Uyu katoto mbona kanachambua mpira vzr hadi anawashinda wachambuzi wengi wakubwa?yani uyu dogo ndo namuelewa sasa uchambuzi wake,kwanzia leo ntakuwa namfatilia uyu dogo uchambuzi wake.
Dah! Dogo unajua. Yaani hadi sasaivi nnauhakika bado hujapokea bahasha na zaidi hujatuonesha kuwa wewe ni shabiki wa timu gani na hapo ndipo ulipo ubora wako. Nimekua nikikufuatilia sana tu ila bado nimeshindwa kufaham wewe ni shabiki wa timu gani. Shikilia apo apo baada ya muda sii mrefu utaona faida yake.
Mdogo angu nenda wasafi uwe kama codinetor maana wao ata team pinzani ikifanya vizuri awakubali kazi Yao kuwasifu yanga na kuponda team zingine , UNAWEZA HIYO KAZI UCHAMBUZI.
Mungu akujalie n bonge la chambuzi dogo
Dogo mungu akujalie maisha marefu ili baadaye uwe mchambuzi mzuri!!!
Dogo uko vizuri sana, Mungu akuongozeeeeeee inshallah
Huyu mtoto mwenyez mungu amlinde na inshaalah akuze kipaji chake maana anacho vzr sqna
Mashallah mdogo wangu piga kitabu ili uzidi kuwa na mwedelezo wa hicho kitu kizuri unachokifanya naamini utafikia malengo ❤❤❤
Uyu katoto mbona kanachambua mpira vzr hadi anawashinda wachambuzi wengi wakubwa?yani uyu dogo ndo namuelewa sasa uchambuzi wake,kwanzia leo ntakuwa namfatilia uyu dogo uchambuzi wake.
Dogo anajua sana kuchambua
My young brother your the one of good host in this country congratulations papaaa
dogo yusuph kawazidi wachambuzi wengi sana hapa bongo niamini mm
❤❤❤❤❤❤
Simba nguvu moja,well done dogo.
Dogo hakika nakuona mbali ktk kazi yako hakika upo bora sana usichoke zidi kupambana
Yusufu unakipaji bonge mchambuz nihazina yanadae mungu azidi kukupa maisha marefu yenye mafanikio kwako
Dogo yupo vizuri
Saf sana dogo yusuph
Upo juu sana mwanangu
Nice Kwa uchambuzi nzuri wa kisomi
Dogo unajua pambana utafika mbali sana
Good umetisha Sana chali angu
Dogo safisanaaa
Hongera mdogo wetu kwakipaji kiku bwa unaweza sana
Safi sana dogo YUSUFU. Uko vizuri
Huyu Dogo kuna wachambuzii nguluii hawamfikiiiiii pambanua ndoto yako doogo 1:47
Dogo unajitahidi sana tena sana work had mdogo angu
Waooooo mdogo wangu❤❤❤ mngu akulinde ili uje uwe mfano wawengine
Dah! Dogo unajua. Yaani hadi sasaivi nnauhakika bado hujapokea bahasha na zaidi hujatuonesha kuwa wewe ni shabiki wa timu gani na hapo ndipo ulipo ubora wako. Nimekua nikikufuatilia sana tu ila bado nimeshindwa kufaham wewe ni shabiki wa timu gani. Shikilia apo apo baada ya muda sii mrefu utaona faida yake.
Ana akili sana huyu dogo namuona mbali sana
Hongera sana dogo uko juu
Dogo yuko vizuri sanaaa
Kuna haja katika redio nyingi hapa kwetu tz kuwa na wachmbuzi wa mpira kama huyu dogo
Huyu Dogo yupo vizuri shida yake anajiamini sana kuliko hata Kyemba hapo tu ndo ananibowa Mimi.. ila yupo vizuri😊
Kujiamini hata wewe unatakiwa ujiamini
🙏🙏🙏
@@hamadiayossydeal done comments
Huyu ndo kawazidi wadaku wengi wachumia rumbo. H
Kwa kweli Yusufu unaweza
Safi sana dogo
Upo vizur dogo
🙏upo xw
Yan uyu dog mbona akienda pale crown anachukua nafasi ya juma ayo
Dogo uko good
Nice sana
Hivi huyu dogo anamiaka mingapi,maana kuna mijitu mizima haimfikii huyu dogo anavo chambua.Dogo Mwenyezi Mungu akufikishe mbali zaidi
Huyu sio mtoto
Dogo yupo vzr
❤❤❤❤⚽️⚽️⚽️⚽️
Nisimba Imepoteza Matumaini Kwa Mrefu.
dogo ww unajua sana mpira sio mchambuxi madax
MUNGU AMESHAKUINUWA NAKUOMBEA UFIKE HATA KIMATAIFA ILA HAPA ULIPO KAZANA USIBWETEKE
Mna uhakika huyu ni mtoto ...Sasa babalevo pale wasafi anafanya nn?
Mdogo angu nenda wasafi uwe kama codinetor maana wao ata team pinzani ikifanya vizuri awakubali kazi Yao kuwasifu yanga na kuponda team zingine , UNAWEZA HIYO KAZI UCHAMBUZI.
🏆🏆🏆🏆🏆
Yan dogo anachambua ana ata papala ila ingekua Ile michambuz ya bahasha ungeiyona inavyo ruka ruka kama imewekewa pilipil
Hakika brooo ❤❤❤❤
🎉🎉
Dogo nenda pale wasafi kawafundishe kuchambua
Waandishi maswali mengine mnayo uliza hayana weledi,unamzungumziaje manula wakati hajapata nafasi ya kucheza match hata moja.
Safi mdogo angu kipaji unacho utafika mbali inshallah ❤
🙏🙏🙏🙏
Na alivo vaa leo kama kocha fadlu vile
Azam wamchukue huyu dogo anajua soka aseeeee
Dog unakitu utafik mbar