Sebene la Saida Karoli Lapagawisha Mashabiki

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2017
  • Published on Jul 7, 2017
    SUBSCRIBE NOW / uwazi1
    Mwanamama Saida Karoli aliyerudi kwa kasi katika tasnia ya muziki wa asili,hatimae Jana julai, 6, 2017 alisheherekea miaka 15 yake katika muziki na hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Escape One Mikocheni , aliangusha burudani ya nguvu iliyopelekea mashabiki kupagawa.
    Na kelele za shangwe zilizidi baada ya kuimba wimbo wake aliouachia hivi karibuni baada ya kurudi kwenye gemu unaoitwa Orugambo, ambapo alifafanua maana ya neno hilo kuwa ni Majungu au umbea.
    Saida ambaye alipanda jukwaani na madansa wake, alizidi kuwavutia watu waliofika ukumbuni hapo baada ya kuonyesha uwezo wake wa kuimba na kupiga ngoma.
    SUBSCRIBE NOW / uwaz
    Global TV imekuletea habari kamili, itazame video hii mpaka mwisho kujionea mwenyewe.
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
  • Zábava

Komentáře • 258

  • @sadamdominic7030
    @sadamdominic7030 Před 4 lety +9

    Kama unaangalia mwaka 2020 like zako hapa ...Nipo hapa kwa hisani ya katoto kadogo.

  • @alexmulwa7844
    @alexmulwa7844 Před 7 lety +113

    *Wangapi wanaamini Karoli anakubalika Afrika*

  • @Chiefmukama
    @Chiefmukama Před 7 lety +43

    LIKE ZA WANAOTAKA SHOW YA SAIDA KAROLI IRUDIWE KATIKA UWANJA WA TAIFA TAFADHALI

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 7 lety +133

    Safi sana mama wapi like za saida karoli wewe😍😍😍

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya3528 Před 3 lety +5

    Haya music and dancing is beautiful🇹🇿🇹🇿

  • @castoriarogatus3675
    @castoriarogatus3675 Před 6 měsíci +1

    Mama Saida Karoli unaweza unaweza unaweza tena naiangalia tena 2024

  • @eliusgration4150
    @eliusgration4150 Před 7 lety +21

    huko vizuri dada yangu "Omukama katonda akwebembele"

  • @johnpeter6513
    @johnpeter6513 Před 7 lety +7

    dah kwer saida bado anaweza kwel sura inazeeka lakn kipaji akizeeki big up mama saida karoli.

  • @zeoneshiru3319
    @zeoneshiru3319 Před 7 lety +27

    sebene la saida halijawahi kumuacha MTU salama

  • @rechokabodo4893
    @rechokabodo4893 Před 7 lety +22

    jmn sio kwa sebene hilo, uwiiiiiiiiiiiiiiiii sebene sio la nchiii hii ilo

  • @sudybrown3973
    @sudybrown3973 Před 4 měsíci +1

    hii ilikua kubwa kuliko sijawahi kuichoka kuitazama hii show🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 Před 4 lety +2

    Diamond angefanya collabo moja na huyu dada. Ingeenda mbali sana!

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 Před 4 lety +2

    Nani anaangalia 2020.Gonga like

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya3528 Před 3 lety +3

    Haya music is so beautiful 🇹🇿💯💯

  • @dicksonstephen8229
    @dicksonstephen8229 Před 7 lety +9

    respect.. shout out to you. omukama asingwe kwa kweli..

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před rokem

    Tumaliza mwaka 2022 na bado tumpenda na kumsikiliza afrika tunaweza

  • @richardpembe606
    @richardpembe606 Před 7 lety +30

    Daaa nimemkubali sana huyu Mama ,hata sijaamini kumbe yuko vizuri namba hii , uko huu sana Saida Kaloli na hongera sana na sanaaa kwa Clouds Radio kwa kurudisha Kipaji hiki kilichotaka kupotea.Tunawaomba sana pia Mumsaidie pia Chid Benz na Q Chiller nao wapige Shoo Kabambe ya kuwarudisha Kundini tena kama hii , Hongera clouds

    • @getrudemax9770
      @getrudemax9770 Před 7 lety +5

      Richard Pembe show ya mtu mmoja kama millioni moja Arafu alikuwa anaumwa wa kulazwa kabisa dah uyu mama ni balaaa

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 Před 7 lety

      Nakuunga mkono maneno yako *Richard pembe*

    • @mamadoladoler2608
      @mamadoladoler2608 Před 6 lety

      awakuwez
      sinula
      atashilol
      wajipange
      tena

  • @emiliusfrance8286
    @emiliusfrance8286 Před 7 lety +29

    makofi kwa saidaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @emmanueljohn3297
    @emmanueljohn3297 Před 7 lety +2

    ila daimondi nampe honger sana kwa kumrudisha saidi kweny record tena bila ivo said axingexikilixw tena honger sana mama yetu saidi and daimondi

