moto

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen Před 27 dny +9

    😏😏😏😏Huna haya wewe mbeya mkubwa Sema Ukweli Mtoto Tunamuona jirani yako unamjua Na mtoto wa kike kwendraaaaaa ndio umeumiza watu roho zao shenzi wewe peleka jiziwa hilo mtoto akanyonye Na sasa ndio utaona uchungu wa mwana wacha uchawa unaharibu maisha ya watu Na wewe umekaa kama jike dume nyoko wewe🫵🏾

    • @teddygabriel5662
      @teddygabriel5662 Před 26 dny

      Heew

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Před 25 dny +1

      Stresss ni mbaya. 😂😂😂sasa makasiriko ya nn😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 Před 25 dny

      Khaaaa ni gongo umekunywa au ni roho mbaya unayo ,,kwanza walevyi wanaupendo..wew utakua mjukuu wa nyetanyahu

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před 25 dny +1

      @@salhawaziri1668 😏😏😏heri ya gongo kuliko wewe msago wa kutoana cheche kiboko yenu mange njambavu wewe mlevi wa kungu Na mirungi katafute mwenzio akutoe cheche mnamfurahi jibrilli mtoa roho za watu mwanamke wa kislamu shuahin kelp wewe muarabu koko😏🫵🏾

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před 25 dny +1

      @@salhawaziri1668 unaleta mambo ya kijijini hapa 🫵🏾😏haya karibu mjini mjiniii sura yako mbaya kama huyo mbeya wako wa mjini 😏😏😏😏🤪🤪🤪🫵🏾

  • @Official83640
    @Official83640 Před 27 dny +7

    Ila kamwili kamekuja Maa'shaallah na ziwa limetoka bwana mtoto tunae hapo😂😂😂

  • @HamidaOmar-ub4kb
    @HamidaOmar-ub4kb Před 27 dny +1

    Mashabiki nawashangaa munatukana watu kweni munapata faida gani kweni ukitukana unajulikana😂😂😂

  • @zeyounhabibty8587
    @zeyounhabibty8587 Před 24 dny +1

    Interview nzima swali la ujauzito basiii aghhh !

  • @nishgold4160
    @nishgold4160 Před 26 dny

    Nilikua nimemiss storry za carry

  • @shamiraabdallah3158
    @shamiraabdallah3158 Před 25 dny

    Huyu dada nampenda.

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d Před 27 dny +8

    Hana nyonyesha maziwa yanaonyesha ananyonyesha 😂😂

  • @tungarazalaurent2602
    @tungarazalaurent2602 Před 23 dny +1

    ILO ZIWA SIO LAKO ULIKUA NA VICHUCHU

  • @fausterkalinga6240
    @fausterkalinga6240 Před 27 dny

    ❤❤❤❤❤❤

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 27 dny +9

    Anaonesha amezaa

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před 23 dny +1

      Ni kweli hata maziwa yanaonyesha labda wasiojuwa

  • @shukurukitamuka6829
    @shukurukitamuka6829 Před 23 dny +2

    Amejifunguwa ona ziwa bonge au katowamimba😂

  • @user-hm3qm2nf1v
    @user-hm3qm2nf1v Před 27 dny +2

    Kama mtu na mfanyakazi wake😅😅😅😅😅

  • @user-bx6so4de3n
    @user-bx6so4de3n Před 24 dny +1

    Umezaaa nawe unatupanga

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před 27 dny +2

    Karma store for life 🥳🥳🥰🥰🥰

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Před 25 dny

    Halafu kanoga sana❤

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q Před 21 dnem

    Huyu dada Carry mastory ana akili sana.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 26 dny +1

    Mmbea anahojiwa

  • @starlily07
    @starlily07 Před 17 dny

    Carry bana sie tuliopitia uzazi tukikuangalia tu tunajua wewe ni mzazi, nikiangalia kifua chako tu kinaonyesha wewe ni mzazi kabisa 😀, ila mi nakupendaga mwaya

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 Před 27 dny +1

    Mtindi sasa

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 Před 26 dny +1

    Wewe no sta??? Kwaheri

  • @user-zu6pc1hu7d
    @user-zu6pc1hu7d Před 19 dny

    Maziwa yashatanguliya hayo ww wacha kusema uwogo

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před 27 dny +4

    Kariamstory kanenepa kapendezaaa😂😂😂😂🥳🥰🥰🥰🥰

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 Před 23 dny +2

    Ndio ukaaji gani wakujichanua

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 Před 24 dny

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @agyemma2874
    @agyemma2874 Před 17 dny

