Highlights | Coastal Union 1-0 Dekadaha FC | Dar Port Kagame Cup 09/07/2024
Vložit
- čas přidán 8. 07. 2024
- Wagosi wa Kaya, Coastal Union wameanza vema michuano ya Kombe la Kagame (CECAFA Dar Port Kagame Cup), ikiitandika Dekadaha FC ya Somalia bao 1-0.
Goli hilo pekee la mchezo limefungwa na Ramadhan Mwenda dakika ya 45, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la KMC, Mwenge Dar es Salaam. - Sport
Amna team hapa coastal union mnaenda kutuabisha bure tu!! Mtakula goals kumi kumi tu
Bonge la uwanja raha sana mwaka huu kmc itasumbuwa
Nawakubali sana wana wagosi wandima
Penelty foe dekadaha
Coast bado kazeni kimataifa sana
Coastal union kama mnaenda kimataifa na timu hii bado sana mjipange la sivyo taifa litaaibika sana😂😂😂🙌🙌🙌
kweli coastal mjipange mpo slow tunawapenda ligi yetu iwe na timu nyingi nzuri.
Ulitaka timu gani!?
Kumbe kmc wana uwanja wao
Costal Kila la heri
ONGERA KMC KWA UWANJA MZURI, KUNA TIMU ZA MWAKA 47 mpaka leo ni majungu tu ...
Ndiyo wameukamilisha hivyo
Nawakubali wana mangush
hyuu uwanja mbona hautumiki ligi kuu
Uwanja mpya ndo kwa umeanza kutumika
Ligi kuu msimj wa 24-25 utatumika
Hayo mazingira ya nje kama sio Dar
6:41
Ni mpya
Huu ni uwanja wa azam
Apana ni mpya wa kmc
Wa kmc
Kmc
@@omarylukindo5306 😂😂😂yeah ni kmc
@@AmaniKasekwa-uw8hp wa kmc bahna