Ijumaa hii, LIN BBQ waliandaa tukio la kulisha watoto yatima kwenye ofisi zao zilizopo Sinza. Miongoni mwa watu walioalikwa ni Dora na Tausi ambao tumeongea nao
Dora katulia sana adi raha Tausi mbwembwe nyingi, mpaka zinaleta kelo, mbwe mbwe zake za uswazi uswazi anakitafuna nn, jitahidi Tausi ujibadili zaidi. Ukiwa sehem kama hii kuwa mtulivu kama mwenzio dora.
Dora mzuri jaman sauti yake naipenda Sana tausi nae kadamsh kinomanoma mungu awape maisha marefu
Napendaga sana interview za dora anajua sana kujieleza💖💖💖💖💖
Ila dora umetulia sana tausi mcharuko😁😁😁
Salma Othman nakwambia...
Dora ni msomi na amelelewa mazingira ya masister nadhani ndo maan amekuwa hivyo
Sanaaa anatembua huyo
😂😂😂😂
kweli kabisa taus kihele hele sana anaboa
Nawapenda sana hawa watu Dora na Tausi
Dora mustarabu inaonekana kasoma,tausi uswazi😂😂👍
Dora msomi
Ndio Dora yupo chuo sasa lakini pia kalelewa na masister
Dora kasoma
😂😂
Hongera sn Dora kwamadili mazuri uliyolelewa mwenyez mungu awajalie mwendelee kupendana
Wow nampenda sana Dora mimi
Na tausi pia nampenda
Dora katulia sana adi raha Tausi mbwembwe nyingi, mpaka zinaleta kelo, mbwe mbwe zake za uswazi uswazi anakitafuna nn, jitahidi Tausi ujibadili zaidi. Ukiwa sehem kama hii kuwa mtulivu kama mwenzio dora.
Ukitulia kimyaa utaonekana mzuri ila ukijitia matashtiti sana unaonekana kituko zaidi ya kituko. Ili usionekane kituko acha papala.
Dora u r soo adorable N matured.. love ur confidence and class
She is so composed,, I also love her, Dora's voice is great too, she is such a 💎gem
Tausi na Dora nyinyi Indio Tz sweethearts
Kabisaaa
Nawapenda sana
Sure they are😘😘
Kwel kabisa
Thats true
Nawapenda sana Tausi na dora,Allah awatimizie ndoto zenu.
Eeeh dora naye eti kikubwa pesaaa♨♨♨♨♨♨
Dora mpole sana jamani pia mzuri mungu awape maisha marefu nyote wawili
kama umemsikia malkia wa muziki wa gospo gonga gonga like apa
Nawapendaa xan hawa wa2 jmn daah 😍😍
😂😂Tausi unavyoringa jaman khaa 😁😁 jicho kulizungusha kama nini sijui
Hhhhhhhhhhhh amazing ,,duh Mungu wew ni mwema asikushukuru wew uyo ni mwehu
Napenda sauti ya #dorah# af yuko na furaha sana wallah mrembo aisee😙😉
Tausi unajishebedua sana dadangu kuwa mpole kama dora aky dora ako simple lkn tausi bala hayo macho yanarembuliwa kama ngo'mbe aliefumaniwa
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Aya bna
kila mtu na character yake
Kila mtu the way alivyo usiforce wafanane
Dora Mrembo zaidi lakini hapo kabrauzi anakapenda balaaa 😂😂😂😂
Misalaba Charles 😂😂😂umeonaaaaa eeh
Hahaha labda zinafanana
Umeona eee anakapenda had me leo nilijua wamerudia interview kumbe hii ni nyngn🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli aisee 😂😂😂
Misalaba Charles Hahahahahaha Hahahahahahha Hahahahahahahah
Nawapenda sana hawa wa remboo
Wazur lv u guyz mna big confidence xnaa
Aki Dora nakupenda sana💕💕
elmeldah kwamboka 😁😁😁
Dora kipole ila taus mcharuko kweli he co kwenye michezo tu mpaka sehemu nyengne
Tanzania's sweethearts
Mungu akusaidie Sana pri..... Esko♥️♥️♥️♥️ fika pale Mungu kakupangia.
