WATALII KUPIGWA NYUNGU ZANZIBAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ZinjibarTV #Habari #FahariyaZanzibar

Komentáře • 22

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 Před 4 lety +7

    Msiache kutumia dawa za kifua

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 Před 4 lety +2

    Shukran bi siti

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 Před 4 lety +3

    😭😭😭aina ya hicho kitama ni rafiki kweli kwa muili wa bin adam!

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 Před 4 lety +5

    Mashaaa Allah

  • @issahajiday4398
    @issahajiday4398 Před 4 lety +1

    Na herbs...(bangi )pia ina faa sana tu.....tukichanganya na vivumbasi mpaka yale majini ya kutumwa kwisha

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před rokem

    😢😮

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 Před 4 lety +1

    mtapigwa nyungu nyie baadaye wakisha tuenezea maradhi kama mna njaa ya pesa zisizokwisha tungojeni matokeo

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Před 4 lety +2

    Zinjibar tv tunaipenda lakini mnabezi kwenye siasa hasa za upande wa chama kimoja cha mapinduzi tunawaangalia tu huko tunakoelekea mtakuja kutukosa wapenzi na watizamaji wenu, sidhani kama ipo haja ya hii channel kutoa habari za kisiasa mie nahisi mngebazi sana kwenye habari za kijamii tu siasa mkaziachia channel nyengine. Kumbukeni ya kwamba wazanzibar waliowengi ni wapinzani mkubali mkatae na hata sisi tulio nje ya Tanzania 🇹🇿 ni wapinzani kama mnataka kutoa habari za kisiasa basi toeni za vyama vyote nasio kusifu chama cha mapinduzi tu ilhali hii channel inafatiliwa na watu wa kila chama, na kwa nini mtoe habari za siasa? Mambo ya dini tu yanatutosha pamoja na habari za kijamii siolazima muchanganye mtakuja kutukosa mshangae

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 4 lety

    Baada ya Corona ni TB watu watakohowa kuliko ng'ombe dume mwenye kuuga🤣🤣🤣

  • @samsungjsevenprime5717

    Hodi zinjibar 🚶‍♀️🚶‍♀️na mimi nataka nije nipige hiyo nyungu Inshaallah

  • @alakhyhajjbinhassan4496

    Nyunguuuuuu ya Saloum Kaka kutoka Shifaa Herbalist Clinic 🤣🤣🤣

  • @fatmakhatib8444
    @fatmakhatib8444 Před 4 lety +1

    PIGA NYUNGU,MALIMAO,TANGAWIZI😂

    • @corrolesscps
      @corrolesscps Před 4 lety

      Fatma Khatib Mambo ya Bara Haya, Naona nyungu Sasa mpka zanzibar

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 Před 4 lety

    Sasa watalii wakiteremka ndege mtawapiga nyungu lakini mtapiga wangapi

  • @hajrabalushy5461
    @hajrabalushy5461 Před 4 lety

    Nzuri sana lakin kinasafishwa vipi? Je kama mtu ana covid19 akaingia umo akaacha infection mwengne hatopata??au ayo mifuko ya juu ni disposal??

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman2436 Před 4 lety

    Pigeni nyungu mkimaliza mtapiga nyungo, mikafiri Ina MARADHI kiasi cha kufikia kufa kwa siku watu 1000, wakishatumaliza mutaiona nyungu, nyungu za kuchemshia maji ya kuoshea maiti.... POLITICIZED

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 Před 4 lety

    Pongezi zenu kwa nyungu ya kisasa

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 Před 4 lety +1

      Mashaallah iko vizuri mm nikitaka kujifukiza natoka nje robosa nyingi nishajikaanga na mafuta yangu mwenyewe yanitoka mmpaka kwa masikio

    • @helenemasanja8162
      @helenemasanja8162 Před 4 lety +1

      Asante sana ndugu yangu

    • @rayaomar6299
      @rayaomar6299 Před 4 lety

      Ujinga tuu