Mchungaji atema cheche Goodluck Gozbert kushiriki Fiesta| akatubu| Mbasha hatuna Mbingu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 10. 2019
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
    #Meshacksalum #Goodluckgozbert#Emmambasha

Komentáře • 63

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 Před 4 lety +8

    Mchungaji hauko sawa kwa sababu Injili lazima iwafikie watu wote. Wewe mwenyewe mbona Umenyoa Denge Tungerudi kwenye Maandiko wewe mwenyewe Una Makosa
    Vilevile Wakubari Wakubari iyo sio kazi yetu ni kazi ya Mungu tu,....
    Wachungaji wengi leo wanafanikiwa kukusanya waumini Kanisani tu na si Kuokoa Roho zao, wanapenda kuwa na waumini wengi kuliko kuwapeleka Watu kwa Yesu.
    Unasema tusufungiwe nira na watu wasioamini ni sawa Lkn Goodluck pale Hajafungiwa Nira, kama Angefungiwa nira Angeimba Bongo freva, asingeruhusiwa Kusema Bwana Yesu Asifiwe, Kumbukumbu yangu inaniambia kila Mwenye Pumzi Amsifu Bwana, sio kila mlokole, sio kila asiyekuwa na Dhambi, acheni Kuhukumu Walevi na wazinzi Wapeni Habari njema za Ufalme wa Mungu,... 🔥 Wapo wengi mbingu hawataiona kwa kujiona ni miungu watu,.... Songa mbele Goodluck Neema ya Bwana Yesu Kristo ikufunike katika wote hao hata Mmoja akipokea neema ya Mungu, Mungu atakupatia thawabu. 🔥
    ETI TUSUFUNGIWE NIRA NA WASIO AMINI INA MAANA INJILI NI KWA WALOKOLE TU,... SIO SAWA NENDA GOODLUCK SONGA MBELE,
    NA WEWE MCHUNGAJI KABLA YA KUMUHUKUMU TAFUTA NAFASI UFANYE INJILI MBELE ZA WENYE DHAMBI HATA 500 TU
    AU ANDAA TAMASHA KAMA ILO ITA WAIMBAJI WA GOSPEL TANZANIA NZIMA FANYA GOSPEL NI AIBU KABISA TUNAZIDIWA NA WATU WA MATAIFA NA WATUMISHI TUPO TU
    HONGERA SANA Goodluck Gozbert. Yesu Kristo ni Bwana

  • @melody_mike_mavoice
    @melody_mike_mavoice Před 2 lety

    Thank God you your so perfect ....

  • @dotopeter1509
    @dotopeter1509 Před 4 lety +8

    ⓚⓐⓜⓐ ⓤⓝⓐⓜⓚⓤⓑⓐⓡⓘ ⓜⓔⓢⓗⓐⓒⓚ ⓛⓘⓚⓔ ⓗⓐⓟⓐ

  • @mosesmwafwenga4133
    @mosesmwafwenga4133 Před 4 lety +1

    Goodluck yupo sahihi kabisa wala sio mdundishaji kama unavosema nyinyi ndo mnakwamisha waimbaji wetu wetu goodluck songa mbele bwana

  • @gibsonkagoma3491
    @gibsonkagoma3491 Před 4 lety +2

    Baba nimekuelewa sana umejibu vema

  • @jonaswingodmushi2608
    @jonaswingodmushi2608 Před 4 lety

    Brother umemaliza yani. Be blessed indeed. Wenye kukuelewa watakuelewa tu ndg yangu.

  • @adelinaaudax2572
    @adelinaaudax2572 Před 4 lety +1

    Ubarikiwe bishop

  • @mathewdyzymaleyafrica9128

    sasa kwenye fiesta sindio kuna wanaokwenda kinyume akienda kuimba mambo ya mungu kule sindio kwenyewe

  • @keziahnyanjui1612
    @keziahnyanjui1612 Před 4 lety +1

    GoodLuck said something the other day that is really mind blowing... "However the calling of God is working in his life only him n God knows"... jamani our job is to love n God does the judging...

    • @christina_john77
      @christina_john77 Před 4 lety +1

      Keziah Nyanjui Ndio kweli hawa wachungaji nao wanazingua tu

  • @clarencemitega6270
    @clarencemitega6270 Před 4 lety +2

    Nyakati za mwisho,tuwe macho wana wa MUNGU!

  • @mathewdyzymaleyafrica9128

    toka hapa

  • @maarifahub5066
    @maarifahub5066 Před 4 lety

    salute sana mtumishi meshack

  • @dotopeter1509
    @dotopeter1509 Před 4 lety +1

    Nakubari

  • @zuhurashaaban4815
    @zuhurashaaban4815 Před 4 lety

    Msikilize mungu kaka g nakupenda ila angalia ucjitenge namungu

  • @boasmbwaga5114
    @boasmbwaga5114 Před 4 lety +1

    kiukwel amezingua

  • @ezekielmartin5675
    @ezekielmartin5675 Před 4 lety

    Shida waimbaji hawalipwi kanisani,sasa acha wakasake noti huko fiesta.
    1 wakorintho 9:9-16

  • @philipondumbaro7668
    @philipondumbaro7668 Před 2 lety

    Kwani injili inapelekwa kwa watu wa namna gani maana nashindwa kuelewa

  • @mckingmojojo363
    @mckingmojojo363 Před 4 lety +4

    Umenena kweli Mchungaji Meshack Salum

    • @mtishibgwicha8084
      @mtishibgwicha8084 Před 4 lety +2

      barikiwa mchungaji

    • @davidedward7281
      @davidedward7281 Před 4 lety

      Isaya aliambiwa apeleke ujumbe akiwa uchi ,it depend but injili iende mbele ustaalabu baadae

  • @andreamchome9541
    @andreamchome9541 Před 4 lety +1

    Kwanini hukuona vema kumuita mkiwa wawili tu ukamuelekeza.