Esko umekuza kipaji hongera sanaaaaa aiseeee Mungu akupiganie nawe ufanikiwe zaidi na zaidi
OK Dora mwanamke kujiamini uko vzur xana
mbarikiwe wadada zetu warembo😘😘
Ma sha Allah. Cute and amazing both of them
Mmpendeza sana jaman
Wa dada warembo tena wenye eshima na wa penda sana Mungu awape furha kila siku
Tausi mcharuko🤣🤣 sana Lkn nawapenda sn nyie watu ❤️
Love u from 254...all dah best
QUEEN DORA.... mambo n 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tausi anarembua jmn duh,,,hongren mmedamshi
hahahahhahahahaaaaa uwiiii kiukweli nimecheka sana mimba jambo la heri
Mrembo dora, mashaallah
Jamani mnamuandama taus mbona katulia watanzania nawpenda nyie warembo
Mumependeza warembo masha Allah mola awape maisha marefu
Ameen
Ma sha Allah warembo wetu
Mashaallah nawakubali ❤🔥💯
Big up kwenu Dora na Tausi 😍😍😍😇😇
Nawapendaa nyie xan khaa😍😍😍
Dora is so humble l like her
Nawapenda😘😘
😄😄😄😄😄love you freely Tausi, love you more Princes Dorah.
weee esko wa sms mbona upo pekeyako mkaka mwingine yupo wapi mm nawapenda sana pamoja na baby sky hivi salamu zangu mnampa
Love you'll😍😍
Tausi uko vizuri lakini acha ushanta mwanangu tulia,Dorah love u soon much my baby girl
Eeeeh mutangazaji umewaka namademu wawiri .big up
Nawapenda sana haoo wdada💋💋💖💃💖😍
kidora sura nzuri
Tausi hajambo 😁😁😁😅😅😅😂 ila dora interested nampenda I mean wote I from🇰🇪👉👉❤
Dorah anaongea kwa utulivu sana
Nawapenda wote
Okio
Nawapenda saaaana❤👌👍
nyie ndio tanzanian sweartheart,nawapenda buree
Mko vizuri
Mnapendeza#dora na tausi
Love you Dora best ake mm tauc jicho hilo
Dora Mashaaallaaah 💕💕💕🙏🙏Tausi 😂😂😂
Huyu tausi yani huyu angekuwa mrefu kidogo bac bongo watu wangekomaaa heee chashuo hiloo😅😅😅😅😅😅😅😅yani hizonyodoooo😂😂😂😂😂😂
hongern kwa moyo mzurii woyo mzuri
uko sawa doro
I love u dora and tausi
Dora karembo jaman love u
Mie team tausi damu damu lop u tausi👌👌😘😘😘😘😘😘
Wow God is Good mmependeza sana very honest
nawapenda wote
wewe ni mrembo kwili Dora ❤️
Tsusi nakupenda sanaaa buree kma huna mume niko tsysri uwe my wife
Tauc anajixhonoa mashallaaaah
Warembo kamani ndio haooo mungu azidi kumbariki
NAWAPENDA SANA hawa 😂😘🔥
nawapenda sana hawa warembo wanajiamini
❤❤❤ ❤ ❤ ❤ ❤ ❤ love sns
Little genious
MashaAllah
Nyingi niwazur sana napenda movie zenu
Uko instagram ni shidaa yaa nawapendag bure
Love you Dora Tausi punguza nyenyenye
Dora is good and humble
Manshallah Tabarkallah warembo wametulia 😗😗❤❤
masha-Allah with a capital A
farida yahya mambo.tausi
mambo
umependeza
Wako vizuri warembo
dorah love you sooo much💋💋💋
Namipenda sana
Tausi ni mswahili😆😆😆anavyoangaliaaaa
Wanjipendaa wanajikupa kutoan n walivyoumbwa n ila ssi wengine n wanene wa tumbo lkn tuna stress km nn
Mwapendeza kweli lol Dora kako yuu kiasi ata kuongea waah
Nampenda sana Dora ana muonekano mzuri
Asante sana
Dora katulia xna hata kujibu maswali
Tausi ka damshi
Dora kapedenza jamoni
Kadamshi maanake??
Nyi warembo kweli mwenyezi mungu awabariki kwa msa hada wenu juu ya watoto hao
😍😍😍😍 nawapenda sana
😍😍😍😍
Jamani nampenda dorah naomba no zako dorah
Congratulations
Hawa wadada wanajielewa akili kama zote maa shaa allah
Hahahahaha jaman tauc anachekesha sana hajatulia kabisa shingo inazungushw hiyo
Nawapenda Dora na tausi..
Love you all 😘😘
Am the #SNS’s Best #MVS
Tausi anajikubali balaa na Dora anajua kujielezea hongereni sana nyote.
Dora mpole mashaAllah Ila Tausi Duuh maringo nayo aunikusudi
Samiah Adela kweli eti
😂😂😂jamani tausi kuchakuwa km mbuziii ndonin😁😁😁😊😊mbavu zanguuu
Dora very humble