daz baba nipe tano

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • 2004

Komentáře • 222

  • @slahvernickie170
    @slahvernickie170 Před 2 měsíci +20

    nilikuja hapa mbio 2024 july 6th baada yakuisikia hii nyimbo kwenye akili yangu nikiwa nasagiwa mahindi yangu apa kwa kisiagi😫😂🇰🇪

  • @davidmapesa1175
    @davidmapesa1175 Před 5 měsíci +70

    Njooni mnipe tano 2024

  • @jaeson-c1e
    @jaeson-c1e Před 18 dny +3

    Classic 🔥🔥🔥💥 ule wakati Majani alikuwa Dr. Dre wa East Africa.......Naye Ferooz alikuwa anaua choruses!!! Big up ol skool bongo flava.....Much love and respect!!! 🇰🇪

  • @jacksonchami9959
    @jacksonchami9959 Před 4 měsíci +41

    1.Verse ya chupa (Sajo) ..🔥🔥🔥
    2.Larumba was just expressing himself.
    3.Daz baba ahead of time..
    4.Ferooz on the chorus - no words - he was the guy
    5.Sewa side and Scout Jentaz - the kids were on fire - where are they now??
    6.P FUNK on the beat - his best work - makes top 5
    NIPE TANO.....2024 - here to remember - the nostalgia is too much on this one.

  • @zeinabathman5875
    @zeinabathman5875 Před 6 měsíci +24

    Daz nundaaaz🎉🎉🎉 maua yenu 2024 still love this song❤

  • @inocentjofreykimaro8500
    @inocentjofreykimaro8500 Před 2 lety +56

    Kwenye verse ya Daz baba, alikua mbele ya muda sana, Leo mtaani hela akuna, njaa, visasi. Uyu jamaa apewe heshima yake

  • @AbdulZahoro
    @AbdulZahoro Před 23 dny +1

    Wimbo bado una hit big up sana daz baba p1 na ferooz

  • @michaelbuoro3015
    @michaelbuoro3015 Před 6 měsíci +14

    Those days these tanzanians were something else. What a banger. Damn!

  • @evansmunene8264
    @evansmunene8264 Před 5 měsíci +8

    2024 inaleta nostalgia mbaya sana, KENYA Hii ilihit back then tukiwa watoto, back then bongo flava was something to fuck with, siku izi upuzi tupu

  • @sirryhmes5277
    @sirryhmes5277 Před rokem +19

    Huu wimbo tunaupenda still 2023 much love from Kenya ❤❤

  • @youtubepolls126
    @youtubepolls126 Před 8 měsíci +10

    Inanikumbusha nilikua natoroka shule mimi na rafiki yangu Carlos Juma ndio twende tuskize kipindi ya redio ilikua inaitwa KeTaU Express pale KBC Radio, Hii ngoma ilikua top 5 kwa countdown for more than 2 months. Dem days. Thank you Daz Baba for this. Love from Texas.

    • @yusufmwero7016
      @yusufmwero7016 Před 4 měsíci

      Kenya Tanzania Uganda Express was a whole a vibe

    • @fadhilsalim650
      @fadhilsalim650 Před 26 dny

      Ebhanaa ilikuw shule gan hiyo huyo juma carlos kama nmjua

    • @youtubepolls126
      @youtubepolls126 Před 25 dny

      @@fadhilsalim650 Waso Primary School, Isiolo Kenya.

  • @kevinevans9923
    @kevinevans9923 Před 24 dny +1

    chorus ya ferooz iko on another level
    big up

  • @briankitsao3895
    @briankitsao3895 Před 2 lety +32

    Much respect to this guy's, from Kenya 🇰🇪

    • @jacobosita9488
      @jacobosita9488 Před 2 lety +1

      My favorite old school ukipenda ni tano ukikataa sadakta

    • @PaulGee789B
      @PaulGee789B Před rokem

      Kali Sana Hii 🇰🇪 Shika Tano👊🏾

  • @en_ochieng
    @en_ochieng Před 15 dny +2

    Nimetafuta sana hii song🇰🇪🇰🇪🎉

  • @ethanperoti7313
    @ethanperoti7313 Před 6 měsíci +4

    This song has been playing in my mind for a few days and just decided lazima nitafute you tube. Memories nikiwa Mombasa.

