Hahah😂😂😂😂umenichekesha senene ni zako na familia yako jamni ally kamwe si familia yako ktk mambo ya habari jman🤣🤣🤣🤣🤣ili we kaka ni kituko sanaa ujue dah🤣🤣ila baba mgunda ungetupa tu mauwa yetu ya ubingwa kwa furaha nimeona kma ulibadili kauso ivi jmni😄ila❤
Asante kk mgunda, FAROUK baduwel
Mugunda we ni🎉 kocha nakuamin Sana ngawa shabiki wa yanga.
Kocha Mgunda Mungu akulinde akupe afya njema
Gwadiola the special one
We baba Mungu akuweke nakukubali sana unahekima flani ivi na tabasamu lako nakukubali sana babaangu japo me ni yanga damu.
Kwaiyo mungu hawapendi, Simba semaji unafeli sana
Msapot feisal azidi kutupia tu ucheze shirikisho
Endeleeni kupigania nafasi ya pili....maisha ni noma sana...😊
Simba jipangen
Simba tumeisha Kwa kewl kama sasaivi nafasi ya pili pia tunaitafuta Kwa tochi 😢😢
Wewe ndio Mwana Simba halisi ifike KIPINDI tuongee ukwel ili timu ijengwe maana
Mgunda kocha
Hahah😂😂😂😂umenichekesha senene ni zako na familia yako jamni ally kamwe si familia yako ktk mambo ya habari jman🤣🤣🤣🤣🤣ili we kaka ni kituko sanaa ujue dah🤣🤣ila baba mgunda ungetupa tu mauwa yetu ya ubingwa kwa furaha nimeona kma ulibadili kauso ivi jmni😄ila❤
Mmefeli au hamjafeli? Acha kiswahili kingi
Simba tusipo Fanya usajili mzuri hatutakaa tupate taji, kwanza wachezaji wetu ni WA binafsi hawana maelewano mazuri, yaan hawako kitimu walivyo Azam na yanga!
Hongera
Ahmed Ally nakukubali sana bro katika sehem ambayo Simba haijakosea ni msemaji walipatia sana
Kweli hamjakosea, maana usemaje wake wote ni kuisema Yanga badala ya kuisemea timu yake, ujinga mtu
😂😂😂😂😂
Semaji wangu nakupendaga wewe❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍
Mimi shabiki wa yanga ila ninavomkubali kocha mgunda ni kama baba angu maana huyu ana busara sana
Ahmed Ally mbona anazidi kupungua ..yaani mdomo tu ndiyo wenye nguvu😂😂😂
Liziki gan wewe ahmed all, kubali mmekosea
Jeans la Mgunda bhana.
Hakika Mgunda
Ww jibu vzr
Mnyama NI mnyama tu!
Kumbe mmekuja na senene 😂
Ahmed ally muun ww
Senene wa moto moto😂😂😂 kwenye begi
😂😂😂😂😂😂😂 unafanya interview Unaangalia pembeni, Uyu jamaa ni kiazi Sana.
Maneno yamegeuka, imekuwa kombe la shirikisho sio baya, aisee huyu jamaa anawachezea akili sana mashabiki wake.
Anaweka akiba incase ikitokea wakatupwa huko ionekane Shirikisho siyo baya 😅😅😅
wewe ni kocha wa ball,mwache kispika apige porojo
Kwaiyo mungu hawapendi, Simba semaji unafeli sana
Hakika Mgunda