JUMA MGUNDA AIPONGEZA YANGA "HONGERA SANA KUTWAA UBINGWA WA 30"

Sdílet
Vložit

Komentáře • 37

  • @FaroukBaduwel-jm2dr
    @FaroukBaduwel-jm2dr Před 14 dny

    Asante kk mgunda, FAROUK baduwel

  • @MwileMwazembe-fl3fc
    @MwileMwazembe-fl3fc Před 15 dny +2

    Mugunda we ni🎉 kocha nakuamin Sana ngawa shabiki wa yanga.

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 15 dny +2

    Kocha Mgunda Mungu akulinde akupe afya njema

  • @immanimlimbila7357
    @immanimlimbila7357 Před 13 dny

    Gwadiola the special one

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 Před 14 dny

    We baba Mungu akuweke nakukubali sana unahekima flani ivi na tabasamu lako nakukubali sana babaangu japo me ni yanga damu.

  • @DeogratiusMwizarubi
    @DeogratiusMwizarubi Před 15 dny +1

    Kwaiyo mungu hawapendi, Simba semaji unafeli sana

  • @zammilhukum2473
    @zammilhukum2473 Před 14 dny

    Msapot feisal azidi kutupia tu ucheze shirikisho

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 Před 15 dny +1

    Endeleeni kupigania nafasi ya pili....maisha ni noma sana...😊

  • @hackana-kj1bq
    @hackana-kj1bq Před 14 dny +1

    Simba jipangen

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před 15 dny +3

    Simba tumeisha Kwa kewl kama sasaivi nafasi ya pili pia tunaitafuta Kwa tochi 😢😢

    • @user-ee9iq2pw5i
      @user-ee9iq2pw5i Před 15 dny

      Wewe ndio Mwana Simba halisi ifike KIPINDI tuongee ukwel ili timu ijengwe maana

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRU Před 14 dny

    Mgunda kocha

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 Před 14 dny

    Hahah😂😂😂😂umenichekesha senene ni zako na familia yako jamni ally kamwe si familia yako ktk mambo ya habari jman🤣🤣🤣🤣🤣ili we kaka ni kituko sanaa ujue dah🤣🤣ila baba mgunda ungetupa tu mauwa yetu ya ubingwa kwa furaha nimeona kma ulibadili kauso ivi jmni😄ila❤

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 Před 15 dny +2

    Mmefeli au hamjafeli? Acha kiswahili kingi

  • @ConjestarSamwel-xr3jw
    @ConjestarSamwel-xr3jw Před 14 dny

    Simba tusipo Fanya usajili mzuri hatutakaa tupate taji, kwanza wachezaji wetu ni WA binafsi hawana maelewano mazuri, yaan hawako kitimu walivyo Azam na yanga!

  • @MwileMwazembe-fl3fc
    @MwileMwazembe-fl3fc Před 15 dny +1

    Hongera

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 15 dny

    Ahmed Ally nakukubali sana bro katika sehem ambayo Simba haijakosea ni msemaji walipatia sana

    • @aliissahaji33
      @aliissahaji33 Před 15 dny +1

      Kweli hamjakosea, maana usemaje wake wote ni kuisema Yanga badala ya kuisemea timu yake, ujinga mtu

    • @emankupe6864
      @emankupe6864 Před 14 dny

      😂😂😂😂😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 15 dny

    Semaji wangu nakupendaga wewe❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @aizackkajika5086
    @aizackkajika5086 Před 15 dny

    Mimi shabiki wa yanga ila ninavomkubali kocha mgunda ni kama baba angu maana huyu ana busara sana

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 Před 15 dny

    Ahmed Ally mbona anazidi kupungua ..yaani mdomo tu ndiyo wenye nguvu😂😂😂

  • @hackana-kj1bq
    @hackana-kj1bq Před 14 dny +1

    Liziki gan wewe ahmed all, kubali mmekosea

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles Před 15 dny

    Jeans la Mgunda bhana.

  • @Ndushikayungilo722
    @Ndushikayungilo722 Před 15 dny

    Hakika Mgunda

  • @DeogratiusMwizarubi
    @DeogratiusMwizarubi Před 15 dny

    Ww jibu vzr

  • @abdallahshaibu6106
    @abdallahshaibu6106 Před 15 dny

    Mnyama NI mnyama tu!

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa1334 Před 15 dny +1

    Kumbe mmekuja na senene 😂

  • @hackana-kj1bq
    @hackana-kj1bq Před 14 dny

    Ahmed ally muun ww

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Před 15 dny

    Senene wa moto moto😂😂😂 kwenye begi

  • @cool9_ipogolofinest
    @cool9_ipogolofinest Před 15 dny

    😂😂😂😂😂😂😂 unafanya interview Unaangalia pembeni, Uyu jamaa ni kiazi Sana.

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles Před 15 dny

    Maneno yamegeuka, imekuwa kombe la shirikisho sio baya, aisee huyu jamaa anawachezea akili sana mashabiki wake.

    • @rajabukimosa3377
      @rajabukimosa3377 Před 15 dny

      Anaweka akiba incase ikitokea wakatupwa huko ionekane Shirikisho siyo baya 😅😅😅

  • @user-mf9bj5uo8b
    @user-mf9bj5uo8b Před 15 dny

    wewe ni kocha wa ball,mwache kispika apige porojo

  • @DeogratiusMwizarubi
    @DeogratiusMwizarubi Před 15 dny

    Kwaiyo mungu hawapendi, Simba semaji unafeli sana

  • @Ndushikayungilo722
    @Ndushikayungilo722 Před 15 dny

    Hakika Mgunda