KAKA nimekuelewa sana maana hata sisi yametukuta hayoo hayoo cha ajabu na kushangaza kabla ya kununua tumeenda manispaa mpk ramani tumeoneshwa ya kiwanja lakini mwisho wa siku tumeambiwa ni eneo la RELI
Nimefurahiii sna kuona tabasamu ya wa Africa hakika Tanzania 🇹🇿 katka myaka inayo kuja hapo itakuwa inchi yenye nguvu sna maana Mungu Anaendaa mambo manzuri kwa taifa tangu Tanzania
@@fredialfredi202 hiyo siyo akili ni ujinga Ambao atujaandaliwa ili upate kizazi bora ni lazima umuandae mtoto kwa kufunza kujua thamani za uhai, Hekima, kupenda nchi yake, nakujua thamani ya haki nk Lakini mwafrica yupo tayari Kupoteza thamani uhai kwa kutetea Chama cha siasa
"Mimi siombi. Maombi yaliyoombwa hapa na wachungaji Wengine yametubariki lakini Mimi nimeona niyaseme haya." Mchu. Mgogo akinena mbele ya Rais huku watu wakitegemea labda angefanya maombi kama wachungaji walippita. Dah Mgogo nampenda sana!!
Tusadiwe sisi wa huku vijijini ili tusivutiwe na maisha ya mjini na kuja kupata hasara za kuvunjiwa nyumba na kusabisha foleni mjini tuboreshewe miundo mbinu huku vijijini kusudi tubaki huku huku tunalazimika kuvamia mjini si kwa kupenda ni kutokana na serikali kutusahau na kubezi na maeneo ya mijini
Nilishangaa kusema at watanzania tumekuelewa kumbe ninjaa yakutetea nyumba yako , eee MUNGU wakowapi watumishi wasiopenda kutetea matumbo yao kama akina Danieli? Huyu anaita baba nyingi mbele ya mfalme kuliko anavyomuita MUNGU niurafi naufisada mbele zaMUNGU
NINGESHANGAA SANA KAMA ASINGETOKEA MJINGA MMOJA KAMA WEWE MAANA KWENY NCHI YA WATU ZAID YA MILION50 HAWEZ KUKOSEKANA MWEHU... HONGERA NA WW UMEWAKILISHA WENZAKO🤣🤣🤣
Mtumishi wa Mungu aliyejaa hekima na busara.Twakupenda Sana hapa Kenya.
🇰🇪..wapi Wakenya wangapi hapa?
Mimi hapa mkenya nakuunga mkono.
Tupo Kenya hoyee 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Maneno ambayo Mungu mwenyewe ameyaweka kwenye kinywa cha mtumishi wake yanaonekana wazi kabisa. Hata mimi "nimekuelewa" Baba mchungaji. God bless you!
Mgogo umeongea jambo la kweli kabisa na umetoa ELIMU kubwa kwa nchi. Na wewe tumekuelewa
Amina Mungu akubariki Mchungaji kwa Maono haya na kwa somo nzuri
Mgogo katumia fursa hongera zake sana GOD bless him
Kwa kweli mchungaji tumekuelewa na MUNGU akibariki kwa kukutumia kama chombo cha kusaidia wanyonge
Nampenda sana huyu mchungaji maneno yake yanabusara sana
Mchungaji nakupenda mno,yesu kristo akutunze
Mungu anapenda wajumbe wa namna hii hakika mungu akubarika kwa kufkisha point hii Amina
Du! Mgogo NI hatali Sana, kaongea point kubwa sana
Baba MUNGU tubariki moyo wa uzarendo waafrika woto,Amina!
Rais Ma anafanta kazi nzuri sana kwa watanzania.
Hallelujah maneno ya mungu yako ndani yako baba Asante kwa usemi mzuri mungu akubariki.
