DRAMA😳! KRG's BROTHER MEETS KRG ABANDONED SON! ‱ WARNS HIM ON DNA TEST

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 13. 06. 2023
  • #vincentmboya #krgthedon #nicholaskioko

Komentáƙe • 908

  • @vincentmboya
    @vincentmboya  Pƙed rokem +45

    What's your take on this?

    • @joykinyua4475
      @joykinyua4475 Pƙed rokem +8

      MBOYA DON'T ACCEPT THE BROTHER TO DO THE DNA TEST IT WON'T MATCH NOT UNLESS THEY ARE TWINS WITH KRG......LET KRG DO THE TEST.
      AND SHAME ON HIM FOR THREATENING THE YOUNG MAN..... THAT ATAJUA HAJUI SHAMELESS.

    • @hildanjoki8317
      @hildanjoki8317 Pƙed rokem +1

      Dna is done by the suspected dad,for brother is a waste of money

    • @vickymutune
      @vickymutune Pƙed rokem +3

      They are not twins

    • @justerkagwiria8694
      @justerkagwiria8694 Pƙed rokem +1

      Baba afanye dna

    • @jackiechela773
      @jackiechela773 Pƙed rokem +2

      Don't allow his brother to do DNA...KRG mwenyewe afanye DNA na watoto wake

  • @lynnedarling1135
    @lynnedarling1135 Pƙed rokem +164

    Do not threaten that innocent boy.He doesn't need you.He only want to know the truth.Krg should do the DNA not the bro.This is shameful.Treat the boy right

    • @KJHJGLKUIY
      @KJHJGLKUIY Pƙed rokem

      😂😂😂😂😂

    • @irenejane4213
      @irenejane4213 Pƙed rokem +1

      Kwani walikuwa wapi wakati huo wote

    • @alicekisanga8004
      @alicekisanga8004 Pƙed rokem

      @@irenejane4213 you sound stupid 😏

    • @JMBM8822
      @JMBM8822 Pƙed rokem +2

      Exactly what I said. He didn't ask for this. Sad. And the boy looks exactly like his uncle.

    • @ediekisangi4172
      @ediekisangi4172 Pƙed rokem

      the boy luks innocent

  • @jedidahmuthoni3274
    @jedidahmuthoni3274 Pƙed rokem +25

    Eti mtoto atajua hajui...let krg do the Dna not you... you can't know all your brother's relationships

  • @charitywavinya9457
    @charitywavinya9457 Pƙed rokem +16

    KRG ni mature sana , ingekuwa ni yeye anaongea na huyu mtoi angekuwa so calm , but huyu bro yake coz he is not a father Ako tu na ukali mingi and this is just a kid , that's not how you talk to a kid , remember this is information given by the mother not him , so allow him know the truth calmly msimshtue mtoto bana

  • @g8ight423
    @g8ight423 Pƙed rokem +26

    Huyu ndugu ya KRG ni mshenzi sana anatishia aje kijana mdogo hivo 😱na anataka DNA kama nani na yeye cio baba ya mtoto 😏😏😏

    • @MaMa-gp1pw
      @MaMa-gp1pw Pƙed rokem

      Kumanina yake,yeye ndio alidinyana.

  • @gig2918
    @gig2918 Pƙed rokem +59

    Brighder and Yvonne should insist on a court supervised DNA. Anything else will be a sham!

    • @michaelsitati3740
      @michaelsitati3740 Pƙed rokem +1

      Perhaps Jesus himself supervise but Kenyan courts no justice

    • @BeingHuman485
      @BeingHuman485 Pƙed rokem

      umesahau courts huongwa? wang'oe tu nywele live on camera wakajifanyie.

