TAMBO ZA ALLY KAMWE " Yanga HATUBEMBELEZI MTU! haifananishwi na Wavua mashati!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Telegram: t.me/Kidanista...
    Ushindi huo unaifanya Yanga kutinga hatua ya Robo Fainali ambapo mabao ya timu zote yakifungwa kipindi cha pili Cha mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Azam Complex,Chamazi.
    Subscribes: / kidanistars
    YANGA bado ipo njia Kuu ikitaka kutetea mataji yake yote mawili yaliyosalia baada ya jana kuichapa Prisons ya Mbeya kwa mabao 4-1 mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Kombe la Azam Shirikisho.
    Instagram: www.instagram....
    Facebook: www.instagram....
    Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii t.me/Kidanista...

Komentáře •