Pl mbna unapenda kupost vedio moja moja ii tena keshow..alfu nawa dyz y vedios ni short short kitambow zilikuanga atleast long.. nani anakubaliana na mi??..Brighton inafaa akaze kamba surely vida moja per day nawa dys I can't understand kitambow ulikua na bidii nawadyz naona unazembea😂😂
Good gal. Usimwogope shetani. May God protect you. Gal rudisha vitu za wenyewe. God will bless you. But I must admit you aren't afraid of the devil and his tricks.
Mm hata waseme nn but weeh Mr Eugine mm nakupenda n roho ndio imependa n Tena kuvunjika Kwa mwiko c mwisho w kupika ugali plz tunaweza ongea c ati Mali ndio imefanya wasichana wakupenda c hivyo plz usiogope kipenzi wangu
Kitamramba huyu kiburi gal anadharau Eugine ati passby 😢😢unaji spoiled Atm yake ..nahurumia Eugine aki better ungetafuta mzungu USA 😢😢.arudishe property.
See What Daktari Did Becca!!! czcams.com/video/e1KaVxCeaHc/video.htmlsi=7BWzBpHUGfZW56i0
Brighton nakutafuta agent hu pick calls
Brighton inatakiwa utuletee maisha ya hivi videmu baada ya kurudisha vya watu. Tutafutie evu wa mr ongiri.
Next plz pl hii kitu lazma tuone adi mwishoo wako
Pl mbna unapenda kupost vedio moja moja ii tena keshow..alfu nawa dyz y vedios ni short short kitambow zilikuanga atleast long.. nani anakubaliana na mi??..Brighton inafaa akaze kamba surely vida moja per day nawa dys I can't understand kitambow ulikua na bidii nawadyz naona unazembea😂😂
Walai Niko hapa pia complainer nkt!
Angeppst yenye inakaa long
Ak inaumiza Kuwait adi kexho😢
Very true hata hazieleweki ni kama comedy
Mm nakubaliana nawe ,juu naachwa in suspense 😢,pl please refusha kidogo,,,
Huyu dem kitamramba huyu yani cjui kama anajitambua walai ghai🤭
Becca Becca Becca, itajua ujui mama,, that pride will take you no where.
Hii kichwa yake ka ya mbuzi itafyeka nyasi vizuri,, can't wait 😂😂
😂😂😂😂😂😂
Aty mbuzi ni motina😅😅😂😂😂
Nasubiria kwa hamu kubwa😂😂😂 beka utajua hujui utaenda kufanya kazi ndo nyashi imeevizuri pumbavu
Pl try kuweka vedio mbili kwa siku yawah
Doctar afanye huyu awe anahara soda crest😂 na awekwe kasusu kwa forehead na nyuki zifwate matacore pekee😂😂😂😂😂
Namkubali sana huyu dactar anafanya vizuri sana
Wakule nyasi wote na huyo mwanaume wanakaa na yeye
No mwanaume ajui kitu
Brighton am waiting kwa hamu said 😂😂😂san brother good my jop ❤
Waiting pl 😅😅huyu mdem Ana kiburi yawah pia mnipitie
Good gal. Usimwogope shetani. May God protect you.
Gal rudisha vitu za wenyewe. God will bless you.
But I must admit you aren't afraid of the devil and his tricks.
huyu hafai nyasi anafaa nyuki
Uyo boi n mzuri sana pl ebu nitumie no yke
beka kitakuramba tu mda sio mrefu😮😮
Kiburi yote itaisha tu kitamramba😅😅😅😅
Post video zikifuatana colz we're eager waiting to see next and next,
ghaiii mungu nitafutie jamaa kama uegen aky
sura hana but kiburi ndio anechaza but kitaisha tu nkt unaudhi ww mdem msimuhurumie hataaa
Kiburi promax ati chinyuma😢😢😢😢 rikembii eriii aye
Weh Becca kiburi kiburi utajua hujui utakula nyasi pumbavu
Aki huyo dem Ako na kiburi sana
Huyu demu nmemchukua hata tabia yake imekuwa mbovu
Pl umeanza kuboo short video
Wah, am just watching repeatedly to see the out come in a few days to come.
Huyu Dem Ako na ujinga saan tabwati bosoku
Oooooh ooooooh bibi Ako n kiburi pleas😢😢😢😢
Huyu demu Ana bahati sana.. ingekuwa mkisii hapa Ama mkuria.. ungezikwa saii😅😅
Mungu wangu mbona Eugene apitie haya but bro Mungu ako na ww😢😢 huyu dem ningekuwa ni mm walai angezikwa akiwa hai
Kwani alikuwa ana warecord na simu yake😮
Uyu dem akule mawe ata sio nyasi😂😂😂umbwaaaa muone vile anakaa kama yy😂😂
Iyo kiburi itaisha tu
aki huyo dem hajitambue😢
Mbna yuko na kiburi ivi kichwa ndogo hafikirii
Kiburi haitasaidia akule nyasi manze.
