"Mawazo" Sehemu Ya 65 Thoughts Dr Elie VD Waminia

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Kwa MaonI, Ushauri Wasiliana Nasi Kwa Simu Namba (0747-744744 CHOMOZA MEDIA LIMITED) Au Kwa Barua Pepe Email. chomozamaoni@gmail.com
    Pia Unaweza Kutufatilia Facebook @ChomozaTV Na Istagram @chomozanews TikTok ChomozaTV
    Mungu Wetu Wa Mbiguni Akubariki......Endelea Kujifunza Na Kushare Mafundisho Haya Kwa Rafiki Na Nduguzo
    Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    CZcams : www.youtube.com...
    #ChomozaTv#2024
    🔥🔥
  • Zábava

Komentáře • 24

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw Před měsícem +5

    Kuwa kiongozi ni usikivu mahiri kutoka ndani. Majaribio ni kwa mambo siyo kwa maisha. Kuwa kiongozi si kwa siasa tu .Uongozi ni baba,mama,mwana. Wanaofaulu ni wanaosikiliza. Umakini unatembea na usikivu. Siku ni moja tu ,majina tofauti. Ondoa (what's next) .MWENYEZIMUNGU tu ndiye ajuaye kinachofuata katika maisha yetu. Kukiri ndiyo kuhisi na kuishi kwetu.Usikivu ni kila kitu. Nimejifunza ❤❤❤🎉Asante Chomoza pongezi Dr Ellie.

  • @henrymkuye6669
    @henrymkuye6669 Před měsícem +4

    Chomoza sio kipind bali ni maisha mungu awalinde

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 Před měsícem +1

    Swahili luga mtamu kweli ...🤔 Merci Dr pour ces enseignements qui devraient être donnés dans nos programmes scolaires...nina bahatika ku misikiya( my swahili also ?😂 ninajifunza ..i try..)...😢Mais vos enseignements sont " la base " que nous devons transmettre à nos enfants ; en pratiquant ! Aksanti sana ...Mubarikiwe !

  • @annastaziamapunda1515
    @annastaziamapunda1515 Před měsícem +2

    Nampenda hiki kipindi docta umenifundisha vitu vingi Mungu azidi kukutunza

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před měsícem +2

    Napenda sana huyu mwana philosofia

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před měsícem +1

    Aaameeen... Mungu tusaidie kwa kweli

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Před měsícem +2

    Natamani sana nionane huyu jamaa

  • @rehemabakari4150
    @rehemabakari4150 Před měsícem

    Asante

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 Před měsícem +2

    ASANTE SANA KWA SOMO 😭😭

  • @ruthn9381
    @ruthn9381 Před měsícem +1

    More time for the lesson 🙏

  • @EmaAled
    @EmaAled Před měsícem +1

    Nakuelewa sana mkuu asante

  • @gadimbajo
    @gadimbajo Před měsícem

    Brother Jimmy, kwa jina naitwa Gady, ni mchungaji ambaye nimeanza huduma, nabarikiwa sana na dr Ellie, nina sadaka yangu ndogo nilitaka nimfikishie, lakini pia nina ombi, nahitaji mawasiliano nae kama inawezekana.

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Před měsícem +1

    Shukran sana

  • @jumannejisena3117
    @jumannejisena3117 Před měsícem

    ❤❤❤

  • @JohnDaud-n2y
    @JohnDaud-n2y Před měsícem

    Naomba kuonana na Dr bro Jimmy tafadhali.

  • @user-tu8se3oo7u
    @user-tu8se3oo7u Před měsícem +1

    🙏

  • @Backbencher-h2d
    @Backbencher-h2d Před měsícem +4

    Jimmy hawezi kukaa kmy hata siku moja😅😅

  • @livingstoneshakur5970
    @livingstoneshakur5970 Před měsícem +1

    Jimmy anavaa Kama doctor saizii ,tunaijua hiyoo

  • @happystevemaganga1873
    @happystevemaganga1873 Před měsícem +2

    Kwanini kiti cha Evans kiko tofauti😅

    • @DorethMselem
      @DorethMselem Před měsícem

      Walizan Apostal Sam hatakuja hivyo wakamwambia nenda leo tena ukachukue kiti chap team ikamilike😂

    • @DorethMselem
      @DorethMselem Před měsícem

      Jokes

    • @user-kx8ki9ct6h
      @user-kx8ki9ct6h Před měsícem

      Ni beginer siku moja atakalia ata cha dr

  • @sun-by1xb
    @sun-by1xb Před měsícem

    ❤❤❤