WIMBO WA HISTORIA (ORIGINAL)
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- It was in the year 1952 October when we heard Jomo Kenyatta was Arrested.He wasn't arrested alone but together with the other freedom fighters.It was sorrows and tears in every corner in Kenya.When He came from Prison Jomo Kenyatta together with the other parliamentarians went to the UK. Kenyatta was beaten with Rotten eggs but that didn't prevent Him.He won and came back to KENYA carrying our first constitution. Thank you Jomo Kenyatta and Others For Fighting For our Freedom
It's more patriotic than the rendition
Proud to be Kenyan 🇰🇪
The subsequent regimes have worked so hard to erase our pre- colonial history by choosing to ignore these songs
Babu Kenyatta (R.I.P)
Congratulation wuod luo
I have never understood why the British decided to colonise us😢they killed and maimed many
❤
This is so sad 😭
patriotism
Mayai yaliooza walitoa wapi😂😂
Kenyatta
Amen
Babu Jaramogi Oginga
Original mau mau wengine wanajidai eti n mau mau
Tongethar ❤
Twapata aje ile ya kenya yetu ni nchi ya ajabu?? The original version by the same people
lyrics
Wimbo huu ni wimbo wa historia watu wote mnaombwa msikize kwa makini
,
Ilikua oktoba hamsini na mbili watu wote tulisikia kenyatta ameshikwa
,
Hakushikwa kenyatta peke yake lakini alishikwa na mabigwa wa uhuru,
Oooooh ooohh ooohhh
Ilikua kilio nchnii kenya watu wote tuliona huzuni mwingi sana
,
Wakina baba kina mama na watoto wote walilia machozi wakisema, wooooi, wooooiiii woi tunataka Kenyatta aachiliwe
Baba wa taifa alipotoka gerezani aliwakuta wajumbe wetu wametengana vibaya sana
,
Kisha yake baba taifa alikata shauri moja kujiunga na chama chetu Kanu
,
Aliongoza wajumbe paka ulaya kufika huko alipigwa na mayai yaliyooza
,
Baba taifa hakujali alishinda na kurudi na katiba ya nchi yetu hapa Kenya
,
Ilipofika December kumi na mbili sitini na tatu mzee wetu alinyakua uhuru kenya
,
Kisha yake December sitini na nne mzee wetu alipandisha bendera jamuhuri
,
Mzee wetu alituomba tusahau yaliyopita badala yake tuijenge nchi yetu
,
Alisema Harambee tuungane na hivi sasa tumejua harambee ni umoja
Asante baba wetu kweli we asante baba wetu .
lyrics
Wimbo huu ni wimbo wa historia watu wote mnaombwa msikize kwa makini
,
Ilikua oktoba hamsini na mbili watu wote tulisikia kenyatta ameshikwa
,
Hakushikwa kenyatta peke yake lakini alishikwa na mabigwa wa uhuru,
Oooooh ooohh ooohhh
Ilikua kilio nchnii kenya watu wote tuliona huzuni mwingi sana
,
Wakina baba kina mama na watoto wote walilia machozi wakisema, wooooi, wooooiiii woi tunataka Kenyatta aachiliwe
Baba wa taifa alipotoka gerezani aliwakuta wajumbe wetu wametengana vibaya sana
,
Kisha yake baba taifa alikata shauri moja kujiunga na chama chetu Kanu
,
Aliongoza wajumbe paka ulaya kufika huko alipigwa na mayai yaliyooza
,
Baba taifa hakujali alishinda na kurudi na katiba ya nchi yetu hapa Kenya
,
Ilipofika December kumi na mbili sitini na tatu mzee wetu alinyakua uhuru kenya
,
Kisha yake December sitini na nne mzee wetu alipandisha bendera jamuhuri
,
Mzee wetu alituomba tusahau yaliyopita badala yake tuijenge nchi yetu
,
Alisema Harambee tuungane na hivi sasa tumejua harambee ni umoja
Asante baba wetu kweli we asante baba wetu .