  • @mwendikoronya2781
    @mwendikoronya2781 Před 9 měsíci +14

    One of my all time favourite. When bongo flava was the shit.
    Mad love from meru kenya❤

  • @happynessswila1783
    @happynessswila1783 Před rokem +6

    Kama ww upo nami kwenye nyimb za dhaman nitafute tusalimian j.i yaan wote me nyimb za sasa bado kama za kina daz baba ♥

  • @dennisbarasa8149
    @dennisbarasa8149 Před rokem +9

    Ukipenda nipe tano usipopenda pia swadakta. My all time hit music

  • @lloyd7cawade542
    @lloyd7cawade542 Před 2 lety +30

    over a decade later am still in love with this song! #nostalgic😭😭

  • @ahmedabdi6094
    @ahmedabdi6094 Před 2 lety +9

    Aizee kweli hadi waleo naikubali sana hiki super fine music 2022....yea kweli hizo days bongo ilikuwa na wazito duuu 🤣🤣👍

  • @user-jx6nh4do9t
    @user-jx6nh4do9t Před 6 měsíci +3

    Wwwaàaa!!! Hizi ngoma zilikuwa classical,glad to have lived through that era 2024 and the song still rocking ❤❤ from kenya.

  • @johnnjeru5021
    @johnnjeru5021 Před 2 lety +13

    This was one my favorite back in the days,(+254 in the house)

  • @edwardokindo6626
    @edwardokindo6626 Před 11 dny +1

    2025 gonga tukisalimiana,peace tukiagana ,fitna haina maana....nipe tano kwa likes

  • @DeusMsira
    @DeusMsira Před 6 měsíci +9

    Back when music was real. #Revisiting old relics

  • @felixotieno5098
    @felixotieno5098 Před rokem +12

    2023 and here I am again listening to this great vibe👌🏿

  • @DeviMwaikuju-bh1ls
    @DeviMwaikuju-bh1ls Před měsícem +2

    Dah...nyimbo zilipigwa kweli vijana wenzangu 🎉❤

  • @engineervictorvudinda5944

    If days can be rewinded,.... Ujana ni Moshi kweli

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Před 3 lety +10

    hili goma lilikua nyoko sana wazeeee
    Hii si ilkuwa kwenye ile album ya Elimu dunia

  • @user-ic9hq2ut3r
    @user-ic9hq2ut3r Před rokem +5

    Salute kwa hii team bana I support from Jabba land

  • @yanganandeemmanuel7171
    @yanganandeemmanuel7171 Před 29 dny +2

    2024❤❤❤ from rwanda 🇷🇼

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 Před 2 lety +10

    Nishasota sana kwenye ukata almanusura kudata 🔥🔥🔥

    • @PaulGee789B
      @PaulGee789B Před rokem +1

      Hio Mstari Moto 🔥 Shika Tano Juu ya Hio 👊🏾

    • @hekimalufulani1689
      @hekimalufulani1689 Před měsícem

      Larumba huo mstari wake naupendaga sana

  • @abdulnasirmusa4546
    @abdulnasirmusa4546 Před 2 lety +8

    Glad to have witnessed the evolution of bongo Flava right before me .

  • @janeymhando
    @janeymhando Před 2 lety +8

    Huu wimbo nimeukumbuka Leo😍

  • @augustinebee7754
    @augustinebee7754 Před rokem +5

    2023 here for this banger with peaceful massage among us

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 Před 25 dny +1

    Wangapi tunaicheki hii nyimbo 2024?

  • @masawerichard1367
    @masawerichard1367 Před 6 měsíci +8

    Still the baddest🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jossnick8093
    @jossnick8093 Před rokem +7

    Udaktari wa heshima anapewa babu Tale vinaachwa hiv vichwa.....

  • @ndugwahassan4246
    @ndugwahassan4246 Před 2 lety +9

    What happened to today's bongo? These beats are just irreplaceable!