  • @jdsanty4304
    @jdsanty4304 Pƙed rokem +33

    Mimi kitu naeza sema Kwa huyu mtoto huyo KRG akikukataa achana naye na uhesabu hauna baba mungu ndo baba ya wasio na baba nakuambia kijana ni baraka kubwa sana Kwa hiyo family

  • @pamelawanderaofficial6257
    @pamelawanderaofficial6257 Pƙed rokem +8

    Sauti zao ni DNA tosha acheni kusumbua this handsome babyboy. Mwenye macho haambiwi DNA

  • @josphinenduta2011
    @josphinenduta2011 Pƙed rokem +46

    Anakataa DNA test kama nani? He's not the father to the boy. Mnafanana sana, but let your brother do the required.

    • @kennedymuseti5165
      @kennedymuseti5165 Pƙed rokem +1

      Kwani unaumwa na hizi story?

    • @masonsanders7689
      @masonsanders7689 Pƙed rokem +1

      ​@@kennedymuseti5165 even a relative cna do DNA if the father is refusing

    • @kennedymuseti5165
      @kennedymuseti5165 Pƙed rokem +3

      @@masonsanders7689 DNA will turn positive for any of the closest relative. Brother, cousin, grandma, grandpa etc etc

    • @immaculatemushira8192
      @immaculatemushira8192 Pƙed rokem

      He is there to cover for the brother bure hao

  • @carenchelangat2436
    @carenchelangat2436 Pƙed rokem +4

    Huyu ni nani sasa serikali itaingililia kati hatutaki mchezo. Mmunakataa watoto

  • @tinadesmond9415
    @tinadesmond9415 Pƙed rokem +5

    KRG you have to do something to bring all children to the limelight before waoane ju ya kutojuana

  • @tepachforyou
    @tepachforyou Pƙed rokem +10

    Kama huyu brother wa KRG si twin brother wake then haezi fanya DNA na hawa watoto. Reason;
    1. Yeye na KRG wanaweza kua wanashare tu mama na sio baba which means their DNA can't be 100% same and maybe they don't even know. This will alter result.
    2. Yeye na KRG sio twins kumaanisha there is gap when it comes to theit chromosomes....
    Haezi fanya DNA na hawa watoto kabisa.

  • @homeboyzfc9858
    @homeboyzfc9858 Pƙed rokem +11

    Kuna story uyu boy alitaka kusema ya gikomba uyu bro wa krg akamkata

  • @philis982
    @philis982 Pƙed rokem +63

    No need to threaten a young boy like that.shame on you.its your brother KRG mistake.huyo ni kuku danger.

    • @Marie2019Gitau-ke1pf
      @Marie2019Gitau-ke1pf Pƙed rokem +4

      No need kwanza kijana mwenyewe ni mpole anampanda uoga ....wanaume wakubali majukumu ...don't let your child suffer..coz hata wale anawalea ni watoto..haujui...maybe hawa anakataa ndio watakuja kumsaidia uzeeni

    • @austine8255
      @austine8255 Pƙed rokem

      These people are not fair enough alafu this man is so hard on the boy ata kijana hajajieleza

    • @austine8255
      @austine8255 Pƙed rokem

      ​@@Marie2019Gitau-ke1pfpengine hao sio wake na hajui hawa anawakataa ndo real blood 😅Nona mabo ikichemuka

    • @cuties668
      @cuties668 Pƙed rokem +3

      ​@@austine8255naskia nikiboeka vile anakataa watoto

    • @debuchy413
      @debuchy413 Pƙed rokem +2

      Krg the donkey your bro is weak anatishia mtoi wako kwa nini

  • @philis982
    @philis982 Pƙed rokem +22

    Amefanana na watoto wa KRG.but if I was him, I will be happy and proud to have pretty and intelligent boy like this.childrean a blessing from God.unaweza kukataa na ukate a future president 😂😂😂.Sasa akiwa president ndio atasema huyo ni mtoto wanguđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł.wengi wanamezea mate huyo kijana wanasema I wish angekubali nikuwe baba yake. At that age ana business yake na anajisomesha.clever boy.🙌

