WATU WASIOKUWA NA MIILI | BISHOP JOSEPHAT GWAJIMA | 16.01.2022
Vložit
- čas přidán 15. 01. 2022
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Nilipata uponyaji kupitia hii injili nilisikiza,tarehe 19 na nikapata uponyaji tarehe 20,ulipo sema viumbe visivio namili viachie nikarudia nikanza kuskia kitukikitoka tumboni keshoyake maumivu yaliendelea kufika jumapili jioni damu zikatoka zimegandana nasasa nimepona nashukuru mungu kwa uponyaji huu,jina la Yesu lihimidiwe, haijalishi ukoumbaligani nipokea hajaya moyo wangu,hakika utabaki kua mungu maishani mwangu🇰🇪.
Glory to Jesus
God bless you 4ur testimony ❤
Natamani tuwe na wachungaji hata watano tu kama Gwajima hapa kwetu Kenya,wote tungenda mbinguni, mungu akuweke Bishop.
Vizuri karbu Tanzania
Jamani mimi niko Lamadi simiyu nikija dar nitampa vipi Askof Gwajima
Mungu wa Gwajima nitembelee, maana wachungaji wengi hapa kwetu ni matapeli wa kiroho, 🇰🇪.
Gwajima wa Kenya ni Ezekiel
Askofu Gwajima is such a great storyteller
Asante Ark Bishop(Baba) Yetu!
Jitu la mbinguni you're blessed papa
Basi Baba umefika kazini
Nimewekewa kifafa hatakazini sikotena
Nasubiriya nishuudiye baaada yakuniondowa kifafa iki nimetiliwa kiwarudi Baba
Asante
Baba asante Kwa mafunzo na maombi,tangu nianze kukusikia na kuomba nawe sijawaj Kula ndotoni wala kunajisiwa nimeona mabadiliko maishani nakupenda baba gwajima 😍
Mshukuru mungu miss mpe yy utukufu, kwa hayo mafindisho
@@divvanajohnson4895 na wewe uweke herufi kubwa kwa Jina la Muumba
Mungu anijalie pia mimi nina pepo hili
@@sharonwalubengo7628 fuatilia tu mafunzo na maombi ya Baba gwajima utaona mabadiliko
Very true me too.... glory to God.
BWANA YESU asifiwe BABAA,mimi nko kenya Mombasa mungu akubariki mchungaji maana nabarikiwa sana
Asante MUNGU Asante kwa kumtuma mtumishi wako wakati huu Asante MUNGU
This 2024 and am here watching this great man of God
Asante baba
Nabarikiwa san nikisikiliza haya mahubiri,Askofu Mungu akubariki Sana 🙏
Amen mtumishi wa Bwana Askofu Gwajima na utukufu kwa Mungu
Apostle wewe ni mwl mzuri
Apostle you are good teacher
Mungu aendeleee kukutumia kwa viwango vya juu saana Zaid ya hapo
Barikiwa sana baba unanijenga
Amen am blessed 🙏🏻🙏🏻
Asante sana mchungaji hakika Mungu yuko pamoja nawe, katika uponyaji kwa jina la Yesu, Amina. Mungu akubariki sana wewe na familia yako.
Sasa jeee hâta najipaka Damu ya Yesu ananikariya tuuu mpaka kunitiya kifafa !!? Hâta zambi natafuta sipati nisaidiyeni nitafsiliwe Asante
Baba
True Gospel of Christ. Thank you Papa.
Amen Amen 😊
Bishop Gwajima, your my Mentor, God of Gods bless you again and again. I love you Dady! 🔥🔥🔥🔥🌸🌸🌸❤️❤️❤️
Amen and amen
Nakuelewa sana mtumishi wa Mungu
Amen 🙏 baba tume barikiwe sana
Amen amen
Amen 🙏
Kwa jina la Yesu kila jicho la kichawi limludie yeye kwa jina la Yesu
Jesus loved from a long time.
Amen Amen Baba.
Ameen
Amen
Jasusi la Mbinguni likidhihirisha , Ujasusi wake , Mbingu duniani.
Hallelujah amen
Amen and Amen 🙏🙏
Baba unasema unayajuwa yakuchokaaaaa
Nachoka nakuikaliwa bila sababu naitaji upako mamlaka na mengi mengine niwafate na nisipige swataaa Kwa sifa za Muumba Kwa jina la Yesu
Amen...
Huyu sio askofu tu,ila Ni mwalimu mwelimishaji😃
Niongezee ni mwalimu mkuu
Hakika...nampenda bure aiseh!!!Mungu ambariki zaidi
Amen Mwana wa Mungu
Kiumbe yeyote asiyekuwa na mwili aachiliye kila kitu alichochukuwa kwenye maisha yangu
Nakataaaaas
Na sura mbaya ajabu
Ameeeeeeen
Tegeta kwa Yesuuu
Ameeeeeeeen
Ameni
Ameeen my father 🙌 🙌
Askofu nakukubali hata kasani nimefika
Hivyo gwajima anaongeleaga dhambi
Nanyi mtaifaham kweli naiyo kweli itakuweka huru
Kwani umemsikia akitenda dhambi ?
Nko Kenya...naeza fika vipi kanisani kweni wapendwa
🙏🙏🙏
Tumpate wap tena mtu kama huyu ambaye anena wazi maneno ya kweli ya Yesu .
🔥🔥🔥🇦🇺
Naomba namba ya mchungaji gwajima
Amen 🙏🏽
Umemchapa kitu🤣🤣🤣. Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe
Chuma mtupuuuu
🤣🤣🤣🤣 eti ufaulu umeshuka kwasababu ya ulokole.
Amen
Amen...
Ameen
Amen
Amen
Amen
Amen