Saf sana mgogo nimekuerewa pia, na nimeshamuerewa raisi wetu
Kweli mchungaji Mgogo Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono kweli, Joseph kutoka magharibi mwa Kenya
Umeeleweka mtumishi wa Mungu
maneno yko nimekuelewa . Mtumishi wa bwana .Mungu akujalie popote uwapo. SEMA amee
KAKA nimekuelewa sana maana hata sisi yametukuta hayoo hayoo cha ajabu na kushangaza kabla ya kununua tumeenda manispaa mpk ramani tumeoneshwa ya kiwanja lakini mwisho wa siku tumeambiwa ni eneo la RELI
Yani wewe ni mchungaji wa watu umepiga maneno muhimu ,hongera Rev Daniel Mgogo
MUNGU AKUBARIKI SANA RAIS WETU NA UMEONGEA KWELI MCH. MGOGO RAIS MUNGU AKUTUNZE TUNAKUOMBEA ZAIDI
Nimefurahiii sna kuona tabasamu ya wa Africa hakika Tanzania 🇹🇿 katka myaka inayo kuja hapo itakuwa inchi yenye nguvu sna maana Mungu Anaendaa mambo manzuri kwa taifa tangu Tanzania
A very wise pastor,I admire you and in this life if I happen to be in your city I'll visit your church for a church service
Daaaaah!! Nimekuelewa sana Mgongo Mungu akubariki sana
Wapenda haki atujakuelewa watakuelewa Ambao awapendi haki Lakini naamini ata mungu Hanapenda haki sizani kama hanakuelewa
Haki gani utakayo wewe kuwa muwazi
Kama wewe Hutambui dhuruma wanazofanyiwa wapinzani Tz basi basi wewe ufai atakuongoza familia yako
@@isayamwabulanga7767 akiri ni nywele kila mtu na zake
Nimekuelewa JPM
@@fredialfredi202 hiyo siyo akili ni ujinga Ambao atujaandaliwa ili upate kizazi bora ni lazima umuandae mtoto kwa kufunza kujua thamani za uhai, Hekima, kupenda nchi yake, nakujua thamani ya haki nk Lakini mwafrica yupo tayari Kupoteza thamani uhai kwa kutetea Chama cha siasa
Unaongea kweli kabisa, Mgogo nakuamini kweli kweli
Mpaka nakosa la kusema kwa watu wenye hekima kama hawa
True in reality
"Mimi siombi. Maombi yaliyoombwa hapa na wachungaji Wengine yametubariki lakini Mimi nimeona niyaseme haya." Mchu. Mgogo akinena mbele ya Rais huku watu wakitegemea labda angefanya maombi kama wachungaji walippita. Dah Mgogo nampenda sana!!
Ushaur alioutoa, mzur sana. Kuhus kumyelewa mh, aangetumia uwing, angetsha sana
I like your braveness n courage to face President with pure reality
Asante sana mchungaji umesema kweliiiiiiii
safi sana MCH mgogo yaaaani umeongea vizuri
Maaa shaaa ALLAH Maaa shaaa ALLAH Maaa Allah hivi ndivyo inavyotakiwa
Mimi musilimu lakini kiukweli mchungaji huyu huwa hata mahubiri yake anaongea mambo na shida za wengi sio wale wa kukanyagisha watu mafuta
Magufuli jamani kwanini umekwenda kazi ya mungu aina makosa. Duh tutakukumbuka daima
Amina mtumishi wa BWANA
Mungu mtie nguvu mtumishi wako anaytuhurubira ni ya kweli
channel ten mmetisha kwa kutupatia habari exclusive
I love you man of God
A man full of wisdom
Mungu aku bariki sana
Pointi mgogo ubalikiwe kwa Ujumbe mzuri.
Upo vizuri Sana
Well said mtumishi wewe huwezi kuwa upande wa wanafki ni msema ukwel
Blessed man of God.