  • @fevachris6953
    @fevachris6953 Pƙed rokem +18

    Why is this guy against Krg seeing his son ,maybe he and krg shares only a mother

  • @fevachris6953
    @fevachris6953 Pƙed rokem +4

    Mboya this guy should not do DNA na huyu mtoto,who knows if he is the real bro to krg ,maybe baba ni tofauti
    DNA should be from Krg

  • @mwitamaryghatiofficial
    @mwitamaryghatiofficial Pƙed rokem +4

    Nani amenotice the boy anasmile kama Yvonne 😊😊😊

  • @gazembaondego6779
    @gazembaondego6779 Pƙed rokem +4

    Krg and brother should do a DNA test first maybe they ALSO don't come from same father đŸ€·â€â™‚ïž

  • @bahatiabc4291
    @bahatiabc4291 Pƙed rokem +12

    Krg afanye mwenyewe DNA si bro tunataka yy

  • @gmbimo
    @gmbimo Pƙed rokem +19

    Why people are taking kids for granted i wish you guys you respect this kids and treat them right

  • @nancyndaba3773
    @nancyndaba3773 Pƙed rokem +7

    How is he doing the DNA,,we need krg to come out ,,tell that bro to stop threatening that young man he want his right,,,who is he to talk on behalf of krg yet he is alive and adult ajitokeze father Abraham

  • @esteleem1792
    @esteleem1792 Pƙed rokem +7

    KRG ameogopa kukam on set,,,mambo yamechemka, he cant withstand the shame🙆,,,kajoji wewe chukua watoto.wako😂😂😂😂😂

  • @joykinyua4475
    @joykinyua4475 Pƙed rokem +69

    WHO IS HE TO DO THE DNA TEST?
    WHO IS HE TO THREATEN THE YOUNG MAN THAT ATAJUA HAJUI?
    SHAME ON HIM.
    LET KRG COME FORWARD AND DO THE TEST. MBOYA DO NOT ACCEPT IT WILL BE A WASTE OF TIME.... NOT UNLESS HIM AND KRG ARE TWINS.... OF WHICH THEY ARE NOT.

    • @reginaakumba9509
      @reginaakumba9509 Pƙed rokem +3

      Ana mbwakni sana

    • @joykinyua4475
      @joykinyua4475 Pƙed rokem

      @@reginaakumba9509 True👍

    • @Aly-be6rf
      @Aly-be6rf Pƙed rokem +1

      Mitochondrial DNA is similar among siblings and is used for maternal tests

    • @MaMa-gp1pw
      @MaMa-gp1pw Pƙed rokem

      Ameniboo kumanina yake,yeye ni nani sasa?

    • @benterotieno2707
      @benterotieno2707 Pƙed rokem

      DNA test can be done by any of the family members

  • @susannaikuni8595
    @susannaikuni8595 Pƙed rokem +4

    Hii familia ya akina krg wanajiskia sana na kiburi mingii

  • @Deborahke254
    @Deborahke254 Pƙed rokem +11

    This young man has a right to Sue baddest for threatening him

  • @raelkuria5912
    @raelkuria5912 Pƙed rokem +5

    Yes they look like but I like the way Young gentle Man humbled

  • @Leseelasumayia
    @Leseelasumayia Pƙed rokem +5

    Mboya these krg bro is threatening
    The small boy
    Money can't buy dignity
    Let him preserve
    Caz the universe keeps the memory

  • @jameswenyaa8304
    @jameswenyaa8304 Pƙed rokem +49

    Please Mboya, protect that young man. He is just after knowing his father. They should be easy on the young man. When children grow older they tend to look for the parent they haven't seen/ never met. Brighder looks genuine. KRG should do the DNA himself and take care of his offspring...

