Video není dostupné.
Omlouváme se.

UBINGWA WA QUR'AN KATIKA BIOLOGY | WAJUWE WANYAMA NA WADUDU WENYE JINSIYA MBILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024
  • #AdilTV #shksuleimanbinabbas
    • UBINGWA WA QUR'AN KATI...

Komentáře • 45

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před měsícem

    Usi tangulize viumbe na wadudu kabla ya kuruani kushushwa kuraani ni maneno ya mungu na mungu ndie alien tangulia

  • @maiyaaliesry6192
    @maiyaaliesry6192 Před rokem

    Sina budi kukupongeza kwa haya unyotuelimisha . ALF MABRUK.
    TUMEJIFUNZA MENGI KUTOKANA NA UNAYOTUELEZA.
    ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AKUPE KHERI, BARKA NA MAFANIKIO MEMA KTK MAISHA YAKO. AMIN.

  • @ntakirutimanavicent-lj2tn

    From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 haya shk anayoyasema siwezikuyakubali
    Wala kuyakataa kwasababu chula kunamida tunawaona wakiwa wamepandana kwakono kono pia siwezi kukubali kwamba hawana dume wala jike sikubali kwamujibu wa Quran inasema Allah aliumba kila viumbe 2 jike na dume kwahio Mimi kiupande wangu kono kono lazma kuna dume na jike kulingana na Quran inavosema kwamba kila viumbe aliumba 2

    • @user-ht8po7un8p
      @user-ht8po7un8p Před 2 měsíci

      Auja elewa soma na usikilize vizuri amesha kueleza iyo haya inayo sema ameumba viwili haibadiliki ipo pale pale kw sababu hata uyo kono kono jike ugeuka dume na dume ugeuka jike akiwai mwenzie na kuhusu chula pale unapo muona dume ame mgandia jike ujue jike pale yupo ktk kutaga na chula utaga siku 3 kwaiyo yai likitoka na dume utoa umaji maji fatilia elimu kua makini

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Před rokem

    Wewe ndio mjinga..namba1.sababu
    Huelewi ungekua mjanja.ungejua mwañzo azao.wa.yesu kunanini.ndani.bibiayako.hujuikitu wewe
    Asante.shekhe.mashallah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem +1

    Mashallah Uislam Dini Shukrani Shekhe wetu.

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 Před rokem

    Mashallah Tabarakallah.

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Před rokem

    Asante.shekhe mungu akupe Maisha.marefu

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 Před 4 měsíci +1

    Vyura vinapandiana mzeh nimesha onakabisa churakina pandia mwenzie apa south Africa nimesha ona sio maramoja ao marapili nimeona

    • @user-ht8po7un8p
      @user-ht8po7un8p Před 2 měsíci

      Apandi uyo chura uwa ana mpanda jike wakati juke ana taka kutaga kwaiyo akitaga ndio dume umwaga maji yake ukaa pale mgingini siku 3: hapo iyo elimu alafu uyo shekh sio shekh ni docta uyo kasoma amestaafu ni mwana sayansi aropoki tu

  • @katore1982
    @katore1982 Před rokem

    Allahu Akbar!

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před rokem

    Allah akbar ❤

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala6677 Před rokem

    AllahuAkbar 🥰

  • @user-xw9xh8nq7b
    @user-xw9xh8nq7b Před rokem

    Shukrani

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před rokem

    Kazak llah kheri

  • @alifakimati9614
    @alifakimati9614 Před rokem +1

    Sheikh mbona kipindi cha mvua kwenye madimbwi utayaona mavyura tele yakipandiana.

  • @MohamedKatanga-db4dd
    @MohamedKatanga-db4dd Před rokem

    Ndug sikiliza vzuri, akisema mzungu ulikuanyan unakubali alafu unasema umesoma,hai wasomi wako wanamjua!

  • @shabanizayumba5432
    @shabanizayumba5432 Před rokem

    Kuran ni kitabu sahihi kwa madaktari kukisoma ili kuongeza maalifa zaidi

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Před rokem

      Husiwe bogasi nawewe Quran inaelezea vitu ambavyo imevikuta sio ya kwamba yenyewe ndio imetabili😢😢😢