Great man of God
Wakupinga kila kitu mpoooo maana hamnaga jema nyie,, Mgogo umeongea ukweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,, Magufuli jembe
Mwenye njaakali mbele ya mfalme nihatari mbele yajamiii bora ukoma
Pasteur tikito Emanuel
Safi.!☺
Mung akubark san kwa maneno y hekima,kwel hat mung alianza nasekta ya ujenzi,tumekuelewa
Umeongea point sana Mchungaji Mgogo
Barikiwa mutu wa Mungu
hata mimi nimemwelewa raisi wetu magufuli
MUNGU,ampe tano mingine JPM,mgogo ulisema kweli TUMEMUELEWA JPM kwa mafueza yanayoshuka serikalini Sasa hivi,ni lini haya yalipatikana?
Amen
Kweli maneno mazuri.....rip mr
Naienzi Tanzania Sanaa japo mie mkenya
Full of wisdom
Nimekubali safi sana
Tumemueleewa Rais wetu
Mch. Mgogo Nimekuelewa Baba
Nakuelewa sana mchungaji
Tumekuelewa. Baba, raisi waawanyonge,,tumekuelewa
Thinker always speaks widely. Misumari imepenya ila daah. RIP jembe ila mpini umenaki.
Amina baba
Mtumishi hupo sawa
Mgogo umetisha....
Thanks mch:Daniel mgogo
Maneno mazuri
Wwwuuueeehhh....this guy Mugogo daktari... 🖖
Hapo nime kupata sanaa
Amina
Amen wa ongeya kweli
Point Mtumishi
Tusadiwe sisi wa huku vijijini ili tusivutiwe na maisha ya mjini na kuja kupata hasara za kuvunjiwa nyumba na kusabisha foleni mjini tuboreshewe miundo mbinu huku vijijini kusudi tubaki huku huku tunalazimika kuvamia mjini si kwa kupenda ni kutokana na serikali kutusahau na kubezi na maeneo ya mijini
Hata mimi uncle Magu, ninakuelewa
Amen kubwa mchungaji
Jmn,cku nyingine mpeni tena mualiko
Amina mm nimekuelewa na bado naendelea kumuelewa mh raisi wetu
Dah hama kwa hakika umenena vyema yani ni ukweli mtupu
JPM wenye akili tumekuelewa
Goooooood Goooooood
Mch.hata Mimi nimekuelewa kwa elimu uliyoitoa
Mgogo bhana uko vizur...sana
Point taken
Huyu Daniel Mgogo ndio Nani??
Ni mchungaji wa Baptist Tanzania
Ila anafanya huduma kooote Duniani.
Ukweli kabisa ubarikiwa
Nimekuelewa
Nilishangaa kusema at watanzania tumekuelewa kumbe ninjaa yakutetea nyumba yako , eee MUNGU wakowapi watumishi wasiopenda kutetea matumbo yao kama akina Danieli? Huyu anaita baba nyingi mbele ya mfalme kuliko anavyomuita MUNGU niurafi naufisada mbele zaMUNGU
Utakua na utapiamlo wa akili
Unaakili wew
Wach bana ni shida
NINGESHANGAA SANA KAMA ASINGETOKEA MJINGA MMOJA KAMA WEWE MAANA KWENY NCHI YA WATU ZAID YA MILION50 HAWEZ KUKOSEKANA MWEHU... HONGERA NA WW UMEWAKILISHA WENZAKO🤣🤣🤣
You are wrong
Pia Mimi nimekwerewa muchugaji
Upendo kwako mwishimua pastor.niko Moçambique.
Ndg.daniel mgogo hapa ulinena kweli
Ubarikiwe sana Daniel Mgogo
Daniel Mgogo umenikosha roho yangu.
ukweli mtupu
Yaani mahubiri yako ndo maana sijaachaga kukusikia... Nakuelewa na wewe pia
Asante mtunishi
On
Mhe Rais Hiyo injili imekaa sawa , watu wako wamesikiaa?
hiv mchungaji Mgogo, ndo yule aliyeimbva,,sikia sauti yake?
HApana mtumishi. Ila wote ni wanyakyusa
Ni emanueli mgogo
@@sulleyjones6321 Asante sana.. yeaahh ni Emmanuel Mgogo...nilichanganya majina yao...
Daniel