    • @KJHJGLKUIY
      @KJHJGLKUIY Pƙed rokem

      😂😂😂😂😂

    • @davidkamau6820
      @davidkamau6820 Pƙed rokem

      wht a naive Kenyan!😅

    • @missdavid4006
      @missdavid4006 Pƙed rokem

      Ukweli ... This man I have already started hated the. Bro to krg. His badddddd

    • @eliudmaina3722
      @eliudmaina3722 Pƙed rokem +1

      KRG Brother isn't mature!!
      KRG so much mature

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Pƙed rokem +10

    Mambo imechemka đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ™Œ
    By the way,DNA inamuhusu mwenyewe KRG and not his brother!!!
    Kajojii fanya DNA ndo haya mambo yaishe.

  • @sammyodak61
    @sammyodak61 Pƙed rokem +17

    Yeye anafanya DNA as who? he's not KRG

  • @Ronicakeddy_254.
    @Ronicakeddy_254. Pƙed rokem +2

    Huyu ni krg mtupu bana sauti mdomo macho yaani niseme nini nitaje nini he's an immediate photocopy â€â€â€đŸ˜Š

  • @millicentwanguik2668
    @millicentwanguik2668 Pƙed rokem +6

    It's like he's threatening the boy.
    Haongei poa.... Yvonne nilikuwa nakataa but huyu, niko 50/50

  • @jobmbugua7291
    @jobmbugua7291 Pƙed rokem +86

    The young man has more reasoning capacity than krg's brother.đŸ€ŁđŸ€Ł

    • @GraceKanu-lr6yv
      @GraceKanu-lr6yv Pƙed rokem

      Umeonae 😂😂😂

    • @edwardsamilee2330
      @edwardsamilee2330 Pƙed rokem +1

      Hauwezi enda kwa mtu kuomba msaada alafu unaanza kiburi.Lazima unyenyekeeđŸ€ŁđŸ€Ł

    • @GodsGift76
      @GodsGift76 Pƙed rokem

      Definitely 💯

    • @stevesm2941
      @stevesm2941 Pƙed rokem

      Very true

    • @jobmbugua7291
      @jobmbugua7291 Pƙed rokem +2

      @ANTHONY MUKUU The young man chose not to answer a loaded question.(about ID)

  • @bahatiabc4291
    @bahatiabc4291 Pƙed rokem +3

    Anasema DNA ispomuch watajua hawajui na ikimach uso wenu mutaweka wapi

  • @brendajadevera9597
    @brendajadevera9597 Pƙed rokem +15

    Babake mtoi afanye DNA sio brother ake 😳😳

  • @julietcute5306
    @julietcute5306 Pƙed rokem +4

    Shame on you... Ambia brother yako afunge zip. Sio Kila Shimo anaingia😱😱😱nkt

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Pƙed rokem +9

    😂😂😂😂Jamani wanawake humbu tuwe makini maana leo duniani haya tunayo yafanya kesho tunakwenda kwenye kuulizwa na mwenyezi mungu hembu waambieni watoto wenu mnazaowazaa Baba zao jamani imauma ukimuona mtoto anatafuta Baba yake 💔💔💔💔

  • @Lotus12A
    @Lotus12A Pƙed rokem +11

    DNA haiwezi fanywa na anyone else apart from the suspected father.. Asiwakoroge

  • @christinekedogo9308
    @christinekedogo9308 Pƙed rokem +4

    Aki mboya unatumaliza kabisa hapo sasa tunakupenda mboya wetu aki ya mungu wametokaa wapi Hawa watoto basi kuna wengi tu mboya walete wote 👏👏👏👏👏👏đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș

  • @roselyneorengo7603
    @roselyneorengo7603 Pƙed rokem +4

    Please mboya usikubali kufanya DNA na babake not the brother please why him

  • @merilynmamayao8269
    @merilynmamayao8269 Pƙed rokem +30

    Biggup to the ladies who brought up these kids. Very intelligent,full of humility..
    This kid can challenge you, even his uncle anajikoroga mwenyewe.
    But Mboya mbona mumemukatizia, he was to say something .😱