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    Haha hiyo ebo namkumbuka bibi yetu alikuwa anaipendaga uwo usemi

  • @esterlamecklameck8340
    @esterlamecklameck8340 Před 4 lety +1

    Gud napenda kaz yako lkn uendako siko kaka angu,kaongea vyema huyu mchungaji

  • @monicatankini5958
    @monicatankini5958 Před 4 lety

    Sawa,msemaji wa mbinguni,ila g hajakosea chochote coz bibilia inasema nendenjiapanda mkahubiri neno aaminie na kuokoka atabatizwa ,xso we mwenyewe unahukumu we nani ,kwendaaaaaa g piga kazi tena wafate ukouko utalipwa na mungu na sio wanadamu ,hata ukizunguka hadi mbinguni kikubwa imani upo.

    • @monicatankini5958
      @monicatankini5958 Před 4 lety +1

      @Greyson Mdee ulitaka,akawaubilie waliopo kanisani ambao teali wanamjua yesu ,we mjinga mwenzangu.

    • @gideonbutalaye2921
      @gideonbutalaye2921 Před 4 lety

      nafikili alivyo eleza Mchungaji inaeleweha kama unabish nawewe katubu

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před 3 lety

    Wote watubu. Neno hawana NENO KIBIAHARA. TUMUOMBE MUNGU, WA MUNGU TUNAWAJUA NA WA IBIRISI

  • @eliasrodman9970
    @eliasrodman9970 Před 4 lety

    balaaaa zitooooooooooo

  • @maimunafundi3544
    @maimunafundi3544 Před 2 lety

    To a boliti kwanza

  • @ezekielmartin5675
    @ezekielmartin5675 Před 4 lety

    Uwe tayari nyakati zote

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před 3 lety

    Hapana ushirika kati ya giza na nusu.

  • @monicaalanus4570
    @monicaalanus4570 Před 4 lety +1

    Mchungaji umekoseya kwasababu shaujui jinzimunguanavo mutumia

  • @siwemamichael690
    @siwemamichael690 Před 4 lety

    Ni wivu tu nyamanza wew

  • @ezekielmartin5675
    @ezekielmartin5675 Před 4 lety

    Wewe umeleta wangapi?

  • @melody_mike_mavoice
    @melody_mike_mavoice Před 2 lety

    All i could read from this guy he is so judging ...but why are most of ministers this way

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 Před 4 lety +1

    Anatafuta kiki bwege huyu!!kasome vizur bi

  • @andreamchome9541
    @andreamchome9541 Před 4 lety

    U swear?

  • @mwimbajinamwalimujaphetgeo1718

    Tatizo nyie waimbaji mliotangulia hamja ungana na kuanzisha matamasha makubwa ya kidini. Hivyo wachungaji, mitume, maaskofu, na Wainjirist anzisheni matamasha km hayo, ili watu wasiende huko duniani.

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 Před 3 lety

      Ni kwel mwimbaj na mwalimu japhet ilitakiwa na wao wawe na Fiesta Yao japo kaongea maneno ya maana, nimemuelewa sana

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 Před 3 lety

      Hila kwenda kuchezea, clabu hailusiwi kwa mwimbaj Wa dini japo wanasema yesu alishuka uko

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 Před 3 lety

      Na ndo mana mwenyew ameogopa tena kuwaandikia nyimbo wana bongo fleva alisema watu walikuwa wanaongea sana. Nimeshangaa kusikia moyo mashine ya Ben Pol kumbe aliandika yeye na nyimbo ya Baraka da prise anajuwa kutunga

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 Před 3 lety

      Hila good nyimbo zake tunazipenda sana watu wanaguswa nazo sana. Kama rose muhando Enzi izo nyimbo zake Paka, Waislam walikuwa wanazipenda baba anampenda jenifa anasema nyimbo zake NZUR zimetulia rose za fujo nikamwambia mbona naye anazo ambazo zimetulia ngoja siku nitamuwekea mwenyew atazipenda yani baba ulisema jenifa anakuja kanisan yupo lazi aende akamuone

  • @alexleganga8850
    @alexleganga8850 Před 4 lety +1

    kwa kweli gud ni muhuni tu hayupo ki mungu kabisaaa

    • @wilbertseme5455
      @wilbertseme5455 Před 4 lety

      Pastor umeongea ukweli mtupu huyu asijitetee anatafuta umaarufu huko na na njaa hizi baba MCH ndio zinawapeleka na kuanza kujiulinda KWA maandiko ambayo hata hayaingii hapo

    • @lilianjosephat9151
      @lilianjosephat9151 Před 4 lety

      ujumbe.ni.mzuri.una.nguvu .mungu

    • @sylvanemmanuely8333
      @sylvanemmanuely8333 Před 4 lety +1

      @@wilbertseme5455 Nyie hamjui lolote kwan, Yesu aliwabagua watu nyie mna chuki zenu tuu..!!

    • @johniwangombe3009
      @johniwangombe3009 Před 4 lety

      Muchungaji unawivusana wewe mbonshujsongeles wengine nyamazabasi imbanyimbozako achakufatilia zawengine

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel4867 Před 4 lety

    acha ujinga ww

  • @meshakikigumbi4459
    @meshakikigumbi4459 Před 4 lety

    ASANTE SANA WAJINA MUNGU HAKUTUNE.

  • @gideonbutalaye2921
    @gideonbutalaye2921 Před 4 lety

    Yeyote anaebisha na huu ujumbe nayeye pia atubu maaana unatetea uovu,