Mchambuzi wa kitaifa Micky Jr akichambua Mechi za awali Simba v/s Nyasa bigbullet na Zalan v/s Yanga. Tazama hapa Uchambuzi yakinifu Toka kwa MuanSports kupitia link hii apa chini 👇🏾. 👇🏾. 👇🏾 czcams.com/video/V81jGG8_dyc/video.html czcams.com/video/V81jGG8_dyc/video.html
Nikwambie kitu? Hata asipofanya vizuri kama kocha mkuu, atabakishwa kama kocha msaidizi. Shika Neno langu na tarehe ya leo
Umewaza km mimi 👍
Kila la khair kwako Juma Mgunda
Kila la khair kwa Simba SC
❤🇹🇿
Washauri vijana wajitumeee uwanjani wapapanie nembo
@@aminasongoroka7475 Alhamdulillahi wametekeleza hilo
Cjui ni kwa nini lkn nimehamasika sana na huyu jamaa kuwa coach.
Ata kama utakuwa kocha mkuu uwe msaidizi nguvu moja
Karibu Sana juma mgunda jisikie uko nyumbani
Kila la kheri mgunda naamini utafanya vizuri
Piga kazi Kaka Juma unaweza.
Very nice
Pep Guardiola Tanga Karbu Sana SIMBA SPORTS CLUB
Tunakuamn san
Uongo unapanda lift ukweli waja na ngazi☺️💪
Thanks coach 🙏
The first 💪
Hapo anaweza kuchukua nafasi ya matola baadae, ni suala la muda tu. Pia, ana rekodi ya kufunga hat trick fainali
🦁💪
Kweli
Mchambuzi wa kitaifa Micky Jr akichambua Mechi za awali Simba v/s Nyasa bigbullet na Zalan v/s Yanga.
Tazama hapa Uchambuzi yakinifu Toka kwa MuanSports kupitia link hii apa chini
👇🏾. 👇🏾. 👇🏾
czcams.com/video/V81jGG8_dyc/video.html
czcams.com/video/V81jGG8_dyc/video.html
Ata kama utakuwa kocha mkuu uwe msaidizi nguvu moja
Ata kama utakuwa kocha mkuu uwe msaidizi nguvu moja