  • @mashmwed4955
    @mashmwed4955 Před rokem +9

    Am in 2023 but still lov this bang🥰

  • @johnmogaka9822
    @johnmogaka9822 Před 6 měsíci +4

    19 years ago still this remains top 👏 hata nikigonga 80s❤

    • @ericrakamba7572
      @ericrakamba7572 Před 6 měsíci +1

      😂😂😂wewe ni mzee

    • @johnmogaka9822
      @johnmogaka9822 Před 6 měsíci

      True hizo ngoma nilizipenda...sioni nikiacha kusisikuza hata nikiwa 80s​@@ericrakamba7572

  • @mjthefuture96
    @mjthefuture96 Před rokem +6

    Wana walikuwa nyoko saana enzi zao 🔥🔥

  • @Theone12673
    @Theone12673 Před měsícem +3

    Hosipitali madawa bei ya ghali mtaani pesa hakuna tunalia njaa khali,,,,awa jamaa walikua wanaumiza vichwa ivi ndo vipaji ambavyo vimepotea sai☠️☠️☠️😆q

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim5609 Před rokem +5

    Sema majani alishndkana asee sio kwa biti hiz

  • @almustaphalyussuf
    @almustaphalyussuf Před 2 dny

    The intro, the chorus 🔥🔥💯👌

  • @amourhabiby5118
    @amourhabiby5118 Před 9 dny

    Gone are the days when music was entertaining

  • @Iamsaintlaurent
    @Iamsaintlaurent Před 10 měsíci +2

    Simba kafungwa tano tarehe tano leo tuko hapa nipe tano👊

  • @godwinluther5014
    @godwinluther5014 Před 2 lety +5

    Nipe gwara au nipe kumi kuonyesha kweli unanijali.

  • @calvinoire8583
    @calvinoire8583 Před 9 dny

    Back to back hits live longer legend

  • @andrewkivua1974
    @andrewkivua1974 Před 4 měsíci +1

    One of the greatest hits of all time

  • @makatamabonga5166
    @makatamabonga5166 Před 3 měsíci +2

    If you need a chorus, just call ferouz

  • @omwami360
    @omwami360 Před rokem +4

    1st August 2023 nipe tano🔥🇰🇪🇦🇺

  • @mudimbebaderha7477
    @mudimbebaderha7477 Před 7 měsíci +4

    January 2024 still jamming it 🎉🎉🎉

  • @reggaeone
    @reggaeone Před 8 měsíci +3

    2024 still listening oh YES

  • @alexnyamwembe2012
    @alexnyamwembe2012 Před rokem +4

    nipe tano.....onchieku my classmate...

  • @VenantMwikamba
    @VenantMwikamba Před 5 dny

    Nipe tano iko sawa

  • @ericouma6151
    @ericouma6151 Před rokem +2

    My legend in music 2007 nikichanukanga

  • @joshuamakota6714
    @joshuamakota6714 Před 2 lety +1

    Skia ooh ooh vina vya ooh ooh sisi tuliviruka kitamboo

  • @samsonmuraga565
    @samsonmuraga565 Před rokem +2

    Moja amazing hadi Wa Leo 👊👊💛

  • @joshuapascal9565
    @joshuapascal9565 Před 2 lety +2

    Bado ngoma imo 💥💥

  • @josephmwadime8733
    @josephmwadime8733 Před rokem

    Wanangu walichana sana enzi zile. Japo nilikua kijana mdogo mwenye speedy ya teknolojia mpaka leo ningependa niwaskie ila mda wao ndio ulipita. Ila waliwakilisha

  • @zenaniah
    @zenaniah Před 8 měsíci +3

    Who is listening this song DEC 2023

  • @abdulcollo
    @abdulcollo Před 10 měsíci +1

    Bado tamu.. nimeikumbuka leo

  • @krmangara7755
    @krmangara7755 Před 14 dny

    Still hit ❤.

  • @ezeedi871
    @ezeedi871 Před 2 lety +3

    Daz baba we ulikua ni musician

  • @jumaali7119
    @jumaali7119 Před 5 měsíci

    Nakubali sana brother, maika zaidi ya 16 lkn kama imetoka jana❤

  • @happynessswila1783
    @happynessswila1783 Před rokem

    Enzi izo nipo kijijin na marafiki daah 2009 iyo yaan hawa watu warudi jamanii ndo nakuw nafukuziw na vijan yaan kwel nakumbuka mbaaaali sn nyimb za dhamanii mpaka leo hii nilikuw nazi sikiliz kumbe tupo wengi