    • @restutachari9825
      @restutachari9825 Pƙed rokem

      This boy his very intelligent,,and brave

    • @restutachari9825
      @restutachari9825 Pƙed rokem +1

      Am 35yrs and me looking for my dad and am not ashamed na nilazima kieleweke😂😂😂

    • @davidkinuthia5336
      @davidkinuthia5336 Pƙed rokem

      Know the place moshi

    • @patriciaadhiambo3953
      @patriciaadhiambo3953 Pƙed rokem

      Yeeees pia mmi nilikua nangoja iyo

    • @merilynmamayao8269
      @merilynmamayao8269 Pƙed rokem +1

      @@restutachari9825 may God make it possible for you dear. Sending hugs to youđŸ„°đŸ„°

  • @lydiahnyamari55
    @lydiahnyamari55 Pƙed rokem +8

    Kwani muko twins kwenda huko baba afanye DNA

  • @philipnganga7940
    @philipnganga7940 Pƙed rokem +8

    I love this krg alleged son so humble so smart if I was a billionaire ningemchukua nikue Budake he's a nice soul bughaa if this is your boy no need to make this boy suffer

    • @moniquederique2428
      @moniquederique2428 Pƙed rokem +1

      He was to say something, they cut him off...not fare aki

    • @philipnganga7940
      @philipnganga7940 Pƙed rokem

      @@moniquederique2428 yea it felt bad there was really no need for intimidation

    • @lydiakemuma9533
      @lydiakemuma9533 Pƙed rokem

      Wewe sio babayake .....wachana kijana

  • @alekieekenya516
    @alekieekenya516 Pƙed rokem +6

    Mnafanana you guys look together,mboya utanimaliza bana....

  • @lucymuthoni3643
    @lucymuthoni3643 Pƙed rokem +18

    Will pray it turns positive same to Yvonne..these kids are smart

    • @nomatusi7514
      @nomatusi7514 Pƙed rokem

      This is an interesting story. Kajoji belong to prison for impregnating a 13 years old girl. Mama Yvonne belong to prison for allowing her 13 years girl to get married.

  • @austine8255
    @austine8255 Pƙed rokem +4

    If Bugaa's family are fare enough his Krg should do the DNA alafu huyu brother wa Krg aache kumtishia huyu kijana ata hajajiexpress ,... anyway wanyonge hawana haki Dunia hii .ju ,his DNA can only match that of Krg only if they are IDENTICAL TWINS and only that , sasa asifanye DNA to confuse people let Bugaa afanye DNA,that's my opinion

  • @verah-zw3eo
    @verah-zw3eo Pƙed rokem +2

    Mboya usikubali huyo kijana afanye DNA na huyo ndugu

  • @ruthmongina7611
    @ruthmongina7611 Pƙed rokem +13

    Uyo bro wa krg anaringa Sana...u do DNA like who now?!!

    • @MM-nn9vp
      @MM-nn9vp Pƙed rokem

      Ndio nashangaa anaongelelea krg why?

  • @zipporahmujiti5435
    @zipporahmujiti5435 Pƙed rokem +3

    Krg ndio amemtuma aongee matope kwani yeye ndiye alikua na uhusiano na mama zake au yeye.

  • @dorothyboyani2272
    @dorothyboyani2272 Pƙed rokem +5

    Stop traumatizing this boy 😱😱😱my God punish you guys for mistreating this innocent children 😱😱

  • @faithgillian2093
    @faithgillian2093 Pƙed rokem +2

    Mbona walikatisha huyu kijana akisema story ya Gikomba there's something he knows and the brother knows too that he doesn't want the public to know...Then it is a big mistake to threaten this young boy eti atajua hajui he only wants to know his father and nothing more na kwani lazima ungejua girlfriends wa KRG wote unashinda ukisema eti hujawahi skia Sandra...This boy is Soo young but brilliant

  • @winnieobwaya376
    @winnieobwaya376 Pƙed rokem +1

    Huyu ni nani Tena, si ni mavi sana eti wafanye DNA na mtoto mwenye si wake asitupebe ufala, krg ni father Abraham

  • @gracekimani5282
    @gracekimani5282 Pƙed rokem +10

    Mboya why would you allow the young man to be threatened by that KRG bro?.it is not fair ,then the boy and the mother should not allow any DNA with the brother ..then ask yourself why do people get exhumed to be taken DNA and they have life brothers!