  • @alialle6441
    @alialle6441 Před 7 lety +32

    Kumbe kwa kipindi chote uko kimya tulikuwa tunasikilizishwa manyimbo ya kipuuzi ila kwa hapa hakuna bongolfleva wala bendi itakayobaki salama! Miaka mia, ila ujifunze kusoma sasa ili wasikuibie tena

  • @blacktulip4386
    @blacktulip4386 Před 6 lety +2

    Ooh i really love this music hahaha much love to my Tanzanian people's 🇰🇪

  • @halidaseleman9290
    @halidaseleman9290 Před 5 lety +2

    Shikamoooo dada saida

  • @meshackjoseph9535
    @meshackjoseph9535 Před 7 lety +4

    saida hakika unaweza sana mungu akuogoze katika safali yako ya muzic

  • @annajohnkahwa7148
    @annajohnkahwa7148 Před 7 lety +2

    hongera saida karoli dada yangu uko poa sana mama yangu wakuache ujiachie kitu foro bwana naijua hatari

    • @dogorasially5317
      @dogorasially5317 Před 7 lety

      Anna John Kahwa jamani natamani ningekuwepo kaa maana cyo kwa laa izi ongela sana mama mungu atakuongoza ktk kazi ya mikono yako ongela sana kwa kuludi tena na kutupa raa watanzania kwani tulikumic sana

    • @fidelismujuni7592
      @fidelismujuni7592 Před 6 lety

      Ilikuwa shidaaaaaaaa siku hiyo

  • @michaelkwilasa4415
    @michaelkwilasa4415 Před 10 měsíci

    Huu wimbo unaitwaje jamn, much love

  • @feministchannel
    @feministchannel Před 7 lety +13

    I don't understand anything but I'm a huge fan anyway

    • @anifasaid1308
      @anifasaid1308 Před 7 lety

      kweri bado umo

    • @kauzukauzu15
      @kauzukauzu15 Před 7 lety

      sindika,said a,,ewowoowo,karori,

    • @TheJacob2030
      @TheJacob2030 Před 7 lety

      feministchannel she's old skul but believe me she has some good music that will go many generations to come. .Mostly she sings about love and daily life

  • @YamunguYb
    @YamunguYb Před 7 lety +53

    Hakuna cha Simba wala kibakuli
    musiki upo hapa haha hadi raha

  • @ashoopapa3595
    @ashoopapa3595 Před 4 lety +1

    Aki saida ungelikua dem walai mm ninge hama Kenya nikam

  • @victorsolomon2140
    @victorsolomon2140 Před 7 lety

    hongera zake aliyerudisha kipaji hiki, kilikuwa kinapotea bure aisee.

  • @santusmiyonjo9676
    @santusmiyonjo9676 Před 7 lety

    Namkubari sana Saida Karoli kwa kazi zake endelea kutupatia Burudani

  • @bazirakedaniel3045
    @bazirakedaniel3045 Před 5 lety

    Namushukuru Mungu kuona ungali muzima najua takuonaka sikumoja Hero anaye amini amen

  • @feministchannel
    @feministchannel Před 7 lety +6

    in my Saida Karoli Playlist !

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před rokem

    Tunamaliza mwaka na saida kaloli safi mama wapi like 👍 🥰🥰❣

  • @kingbenaya8729
    @kingbenaya8729 Před 7 lety +21

    Who is watching this at 2020?? 😂😂😂

  • @LamerkWarwo
    @LamerkWarwo Před měsícem

    Let's enjoy with our haya traditional culture🎉🎉🎉❤❤ kagera yeitu bhojoooo🤸🤸🤸✊💚💚💚

  • @jasminasha9551
    @jasminasha9551 Před 7 lety

    Safi saaaaana Yaani sauti mzuri na mziki wa Kitanzania wenye raha kubwa sana asante sana kipenzi 💋💝💐🎉💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @samiasamia6746
    @samiasamia6746 Před 7 lety +7

    iyo sauti hatali kabisa big up saidi

  • @getrudemax9770
    @getrudemax9770 Před 7 lety +6

    bakulekeeeeee mwana wa tata bakuleke kwakweli mpaka mwili umesisimka daaaah

    • @claramilanzi9170
      @claramilanzi9170 Před 7 lety

      kabisa wamwache ajimwayeee jaman kasota sanaaa....😘😘😘😘😘

  • @galubaalebobjimmy7501
    @galubaalebobjimmy7501 Před 5 lety +1

    Really live...love from Uganda Bob

  • @hoodparkinspiration5575

    saida noma we mama wewe hatuamin japo ndoukweli asee mm cjawah ona show kabambe kama yako hii tangu ujiweke mbali namuzki yan ....Vjana hawakufikii mama...you nailed it

