MAOMBI YA FAMILIA by Innocent Morris
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- MAOMBI YA FAMILIA by Innocent Morris
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
CZcams Link:
/ holyspiritconnect
Nimepokea miwujiza kwajili ya famillia yangu amen 🙏
Amina baba nimebalikiwa sanaa na maneno yako
I hear this message today what is happening in our family may God remember my family 😢😢😢
Asante YESU Niko Miguuni Pako Najifunza AMEN
Ameen
Nimpokea bwana yesu
amen God be with our family
Ameen
Najiunganisha na maombi haya ili Mungu aikombowe mji wangu
Ameen
Asante yesu 🙏
Aminaaa nimepokea Kwa familia yangu maombi Hy na yakawe juu yao
Ameen
Mtumishi wa mungu unanitia nguvu naimani nami nita barikiwa niombee mtumishi wa mungu
Amen 👏
Baba aksanti kwa mafundisho yote unafundisha mungu akuwezeshe sana ameneeeee
God bless you so much Pastor innocent Morris for working for God tirelessly (hsc team be blessed)
Ameen ameeen
Amen 🙏🙏🙌🙏 ubarikiwe mtumishi.. nimepokea miujiza kwa family yangu
Ameen
Amen sema tubone baba🙏🙏🙏🙏
Asante sana Mtumishi, Mwenyezi Mungu akuwezeshe. Nimepata mabadiliko makubwa sana. Nimeona mashamba yanaunguwa, nimeona moshi unafuka na watu wakiunguwa wakati nimefunga Macho.
Ameen ameeen
Amen 🙏🙏🙏🙌🙏🙌🙌🙌🔥🔥
Asante Sana Mungu akubariki Kwa maombi mazuri nimebaeikiwa sana
Mungu akubariki kwakunifungua nafamilia yangu
Amen yani umenigusa sana 🙏🏻 mtumishi
Hee
Amen 🙏🙏🙏
Asante mtumishi Mungu akubariki kila iitwapo leo
Asante Bwana yesu. Asante kwa Uponyaji.
Barikiwa Sana mtu wa Mungu
Amen . May God bless u so much
Yesu ni njia,kweli na uzima.Hata tujapoonekana wajinga hatutapotea katika NJIA iyo.
Ameeni
Najikomboa mimi na family yangu
Asante mungu kwa neema zako
Mungu azidi kukupigania kwa maombi haya mtumishi.naona nguvu za maombi yako
Amen God bless you mchungaji
Ni kweli kabisa mtumishi
Asante mtumishi kwa mafundisho mazuri mungu akubariki akupe maisha marefu
mtumishi nimempokea bwana yesu. bwana yesu ninakusifu wwe .ktk. jina la yesu kristo. ktk jina linalopita majina yote. wewe ni mungu unaestahili kupewa sifa . bwana yesu wwe ni mungu mzuri. ninakupenda bwana yesu. ktk. jina la yesu kristo. ninakupenda yesu wangu wewe yesu ni mungu mwaminifu, mungu usiopenda uongo . yesu krito wwe ni msaada wangu, bwana yesu wwe ni nome yangu . yesu wee ni msaada wangu. sina kimbilio jingine isipokua niwwe Geova. bwanayesu wwe ni mponyaji wangu. bwana yesu wwe ni mponyaji wa familia yangu , wwe ni mkombozi wangu. nakupenda kutoka ndani ya vilindi vya moyo wangu.ninakupenda Geova ktk. jina la yesu kristo. bwana yesu wwe ni mkombozi wa familia yangu, inua uchumi ktk. familia yangu. inua vipaji ktk. familia yangu . bwana yesu wewe ni mkombozi wa uzao wangu. wewe ni mkombozi wa kazi za mikono yetu , utulinde ktk. ajira zetu ili tuweze kupata haki zetu zote. bwana yesu wee ni mkombozi wa famiglia yangu wasimamie wanangu ktk. masomo yao. wwe ni mkombozi wetu. achilia neema ktk. famigliavyangu. ninamba umbariki kila mmoja ktka familia yangu afanikiwe ktka kila jambo jema wanalofanya kwaajili ya familia yetu. ninomba uniponye maradhi yote yanayonisumbua tangu nikiwa mtoto mpaka Leo hii sijapata dawa yakunisaidia ila kwako baba hakuna linaloshindikana ninaamini nimepata uponyaji ktk. jina lavyesu . jina lenye nguvu kupita majina yote. kupitia kwako yesu umeniponya.
ee bwana yesu ninaomba ulinzi ktk. familia yangu ucku huu, asubuhi, mchana , na hata jioni.. unilinde mimi na familia yangu nyumbani na hata barabarani k tk. jina la yesu kristo, jina lenye nguvu kushinda majina yote. tunaomba ulinzi ktk. uchumi wa familia, tunaomba ulinzi ktk kazi za mikononyetu. ulinzi juu ya watto wangu , ulinzi juu ya mama yangu. ulinzi juu ya famia yangu yote ndugu jamma na rafiki zangu. utulinde na kutufunika kwa damu yako takatifu. ktka jina la yesu kristo., jina lipitalo majina yote..
ninasema asante geova kwa k wema wako na rehema zako.ziwe baraka kwetu sisi wote. . tunaomba hayo yote kupitia kwa kristo bwana wetu. amen.
Ameen
Ameeen 🙏 mtumishi ubalikiwe
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Baraka za Bwana
Amen
Amennnnnnnnn
O
Amen 🙏
Ameen
Blessing play
🙏🙏🙏🙏
Amen
Asante Mtumishi wa Mungu aliy hai kwa moambi yako nimefunguliwa mimi na watoto na wajuku zangu
Na kwa neema ya Mungu
Na Nahimana jacqueline
Amen