Sebene la Saida Karoli Lapagawisha Mashabiki
Vložit
- čas přidán 6. 07. 2017
- Published on Jul 7, 2017
SUBSCRIBE NOW / uwazi1
Mwanamama Saida Karoli aliyerudi kwa kasi katika tasnia ya muziki wa asili,hatimae Jana julai, 6, 2017 alisheherekea miaka 15 yake katika muziki na hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Escape One Mikocheni , aliangusha burudani ya nguvu iliyopelekea mashabiki kupagawa.
Na kelele za shangwe zilizidi baada ya kuimba wimbo wake aliouachia hivi karibuni baada ya kurudi kwenye gemu unaoitwa Orugambo, ambapo alifafanua maana ya neno hilo kuwa ni Majungu au umbea.
Saida ambaye alipanda jukwaani na madansa wake, alizidi kuwavutia watu waliofika ukumbuni hapo baada ya kuonyesha uwezo wake wa kuimba na kupiga ngoma.
SUBSCRIBE NOW / uwaz
Global TV imekuletea habari kamili, itazame video hii mpaka mwisho kujionea mwenyewe.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1 - Zábava
Kama unaangalia mwaka 2020 like zako hapa ...Nipo hapa kwa hisani ya katoto kadogo.
*Wangapi wanaamini Karoli anakubalika Afrika*
Alex Mulwa nimekubali
Wooteee
Alex Mulwa am there My dear
@@mariamsaidi3084 anaweza sanatu
LIKE ZA WANAOTAKA SHOW YA SAIDA KAROLI IRUDIWE KATIKA UWANJA WA TAIFA TAFADHALI
Safi sana mama wapi like za saida karoli wewe😍😍😍
Hassanova junior sijaona shoo ya kufa mtu kama ya mdada huyu toka nianze kuangalia shoo za wanamuziki wa Tanzania
Ilo sebene la kufa mtu
o
Haya music and dancing is beautiful🇹🇿🇹🇿
Mama Saida Karoli unaweza unaweza unaweza tena naiangalia tena 2024
huko vizuri dada yangu "Omukama katonda akwebembele"
Mungu,akuinue
dah kwer saida bado anaweza kwel sura inazeeka lakn kipaji akizeeki big up mama saida karoli.
sebene la saida halijawahi kumuacha MTU salama
jmn sio kwa sebene hilo, uwiiiiiiiiiiiiiiiii sebene sio la nchiii hii ilo
hii ilikua kubwa kuliko sijawahi kuichoka kuitazama hii show🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Diamond angefanya collabo moja na huyu dada. Ingeenda mbali sana!
Umeona ee tatizo kabezi wasafi ,
Nani anaangalia 2020.Gonga like
Haya music is so beautiful 🇹🇿💯💯
respect.. shout out to you. omukama asingwe kwa kweli..
Tumaliza mwaka 2022 na bado tumpenda na kumsikiliza afrika tunaweza
Daaa nimemkubali sana huyu Mama ,hata sijaamini kumbe yuko vizuri namba hii , uko huu sana Saida Kaloli na hongera sana na sanaaa kwa Clouds Radio kwa kurudisha Kipaji hiki kilichotaka kupotea.Tunawaomba sana pia Mumsaidie pia Chid Benz na Q Chiller nao wapige Shoo Kabambe ya kuwarudisha Kundini tena kama hii , Hongera clouds
Richard Pembe show ya mtu mmoja kama millioni moja Arafu alikuwa anaumwa wa kulazwa kabisa dah uyu mama ni balaaa
Nakuunga mkono maneno yako *Richard pembe*
awakuwez
sinula
atashilol
wajipange
tena
makofi kwa saidaaaaaaaaaaaaaaaa
ila daimondi nampe honger sana kwa kumrudisha saidi kweny record tena bila ivo said axingexikilixw tena honger sana mama yetu saidi and daimondi
Kumbe kwa kipindi chote uko kimya tulikuwa tunasikilizishwa manyimbo ya kipuuzi ila kwa hapa hakuna bongolfleva wala bendi itakayobaki salama! Miaka mia, ila ujifunze kusoma sasa ili wasikuibie tena
hahahaaa kumbe hajasomaaaa
🤣🤣🤣 ati wasimuibie
Hahahaha 😂
Apana matusi dogo wewe
🤣🤣🤣🤣🤣eti ajifunze kusoma
Ooh i really love this music hahaha much love to my Tanzanian people's 🇰🇪
Shikamoooo dada saida
saida hakika unaweza sana mungu akuogoze katika safali yako ya muzic
hongera saida karoli dada yangu uko poa sana mama yangu wakuache ujiachie kitu foro bwana naijua hatari
Anna John Kahwa jamani natamani ningekuwepo kaa maana cyo kwa laa izi ongela sana mama mungu atakuongoza ktk kazi ya mikono yako ongela sana kwa kuludi tena na kutupa raa watanzania kwani tulikumic sana
Ilikuwa shidaaaaaaaa siku hiyo
Huu wimbo unaitwaje jamn, much love
I don't understand anything but I'm a huge fan anyway
kweri bado umo
sindika,said a,,ewowoowo,karori,
feministchannel she's old skul but believe me she has some good music that will go many generations to come. .Mostly she sings about love and daily life
Hakuna cha Simba wala kibakuli
musiki upo hapa haha hadi raha
Aki saida ungelikua dem walai mm ninge hama Kenya nikam
hongera zake aliyerudisha kipaji hiki, kilikuwa kinapotea bure aisee.
Namkubari sana Saida Karoli kwa kazi zake endelea kutupatia Burudani
Namushukuru Mungu kuona ungali muzima najua takuonaka sikumoja Hero anaye amini amen
in my Saida Karoli Playlist !