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta Před 11 měsíci

      ​@@martinmkoba361ok Quran 3:19 hii nayo unasemaje? Imeikopi wapi?? Acha uboga na uzuzu ww. Quran ilikuwa na wajibu wa kutueleza hata yaliyopita haijalishi yalitajwa na vitabu vilotangulia Kwa sababu nasi tuna haki ya kuyajuwa na ili tupate mazingatio. Kwa mfano kisa Cha MUSSA na Firauni. Asa utaizuwiaje Qur'an kuelezea visa hivyo Kwa hoja eti itakuwA imeiga vitabu vilotangulia, halaf ulivyokuwa zuzu hujui kuwa aliyeiteremsha Qur'an NDIYE huyohuyo aliyateremsha hivyo vitabu vilotangulia, wewe unampangia kuwa kwenye kitabu hiki asisimulie hizo khabari wakati zote ni ZAKE!!!!
      Ok haya kasome na hii hapa sura ya 3 Aal imraan Aya ya 37 Allah anaonyesha ya kuwa Mariam mama yake na Yesu alikuwa ni mtu mchamungu na alikuwa akila vyakula kutoka peponi. Hii ni Quran inayasema haya.
      Sasa njoo utuonyeshe maneno haya Quran imeyakopi wapi??? Nyinyi mnadanganywa danganywa na hao viongozi wenu waongo waongo.
      Qur'an Ina mambo mengi ambayo huyapatikani hata ktk vitabu hivyo mnavyodai imekopi ikiwemo hata hayo aloyasema shekh hapo wapi umeyaona ktk vitabu vyenu. Acheni uzwazwa
      I proud to be a Muslem. Thnx Allah.

  • @bellasi349
    @bellasi349 Před rokem

    Acha ujinga we muzee n'a njaa zako eti ubingwa wa quran kwani wadudu n'a quran kipi kilianza sasa si quran anasema wadudu wenye imekuta wanaishi we twambie kwanini Muhammad alikuwa analala n'a wakeze wakiwa kwenye siku zao

    • @sullaymanchande632
      @sullaymanchande632 Před rokem

      Kwani we inakuuma? Unaisikiliza ili iweje? Hayo wameambiwa waislam haya nawewe umefata nn kwa waislam? Ukiweka chuki mbele hutoweza kujifunza .

    • @user-tt6xh1tr5j
      @user-tt6xh1tr5j Před 11 měsíci

      Ww kuna alie kuita hapa?

    • @hamisself6820
      @hamisself6820 Před 11 měsíci

      Aky we nawe nikama akili huna before utoe comment elewa kwanza mada sasa tuambie wapi kwa Bible imeaaleza ivyo vtu

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta Před 11 měsíci

      Chizi hilo

    • @sophiangwaju
      @sophiangwaju Před 4 měsíci

      Kaka Kuna tofauti ya kulala na kufanya mapenzi u hv 2 understand that.

  • @bellasi349
    @bellasi349 Před rokem

    We akiri huna uzee umekutawala umepoteza mwelekeo kwan kabla ya Muhammad walikuwa wanapandana vipi siutwambiye wadanganye wajinga wenzako

  • @bellasi349
    @bellasi349 Před rokem +1

    Ndo maana mi nasema ga nyie ni wajinga ungeanza kutwzmbia kwamba hao wadudu au viumbe quran n'a wao ni kipi kilianza n'a kabala ya quran hao viumbe hasa uyo unaemsema alikuwa n'a jinsia ngapi na quran ikaja wakawa n'a jinsia ngapi kwa ufup quran imesema yale yaliyokuwepo tokea zamani kabla ya iyo quran kwaiyo quran imekopi

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Před rokem

      @bellasi mjinga ni wewe unae chamba na makaratasi Fala wewe.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Před rokem

      @bellasi huna adabu kabisa!! Wewe una ujanja gani kwa mfano ? Bilbia yako ina kufundisha nini ? Au una fwata wazungu ( wanasayansi ) walio waambia muowane jinsia moja ? Kwa hiyo wana sayansi wana akili kushindana Mwenyezi Mungu alie waumba? Mtumwa wa fikra kabisa.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Před rokem

      @ bellasi nyie ndio watumwa wa fikra kila anacho sema mzungu mna tiii badala ya kumtii Mwenyezi Mungu. Wazembe wakubwa nyie .

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Před rokem

      @bellasi mjinga ni wewe unae amini Binadamu alikuwa nyani baadae akawa Binadamu. Mkachonga na masanamu alafu mnayaabudu je kuna ujinga kama huo? Kinyago ukichonge mwenyewe alafu uki ite Mungu na mama ake.

    • @batashqiraa9936
      @batashqiraa9936 Před rokem

      Ukishindana na mjinga na ukishindana na mwenye elimu, basi ukimshinda mjinga inatakiwa ushangilie, kwanini kwa sababu mjinga siku zote anajiona anajua kwaiyo utakavyomuelewesha vyovyote atakuona hujui sasa mjinga mmoja ni wewe bellasi yaani wewe mjinga kisha hujitambui kuwa ni mjinga