JEE HAYA PIA NI MAENDELEO AU NI MAHARIBIKO ENYI WAZAZI?? SISI NI WACHUNGA. SH.SAID BIN NYANGE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 12. 2023

Komentáře • 7

  • @abuayoubsoud9196
    @abuayoubsoud9196 Před měsícem

    Assalam alaykum w w
    Kwanza kabisa nashkuru kua ni miongoni mwa watu ambao wanafuatilia hii channel tangu uhai wa mwalim said
    Ushauri wangu tuendelee kuweka maudhui nzuri (darasa) alizokua akizitoa

  • @SwabihaAhmed
    @SwabihaAhmed Před 7 měsíci

    Allah akuzidishie kila lakheri shekh langu,kukataza maobu na kuamrisha mema niwaajibu haijalishi anaekatazwa kakubali au kakataa,huu ni uhuni mkubwa sana wanaoufanya niuchafu mkubwa wanaufanya ktk jamii wanachochea maasi kisingizio uislamu

  • @user-yz1xo2ti1d
    @user-yz1xo2ti1d Před 6 měsíci

    Mim nashauri ipo njia moja tu ya kuwafaitilia hao vijana ili waweze kuacha na njia hiyo siwez kuibainisha katika mtandao

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před 6 měsíci

    666

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa Před 7 měsíci

    Shehe wachie hao huwaweziii

    • @user-kn5bv3qj8p
      @user-kn5bv3qj8p Před 7 měsíci

      Sheikh aongee miongoni mwao wamo wataacha au nusurika kwaajili ya Allah.