CHINO ATOA YA MOYONI UGOMVI WAKE NA MARIOO, NILISHUSHWA MPAKA KWENYE SHOW / SITAKI TENA KUMUONGELEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 02. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • Zábava

Komentáře • 40

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 Před 6 měsíci +6

    Marioo ana roho mbaya mwanetu chino lazima afike mbali🔥🔥

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp Před 6 měsíci +4

    Yani chino umenigusa sana moyoni wew uko Sawa yani Mungu akubaliki tu

  • @Lilmag19
    @Lilmag19 Před 6 měsíci +12

    Why marioo ana ugomvi na watu wengi hamuoni kama anashida inabidi aitwe na yeye kwenye interview aulizwe vizuri

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 Před 6 měsíci

      Mario mjanja akizingua anajikausha aonekane mnyonge😂

    • @flavourboyke
      @flavourboyke Před 6 měsíci

      Shida ni kajala na mwanae katimba huko,, kilichotokea konde geng 😂😂😂

    • @AyubuHamisi-kq6gd
      @AyubuHamisi-kq6gd Před 6 měsíci

      Kwel kabsa mara mbosso wamengombana nae

    • @dunkchainz7237
      @dunkchainz7237 Před 6 měsíci

      Marioo ni mti wenye matunda

  • @Florisvevotz
    @Florisvevotz Před 2 měsíci

    Chino wanama❤❤❤❤

  • @HosseaMkwandah-no5ld
    @HosseaMkwandah-no5ld Před 6 měsíci +6

    Marii anaonekan miyeyush mbosso yeye Abigael yeye na chinn Kidd saiz

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 Před 6 měsíci

      Umesahau kuna jamaa anaitwa mapanch bnb…alikua na beef nae pia

  • @justinyohana5074
    @justinyohana5074 Před 6 měsíci +4

    Were house nilikuwpo chinno yuko sawa kwenye hili

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 6 měsíci +3

    Marioo anashida
    1. Alikataa hakutaka ku sainiwa wasafi wakati ni kweli.
    2.Alimsema vibaya rayvanny baada yakuingia kwenye mahusiano na paula.
    3.Alimsaliti Abigail chams kwa kuchukua ngoma alomshirikisha na kuifanya na Alikiba.
    4. Kugombana na chino sasa hivi..
    Lazma ujiulize, marioo anadharau na ana shida yule.🙌

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 Před 6 měsíci

    Marioo kaanza mapenzi mazito Sana na Paula 😂😂😂watakosana wote tu

  • @Nguvumoja255
    @Nguvumoja255 Před 6 měsíci +2

    daaah

  • @user-uh6og9fj7b
    @user-uh6og9fj7b Před 5 měsíci

    Jaiva sinichi eti Anasema Anabusala oya mariio mapenzi Au nn😢

  • @wemaadam
    @wemaadam Před 5 měsíci

    Ata hamo aliaza kama huyu dogo wacha tule mtoli nyama tutakuta chini😂

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 Před 5 měsíci

    Hapo mchawi producer Habba hamjajua tu

  • @vansmaterial5742
    @vansmaterial5742 Před 6 měsíci +1

    java ndomgomba nishi mimi ndoninacho kiona

  • @georgesteven5185
    @georgesteven5185 Před 6 měsíci

    Huyu jamaa anajielewa sanaaa

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 Před 6 měsíci +3

    Chino nijeuri sana kwani huoni hadi mtandaoni naona hamo anakutumia sana wewe hunaakili lukamba ananyamaza wewe nidemu mbona uliona uzungumzia sana

    • @JohnMars-dt5my
      @JohnMars-dt5my Před 6 měsíci

      We wa kike Nini mwanangu unakaaje na kitu moyoni

    • @user-hm3qm2nf1v
      @user-hm3qm2nf1v Před 6 měsíci

      Tumeshamsikia na tushajua tatizo km marioo ni mkosa imeshatosha kumuongelea mwenziwe km yeye hana makosa vile

    • @jonathankazaking2033
      @jonathankazaking2033 Před 6 měsíci +1

      Harmo kaingiaje kwenye ugomvi wao😮 utanichefuwa ujuwe😅

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 Před 6 měsíci

      Hili nalo limetokea wapi sijui

  • @rumem6665
    @rumem6665 Před 5 měsíci

    Chino 🎉

  • @alawisaid280
    @alawisaid280 Před 6 měsíci +1

    marioo awe makini sana anagombana na watu bila sababu za msingi

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂😂 MARIOO MARIOO mwacheni apumzike bna

    • @user-hm3qm2nf1v
      @user-hm3qm2nf1v Před 6 měsíci

      Yaani kama viĺe kauwa mtu kaandamwa kila studio ni yeye

  • @PhilipoMabula-ky9vs
    @PhilipoMabula-ky9vs Před 6 měsíci +1

    Anazngua marioo watu hawaishigi ivo

  • @hassanmkumbo5157
    @hassanmkumbo5157 Před 6 měsíci

    Jaivah anataka abaki mwenyewe 😂😂

  • @EddykingJuma
    @EddykingJuma Před měsícem

    Oya tarehe kumi za mwez wagap unajua richi we nimwamba unajua kazi ako unaita wanetu tunaskia maovi yawo

  • @JohnMars-dt5my
    @JohnMars-dt5my Před 6 měsíci

    Marioo anajiona ashafika

  • @eastzoo_89
    @eastzoo_89 Před 5 měsíci

    sema marioo na jaivah ni masnitch

  • @user-hi8ug8wr4c
    @user-hi8ug8wr4c Před 6 měsíci

    mario miyeyusho

  • @amirkilingo
    @amirkilingo Před 6 měsíci +1

    I beleave marioo Hana baya 1000%😂😂

  • @mobizzyclassic
    @mobizzyclassic Před 6 měsíci +1

    🥸😎😎