JINSI YA KUPAMBANA NA SIRI ZA UOVU DHIDI YAKO PART 2|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 06/06/2024
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2024
- Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
-Safari Com : +254 722 578 776 (Jina : George Stephen Mukabwa)
Gospel Teachings for soul winning Purpos
Mungu wa mbinguni Kubari sana nimekuwa nikikufuayilia kwa jump moja hivi na sijuti.Mimi nafanya kazi ya nyumba Saudia licha ya kucho nilimwomba Bwana neno moja anipe neema ya kujinyima usingizi ili nikae katika ibaada maana huku nukufungiwa tu ndani ya nyumba,lakjni kwa sababu ya huduma hii umefanyika msaada kwangu ubarikiwe sana na Mungu akulinde wewe pamoja na jamii yako🙏🙏🙏
Amina baba
I am happy for those teaching I have been asking my self how to enter into spiritual realm but today iam understand
Asante sana pst ubarikiwe sana . Nimetuma 300 kwa sadaka ya father's day kwa akili ya watoto wangu Brain, Kevin and Wilson naomba mwenyezi mungu awajalie mafanikio katika maisha yao yajawa mkubwa amemaliza kidato cha nne na hao wengine wako cha tatu munisaidie katika maombi kwa hizo baraka za father's day Amen.
Asante mkabwa mungu azidokukubariki umekuwa nuru kwa wengi kama mimi kazi yako si bure
Mutumishi wa mungu ubarikiwe kabisa. Asante kwa mafundisho
MUNGU akubariki sana mtumishi
Asante Bwana Yesu 🙏🙏
Ubarikiwe sana Pastor God bless you 🙌 🙌 🙌 ukiwatetea yatima na walioonewa
ili mwanadamu ambaye ni udongo asiogopeshe tena.
Kumbe team Saudia tuko wengi, may God bless pastor George juu amekuwa msaada kwenu.
What a teaching❤❤
Amen 🙏
Atukuzwe mungu anaekupa uwezo wa kufundisha neno lake
Amen amen 🙏🙏
Baba nifunulie
Sadaka hii pokea MUNGU ubariki kwa jina la yesu
Aminaa Aminaa barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kwa Neno na mafundisho 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa sana na mafindisho Yako mtumishi wa Mungu ninafunguliwa sana.Mungu akuinue zaidi Injili Yako ni halisi haijagoshiwa
Akika umelibariki sana baba Mungu wa biguni akubariki sana🎉
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu mimi napenda sana mafundisho yako yamejenga sana
Mtu wa Mungu unakuwa una nijengaka sana mu mafundisho yako baba
Asante kwa mungu wetu kwa kukupa neno kwa ajili yetu
Mungu akubariki sana Mtumishi George mafutisho yakujenga imani
Mungu awabariki sana. Pastor George kwa mafundisho yako.
Amina kwa fundisho zuri MUNGU akubarki mtumishi wa MUNGU
Natamani na mm niweze kunena kwa lugha 😢, oohhh God
Anza na asante Yesu yurudia sante yesu haraka haraka hadi ulimi ukolee moto then utapata lugha mpya
Pili usiwe mbali na bible soma hyo Matendo jinsi mitume walivyojaa roho then utafakar na kumwambia Mungu nahitaj hii nguvu iliowashukia
Asante Yesu Amen
Amen 🙏🙏 Kenyan verse Arabia, God bless you 🙌
Pastor you are always on point, may God continue using you in mighty ways.
Amina na asante sana Pastor
Nabarikiwa sana kwa mafundisho yako pastor
Amen nimebarikiwa nko kenya
Amen
I'm blessed mnoooooooooooo!!!!!!!!!
Pastor unanibariki. Kweli tupunguze usingizi tupaate vitu mapema.
Amen 🙏🇸🇦🇰🇪🇸🇦
🙏
Nimepata kitu kwakufatilia mafundisho yako
Amen amen amen 🙏🙏🙏💖
Amen 🙏
Amen
Amen.pastor nimona mungu kamaombi ya. Usiku kazi
Amen🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