Wanaume sio wakuwategemea sana ukizaa mtoto wakiume umuombee kwa allah apate mwanamke mwema ndo utafaidu la sivyo akipata mwanamke mshirikina ndo kama haya hata kwetu yupo ndugu yetu hataki ndugu wala kabila lake na anasema anajuta kuzaliwa na ktk hii familia ila tukumbuke haya maisha ya dunia ni mafupi sana yasituhadae
Kai anaharibu utamu wa movie hayo mafunzo yahii movie ilikua inakuja vizuri ila ep 25 nahii Kai waaaah Ila Acha tuone mwisho😂😂😂😂 nawafatilia nikiwa kenya❤
Hii move wameharibu hao watu wengine wanatokea wapi yaani mgefanya maarifa mkawatoa wale wadada ambao hapo sirias mkawaweka ambao wapo siriasi ili move yenu inonge mnazidi kuongeza watu mmeiharibu hii move
wuuuwi Gay umenipoo sana kwa episodes zenye zimefuatana haki unafanya nimeanza kukuchukia na vile nilikuwa nskupenda, kwa kila movie nikikuona nilitaka tu niwatch yote
Ila dawa kila siku Ina mwanzo na mwisho ala hamnaga Siri yawatu 2 hapo Siri isha vuja nahapo ndipo patakua patam Kay umeshikwa na uchawi kweli pole sana
Dakh kai mazure mazure yakikutoka käi utakuja juta käi pole sana ila candy mnafiki sana unajifanya mwema ila candy lichá kwamba nimchezo ila sijapenda tabiya yako dakh
Hii filamu inafunza kwakweli hapa kwa huyu chiko mnapswa wanaume mjifunze kitu tulieni kwenye ndoa zenu kuna maradhi😢 Kai hujainuwa thamani ya baba utakuja kujuta badae majuto n mjukuu😢 natamani kuita baba mwenzio 😭💔 zuu pole wapitia magumu ila utapona tuh Mungu Yuko nawe🙏💕
Jamani hawa nao wa mama wametoka wapi hatujawahi kuwaona wameingia tuu katikati ya movie sijapenda mnatuvuruga kutuinginzia wahusika wapya ambao hawakuepo😔😔😔😔
Whatsapp group la house girl fans 👇👇
chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
Tunaochukizwa na matendo ya candy weka like hapa
Ucjal
Yaan Ile siku dawa zitaisha atajutia😂
Nachukia kwa vitendo vyake
Haki ya Mungu
Alafu ubaya zaidi Kai haelewi
Jaman wanawotak km da zuu atarud kweny hariyake yakawaida wek like hap 😢😢😢
Tangu nianze kwangailia Leo ndo nimewai jamn mniulumieko mnipe likes
Nice
❤❤❤❤😂
Nakubali sana kazi zako nzuri sana na kwakweli unaweza kufika mbali zaidi ya hapo
😊😊😊🎉
Like za mavi wwe angalia video uende zako mkojo
Haya kila mtu wa kwanza yeye anataka like..haya mimi wa mwisho nataka like pia😘😘
Usijali mpenz 😂
Tokea candy aende Kwa mganga nimeboeka
Wa kwaza jamani mnipe likes zangu
Jameni namhurumia kai yaani amemkana mzazi wake bila ata huruma walia kai ningekua apo ningekunyonga kimya kimya tena ki movie movie
Watu hawalali duuuu sikubali kushindwa lazima niwe best three follows of House girl
Movie zuri sana🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
wakwanza leo like za kenya pamoja na team strong
Jamani wanani wako tiyari kusubiri namba 27 tujuwane kbs 😂😂😂
Mimi jamani
@@merryelias2403 kwel usijali wataileta karibuni
Wah hk inaniuma sana lakin sawa tu🎉🎉🎉
Hongern sana guys but mungekua munayuletea ata vipart viwili man movie nzuri ata sitamn iwe inaish haraka😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Love this movie ,am watch from Kenya,gen z forever
😂😂😂😅😅😅
GenZ forever
Oi wa kwanza naombeni like zangu 🤣
🤣🤣💪💪
Kay weeee haya yangu macho utajutia jiliii
Tunao kesha kwa muendelezo tuna enjoy wengine zam yenu ni kesho inshallah
Wanaume sio wakuwategemea sana ukizaa mtoto wakiume umuombee kwa allah apate mwanamke mwema ndo utafaidu la sivyo akipata mwanamke mshirikina ndo kama haya hata kwetu yupo ndugu yetu hataki ndugu wala kabila lake na anasema anajuta kuzaliwa na ktk hii familia ila tukumbuke haya maisha ya dunia ni mafupi sana yasituhadae
Wakwanza leo team glaf mpooo❤❤❤❤🎉🎉🎉
Tunao kelwa na matendo😢ya kendy naomba weka like hapa
😭😭
Jamani kendi yote hayo ni ww😢😢😢
😭😭
Candy Siku zamwiz ni Albain daw Yako inachemuka 😢😢
Candy ile siku kai atakugeuka utashangaa utaona moto
Congratulations kwa movie nzuri jamani
🙏🙏🙏
Naona mambo ni fire❤❤ thenks dj
Kendi,Hiyo ni iwe ni ku act tuu bt isiwe ndivyo ulivyo katika maisha yako halisi,Maana duuh una roho mbaya kwa kweli.