    nyonyo kubwa sana hzo halafu zime vimba vimba

  • @nadhifamustapha7557
    @nadhifamustapha7557 Před 7 dny

    She look like +

  • @husnaaaa703
    @husnaaaa703 Před 27 dny +1

    Kapendeza sana

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 27 dny +3

    Nyonyo hiyo carry

  • @gwennipah9072
    @gwennipah9072 Před 23 dny

    Carry wazungu hawana mpango wowote

  • @EmilyAlph
    @EmilyAlph Před 26 dny

    Eti star😂😂😂

  • @user-cv4yx4uf8u
    @user-cv4yx4uf8u Před 18 dny

    Umbea wake ,mbona hamsemi alie mpa mimba

  • @user-zu6pc1hu7d
    @user-zu6pc1hu7d Před 19 dny

    Naubaya zaidi hunasidiriya yaukweli

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 25 dny

    Mbona maziwa yanaonesha

  • @esterMahenge
    @esterMahenge Před 22 dny

    Kweli cary mmbea alafu sasa mkavu

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 Před 26 dny

    Amekua kama masha manyonyo baada ya kuzaa ziwa limekuja kwa kasi 😂😂😂😂

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 26 dny

    Carry umenenepa

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 Před 26 dny

    Mungu akiandika hakuna malaya wa kupinga..Zuchu na diamond platnums forever..Tuondolee wivu kanyonyeshe huko.utakuwa umezalishwa ukaachwa ndio maana unaficha 😂😂😂😂😂nyambafu mbea yamekukuta eeh

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 27 dny

    hibi sasa njo kuonekana mzazi maana ulikua kama mwanaume😅😅😅😅

  • @lucyjohn3537
    @lucyjohn3537 Před 25 dny

    Alipewa ajira na mange sasa mambo yameyumba Kwa mange ndo anataka kurudi

  • @Zeanbo1234-pn8tg
    @Zeanbo1234-pn8tg Před 26 dny

    3:42

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d Před 27 dny +1

    Wacha kudanganya huma wewe ni mzazi tulie zaa tunajua

  • @Mgema001
    @Mgema001 Před 27 dny +1

    Kesho tegeta asubui sana😂😂

  • @user-pr4hb2yc9j
    @user-pr4hb2yc9j Před 24 dny

    Kila mfano unamtolea paula ndio Roll model wako?

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 26 dny +1

    Kidumedume

  • @saumsaid1966
    @saumsaid1966 Před 21 dnem

    maziwa yamejaaa hivyo

  • @lyidiajuakaly3335
    @lyidiajuakaly3335 Před 27 dny +13

    Umejifungua bhana ziwa linajionyesha hilo

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 Před 25 dny

    Kanenepa maziwa tuu

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 Před 25 dny

    Kanenepa

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 26 dny

    Bbyshow tena😂😂😂ila alvonenepa kawa mbaya mijishavu

    • @Carrymastory
      @Carrymastory  Před 26 dny

      Khaa ila wabongo nikiwa mwembamba nachambwa ukinenepa shida

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 Před 18 dny

      @@Carrymastoryumeona eeh.. binadadamu hawana jema.

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 Před 27 dny

    Kapendeza mno kanoga

    • @Anzalmidel
      @Anzalmidel Před 11 dny

      Kwa hiyo wacha umbea utapendeza zaidi

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 Před 27 dny

    Kanoga

  • @user-ur8cq1ye3b
    @user-ur8cq1ye3b Před 25 dny

    Ziwa limejaa

  • @MwacheoHanzada
    @MwacheoHanzada Před 27 dny +1

    Ila wakuzaa hajifichi maziwa yako full fat

  • @millymack1370
    @millymack1370 Před 24 dny

    Amekua mrembo mno

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 Před 26 dny

    😂😂😂😂Siku zote najuaga ni mwanaume

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Před 27 dny +2

    Zuchu na diamond wanawasumbuwa sana umbwa wewe

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b Před 25 dny

      We ndo unasumbuka mbwa mwitu mwambie aoleww asichezewe kenge wewe

  • @BintChaula-yj2xw
    @BintChaula-yj2xw Před 27 dny +5

    Tutamuuliza mange kama huna mtoto

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 Před 25 dny

    Diamond na zuchu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @YuzzoboiTz
    @YuzzoboiTz Před 27 dny

    😂😂😂😂😂

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 Před 27 dny +2

    Kanoga balaaa

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 25 dny

    Mungu anawalipa kwa kuwadhalilisha binaadam wengine. Mungu atawahukumu tu na bado kama hamna mashamba ya kulima mutakoma. Sasa tangazeni yenu wajinga nyie

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 26 dny

    Yani for fan alafu unamchafua mtu kwer?? Yan bongo bwana...Yan upate wewe kwakumchafua mtu mwingine kwer

  • @user-el7ut2qk4e
    @user-el7ut2qk4e Před 21 dnem

    Wa2 bwana sasa paulla kakukuta kwenye game gani😂😂😂

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 Před 26 dny

    Ovyo hujawaho kumpenda zuchu ata dakika nyoko wee

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 Před 24 dny

    Kakatwa naye na Mdomo wote fyeeeeeee