Tunamaliza mwaka na saida kaloli safi mama wapi like 👍 🥰🥰❣
Who is watching this at 2020?? 😂😂😂
Me
Let's enjoy with our haya traditional culture🎉🎉🎉❤❤ kagera yeitu bhojoooo🤸🤸🤸✊💚💚💚
Safi saaaaana Yaani sauti mzuri na mziki wa Kitanzania wenye raha kubwa sana asante sana kipenzi 💋💝💐🎉💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
iyo sauti hatali kabisa big up saidi
hongera mama
Hogera yako mama
bakulekeeeeee mwana wa tata bakuleke kwakweli mpaka mwili umesisimka daaaah
kabisa wamwache ajimwayeee jaman kasota sanaaa....😘😘😘😘😘
Really live...love from Uganda Bob
saida noma we mama wewe hatuamin japo ndoukweli asee mm cjawah ona show kabambe kama yako hii tangu ujiweke mbali namuzki yan ....Vjana hawakufikii mama...you nailed it
kiukweli saida karoli tulikuwa tumemisi sauti yako kwa muda mrefu ongera kwa kurudi mama Mungu akujalie ktk safari yako mpya ya mzk naamini utapata mafanikio zaidi ya uko awali
Nakupenda sana Dada Saida Mungu akubariki ktk kaz zako pole kwa changamoto za hapa na pale
kwa show km hzi saida jiandae mialiko ya nje ya nchi utapata nyingi sanaa
tixhaaaa xanaaaaaa!mama anqu xaida karoli kiukweli umetixha xaaaanaaaaaaaa.
🙌🙌🙌🙌🙌skutegemea kama ungefanya mauaji kias hik Mungu akutunze
kwakweli wababasa
Saida Karoli can dance.Bado yuko fit. Kudos Saida. We Love you.
ng'ombe hazeeki maini..Dada saida b ado upooo
wakora,mno,said a,karori,
kauzu kauzu yakola mno
Saida band mmmh!!bado upo vzryyyyyyy
👏Sijawahi kuangalia show ya live kwa tz ikawa nzuri kama hii ya saida karoli hadi nasisimkwa
Prince The Don keeling my dear Hutu mama Ndo mwanamziki she is too much
Prince The Don 6o
ndombolo ya Ssolo.
old is gold ❤Saida Karoli....Chambuaaaaaaa😉😯😃
Ooo daimond anajua kupiga live show na live band nyoooo,bado sana
saf xana saida karoli mungu akubaliki nmelipenda sebene
Diamond Platinumz ina bidi uige usituletee tamaduni za nigeria.... Nakukubari SAIDA
nouuma sana mama, hajawahi na hatozaliwa wa kushindana na wewe. amani kwako.
you are my number one in tz
Mine is Rose Muhando from TZ.
Iam from Uganda
wakola owamawe! real I remember Bukoba mpaka chozi linatoka!! akatanyukwile tikoma!!
salute for her aisee uko juu tu sana mamaaa big up nimeilike walai😍😍😘😘
Unajua mpaka umepitiliza wakola
wanikumbusha mbali nyimbo zako miaka hio penda saida
Saida karoli kweli una furahisha sana mama we una stahili kupata sta wewe
❤❤ uishi myaka mingi
noma mama langu,,,,miaka buku katika maisha yamziki
riziki ya mtu kama ipo ipo tu hata ukiiziba mungu atafungua saida mungu kafungua
Mama said uripaform vizur sana
Notisha ebyenoma
Kaz nzur kwakweli saida karol
Saida big up sana unajua ,,, sauti nzurii sana.
Jaman Mbona mziki wa asali wa kihaya una radha sana
Saida is truly a legend in everything
Iv unaachaje kwenda kwenye show kali hv
hanaye jua anajua tu
bigup mumy uko vizuri da! nimemis kuona live
shiidaaaaaaaaa.......mama uko juu
±968 was 🔥... kiukweli
show Kali sana mungu akubariki sana mama said a kalori
she is so humble jamani
helping the youth ,youth helping 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
You are true legends. You and ROSE MUHANDO
Duh umetisha ilembaya
Safi mama unanikumbusha mbali
Saf sana Hilo sebene sio la nchi hii.
saida yani mimi sio muhaya ila unajuwa kuimba wale mameneja wako wanyuma walikulostisha sana ungekuwa mbali sana lakini mungu atakuinuwa sana tu
Kihaya kiheshimiwe✌️👌
ilikuwa ni hatareee mazeeee
uyu mama nimemvulia kofia
hapana chezea saida upo juu sana hongera
Huyo mtoto mfupi jamani...naomba namba!
Na wow this is soo nice
Nakuelewa dada saida nakubona
Hatariiii wewe
Katoto kadogo kanapinda mgongo.... waart....that lady at the end ......damn!
Mmmmmh haya bhana!!!!
😀😀😀saida saida akiamungu yangu nizaliwe nikijana mwenye umri wamiaka ishilini sasa katika kusikiliza mzikienakwenda katika sho mbalimbli akiamungu hii ndio shoo ambayo nimeona duuuu kweli ata kiingilio mmeweka chachini sana apo shoo ilio tolewa laha apana MAMA ww msanii mama aujafa bado Big up
mama umetishaaaaaaaaaa
Kazi nzr una bay
Wah the legend is back
kiukweri saida wewe niwatifauti sana
ni shidaaaaaaaaaaaaaa mamaaaa wape vitu hawajakuelewa badoo uwiiiiiiiiiiio
Tatizo wa Tz tumekalili timu mond vs Kiba wasanii wengin tunawapotezea sasa ona kumbe tunapoteza burudani tamu ,na hadhimu km hizi
kazi ni nzuri sana .. tunaomba show nyingine kwakweli
Energetic Woman❤💜💚💛💙
Msanii wa africa