Watu amlali mpo macho kweli
Congratulations 🎊 khai mungu akutangulie na team yko 💜🙏
🙏🙏❤
Mungu amsaidie mzee
Like zenu ata 1000
Kwani ni chakula😂😂😂
Mm candy simpendi mwanamke mnafiki sana
Kai nilikua nakupenda lakini leo nimekucukia kabisa umeniumiza jamani
Hata me nimemchukia🥺🥺
Shoga leo umepiiga magoti😂😂
🤣🤣🤣
Mambo zenu watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 wezanguu naombeni Iike ata 16 na mimi nijione mtu 🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanz naomb laik
Kai kweli umelogwa ukalogeka looh,,,candy unadhambi kubwa sana aiseee😢😢😢😢
😭😭
@@busatitv pole bhana usilie ndio maisha😂😂😂
😢😢😢😢Atayalipia maumvu candy 😢😢😢😢
Jaman kwahiyo mimi ndio sipati like 👍 😢😢
Wajinaaabana😂😂😂😂😂😂
Kai anaharibu utamu wa movie hayo mafunzo yahii movie ilikua inakuja vizuri ila ep 25 nahii Kai waaaah Ila Acha tuone mwisho😂😂😂😂 nawafatilia nikiwa kenya❤
Ishaanza tutuboo kabisa kwani movie nyingi siku hizi lazma kuingizwe tu ushirikina
254 niko live naomba like
🙏🙏
Nyieee kendi anaota au 😊😊
Kweli 😢😢 Kai umekorokwa akili vilivyo....ila candy, sijui siku dawa itaisha nguvu utakuwa rafiki wa nani....
Atauramba mkavuu nayy barabarni huko tutamuona tuu 😂😂😂😂😂😂😂
Ata rafiki yake ashamruka😂
Waooo kazi nzuri ya kaii amegeuka
Hongereni wapenzi ❤❤❤🎉🎉🎉
Lovely….
Hii move wameharibu hao watu wengine wanatokea wapi yaani mgefanya maarifa mkawatoa wale wadada ambao hapo sirias mkawaweka ambao wapo siriasi ili move yenu inonge mnazidi kuongeza watu mmeiharibu hii move
Wa kwanza leo hummm nimeotea
Hongera kwa kazi nzuri Ila tunaomba mda uongezwe ni fupi mno leo hata zuu sijamuo na umesha isha mmmmmh
Muda ni mfupi, afu inapoteza mvuto kabisa
Tunaendelea vizuri 🎉🎉🎉
candy kwa kuigiza duuh😂😂😂😂
9sec nafika nimeidakia juu jamen tujuwane team Zuuh japo tupo kweny hal mbaya 😢
Wallai nasinywa lkn tuwe na Imani mnafiki candy vimrudie na Kai aregeshe ufahamu aoe zuu atimue candy😢😢😢😢
😢😢😢😢😢Mie moyo una maumivu kw ajil ya zuu na babake kai😢😢😢😢
@@mwalisuleih1164 😰😰😰
Nawafatlia kwa ukalibu sana
Kha kaz yenu umbea tu kuoga aaaah!😂😂😂
Kai 😢😢😢😢nawe kendy chako kii motoni
Jamn Leo nimewah naomben like 10 t
💪💪
Good job@@busatitv
Wakwanza Leo jmn😂😂😂😂
Dah sonia kawa nge anatafuna huku anapuliza😮na candy naye kajifanya mwema mnafiki
Wacha wee nimejaribu kuwahi❤❤❤❤
Zuu yuko wapi sasa sijapenda
Sijachelewa sana 🔥🔥🔥
💪💪
Bo@@busatitvbona mnaongeza wp
Wakwazda leo twende nalo
Candy leo ni dada wa kanisa anaongea vizuri
🤣🤣
Wa kwanzaaa nlikua naisubiri kwa hamuuu❤❤❤
Hata mkipost saa nane mm nipo macho bhana
😂😂😂😂 jamani
Hulali😅😅😅
@@saumodzumbo9671 hakuna kulala bhana
@@saumodzumbo9671 🤣🤣🤣🤣
@@pendohylida5893 nilikuwa namuombea zuu apone ila daah sijamuona jamani😭😭😭
Jamani hadi huluma dada wakazi mapenzi yalikuwa yamesha noga
😭😭😭
Leo nimewai nipeni maua yangu
Daaaah maisha haya jamani 😢😢😅😅😅😅❤❤❤
Akuna kitu kibaya kama laana ya baba😔😔😔
Me wakwanza nipe like zangu
😅😅 candy panya wewe.. umemrogà kai akili maamuzi yake yanàkerà sasà😭😭😭me nitalià kiukweli ukweli mjue😢
Hata mimi pia nimewah leo