  • @stevenkate7130
    @stevenkate7130 Před 7 lety

    kiukweli saida karoli tulikuwa tumemisi sauti yako kwa muda mrefu ongera kwa kurudi mama Mungu akujalie ktk safari yako mpya ya mzk naamini utapata mafanikio zaidi ya uko awali

  • @meckkanga9470
    @meckkanga9470 Před 7 lety

    Nakupenda sana Dada Saida Mungu akubariki ktk kaz zako pole kwa changamoto za hapa na pale

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před 7 lety +1

    kwa show km hzi saida jiandae mialiko ya nje ya nchi utapata nyingi sanaa

  • @allhamdusuleimani1165
    @allhamdusuleimani1165 Před 7 lety +1

    tixhaaaa xanaaaaaa!mama anqu xaida karoli kiukweli umetixha xaaaanaaaaaaaa.

  • @joycemichaellovelove2221

    🙌🙌🙌🙌🙌skutegemea kama ungefanya mauaji kias hik Mungu akutunze

  • @jelobbypojestus.mlokozi554

    kwakweli wababasa

  • @phanice_designs
    @phanice_designs Před 7 lety

    Saida Karoli can dance.Bado yuko fit. Kudos Saida. We Love you.

  • @oopswouw756
    @oopswouw756 Před 7 lety +7

    ng'ombe hazeeki maini..Dada saida b ado upooo

  • @mosesnkwela6073
    @mosesnkwela6073 Před 4 lety

    Saida band mmmh!!bado upo vzryyyyyyy

  • @thuweintheprince882
    @thuweintheprince882 Před 7 lety +5

    👏Sijawahi kuangalia show ya live kwa tz ikawa nzuri kama hii ya saida karoli hadi nasisimkwa

  • @mamujally3814
    @mamujally3814 Před 7 lety

    ndombolo ya Ssolo.
    old is gold ❤Saida Karoli....Chambuaaaaaaa😉😯😃

  • @rizikimusamohamed7282
    @rizikimusamohamed7282 Před 7 lety +1

    Ooo daimond anajua kupiga live show na live band nyoooo,bado sana

  • @vivianpius2977
    @vivianpius2977 Před 7 lety

    saf xana saida karoli mungu akubaliki nmelipenda sebene

  • @friendscafe206
    @friendscafe206 Před 7 lety

    Diamond Platinumz ina bidi uige usituletee tamaduni za nigeria.... Nakukubari SAIDA

  • @dasilvajunior3016
    @dasilvajunior3016 Před 4 lety

    nouuma sana mama, hajawahi na hatozaliwa wa kushindana na wewe. amani kwako.

  • @abubakarkaligani5073
    @abubakarkaligani5073 Před 7 lety +5

    you are my number one in tz

  • @malingumukevin5709
    @malingumukevin5709 Před 7 lety

    wakola owamawe! real I remember Bukoba mpaka chozi linatoka!! akatanyukwile tikoma!!

  • @jasminebaibe8431
    @jasminebaibe8431 Před 7 lety

    salute for her aisee uko juu tu sana mamaaa big up nimeilike walai😍😍😘😘

  • @racheldenis2236
    @racheldenis2236 Před 5 lety +1

    Unajua mpaka umepitiliza wakola

  • @asmabintikiwashatz9321

    wanikumbusha mbali nyimbo zako miaka hio penda saida

  • @wardalward3693
    @wardalward3693 Před 6 lety

    Saida karoli kweli una furahisha sana mama we una stahili kupata sta wewe

  • @CharlesRobert-ke3yt
    @CharlesRobert-ke3yt Před 4 měsíci

    ❤❤ uishi myaka mingi

  • @kastorytave8957
    @kastorytave8957 Před 7 lety

    noma mama langu,,,,miaka buku katika maisha yamziki

  • @florameza9529
    @florameza9529 Před 7 lety

    riziki ya mtu kama ipo ipo tu hata ukiiziba mungu atafungua saida mungu kafungua

  • @hamislyegwa2219
    @hamislyegwa2219 Před 3 lety

    Mama said uripaform vizur sana

  • @adeltuskalumuna5448
    @adeltuskalumuna5448 Před rokem

    Notisha ebyenoma

  • @elyleonard5122
    @elyleonard5122 Před 4 lety

    Kaz nzur kwakweli saida karol

  • @mamumamu1718
    @mamumamu1718 Před 2 lety

    Saida big up sana unajua ,,, sauti nzurii sana.