  • @AbeidKihongosi
    @AbeidKihongosi Před 28 dny

    cku hizi kuna kelele na siyo mziki

  • @davidwaswa3034
    @davidwaswa3034 Před 6 měsíci

    all time fevorite music ❤

  • @Shilasaitoti
    @Shilasaitoti Před 10 měsíci

    Jamani wabongo Wa hizo Zama jamani! Nostalgic

  • @georgemhalla8853
    @georgemhalla8853 Před 2 lety +3

    Daz Baba wa saiv, hatari sana,

  • @vincentjumba7766
    @vincentjumba7766 Před rokem +3

    Good one ever

  • @JumaKadio-vx8pp
    @JumaKadio-vx8pp Před 7 měsíci

    Hospitali madawabeyagali mtaanpesa hakunatulia njaakali nipetano😂😂😂😂😂ilikua hatarisaaaaaana enzihizo

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 Před 2 měsíci

    Dope song of all the time pure talents

  • @chrispineandedo483
    @chrispineandedo483 Před měsícem +2

    eèèeeee M 🔥

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne7632 Před 2 měsíci

    Mlio Dar mkawasapoti Hawa jamaa alitoaga vibe ya Kutosha

  • @ElphurahaGreyson
    @ElphurahaGreyson Před 16 dny +1

    Respect

  • @raphaeloloo9641
    @raphaeloloo9641 Před rokem +1

    Hip Hop bongo zamani sai kwaya nyingi

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 Před rokem +2

    Daz mwalimu

  • @ahmedyiddy3192
    @ahmedyiddy3192 Před rokem +2

    2023 still listening to this song

  • @KhaligraphDieuestla-nx6lv
    @KhaligraphDieuestla-nx6lv Před měsícem

    Noma sana

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon3624 Před měsícem

    Ngoma jerii za enzi hzo full mzuqa🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sunnymehta824
    @sunnymehta824 Před rokem +1

    Nipo Mzee! 2023

  • @allanlitaba8889
    @allanlitaba8889 Před 3 měsíci

    Ferooz killed it

  • @DVJ_LESNAR
    @DVJ_LESNAR Před rokem +1

    The beat...boom🔥🔥...Lyrics..boom🔥🔥🔥🔥

  • @JAMESOORUPUTO
    @JAMESOORUPUTO Před 12 dny +1

    Nikisikia huu wimbo nakumbuka mzazi wili m Tuva citizen kilasiku alicheza ndo nimemaliza 4th sasa niko Qatar

  • @visahsimiyu123
    @visahsimiyu123 Před 2 lety +7

    Songs that will forever remain in my heart

  • @GammaLize-lo7in
    @GammaLize-lo7in Před rokem

    Kutoka 254 🇰🇪 Still tunawapq tank 2023 🔥❤️

  • @hekimalufulani1689
    @hekimalufulani1689 Před měsícem

    Larumba alifanya vizuri kwenye hiii ngoma

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 Před 2 lety +2

    Bwana Yesu huruma zako ziongezeke saaana
    nakumbuka sana hii miziki ilivyo changia kuharibu future yangu nilipoteza mda mwingi kwa vitu nisivyo vijua

    • @casxiv
      @casxiv Před 2 lety

      Ulipotelea wapi😳

    • @MuhammedAy-n7d
      @MuhammedAy-n7d Před 20 dny

      Yesu hajawahi kusali kanisani ila msikitini amewah kwa mujibu wa Bible

  • @IsihakaMtemi
    @IsihakaMtemi Před 2 měsíci

    Maua yenu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JassanHelly
    @JassanHelly Před 2 měsíci

    Hii ndio bongo fleva

  • @user-zk3em9kt1n
    @user-zk3em9kt1n Před 10 měsíci +1

    Nipe TANO YANGA ⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️

  • @mwinyihamisidee5813
    @mwinyihamisidee5813 Před rokem

    2023🔥 bado ni banger

  • @shwahibumassawe2555
    @shwahibumassawe2555 Před měsícem

    2024still representing🤜

  • @barberickkenya1657
    @barberickkenya1657 Před 5 měsíci

    2024 Bado tuko hapa🎉

  • @railwayschoolandeducationc6312
    @railwayschoolandeducationc6312 Před 11 měsíci +1

    2023 still on ma head....❤️

  • @jayclassicke8163
    @jayclassicke8163 Před 2 měsíci +2

    Hatari sana

  • @spartizzy
    @spartizzy Před 2 měsíci

    2024 still banging

  • @nazariodossantos9719
    @nazariodossantos9719 Před rokem

    Oi recordar melhoes dos todos tempo de bongo

  • @user-dr4wf8kv7z
    @user-dr4wf8kv7z Před 10 měsíci

    Wanayanga wamefanya maajabu siku yaleo....na nyimbo hii Iko kwa background