wuuuwi Gay umenipoo sana kwa episodes zenye zimefuatana haki unafanya nimeanza kukuchukia na vile nilikuwa nskupenda, kwa kila movie nikikuona nilitaka tu niwatch yote
Ila dawa kila siku Ina mwanzo na mwisho ala hamnaga Siri yawatu 2 hapo Siri isha vuja nahapo ndipo patakua patam Kay umeshikwa na uchawi kweli pole sana
🙏🙏🙏
Na mbona huyu amekaribushwa vizuri kuliko wengine?? Kendy mbinguni hauendi😂😂😂😂
Yan daah imeonekana fup Kwa kuweka ivo vipande jmn Sasa ndio nn
Hiii ya 26 ATA haijawa perfect ATA maan maongz sanaàaaa kiukwel haijanoga kiiileeeeeeeee
Waaah hii moto
Hawa wengine wakina nani tena alitaka kumbaka mwenzie
Sijawaelewa bado😊
Achaneni Kuchanganya Hii Stroy Mtaiyaribu Ssa Ebu Awa Watu Mliowatiya Juu Watoweni Kabisa Cjapenda
Kumbe hata wewe umeona dia sasaivi haina muelekeo
Hata kumbe pia ww umeona
@@merinazyd0532 Wanaiyaribu Wenyewe Wausika Awawaoneshi Tukajuwa Ali Zao Zuu Na Bake Kai Na Bbi Mizimu Yake Imemuambiaje Wanaonesha Cjui Wabakaji
@@violangaira Vizuri 2 Acha Wajichangaye Wenyewe Na Watu Wao Wabakaji Cjui Akina Nani Wakat Wausika Awakuwaonesha
Dakh kai mazure mazure yakikutoka käi utakuja juta käi pole sana ila candy mnafiki sana unajifanya mwema ila candy lichá kwamba nimchezo ila sijapenda tabiya yako dakh
Kama na wewe ulali bila kupata hii House Girl nicheki
🤣🤣
❤
Mambo
🎉🎉😂😂😊
Mambo na uko mkoan gan
Leo nimewai mapema nipeni like zangu
Iyi sehemu mbona inabowa sehemu inaisha bila kumuona zuuu mimi sijapenda mujuwe 😔❤❤🇧🇮🇧🇮
Ata mm sijapenda zuu hayuko
Leo na mm nmewai
Leo nmewahi nipeni laik zangu
❤
Nangoja sana siku shetani ataramba candy kisogo
🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂 Ndio nywele zikatike zote abaki kam 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aaaah watu 😂😂😂😂😂😂😂
Chezea dawa wewe kai amekua nyuki
Hatakama ni kurogwa Kai umezidi ....😅
Yan balaa ak mganga ole wake
😂😂 kabisa
Hii filamu inafunza kwakweli hapa kwa huyu chiko mnapswa wanaume mjifunze kitu tulieni kwenye ndoa zenu kuna maradhi😢 Kai hujainuwa thamani ya baba utakuja kujuta badae majuto n mjukuu😢 natamani kuita baba mwenzio 😭💔 zuu pole wapitia magumu ila utapona tuh Mungu Yuko nawe🙏💕
Amina 🙏🙏
Nakoswa usingiz nikikoswa hii
🙏🙏
Nawapenda burundi
Nice😘
Jamani mpumbavu mwezangu,Leo kakaribshwa vizuri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nlikuwa naotea😂😂😂
🤣🤣
@@busatitv EP27 LEO LEO AMA KESHO?NISUBIRI..?
😂😂😂😂😂😂
Ase kai wamemuhalibu ase
Watoeni hawa wageni wanaharibu movie alafu Kai wazidi hadi waboesha from kenya
Eee wanaboo sana
Ungejua kikulacho kingoni kwako usinge sema kitu Kai wewe😢😢😢
Watu amulali aaaah sijui ntakua lini wa kwanza mm 😢😢😢
🤣🤣
@@busatitv 😂😂😂😂aaaah ata ikaletwa nane usiku niwa mwisho
Jamani kwa upande wa sauti ni sote ama n kwang pekeake hamna sauti 😢
Yeap sauti n ndogo sana
@@user-ze1vf1pp1k
Ok
Cand usisahau penzi la dawa halidumu dawa ikiisha ukali utatamni ardhi ipasuke😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
🥰🥰❤❤
Jamani hawa nao wa mama wametoka wapi hatujawahi kuwaona wameingia tuu katikati ya movie sijapenda mnatuvuruga kutuinginzia wahusika wapya ambao hawakuepo😔😔😔😔
❤️❤️❤️❤️❤️