AFCON U17: Walichozungumza makocha baada ya mchezo wa fainali Guinea vs Cameroon
Vložit
- čas přidán 27. 04. 2019
- CAMEROON MABINGWA WAPYA #AFCONU17
Ni baada ya kuizamisha Guinea kwa mikwaju ya penati 5-3 baada ya kushindwa kufungana katika dakika 90.
FT: Guinea U17 0-0 Cameroon U17 (P:3-5)
Hii ilikuwa ni press conference baada ya mchezo ambapo makocha wa timu zote mbili wamezungumza - Sport
Felicitations a cet interprete, parfait bilinguisme