  • @mwanasitidettwiler9254
    @mwanasitidettwiler9254 Pƙed rokem +8

    Yes they look together👍👏

  • @unclebazuu5238
    @unclebazuu5238 Pƙed rokem +2

    Huyu mjinga aunini, ju krg tushajua ako na 37yrs so bro acha kuongea ka fala, that is your brother's son bro, hata mnafanana kwani huoni 😱

  • @evansotieno9172
    @evansotieno9172 Pƙed rokem +2

    Krg anaeza unde county na watoi...ndo maana ako na representative

  • @Sharonshill96
    @Sharonshill96 Pƙed rokem +5

    How can he accept to do a DNA on behalf of his brother? Are they twins? That's not good. Let KRG step in and do DNA . Story mingi hazisaidii kabisaaaa...everyday it's a new story....

  • @sheemaryam
    @sheemaryam Pƙed rokem +3

    DNA niya dad sio brother aache uwongo hapa wata waste pesa

  • @mercymukulu6752
    @mercymukulu6752 Pƙed rokem +2

    Our very own Father Abraham....we had our east African one now we got our Kenyan one😱

  • @norahngina9474
    @norahngina9474 Pƙed rokem +13

    Mboya hatukubali huyu ndugu ya KRG afanye DNA,tunataja baba ya mtoto,the don mwenyewe afanye test

    • @kennedymuseti5165
      @kennedymuseti5165 Pƙed rokem

      Do you know how DNA is done when the alleged father of the child is dead?

    • @edwardsamilee2330
      @edwardsamilee2330 Pƙed rokem

      @@kennedymuseti5165 Wachana na uyu hajui kitu anasema. Already watu washaa judge so anything utaambia mtu hataskia.Ivyo ndio wanadamu wako

    • @saidahj2543
      @saidahj2543 Pƙed rokem +1

      ​@@kennedymuseti5165bt krg is not dead,we want him cz we need more answers from him ikiwa mtoto atapatikana ni wake

    • @aliciaaarnout7821
      @aliciaaarnout7821 Pƙed rokem +1

      Not unless the father is dead,but as long as his father is alive this brother should wake up from his slumber!

    • @kennedymuseti5165
      @kennedymuseti5165 Pƙed rokem

      @@saidahj2543 ati "we want" as who?
      People can't come from nowhere 20 years later and claim to be your children. Everyone can read malice in these allegations. Let them go back to their caves. If they're serious let them go get court orders, and pay for damages in millions if DNA turns out negative. There's a reason why those mothers dont want to follow legal processes.

  • @michaelsitati3740
    @michaelsitati3740 Pƙed rokem +11

    This is a well thought out scheme by KRG to cover his lies,its now an open secret that KRG lied about his age and believe me you KRG Ni kajoji wa ndumberi and time will reveal it

  • @jentrixekui8451
    @jentrixekui8451 Pƙed rokem +8

    I like the way these babies are so mature

  • @lilian2660
    @lilian2660 Pƙed rokem +2

    Mama ivon ako ako wapi? Sasa huyu ndio kajoji

  • @radyvking
    @radyvking Pƙed rokem +1

    Nan anaona kiburi ya kijana n kama tu ya the Don mwenyewe "anitafute yeye"😂😂😂

  • @salomemuturi9005
    @salomemuturi9005 Pƙed rokem +4

    Waaaao this is supa hilarious bogaaaaaa kuja uone😂😂😂😂

  • @wekesadennis7888
    @wekesadennis7888 Pƙed rokem +16

    Those questions asked by KRG's brother was very wrong to that child...the kid could not look for his father while young...why ask him where he was since then...

