AMESTAREHE KILA ALIYEMFUGA MUMEWE HIVI. (HUBBUL HALAL)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Komentáře • 18

  • @user-jy5kj8dd9y
    @user-jy5kj8dd9y Před 18 dny

    Mashaallh ❤

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Před 10 dny

    Mashallah nimecheka mama angu et nalichana kwa kiwembe

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Před 17 dny

    Jamani lakini na wanaume wengine nawao wanavituko hawafanyi haki anakokwenda zamu atapeleka chakula kizuri nyumba iliokua hana zamu atapeleka muhogo na dagaa 😂😂😂😂😂

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Před 20 dny

    Kweli maelezo yote yapo sahihi pia nataka ivo vyungu kwangu vitumike vyungu

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Před 10 dny

    Had rahaa jmn fliii kujiachia 😂😂

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před 23 dny +1

    Wananyimwa waache kuparamia kama
    Minazi wafanye mambo yanayohusu ndani

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Před 23 dny +1

    🙏🙏🙏

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před 23 dny +1

    Hahahaahah wanaume wengine kanga hawataki wanaona ushamba

  • @user-oc5zq5hx7k
    @user-oc5zq5hx7k Před 23 dny

    Km kuna magroup tuungeni ili tuzidi kufaidika na elimu ya ndoa

  • @RashidiAlly-cl7fo
    @RashidiAlly-cl7fo Před 23 dny

    Wajina wangu hivyo haviitwi sufuria,hivyo ni vyungu vinaitwa

    • @RahmaRashid-lc6nw
      @RahmaRashid-lc6nw Před 17 dny

      Mwanzo kasema vyungu baada kasema sufuria nadhani ni mazoea tu

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před 23 dny

    Mhhh bi furaha basi ujuwe kama wanaume hata uwafanyie nini hawana kheri unaona kenda kaoa na mambo yote umefanya

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před 23 dny

    Wananyimwa waache kuparamia kama
    Minazi wafanye mambo yanayohusu ndani kijungu icho sio sufuria

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před 23 dny +1

    Bibi itabidi uwafunde kuhusu kanga na kufanya raha za ndani wanaondosha njiani tuu na wao wafunde bibi sio kila siku unatusakama wanawake wenzio

    • @Fathiakhalid
      @Fathiakhalid Před 17 dny

      Naombeni hichi kipindi kiendeleee tukipate yutub

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Před 20 dny

    Kweli maelezo yote yapo sahihi pia nataka ivo vyungu kwangu vitumike vyungu