Ako n kiburi ,n nywele anamshinda kuituza,,akule nyasi
Warambwe wote na huyo fundi wa saa😅😂😂😂
Waiting for it........
Eweeeh hata kama ni kiburi😢😢😢
Akule nyasi can't wait
Aki Brighton 18 hours ni mob nafenye nadai huyu jibwa nione matuda ya dakitari kwake
mungu nisaidie nipate jamaa kama huyu
Kwani huyu Dem anajiona vp
Huyu Becca anafa kutembea uchi na akunia akikula nkt 😊
Becca you days are numbered utalia mimi nangoja kuona kiburi yako penye itafika
Becca usijali... pole sanaa
Wait...
It shall end it tears walahi 😢😢😢
uhu dam ana kaa ana wazazee
Pl weka video long ama ,, mbili kwa siku plz
Next please pl
Waaah huyu Dem kitamramba atapunguza kiburi tuh
Sound kwani haiko
Wewe msichana kitakuramba utaamini😂😂
Hky hnyu dem anajua vile watu wanapitea uku majuu
Beccq ne enyuma piii😅ataona kq kiburi kitamfikisha wapi nxt episode😂
Waiting
Next pliz Brighton
Kitu y mtu si poa ..Becca rudisha tafadhali ..Kitakuramba 😂😢
Mm hata waseme nn but weeh Mr Eugine mm nakupenda n roho ndio imependa n Tena kuvunjika Kwa mwiko c mwisho w kupika ugali plz tunaweza ongea c ati Mali ndio imefanya wasichana wakupenda c hivyo plz usiogope kipenzi wangu
Rebecca anafakuwekewa kashushu kwa uso😂
Becca Becca,nimekuita mara ngapi,kitakuramba
Brother hapo uli bugi Hilo ilikuwa bomu sio mke huyo Bora amjionyesha mapema tatak tak kabisa hiy mshenzi mdada asiy jitambua
Waiting for the next episode 😢
This lady is crazy just deal with her , bro dont for give until she brings your properties
Unabo na vedeo Moja Moja post even two ...izo zako zinaboo sana
Huyu Dem hananga style ingine ya kushuku nywele
Anakaa mbuzi Kwa kichwa
Nilifikiria ni video mpya,Brighton mbona unaboo? !
Aya hiyo Dina utatamani hipo siku itafika
Wooow hata kama bibi ya ongiri alikua na kiburi ya huyu imezidi but ni Ile TU ajui atafute eve amwambie plz
Weee kiburi
Aký huyu brother ako na stress sana
Na vile kanajikunja mwili kakitembea 😅kitamramba tuu
Rebecca utanyolewa nywenywenye kiburi kitasahisha namshamaha ataomba kwa lasima
Huyu dem Yuko Sawa kweli,? Dooo
Uyu Dada ni Kama Eva ila Eva na baba yake walishuka kabisa Hadi ongiri akapata malizake zote
Kwanini vijana Muna trust girlfriend zenu kuliko wazasi wenu? Sasa ona vile ilikufanya ata kama huna wazazi ungetumia brothers or sisters zako
Next video
Waah hio pride yake ita Kam down baya
Naomba no ya doctors
Hiii nayo siezi kosa😂😂😂
Am waiting 🙏🙏
Wallah hii story imepoa sana why unapost nusu story nakushauli weka story mtu anafurahia nasiku nyingine anawoch
Tunangoja sana
Brighton ambia eugine am single and a ready to settle with him
Kitamramba huyu kiburi gal anadharau Eugine ati passby 😢😢unaji spoiled Atm yake ..nahurumia Eugine aki better ungetafuta mzungu USA 😢😢.arudishe property.
😢😢😢😢😢
Tunangoja ingine ikuje haraka mnatuchelewesha na udaku yawaa
Pl wacha kutuwekea clip moja,weka atleast mbili kwa siku
Aki dem wakisii mbona kiburi wisi matusi na uko na makosa jusi tumekua na mwingine maybe xaii analilia joo aki nn mbaya
Tangu nianze kuwatch vitu za Brighton sijakutana na mtu kama huyu, round hii ndio nimejua. Kuna watu na viatu
Huyu kitamramba aulize Eve atamwambia
Huyu hatumii akili na sio mwanamke wa kuishi naye she is a green snake in a green grass
Egesagene keriaye becky kitamuramba sura mbaya wewe ntk😢
Akule nyasi huyu dam
Waiting 😂😂😂😂
Kiburi kinafika mwisho na zi mda ivi karibuni
Na sasa si ukope
Huyu mwanamuke amelerewa wapi??? Anajibu majibu kama hivi hakuna heshima kitakuramba we mwanamuke mujinga