  • @salomewamuhu2252
    @salomewamuhu2252 Pƙed rokem +1

    Krg wewe ni mzee kubali DNA ifanywe juu hiyo ndyo itasemsbpoa ni vile ataki mwika yake injulikane,krg senge sana ulianza mapema kama ni mimi sitakumbali mtoi wangu ni mle alafu akiwa mkubwa anze kurafuta baba na ni devil worsper alafu mtoto atolewe kafara

  • @Guled3
    @Guled3 Pƙed rokem +7

    These guys look alike even the way they smile.

  • @gladysnyangau9397
    @gladysnyangau9397 Pƙed rokem +13

    Hakuna vile utafanya DNA juu wewe na krg sio twins tunataka krg mwenyewe afanye DNA mbona anaogopa kama yeye sio baba ya huyo kijana

    • @kennedymuseti5165
      @kennedymuseti5165 Pƙed rokem +1

      DNA can turn positive to any of the closest relative

    • @puritynkatha5599
      @puritynkatha5599 Pƙed rokem +1

      ikiturn positive atasema ni wa babake vile alisema vyonne,

    • @gladysnyangau9397
      @gladysnyangau9397 Pƙed rokem

      @@puritynkatha5599 wacha krg na kijana wafanye DNA simple

    • @gladysnyangau9397
      @gladysnyangau9397 Pƙed rokem

      @@kennedymuseti5165 ikiwa positive krg atasema na wa dugu yake wacha mwenyewe afanye DNA

  • @cuties668
    @cuties668 Pƙed rokem +3

    Mimi nasema KRG akikataa , Mungu yuko na atatetea watoto

  • @AfricansInGulf
    @AfricansInGulf Pƙed rokem +1

    The boy seems more mature than the KRG brother, anauliza maswali ya ufala, how can he ask the boy kama ID yake imeadikwa jina ya KRG?

  • @praxidisaserena27
    @praxidisaserena27 Pƙed rokem +1

    waaa this has made me believe ata huyo Yvonne si wa KRG😂😂this claut chasing or maybe staged

  • @mukhtaromar3880
    @mukhtaromar3880 Pƙed rokem +9

    Masha Allah, I like the way you have answered. Well done KRG brother.....

  • @comuways8747
    @comuways8747 Pƙed rokem +7

    The son is very mature.. may he get his right as he requested..

  • @share-love
    @share-love Pƙed rokem +1

    ha ha ha ! sandra was after mama yvonne. Now i remember the story of mama yvonne. These kids are for KRG.Nilisikia mama Yvonne akisema alipozaa KRG alianza ku-date mwanamke mwengine anaitwa Sandra! mambo itachemka. KRG njoo hapa watoto hawa wote ni wako mzee! and the fact that Yvonne is 19 and this young man is 18? wazi! story ya mama Yvonne sasa ni true!

  • @cicyleankinyua
    @cicyleankinyua Pƙed rokem +2

    KRG mwenyewe afanye DNA huyu jamaa ata hajui vile anasema 😏kwani mtoto ni wake???

  • @elizabethmugamba8105
    @elizabethmugamba8105 Pƙed rokem +3

    Brighder na Yvonne wako na same smile 😂😂

  • @EFOX1
    @EFOX1 Pƙed rokem +19

    Such a well mannered boy. Hadi nafee nikama mnamsumbua Na hii camera "thingiZ". May he find the love he deserves from his father.

  • @shirlincandy550
    @shirlincandy550 Pƙed rokem +1

    Young boy resembles KRG son mwenye alisema eti Yvonne anafanana macho na babake hmmm big up baba Abraham

  • @aplokimo405
    @aplokimo405 Pƙed rokem +1

    Wakikuyu kuruka watoto?kwani huwezi lea watoto hata kama dio wako?

