DOGO YUSUPH STEVEN MUKWALA NI STRIKER HATARI, SIMBA IMEIMARIKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 62

  • @MbokaAkili
    @MbokaAkili Před 18 dny +2

    Mungu akujalie n bonge la chambuzi dogo

  • @LengaiMollel-j7z
    @LengaiMollel-j7z Před 18 dny +4

    Dogo mungu akujalie maisha marefu ili baadaye uwe mchambuzi mzuri!!!

  • @AbasirashidyKindenge-kx2ky

    Dogo uko vizuri sana, Mungu akuongozeeeeeee inshallah

  • @ZainabuMsangi-gx1fe
    @ZainabuMsangi-gx1fe Před 18 dny +5

    Huyu mtoto mwenyez mungu amlinde na inshaalah akuze kipaji chake maana anacho vzr sqna

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef Před 18 dny +3

    Mashallah mdogo wangu piga kitabu ili uzidi kuwa na mwedelezo wa hicho kitu kizuri unachokifanya naamini utafikia malengo ❤❤❤

  • @user-rq1hn1xx9x
    @user-rq1hn1xx9x Před 18 dny +8

    Uyu katoto mbona kanachambua mpira vzr hadi anawashinda wachambuzi wengi wakubwa?yani uyu dogo ndo namuelewa sasa uchambuzi wake,kwanzia leo ntakuwa namfatilia uyu dogo uchambuzi wake.

  • @WiliamuObadia
    @WiliamuObadia Před 18 dny +1

    Dogo anajua sana kuchambua

  • @WashingtonZablon
    @WashingtonZablon Před 18 dny +1

    My young brother your the one of good host in this country congratulations papaaa

  • @kombatv2069
    @kombatv2069 Před 18 dny +4

    dogo yusuph kawazidi wachambuzi wengi sana hapa bongo niamini mm

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před 18 dny +4

    Simba nguvu moja,well done dogo.

  • @babarajan2612
    @babarajan2612 Před 18 dny +2

    Dogo hakika nakuona mbali ktk kazi yako hakika upo bora sana usichoke zidi kupambana

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka Před 18 dny +2

    Yusufu unakipaji bonge mchambuz nihazina yanadae mungu azidi kukupa maisha marefu yenye mafanikio kwako

  • @PinoPhoto
    @PinoPhoto Před 18 dny +1

    Dogo yupo vizuri

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Před 18 dny +1

    Saf sana dogo yusuph

  • @VictoriaNzyela-ud4vv
    @VictoriaNzyela-ud4vv Před 18 dny +1

    Upo juu sana mwanangu

  • @hamadichepa-ti7lp
    @hamadichepa-ti7lp Před 18 dny +1

    Nice Kwa uchambuzi nzuri wa kisomi

  • @hamisiismaili6342
    @hamisiismaili6342 Před 18 dny +2

    Dogo unajua pambana utafika mbali sana

  • @FundiiAlly
    @FundiiAlly Před 14 dny

    Good umetisha Sana chali angu

  • @KakeSimba
    @KakeSimba Před 18 dny

    Dogo safisanaaa

  • @danieldaud7865
    @danieldaud7865 Před 18 dny

    Hongera mdogo wetu kwakipaji kiku bwa unaweza sana

  • @yugemasanza1008
    @yugemasanza1008 Před 18 dny

    Safi sana dogo YUSUFU. Uko vizuri

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 Před 18 dny

    Huyu Dogo kuna wachambuzii nguluii hawamfikiiiiii pambanua ndoto yako doogo 1:47

  • @AlhajiRamadhani-u1p
    @AlhajiRamadhani-u1p Před 18 dny

    Dogo unajitahidi sana tena sana work had mdogo angu

  • @ShukuTete-wb1fp
    @ShukuTete-wb1fp Před 18 dny

    Waooooo mdogo wangu❤❤❤ mngu akulinde ili uje uwe mfano wawengine

  • @MwalimuIdarous-fb9ve
    @MwalimuIdarous-fb9ve Před 17 dny

    Dah! Dogo unajua. Yaani hadi sasaivi nnauhakika bado hujapokea bahasha na zaidi hujatuonesha kuwa wewe ni shabiki wa timu gani na hapo ndipo ulipo ubora wako. Nimekua nikikufuatilia sana tu ila bado nimeshindwa kufaham wewe ni shabiki wa timu gani. Shikilia apo apo baada ya muda sii mrefu utaona faida yake.

