Kaa Nami

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • BAHATI BUKUKU Rose muhando Sporah Show Dr David Owuor Bongo flava Atu Dave Tanzanian Singer swahili gospel Christian Music Swahili worship latest tanzanian music Bongo Flava Kanumba movies Gospel Choir Tanzania 2012 Dr. Paul Hamisi Hussein New kenya Kikuyu Rwanda Burundi Mazinge Iman petro Upendo Amon Kilahiro Martha Ramadhani Angela Chibalonza Ben Githae

Komentáře • 35

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 Před 5 lety +3

    Mazinge Unakazi Kubwa Sana. Mwenyezi Mungu Akulipe Kila LA Kheri.

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 Před 5 lety +2

    Wakristo Mumshukuru Sana Mazinge Kwani Mambo MENGI Sana Mumefichwa Na Wachungaji Wenu.

  • @ricksonmackimillan383
    @ricksonmackimillan383 Před 2 lety

    Omba siku nisikutane na wewe nitakufunulia yote mpaka mambo yako mwenyewe

  • @bashakahamim551
    @bashakahamim551 Před 9 lety +1

    waislamu hatuna shida yoyote sasa kusema tuko wabaya apana kwa jifunze na kisha usilimu ndio faida kwako

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 Před 5 lety

    Wakristo Mazinge Amewafikishieni Ujumbe Bila Ghalama Yoyote, Mtakapoenda Motoni Msimlaumu MTU Bali Nafsi Zenu.

  • @Souffra
    @Souffra Před 12 lety

    Ukisoma Matayo 1:18-25 Inazungumza vile malaika alimtokea Mariam na kumwambia kwamba atazaa mtoto wa kiume ambaye atamwita Yesu. Malaika anazidi kusema kuwa tukio hili litatimiza yaliyonenwa na nabii(Isaya) Kuwa Bikira atachukua mimba na atamzaa mtoto ambaye atamwita Immanueli. Kwa hivyo Yesu ndiye Immanueli. Mariam alikuwa bikira alipomzaa Mwokozi Yesu. Pia Yesu anapozaliwa hatuoni Mariam akimpa Jina bali babake Yusufu ndiye alimpa Jina. Kwa hivyo Yesu ndiye Immanueli. Hawa hawana hoja kamwe.

  • @hamadamabali2895
    @hamadamabali2895 Před 4 lety

    Mazinge Mungu akuzidishie kheir inshaAllah

  • @ricksonmackimillan383
    @ricksonmackimillan383 Před 2 lety

    Huyu jamaa anachukuaga watu wasioweza kujua kweli kiufunuo alafu anafanya anaelewa

    • @Fraciencwa94
      @Fraciencwa94 Před 4 měsíci

      Hahaha 😂 wait until youre the one on that sit 🪑 😂 you'll know

  • @masseanadir2904
    @masseanadir2904 Před 7 lety

    yohana 16-7 hd 14 yesu anatabiri ujio wa mtume Muhammad.

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +1

    bora uzakiwe kipofu wa macho kuliko kuzaliwa kipofu wa moyo kama mwakiristo. yaani ni vipofu kushinda maelezo

  • @rskiabdala4868
    @rskiabdala4868 Před 6 lety +2

    Wakristo hamn point za kuutetea ukristo kitabu chenu wenyenu kinakuumbuweni

  • @Souffra
    @Souffra Před 12 lety

    Yesu alitabiriwa na nabii Isaya:
    Isaya 7:14
    "..uvumulivu wa wanadamu? Je, mtaujaribu
    uvumulivu wa Mungu wangu pia?
    14
    Kwa hiyo
    Bwana mwenyewe atawapa ishara: Bikira
    atachukua mimba, naye atamzaa mwana na
    ataitwa Imanueli(Maana yake Mungu pamoja nasi)
    Matayo 1:22
    22
    Haya yote yametukia ili kutimiza lile
    Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii,
    akisema:
    23
    “Tazama, bikira atachukua mimba,
    naye atamzaa mwana, nao watamwita jina lake
    Imanueli,’’ maana yake, “Mungu pamoja nasi.’

  • @pichiambee11
    @pichiambee11 Před 11 lety

    keep it up al habib mazinge

  • @hanaboys1
    @hanaboys1 Před 11 lety

    who are they even to to preatend they know how God works!!!! ???

  • @christde1
    @christde1 Před 12 lety

    maana ya uislam ni nuru inayoangaza gizani . ISLAM

  • @mejumaamwachirero7324
    @mejumaamwachirero7324 Před 9 lety

    Asante sana da samira.Kumbe wanawajua wanaouwa ovyo ovyo ni wasomali waliowaislam na Alieuwa sheikh Rogo,Makaburi na wengineo ktk mji wa Mombasa ni akina nani kama si wakristo?

  • @hanaboys1
    @hanaboys1 Před 11 lety

    sick is what this is!!! Worship God and stop critisizing what other people believe to be the truth, God in his Grace will help us all!!!!

  • @hanaboys1
    @hanaboys1 Před 11 lety

    this is craiziness, how can you stand to critisize religion, God help us all.

    • @fahmisaid8998
      @fahmisaid8998 Před 5 lety

      Hakuna mtu aliesmama na kukosoa dini...anayongea sheikh mazinge ndio ukweli mtupu ..mungu akusaidie wewe uone njia ya haki uifate ili uepukane na moto.

  • @ruthneema5379
    @ruthneema5379 Před 5 lety

    Comedian

  • @samiraamir9610
    @samiraamir9610 Před 11 lety

    We kwanza kasome kiswahili.Wasomali kuwauwa hao wakristo alowatuma nani waende Somalia?Tena mm ni Msomali na nakushangaa sana nyinyi kwenda kuuwa Wasomali tena kwenye nchi yao haiwaumi ila kuchingwa viaskari vyenu inauma tena tutawamaliza mpaka mtoke nchini kwetu.Vibaraka wakubwa.Ndio waislamu tunajiheshimu na kumwogopa sana Mungu ila usiingie anga zetu ama kwa kukejeli dini,Na hii video imewaumbua sana kwani biblia yenu wenyewe inawamaliza, mnao beba vitabu na kilichoandikwa ndani hujui.