  • @privalibent3311
    @privalibent3311 Před 3 lety

    Jaman Mbona mziki wa asali wa kihaya una radha sana

  • @nakagezigatrude9331
    @nakagezigatrude9331 Před 6 lety

    Saida is truly a legend in everything

  • @elyleonard5122
    @elyleonard5122 Před 4 lety

    Iv unaachaje kwenda kwenye show kali hv

  • @anordkagaruki9319
    @anordkagaruki9319 Před 7 lety +5

    hanaye jua anajua tu

  • @peterkushoka577
    @peterkushoka577 Před 7 lety +1

    bigup mumy uko vizuri da! nimemis kuona live

  • @dottoktwima6598
    @dottoktwima6598 Před 7 lety +1

    shiidaaaaaaaaa.......mama uko juu

  • @aishamohd9852
    @aishamohd9852 Před 7 lety +3

    ±968 was 🔥... kiukweli

  • @justinephilemonphilemon5125

    show Kali sana mungu akubariki sana mama said a kalori

  • @angelangel4119
    @angelangel4119 Před 7 lety +3

    she is so humble jamani

    • @iddyjuma6424
      @iddyjuma6424 Před 7 lety

      helping the youth ,youth helping 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @barasaronaldnyegenye6152

    You are true legends. You and ROSE MUHANDO

  • @sinkalasinkala2901
    @sinkalasinkala2901 Před 6 lety

    Duh umetisha ilembaya

  • @witrackyona6269
    @witrackyona6269 Před 3 lety

    Safi mama unanikumbusha mbali

  • @eliussalmon6609
    @eliussalmon6609 Před 6 lety

    Saf sana Hilo sebene sio la nchi hii.

  • @esterkapufi7753
    @esterkapufi7753 Před 7 lety

    saida yani mimi sio muhaya ila unajuwa kuimba wale mameneja wako wanyuma walikulostisha sana ungekuwa mbali sana lakini mungu atakuinuwa sana tu

  • @prisca9311
    @prisca9311 Před 2 lety

    Kihaya kiheshimiwe✌️👌

  • @godfreykanelela9448
    @godfreykanelela9448 Před 7 lety +8

    ilikuwa ni hatareee mazeeee

  • @johanikwelikwaninihakiyaok7373

    hapana chezea saida upo juu sana hongera

  • @hosianajosephu4296
    @hosianajosephu4296 Před 4 lety

    Huyo mtoto mfupi jamani...naomba namba!

  • @sallykanze
    @sallykanze Před 7 lety +5

    Na wow this is soo nice

  • @sanifhesro2169
    @sanifhesro2169 Před 5 lety

    Nakuelewa dada saida nakubona

  • @eliackimsimoni8370
    @eliackimsimoni8370 Před 7 lety +6

    Hatariiii wewe

  • @martinodongo6924
    @martinodongo6924 Před 6 lety

    Katoto kadogo kanapinda mgongo.... waart....that lady at the end ......damn!

  • @mosesnkwela6073
    @mosesnkwela6073 Před 4 lety

    Mmmmmh haya bhana!!!!

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 Před 7 lety

    😀😀😀saida saida akiamungu yangu nizaliwe nikijana mwenye umri wamiaka ishilini sasa katika kusikiliza mzikienakwenda katika sho mbalimbli akiamungu hii ndio shoo ambayo nimeona duuuu kweli ata kiingilio mmeweka chachini sana apo shoo ilio tolewa laha apana MAMA ww msanii mama aujafa bado Big up

  • @EdwinDidas
    @EdwinDidas Před 2 měsíci

    Kazi nzr una bay

  • @robertmuturi6396
    @robertmuturi6396 Před 7 lety

    Wah the legend is back

  • @mikidadligogi8921
    @mikidadligogi8921 Před 7 lety +9

    kiukweri saida wewe niwatifauti sana

  • @elvithamutagwaba2462
    @elvithamutagwaba2462 Před 7 lety

    ni shidaaaaaaaaaaaaaa mamaaaa wape vitu hawajakuelewa badoo uwiiiiiiiiiiio

  • @mymussept3662
    @mymussept3662 Před 6 lety +1

    Tatizo wa Tz tumekalili timu mond vs Kiba wasanii wengin tunawapotezea sasa ona kumbe tunapoteza burudani tamu ,na hadhimu km hizi

  • @barakambeo5492
    @barakambeo5492 Před 7 lety

    kazi ni nzuri sana .. tunaomba show nyingine kwakweli

  • @mamujally3814
    @mamujally3814 Před 7 lety

    Energetic Woman❤💜💚💛💙

  • @johnsonfrodianus6237
    @johnsonfrodianus6237 Před 4 lety

    Msanii wa africa