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw Před 18 dny

    Ana akili sana huyu dogo namuona mbali sana

  • @amoumussa720
    @amoumussa720 Před 18 dny

    Hongera sana dogo uko juu

  • @victamacha5526
    @victamacha5526 Před 18 dny

    Dogo yuko vizuri sanaaa

  • @SaidatIsmail-k1p
    @SaidatIsmail-k1p Před 17 dny

    Kuna haja katika redio nyingi hapa kwetu tz kuwa na wachmbuzi wa mpira kama huyu dogo

  • @dhaluminiumupvcwindows9568

    Huyu Dogo yupo vizuri shida yake anajiamini sana kuliko hata Kyemba hapo tu ndo ananibowa Mimi.. ila yupo vizuri😊

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 Před 17 dny

    Huyu ndo kawazidi wadaku wengi wachumia rumbo. H

  • @WestonMbadame
    @WestonMbadame Před 18 dny

    Kwa kweli Yusufu unaweza

  • @TwahiliJabu
    @TwahiliJabu Před 18 dny

    Safi sana dogo

  • @ShukuruAlly-r4y
    @ShukuruAlly-r4y Před 18 dny

    Upo vizur dogo

  • @RamadhanMberwa-ky4ps
    @RamadhanMberwa-ky4ps Před 18 dny

    🙏upo xw

  • @mwasunga
    @mwasunga Před 18 dny

    Yan uyu dog mbona akienda pale crown anachukua nafasi ya juma ayo

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt Před 18 dny +1

    Dogo uko good

  • @ThomasMauna
    @ThomasMauna Před 18 dny

    Nice sana

  • @GraceNdambo-t8w
    @GraceNdambo-t8w Před 18 dny +1

    Hivi huyu dogo anamiaka mingapi,maana kuna mijitu mizima haimfikii huyu dogo anavo chambua.Dogo Mwenyezi Mungu akufikishe mbali zaidi

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 18 dny +1

    Huyu sio mtoto

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el Před 18 dny

    Dogo yupo vzr

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 Před 18 dny

    ❤❤❤❤⚽️⚽️⚽️⚽️

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Před 18 dny

    Nisimba Imepoteza Matumaini Kwa Mrefu.

  • @JumanneHussen
    @JumanneHussen Před 18 dny

    dogo ww unajua sana mpira sio mchambuxi madax

  • @jacksonulotu6436
    @jacksonulotu6436 Před 18 dny

    MUNGU AMESHAKUINUWA NAKUOMBEA UFIKE HATA KIMATAIFA ILA HAPA ULIPO KAZANA USIBWETEKE

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev Před 18 dny

    Mna uhakika huyu ni mtoto ...Sasa babalevo pale wasafi anafanya nn?

  • @WashingtonZablon
    @WashingtonZablon Před 18 dny

    Mdogo angu nenda wasafi uwe kama codinetor maana wao ata team pinzani ikifanya vizuri awakubali kazi Yao kuwasifu yanga na kuponda team zingine , UNAWEZA HIYO KAZI UCHAMBUZI.

  • @rajabuKavinga
    @rajabuKavinga Před 18 dny

    🏆🏆🏆🏆🏆

  • @ebbychipa8010
    @ebbychipa8010 Před 18 dny

    Yan dogo anachambua ana ata papala ila ingekua Ile michambuz ya bahasha ungeiyona inavyo ruka ruka kama imewekewa pilipil

  • @godysanga4788
    @godysanga4788 Před 18 dny

    🎉🎉

  • @dicksonjoseph-il8ie
    @dicksonjoseph-il8ie Před 18 dny

    Dogo nenda pale wasafi kawafundishe kuchambua

  • @NimlaMbangu
    @NimlaMbangu Před 18 dny

    Waandishi maswali mengine mnayo uliza hayana weledi,unamzungumziaje manula wakati hajapata nafasi ya kucheza match hata moja.

  • @user-ds8kq8ov6l
    @user-ds8kq8ov6l Před 18 dny +1

    Safi mdogo angu kipaji unacho utafika mbali inshallah ❤

  • @YusuphBundala-jt6nl
    @YusuphBundala-jt6nl Před 18 dny

    🙏🙏🙏🙏

  • @skylermsemo7303
    @skylermsemo7303 Před 18 dny

    Na alivo vaa leo kama kocha fadlu vile

  • @WilberdKiwale
    @WilberdKiwale Před 18 dny

    Azam wamchukue huyu dogo anajua soka aseeeee

  • @LamaMlisho
    @LamaMlisho Před 17 dny

    Dog unakitu utafik mbar