  • @roozr4114
    @roozr4114 Pƙed rokem +4

    Tena kaspool alisema krg ako na watoto 19

  • @MaAndMe101
    @MaAndMe101 Pƙed rokem +4

    This child looks terrified...he is cute though and the mum has done a good job

  • @user-rg8mt2xk9c
    @user-rg8mt2xk9c Pƙed rokem +1

    You are asking alikua wapi 18yrs as who wewe bro ya krg hauna akili

  • @christinewangili
    @christinewangili Pƙed rokem +2

    DNA ni baba that's enough I feel there pain being one of them knowing my dad late hindered my everything

  • @petermugambi9601
    @petermugambi9601 Pƙed rokem +4

    KRG seems to be King Solomon reincarnated.

  • @kamuraangeline2157
    @kamuraangeline2157 Pƙed rokem +3

    Mtoto kujuwa wanzazi wake ni haki ❀

  • @KikuyuTrendingNews
    @KikuyuTrendingNews Pƙed rokem +1

    Mboya this is simple the boy and the girl do DNA first if it matches KRG akarangwe

  • @bettykwamboka7588
    @bettykwamboka7588 Pƙed rokem

    No no😱😱😱 l feel the pain of that boy please 🙏 huyo bro wa krg hajafanya poa kabisaaaa kutishia mwingine hivo nonsense.

  • @anitahlydia
    @anitahlydia Pƙed rokem +3

    Kwa hii dunia hakuna mwana haramu! Kitendo ndio Hua chaharamu, Huu kijana Hana makosa no need to threaten him.

    • @MaMa-gp1pw
      @MaMa-gp1pw Pƙed rokem

      Nani alikudanganya mwana haramu amezaliwa nje ya ndoa utake usitake.good is not same as bad.yes the child has no mistake but still remains mwanaharamu.

  • @reginakingola1755
    @reginakingola1755 Pƙed rokem +3

    Hapana haiwezekani, KRG afanye yeye ❀

  • @monikananjala9806
    @monikananjala9806 Pƙed rokem +1

    When KRG alituibia miaka kwa ID waaah mama Ivonne was 💯 saying the truth đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł age stealler come bro. Tumalize hii kesi

  • @JanetWanjiku-dh5ky
    @JanetWanjiku-dh5ky Pƙed rokem +1

    Tuko macho sana😱 atajua hajui nn huyu kijana sio jaa imemleta😱😱😱😱 Jeff mwathi rest in peace siku hizi kutishiwa na kuuliwa ni kawaida

  • @evroza
    @evroza Pƙed rokem +28

    This is nothing but humiliation for the boy. He didn't want anything but recognition

    • @KJHJGLKUIY
      @KJHJGLKUIY Pƙed rokem

      😂😂😂😂😂😂

    • @sarahachieng5369
      @sarahachieng5369 Pƙed rokem +2

      Alie usika Kazaa ndiyo afanye dna

  • @nancyagutuotieno9662
    @nancyagutuotieno9662 Pƙed rokem +31

    KRGs brother looks&behaves illiterate!!!! How can you talk to this young & innocent boy like that??????

  • @elmahmapenzi4642
    @elmahmapenzi4642 Pƙed rokem +1

    Ati DNA yangu naya krg inamatch tulia kondoo hii 😱😱😱😱kwani ni wewe ulinywesi ndani ya izo mashimo au ni brotherko

  • @puritynkatha5599
    @puritynkatha5599 Pƙed rokem +1

    Huyu mwanaume ako na roho chafu huyu ni damu yake, ati 18yrs alikua wapi uliza your brother

  • @nck2310
    @nck2310 Pƙed rokem +3

    Ngai,even the VOICE is 100% of KRG......

  • @jaelokeke4835
    @jaelokeke4835 Pƙed rokem +3

    They look exactly 😅the eyes,nose, mouth, chicks and body 😳

  • @florianmwanzia6634
    @florianmwanzia6634 Pƙed rokem +1

    Hata hiyo mapua hapo hakuna kupiga chenga